NJIA ZA KUONDOA SUMU MBALIMBALI MWILINI
> Fanya moja ya mlo wako kwa siku uwe ni matunda pekee bila kuchanganya na chakula kingine
> Kunywa maji mengi kila siku bila angalau glasi 8 mpaka 10 kila siku ili kusafisha damu na mwili kwa ujumla kila siku
> Namna nyingine rahisi ya kuondoa au kupunguza sumu mwilini ni kufunga kula kabisa kutwa nzima
> Pata usingizi wa kutosha kila siku angalau kwa kulala masaa 7 mpaka 8 kwa siku
Fahamu zaidi - https://jamii.app/KuondoaSumuMwilini
#JFAfya
> Fanya moja ya mlo wako kwa siku uwe ni matunda pekee bila kuchanganya na chakula kingine
> Kunywa maji mengi kila siku bila angalau glasi 8 mpaka 10 kila siku ili kusafisha damu na mwili kwa ujumla kila siku
> Namna nyingine rahisi ya kuondoa au kupunguza sumu mwilini ni kufunga kula kabisa kutwa nzima
> Pata usingizi wa kutosha kila siku angalau kwa kulala masaa 7 mpaka 8 kwa siku
Fahamu zaidi - https://jamii.app/KuondoaSumuMwilini
#JFAfya
UN: IDADI YA WATU WANAOHITAJI MSAADA DUNIANI YAONGEZEKA
> Umoja wa Mataifa umesema mtu 1 kati ya watu 45 duniani ambao ni sawa na milioni 168, watahitaji msaada wa kibinadamu ifikapo mwaka 2020
> Nchi zilizo na hali mbaya zaidi ni Yemen, Syria, Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, Somalia, Sudan Kusini na Sudan
Soma - https://jamii.app/OngezekoWahitajiMsaada
> Umoja wa Mataifa umesema mtu 1 kati ya watu 45 duniani ambao ni sawa na milioni 168, watahitaji msaada wa kibinadamu ifikapo mwaka 2020
> Nchi zilizo na hali mbaya zaidi ni Yemen, Syria, Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, Somalia, Sudan Kusini na Sudan
Soma - https://jamii.app/OngezekoWahitajiMsaada
JamiiForums
Photo
TAHADHARI: UWEZEKANO WA KUTOKEA VIMBUNGA PACHA BAHARI YA HINDI
> TMA inatoa taarifa ya uwezekano wa kutokea kwa vimbunga pacha magharibi mwa Bahari ya Hindi upande wa kaskazini na kusini mwa Ikweta na hivyo kuwa na uwezekano wa kuathiri mifumo ya hali ya hewa nchini
> Migandamizo hiyo midogo pacha inaelekea kuimarika na kuwa vimbunga katika Pwani ya Somalia (Upande wa Kaskazini mwa Ikweta ) na Kaskazini Mashariki mwa Kisiwa cha Madagascar (Kusini mwa Ikweta)
> Aidha, mgandamizo mdogo wa hewa uliopo kusini magharibi mwa bahari ya Hindi (karibu na kisiwa cha Madagascar) unatarajiwa kuimarika na kuelekea kaskazini mwa kisiwa cha Madagascar, na hivyo unatarajiwa kusababisha ongezeko la mvua pamoja na vipindi vya mvua kubwa hususan katika baadhi ya maeneo ya Pwani ya Kaskazini ya nchi yetu kati ya terehe 5 na 6 Disemba 2019
> Mamlaka imeendelea kutoa tahadhari ya vipindi vifupi vya mvua kubwa kwa baadhi ya maeneo ya mikoa ya Dar es salaam na Pwani na angalizo la mvua kubwa kwa baadhi ya maeneo ya mikoa ya Kagera, Geita, Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Mara, Tanga pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba, Rukwa, Mbeya, Songwe, Iringa, Njombe na Ruvuma
> Kwa upande mwingine, mgandamizo mdogo wa hewa katika pwani ya Somalia unatarajiwa kuendelea kuwa mbali na pwani ya Tanzania na hautarajiwi kuwa na madhara katika nchi yetu
#weatheralert
> TMA inatoa taarifa ya uwezekano wa kutokea kwa vimbunga pacha magharibi mwa Bahari ya Hindi upande wa kaskazini na kusini mwa Ikweta na hivyo kuwa na uwezekano wa kuathiri mifumo ya hali ya hewa nchini
> Migandamizo hiyo midogo pacha inaelekea kuimarika na kuwa vimbunga katika Pwani ya Somalia (Upande wa Kaskazini mwa Ikweta ) na Kaskazini Mashariki mwa Kisiwa cha Madagascar (Kusini mwa Ikweta)
> Aidha, mgandamizo mdogo wa hewa uliopo kusini magharibi mwa bahari ya Hindi (karibu na kisiwa cha Madagascar) unatarajiwa kuimarika na kuelekea kaskazini mwa kisiwa cha Madagascar, na hivyo unatarajiwa kusababisha ongezeko la mvua pamoja na vipindi vya mvua kubwa hususan katika baadhi ya maeneo ya Pwani ya Kaskazini ya nchi yetu kati ya terehe 5 na 6 Disemba 2019
> Mamlaka imeendelea kutoa tahadhari ya vipindi vifupi vya mvua kubwa kwa baadhi ya maeneo ya mikoa ya Dar es salaam na Pwani na angalizo la mvua kubwa kwa baadhi ya maeneo ya mikoa ya Kagera, Geita, Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Mara, Tanga pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba, Rukwa, Mbeya, Songwe, Iringa, Njombe na Ruvuma
> Kwa upande mwingine, mgandamizo mdogo wa hewa katika pwani ya Somalia unatarajiwa kuendelea kuwa mbali na pwani ya Tanzania na hautarajiwi kuwa na madhara katika nchi yetu
#weatheralert
AZAKI KUISHTAKI TANZANIA KWA KUTAKA KUJITOA KWENYE ITIFAKI YA MAHAKAMA YA AFRIKA
> Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) wanatafakari kuishtaki Tanzania katika Kamisheni ya Umoja wa Afrika kwa kutaka kujitoa kwenye itifaki ya Mahakama ya Haki za Binadamu ya Afrika
> Wasema jambo hilo litasababisha gharama kubwa kwa wananchi kupeleka kesi zao Tume ya Haki za Binadamu ya Afrika nchini Gambia
Soma - https://jamii.app/AZAKIKesiTZMahakamaAfrika
> Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) wanatafakari kuishtaki Tanzania katika Kamisheni ya Umoja wa Afrika kwa kutaka kujitoa kwenye itifaki ya Mahakama ya Haki za Binadamu ya Afrika
> Wasema jambo hilo litasababisha gharama kubwa kwa wananchi kupeleka kesi zao Tume ya Haki za Binadamu ya Afrika nchini Gambia
Soma - https://jamii.app/AZAKIKesiTZMahakamaAfrika
UGANDA: MLINZI AMPIGA RISASI MWANAFUNZI WA CHUO CHA KAMPALA
> Polisi nchini Uganda wanachunguza tukio la Mlinzi wa Usalama kumpiga Risasi Isaac Katagwa (mwaka 3) kutoka Chuo Kikuu cha Kampala, Tawi la Jinja
> Isaac alipigwa risasi mgongoni na kupoteza maisha papo hapo usiku wa Jumatano
Soma - https://jamii.app/MlinziAuaRisasiMwnfz
> Polisi nchini Uganda wanachunguza tukio la Mlinzi wa Usalama kumpiga Risasi Isaac Katagwa (mwaka 3) kutoka Chuo Kikuu cha Kampala, Tawi la Jinja
> Isaac alipigwa risasi mgongoni na kupoteza maisha papo hapo usiku wa Jumatano
Soma - https://jamii.app/MlinziAuaRisasiMwnfz
MVUA, MAFURIKO NA MAPOROMOKO ZAATHIRI WATU MILIONI 3 AFRIKA MASHARIKI
> Watu milioni 3 Afrika Mashariki wameathiriwa na mvua, mafuriko na maporomoko ya matope huku zaidi ya 200 wakifariki tangu kuanza kwa msimu wa mvua hizo
> Mvua hizo zinasababishwa na viwango vya juu vya joto katika Bahari ya Hindi na kupanda kwa digrii 2 Celsius
Soma - https://jamii.app/FloodsDisasterEAC
> Watu milioni 3 Afrika Mashariki wameathiriwa na mvua, mafuriko na maporomoko ya matope huku zaidi ya 200 wakifariki tangu kuanza kwa msimu wa mvua hizo
> Mvua hizo zinasababishwa na viwango vya juu vya joto katika Bahari ya Hindi na kupanda kwa digrii 2 Celsius
Soma - https://jamii.app/FloodsDisasterEAC
HUKUMU YA JAMAL MALINZI KUTOLEWA LEO
> Mahakama ya Kisutu inatarajia kutoa Hukumu ktk kesi inayomkabili aliyekuwa Rais wa TFF, Jamal Malinzi na wenzake 4
> Wanakabiliwa na mashtaka ya kula njama, kughushi, kujipatia fedha kidanganyifu na utakatishaji fedha
Soma - https://jamii.app/HukumuMalinziKisutuDec5
> Mahakama ya Kisutu inatarajia kutoa Hukumu ktk kesi inayomkabili aliyekuwa Rais wa TFF, Jamal Malinzi na wenzake 4
> Wanakabiliwa na mashtaka ya kula njama, kughushi, kujipatia fedha kidanganyifu na utakatishaji fedha
Soma - https://jamii.app/HukumuMalinziKisutuDec5
NAFASI ZA KUJIUNGA KIDATO CHA 1 ZATOKA, MIKOA 13 YAFAULISHA WANAFUNZI WOTE
> Wanafunzi 701,038 (92.27%) waliofaulu Mtihani wa Darasa la Saba mwaka 2019 wamechaguliwa kuendelea na Kidato cha 1
> Wanafunzi 58,699 wamekosa nafasi kutokana na uhaba wa madarasa
Soma - https://jamii.app/MajinaUfauluKidato1
> Wanafunzi 701,038 (92.27%) waliofaulu Mtihani wa Darasa la Saba mwaka 2019 wamechaguliwa kuendelea na Kidato cha 1
> Wanafunzi 58,699 wamekosa nafasi kutokana na uhaba wa madarasa
Soma - https://jamii.app/MajinaUfauluKidato1
USHAURI: MISAFARA YA VIONGOZI INACHOSHA, INATESA. IGP PELEKA WATU SWEDEN WAKAJIFUNZE
- Mdau wa JamiiForums anasema akiwa njia ya Bagamoyo eneo la Mbezi Tangi Bovu, walisimamishwa karibu dakika 30 kupisha msafara wa Kiongozi fulani
Zaidi, soma > https://jamii.app/MisafaraViongozi
- Mdau wa JamiiForums anasema akiwa njia ya Bagamoyo eneo la Mbezi Tangi Bovu, walisimamishwa karibu dakika 30 kupisha msafara wa Kiongozi fulani
Zaidi, soma > https://jamii.app/MisafaraViongozi
USHAURI WA KANUNI BORA ZA KILIMO CHA MIGOMBA
> Kiasi cha chini cha mvua kifaacho ni 100mm kwa mwezi au 1200mm kwa mwaka. Mwinuko ni kutoka usawa wa bahari hadi mita 1800 juu ya usawa wa bahari. Kiasi cha joto ni nyuzi joto za 25'C hadi 30'C
> Machipukizi mazuri yanayofaa kwa mbegu ni yale yenye majani membamba, Mgomba (shina) wenye afya nzuri na Mgomba wenye sifa ya kuzaa mikungu mikubwa
-
Wakati unaofaa kupanda machipukizi ni mwanzoni mwa msimu wa mvua
Fahamu zaidi - https://jamii.app/KilimoMigombaNdizi
#JFKilimo
> Kiasi cha chini cha mvua kifaacho ni 100mm kwa mwezi au 1200mm kwa mwaka. Mwinuko ni kutoka usawa wa bahari hadi mita 1800 juu ya usawa wa bahari. Kiasi cha joto ni nyuzi joto za 25'C hadi 30'C
> Machipukizi mazuri yanayofaa kwa mbegu ni yale yenye majani membamba, Mgomba (shina) wenye afya nzuri na Mgomba wenye sifa ya kuzaa mikungu mikubwa
-
Wakati unaofaa kupanda machipukizi ni mwanzoni mwa msimu wa mvua
Fahamu zaidi - https://jamii.app/KilimoMigombaNdizi
#JFKilimo
MABORESHO YA BIMA YA AFYA KUJUMUISHA MAGONJWA YENYE GHARAMA KUBWA
> Wizara ya Afya kwa kushirikiana na NHIF inaendelea kuboresha vifurushi vya bima kwa kuweka magonjwa yenye gharama kubwa kama Moyo, Figo, Saratani, Kisukari na mengineyo
> Aidha, huduma ya uzazi itaendelea kuboreshwa kwa kupunguzwa muda wa kusubiri matumizi
Soma - https://jamii.app/MaboreshoMagonjwaBima
> Wizara ya Afya kwa kushirikiana na NHIF inaendelea kuboresha vifurushi vya bima kwa kuweka magonjwa yenye gharama kubwa kama Moyo, Figo, Saratani, Kisukari na mengineyo
> Aidha, huduma ya uzazi itaendelea kuboreshwa kwa kupunguzwa muda wa kusubiri matumizi
Soma - https://jamii.app/MaboreshoMagonjwaBima
UPDATE: HUKUMU YA KESI DHIDI YA JAMAL MALINZI NA WENZAKE WA 4 YAAHIRISHWA HADI DESEMBA 11, 2019
> Kesi hiyo inayosimamiwa na Hakimu Mkazi Mkuu, Janeth Mtega imeahirishwa baada ya Hakimu kuomba muda wa kupitia jalada la hukumu
Zaidi soma > https://jamii.app/HukumuMalinziKisutuDec5
> Kesi hiyo inayosimamiwa na Hakimu Mkazi Mkuu, Janeth Mtega imeahirishwa baada ya Hakimu kuomba muda wa kupitia jalada la hukumu
Zaidi soma > https://jamii.app/HukumuMalinziKisutuDec5
DOVUTWA APINGA KUVULIWA UENYEKITI UPDP, AWATAKA WANACHAMA KUJIANDAA NA UCHAGUZI
> Fahmi Dovutwa amepinga kuvuliwa Uenyekiti kwa madai ya kutangaza kuwa UPDP haitashiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Novemba 24
> Asema, wanaotangaza hivyo wana hofu ya uchaguzi wa Chama hicho utakaofanyika mwishoni mwa Desemba, 2019
Soma - https://jamii.app/DovutwaApingaKuvuliwaMKiti
> Fahmi Dovutwa amepinga kuvuliwa Uenyekiti kwa madai ya kutangaza kuwa UPDP haitashiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Novemba 24
> Asema, wanaotangaza hivyo wana hofu ya uchaguzi wa Chama hicho utakaofanyika mwishoni mwa Desemba, 2019
Soma - https://jamii.app/DovutwaApingaKuvuliwaMKiti
FAHAMU NGUVU YA UTULIVU NA KUWEZA KUKAA PEKE YAKO ILI KUFIKIRI
> Jijengee tabia ya kuwa na muda wa utulivu kila siku, muda ambao unakaa wewe peke yako na mawazo yako, na hakuna usumbufu wowote unaokuwa karibu na wewe katika wakati huu
> Utaanza kuona jinsi ambavyo maisha yako yatabadilika, Msongo utapungua, wasiwasi na mashaka ya kupoteza vitu yataondoka kabisa na utajiona unayaendesha maisha badala ya maisha kukuendesha wewe
Tembelea - https://jamii.app/NguvuUtulivuKufikiri
#JFMaisha
> Jijengee tabia ya kuwa na muda wa utulivu kila siku, muda ambao unakaa wewe peke yako na mawazo yako, na hakuna usumbufu wowote unaokuwa karibu na wewe katika wakati huu
> Utaanza kuona jinsi ambavyo maisha yako yatabadilika, Msongo utapungua, wasiwasi na mashaka ya kupoteza vitu yataondoka kabisa na utajiona unayaendesha maisha badala ya maisha kukuendesha wewe
Tembelea - https://jamii.app/NguvuUtulivuKufikiri
#JFMaisha
TANZIA: KIUNGO MAHIRI WA ZAMANI WA KLABU ZA YANGA NA SIMBA, ALLY YUSUF MAARUFU TIGANA AFARIKI DUNIA
- Amefariki dunia leo katika hospitali ya Amana, Jijini Dar baada ya kuugua ghafla na kukimbizwa hospitali hapo
> Alianza kuhara na kutapika ghafla
Soma > https://jamii.app/RIPTigana
#JFLeo
- Amefariki dunia leo katika hospitali ya Amana, Jijini Dar baada ya kuugua ghafla na kukimbizwa hospitali hapo
> Alianza kuhara na kutapika ghafla
Soma > https://jamii.app/RIPTigana
#JFLeo
KENYA: CHUO CHA EGERTON CHAFUNGWA KUTOKANA NA MGOMO WA WANAFUNZI
> Chuo Kikuu cha Egerton kimefungwa kwa muda usiojulikana kutokana na wanafunzi kufanya mgomo wakishinikiza kuruhusiwa kufanya mitihani ya muhula pasipo kukamilisha ada
> Aidha, Chuo kimetishia kuwasimamisha masomo wanafunzi kwa mwaka 1 ikiwa hawatokamilisha ada
Soma - https://jamii.app/EgertonUnvClosedFees
> Chuo Kikuu cha Egerton kimefungwa kwa muda usiojulikana kutokana na wanafunzi kufanya mgomo wakishinikiza kuruhusiwa kufanya mitihani ya muhula pasipo kukamilisha ada
> Aidha, Chuo kimetishia kuwasimamisha masomo wanafunzi kwa mwaka 1 ikiwa hawatokamilisha ada
Soma - https://jamii.app/EgertonUnvClosedFees
HUKUMU YA KESI ILIYOFUNGULIWA NA JAMHURI DHIDI YA JAMIIFORUMS KUTOLEWA KESHO
- Shauri hilo ni moja kati ya kesi zilizofunguliwa na Jamhuri dhidi ya Mkurugenzi wa Jamii Media Co. Ltd na mmoja wa wanahisa wake
- Hukumu hiyo ni ya shauri namba 456
Soma > https://jamii.app/JamhuriVsJamiiForums
#JFLeo
- Shauri hilo ni moja kati ya kesi zilizofunguliwa na Jamhuri dhidi ya Mkurugenzi wa Jamii Media Co. Ltd na mmoja wa wanahisa wake
- Hukumu hiyo ni ya shauri namba 456
Soma > https://jamii.app/JamhuriVsJamiiForums
#JFLeo
IJUE SHERIA INAYOPIGA MARUFUKU KUPIGA KELELE MAENEO YA MAKAZI
> Marufuku hii ni kwa mujibu wa Kanuni zilizozinduliwa mwaka 2015 kulingana na Sheria ya Usimamizi wa Mazingira ya mwaka 2014.
> Kelele za Baa, muziki, matangazo na shughuli nyingine za kijamii zinatozwa faini ya milioni 50
Zaidi, soma > https://jamii.app/UchafuziMazingiraKelele
> Marufuku hii ni kwa mujibu wa Kanuni zilizozinduliwa mwaka 2015 kulingana na Sheria ya Usimamizi wa Mazingira ya mwaka 2014.
> Kelele za Baa, muziki, matangazo na shughuli nyingine za kijamii zinatozwa faini ya milioni 50
Zaidi, soma > https://jamii.app/UchafuziMazingiraKelele
WHO: VISA VYA UGONJWA WA SURUA DUNIANI VYAONGEZEKA
> Takriban watu 140,000 hufariki duniani kutokana na ugonjwa wa Surua na Bara la Afrika linasadikiwa kuwa na idadi kubwa zaidi ya vifo vinavyotokana na ugonjwa huo kwa takriban vifo 52,600
> Barani Afrika, nchi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Liberia, Madagascar na Somalia zimeathirika zaidi huku DRC ikiripoti visa 250,000 vya ugonjwa huo kufikia Novemba mwaka huu
Soma - https://jamii.app/OngezekoMaambukiziSurua
> Takriban watu 140,000 hufariki duniani kutokana na ugonjwa wa Surua na Bara la Afrika linasadikiwa kuwa na idadi kubwa zaidi ya vifo vinavyotokana na ugonjwa huo kwa takriban vifo 52,600
> Barani Afrika, nchi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Liberia, Madagascar na Somalia zimeathirika zaidi huku DRC ikiripoti visa 250,000 vya ugonjwa huo kufikia Novemba mwaka huu
Soma - https://jamii.app/OngezekoMaambukiziSurua
UTAFITI: KUKU WA KIENYEJI WANAOUZWA MITAANI WABAINIKA SIO WA KIENYEJI
> Utafiti uliyofanywa na Shirika la World Animal Protection umebaini kuku hao ni wa kisasa (kizungu) wanaofugwa majumbani kwa kupewa majani pamoja na dawa mbalimbali za kuwakuza na kuwafanya kuwa wagumu
Soma - https://jamii.app/KukuKienyejiFeki
> Utafiti uliyofanywa na Shirika la World Animal Protection umebaini kuku hao ni wa kisasa (kizungu) wanaofugwa majumbani kwa kupewa majani pamoja na dawa mbalimbali za kuwakuza na kuwafanya kuwa wagumu
Soma - https://jamii.app/KukuKienyejiFeki