ITALIA: MBARONI AKIDAIWA KUTUMIA BANGI KAMA KIUNGO CHA CHAKULA
- Mpishi wa hotelini, Carmelo Chiaramonte amekamatwa na Polisi baada ya kukutwa na bangi nyumbani kwake
- Amekutwa na mvinyo uliochanganywa na bangi, zaituni, kahawa, na samaki
Zaidi, soma https://jamii.app/MpishiMbaroniBangi
- Mpishi wa hotelini, Carmelo Chiaramonte amekamatwa na Polisi baada ya kukutwa na bangi nyumbani kwake
- Amekutwa na mvinyo uliochanganywa na bangi, zaituni, kahawa, na samaki
Zaidi, soma https://jamii.app/MpishiMbaroniBangi
CHINA YAGUNDUA ENEO LENYE TANI BILIONI 1 ZA MAFUTA
> Shirika la Mafuta la China (CNPC) limefanya utafiti na kugundua hifadhi mpya ya gesi na mafuta yenye tani bilioni 1 za mafuta katika eneo la Kaskazini Magharibi mwa China
> Jumla ya tani 640,000 za mafuta zinatarajiwa kuzalishwa ktk eneo hilo kwa mwaka huu, na litafikia tani milioni 3 kwa mwaka siku zijazo
Soma - https://jamii.app/DiscoverOilDeposit
> Shirika la Mafuta la China (CNPC) limefanya utafiti na kugundua hifadhi mpya ya gesi na mafuta yenye tani bilioni 1 za mafuta katika eneo la Kaskazini Magharibi mwa China
> Jumla ya tani 640,000 za mafuta zinatarajiwa kuzalishwa ktk eneo hilo kwa mwaka huu, na litafikia tani milioni 3 kwa mwaka siku zijazo
Soma - https://jamii.app/DiscoverOilDeposit
RAIS MAGUFULI KUPOKEA TAARIFA YA WAHUJUMU UCHUMI KUOMBA MSAMAHA
> Leo, Rais John Magufuli anatarajiwa kupokea taarifa ya utekelezaji wa ushauri alioutoa wa kuwasamehe watuhumiwa wa Uhujumu Uchumi walio tayari kutubu na kurejesha fedha na mali walizotafuna
> Mkurugenzi wa Mashitaka Nchini (DPP) ndiye atakayewasilisha taarifa hiyo
Soma - https://jamii.app/RipotiMsamahaWahujumu
> Leo, Rais John Magufuli anatarajiwa kupokea taarifa ya utekelezaji wa ushauri alioutoa wa kuwasamehe watuhumiwa wa Uhujumu Uchumi walio tayari kutubu na kurejesha fedha na mali walizotafuna
> Mkurugenzi wa Mashitaka Nchini (DPP) ndiye atakayewasilisha taarifa hiyo
Soma - https://jamii.app/RipotiMsamahaWahujumu
UGANDA YAZINDUA KIPIMO CHA KUPIMA UKIMWI KWA MDOMO
> Kifaa hicho kimetengenezwa na ‘Orasure Technologies’ mahususi kwa vijana kuanzia miaka 18 hadi 24 na wafanyabiashara ya ngono
> Hakihusishi damu wakati wa upimaji bali kinahitaji mate ambayo kama mtu ameathirika na VVU yanakuwa na tishu ambazo kifaa cha kupimia kitazisoma
Soma - https://jamii.app/NewHIVTestKit
> Kifaa hicho kimetengenezwa na ‘Orasure Technologies’ mahususi kwa vijana kuanzia miaka 18 hadi 24 na wafanyabiashara ya ngono
> Hakihusishi damu wakati wa upimaji bali kinahitaji mate ambayo kama mtu ameathirika na VVU yanakuwa na tishu ambazo kifaa cha kupimia kitazisoma
Soma - https://jamii.app/NewHIVTestKit
KENYA: TAKRIBANI WATU 3 WASADIKIWA KUFARIKI BAADA YA GARI KUZAMA BAHARINI
> Watu hao akiwemo mtoto mdogo wanasadikiwa kufariki baada ya gari walilokuwemo kuteleza kwa nyuma kutoka kwenye kivuko na kuzama majini Jumapili jioni katika eneo la Mombasa
> Shughuli za uokoaji zinaendelea
Soma - https://jamii.app/CarSlidoffFerry
> Watu hao akiwemo mtoto mdogo wanasadikiwa kufariki baada ya gari walilokuwemo kuteleza kwa nyuma kutoka kwenye kivuko na kuzama majini Jumapili jioni katika eneo la Mombasa
> Shughuli za uokoaji zinaendelea
Soma - https://jamii.app/CarSlidoffFerry
SAUDI ARABIA: KITUO CHA TRENI YA MWENDOKASI CHA AL-HARAMAIN CHAUNGUA MOTO
> Kituo hicho kinaunganisha Miji Mitakatifu ya Mecca na Medina pamoja na mji wa Jeddah kwenye Bahari ya Shamu
> Takriban watu 5 wamejeruhiwa ktk ajali hiyo na Serikali imesitisha safari za Treni mpaka taarifa zaidi zitakapotolewa
Soma - https://jamii.app/FireBreaksoutAl-Haramain
> Kituo hicho kinaunganisha Miji Mitakatifu ya Mecca na Medina pamoja na mji wa Jeddah kwenye Bahari ya Shamu
> Takriban watu 5 wamejeruhiwa ktk ajali hiyo na Serikali imesitisha safari za Treni mpaka taarifa zaidi zitakapotolewa
Soma - https://jamii.app/FireBreaksoutAl-Haramain
UPDATE: AJALI YA GARI KUZAMA BAHARINI KUTOKA KWENYE KIVUKO
- Mariam Kigenda(35) na mwanae(4) wamefariki baada ya gari lao kuteleza kutoka kwenye kivuko na kuzama baharini katika Feri ya Likoni
- Walikuwa ndani ya gari hilo wakati wakivuka bahari kwa kutumia kivuko cha MV Harambee
Zaidi, soma https://jamii.app/CarSlidoffFerry
- Mariam Kigenda(35) na mwanae(4) wamefariki baada ya gari lao kuteleza kutoka kwenye kivuko na kuzama baharini katika Feri ya Likoni
- Walikuwa ndani ya gari hilo wakati wakivuka bahari kwa kutumia kivuko cha MV Harambee
Zaidi, soma https://jamii.app/CarSlidoffFerry
IRINGA: VIONGOZI WA KAMATI YA MAJI KUWEKWA RUMANDE KWA UBADHIRIFU
> Waziri Mkuu ameagiza kukamatwa na kuwekwa ndani Viongozi wa Kamati ya Watumiaji Maji wa Mradi wa Matunguru Tungamalenga kwa tuhuma za ubadhirifu wa Tsh. milioni 7
> Ni baada ya kupokea malalamiko kutoka kwa wananchi
Soma - https://jamii.app/KamatiMajiUbadhirifu
> Waziri Mkuu ameagiza kukamatwa na kuwekwa ndani Viongozi wa Kamati ya Watumiaji Maji wa Mradi wa Matunguru Tungamalenga kwa tuhuma za ubadhirifu wa Tsh. milioni 7
> Ni baada ya kupokea malalamiko kutoka kwa wananchi
Soma - https://jamii.app/KamatiMajiUbadhirifu
NAMNA YA KUPANGILIA MFUMO WA ULAJI BORA KWA AFYA THABITI
> Mlo kamili hutokana na kuchanganya angalau chakula kimoja kutoka katika kila kundi la vyakula na viliwe kwa kiasi cha kutosha
> Ulaji wa mbogamboga na matunda husaidia kuimarisha mfumo wa kinga mwilini na kujikinga na maradhi mbalimbali
> Epuka vyakula vyenye mafuta mengi kwani husababisha madhara kama vile unene kupita kiasi, magonjwa ya moyo, kisukari na shinikizo la damu
Zaidi, soma - https://jamii.app/AfyaUlajiBora
#JFAfya
> Mlo kamili hutokana na kuchanganya angalau chakula kimoja kutoka katika kila kundi la vyakula na viliwe kwa kiasi cha kutosha
> Ulaji wa mbogamboga na matunda husaidia kuimarisha mfumo wa kinga mwilini na kujikinga na maradhi mbalimbali
> Epuka vyakula vyenye mafuta mengi kwani husababisha madhara kama vile unene kupita kiasi, magonjwa ya moyo, kisukari na shinikizo la damu
Zaidi, soma - https://jamii.app/AfyaUlajiBora
#JFAfya
CHINA: MOTO WALIPUKA KWENYE KIWANDA NA KUUA WATU 19 NA KUJERUHI WENGINE 9
> Moto ulilipuka kwenye kiwanda kimoja kilichopo Mashariki mwa nchi ya China katika Jimbo la Ninghai
> Majeruhi wamekimbizwa Hospitali kwa ajili ya matibabu na uangalizi
Soma > https://jamii.app/MotoKiwandaChina
> Moto ulilipuka kwenye kiwanda kimoja kilichopo Mashariki mwa nchi ya China katika Jimbo la Ninghai
> Majeruhi wamekimbizwa Hospitali kwa ajili ya matibabu na uangalizi
Soma > https://jamii.app/MotoKiwandaChina
WAASI NCHINI SOMALIA WAFANYA MASHAMBULIZI DHIDI YA VITUO VYA WANAJESHI WA MAREKANI
> Shambulio limefanywa dhidi ya eneo la kurushia ndege ktk Mkoa wa Lower Shebelle ambapo mtu wa kujitoa muhanga alilipua gari lililokuwa limesheheni mabomu mbele ya geti la Belidogle
> Kundi la Al-Shabaab limedai kuhusika na shambulio hilo
Soma - https://jamii.app/JihadistsAttackUSMilitaryBase
> Shambulio limefanywa dhidi ya eneo la kurushia ndege ktk Mkoa wa Lower Shebelle ambapo mtu wa kujitoa muhanga alilipua gari lililokuwa limesheheni mabomu mbele ya geti la Belidogle
> Kundi la Al-Shabaab limedai kuhusika na shambulio hilo
Soma - https://jamii.app/JihadistsAttackUSMilitaryBase
UGANDA: MWANAUME ATUMA JAMBAZI KWA AJILI YA KUMUUA MTALAKA WAKE
> Miezi mitatu baada ya Hanifa Nakiriowa(37) kuachana na Mumewe alikwenda kuwatembelea Watoto wake akiwa kwa Mwanaume huyo ndipo alikuja kijana asiyemfahamu na kummwagia tindikali
Soma > https://jamii.app/NakiriowaUG
> Miezi mitatu baada ya Hanifa Nakiriowa(37) kuachana na Mumewe alikwenda kuwatembelea Watoto wake akiwa kwa Mwanaume huyo ndipo alikuja kijana asiyemfahamu na kummwagia tindikali
Soma > https://jamii.app/NakiriowaUG
FAIDA ZA KIAFYA ZITOKANAZO NA KUNYWA MAJI YA KUTOSHA
> Maji husaidia mmeng'enyo au usagaji wa chakula na mara nyingine hutuliza maumivu ya kichwa endapo yametokana na upungufu wa maji mwilini
> Pendezesha ngozi yako kwa kunywa maji ya kutosha kwani maji yanasaidia kuboresha tishu za ngozi na kuongeza unyevu kwenye ngozi
> Uwezekano wa kupata mafua, mawe ya figo, matatizo ya ini na matatizo ya saratani yanaweza kupunguzwa kwa kunywa maji ya kutosha
Tembele - https://jamii.app/FaidaMajiAfya
#JFAfya
> Maji husaidia mmeng'enyo au usagaji wa chakula na mara nyingine hutuliza maumivu ya kichwa endapo yametokana na upungufu wa maji mwilini
> Pendezesha ngozi yako kwa kunywa maji ya kutosha kwani maji yanasaidia kuboresha tishu za ngozi na kuongeza unyevu kwenye ngozi
> Uwezekano wa kupata mafua, mawe ya figo, matatizo ya ini na matatizo ya saratani yanaweza kupunguzwa kwa kunywa maji ya kutosha
Tembele - https://jamii.app/FaidaMajiAfya
#JFAfya
KILIMANJARO: POLISI WAFIKA KUSIKILIZA MKUTANO WA NDANI WA CHADEMA, WASEMA SIO HARUSI WALA SEND OFF
- Mkutano huo ulikuwa ukiongozwa na Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe
- Polisi wamefika kwenye kikao hicho cha ndani kwa maagizo ya DC wa Hai
Soma > https://jamii.app/MboweVsSabayaHai
- Mkutano huo ulikuwa ukiongozwa na Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe
- Polisi wamefika kwenye kikao hicho cha ndani kwa maagizo ya DC wa Hai
Soma > https://jamii.app/MboweVsSabayaHai
FAHAMU: KIJIJI CHA WATU WALIOUZA FIGO ZAO
- Kijiji cha Hokse nchini Nepal kimebatizwa jina jipya la ‘Kidney Village’ baada ya Watu karibia wote wanaoishi kwenye kijiji hicho kuwa wameuza Figo zao
- Hali ngumu ya maisha imewasukuma kufanya hivyo
Soma > https://jamii.app/Hokse
- Kijiji cha Hokse nchini Nepal kimebatizwa jina jipya la ‘Kidney Village’ baada ya Watu karibia wote wanaoishi kwenye kijiji hicho kuwa wameuza Figo zao
- Hali ngumu ya maisha imewasukuma kufanya hivyo
Soma > https://jamii.app/Hokse
UTEUZI: Rais Magufuli amemteua Dkt. Wilson Mahera kuwa Mkurugenzi mpya wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) akichukua nafasi ya Athuman Kihamia ambaye atapangiwa kazi nyingine
> Kabla ya uteuzi huo Mahera alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Arusha
Soma - https://jamii.app/UteuziMkrgnzNEC
#JFLeo
> Kabla ya uteuzi huo Mahera alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Arusha
Soma - https://jamii.app/UteuziMkrgnzNEC
#JFLeo
RAIS AFANYA TEUZI MBALIMBALI ZA WAKURUGENZI WA HALMASHAURI
> Amemteua Ndaki Stephano Muhuli kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Siha, Kilimanjaro
> Rehema Saidi Bwasi Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri Wilaya ya Morogoro na Sheillah Edward Lukuba Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro
#JFLeo
> Amemteua Ndaki Stephano Muhuli kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Siha, Kilimanjaro
> Rehema Saidi Bwasi Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri Wilaya ya Morogoro na Sheillah Edward Lukuba Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro
#JFLeo
UTEUZI: Rais Magufuli amemteua Kanali Wilbert Augustine Ibuge kuwa Balozi na Mkuu wa Itifaki (Chief of Protocal) wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki
> Ibuge anachukua nafasi ya Balozi Grace A. Martin ambaye atapangiwa majukumu mengine ya Kibalozi
#JFLeo
> Ibuge anachukua nafasi ya Balozi Grace A. Martin ambaye atapangiwa majukumu mengine ya Kibalozi
#JFLeo
UGANDA: SERIKALI YATANGAZA KUBADILI KOFIA ZA JESHI; ZITAFANANA NA ANAZOVAA BOBI WINE
> Mabadiliko hayo yanamaanisha wananchi hawataruhusiwa kuvaa kofia zinazoendana na za jeshi
> Mabadiliko hayo ni kwa mujibu wa Sheria ya Majeshi ya Uganda ya 2005
Soma > https://jamii.app/KofiaJeshiUganda
> Mabadiliko hayo yanamaanisha wananchi hawataruhusiwa kuvaa kofia zinazoendana na za jeshi
> Mabadiliko hayo ni kwa mujibu wa Sheria ya Majeshi ya Uganda ya 2005
Soma > https://jamii.app/KofiaJeshiUganda