TABORA: ABIRIA WABAINI GARI KUWA NA KUNGUNI, WAGOMA KUSAFIRI
- Abiria waliokuwa wakisafiri na basi la Arizona kutoka Kigoma kwenda Dar, wamegoma kuendelea na safari baada ya kufika Tabora na kubaini uwepo wa Kunguni katika viti vya basi hilo
Zaidi, soma https://jamii.app/KunguniBasiArizona
- Abiria waliokuwa wakisafiri na basi la Arizona kutoka Kigoma kwenda Dar, wamegoma kuendelea na safari baada ya kufika Tabora na kubaini uwepo wa Kunguni katika viti vya basi hilo
Zaidi, soma https://jamii.app/KunguniBasiArizona
ITALIA: MBARONI AKIDAIWA KUTUMIA BANGI KAMA KIUNGO CHA CHAKULA
- Mpishi wa hotelini, Carmelo Chiaramonte amekamatwa na Polisi baada ya kukutwa na bangi nyumbani kwake
- Amekutwa na mvinyo uliochanganywa na bangi, zaituni, kahawa, na samaki
Zaidi, soma https://jamii.app/MpishiMbaroniBangi
- Mpishi wa hotelini, Carmelo Chiaramonte amekamatwa na Polisi baada ya kukutwa na bangi nyumbani kwake
- Amekutwa na mvinyo uliochanganywa na bangi, zaituni, kahawa, na samaki
Zaidi, soma https://jamii.app/MpishiMbaroniBangi
CHINA YAGUNDUA ENEO LENYE TANI BILIONI 1 ZA MAFUTA
> Shirika la Mafuta la China (CNPC) limefanya utafiti na kugundua hifadhi mpya ya gesi na mafuta yenye tani bilioni 1 za mafuta katika eneo la Kaskazini Magharibi mwa China
> Jumla ya tani 640,000 za mafuta zinatarajiwa kuzalishwa ktk eneo hilo kwa mwaka huu, na litafikia tani milioni 3 kwa mwaka siku zijazo
Soma - https://jamii.app/DiscoverOilDeposit
> Shirika la Mafuta la China (CNPC) limefanya utafiti na kugundua hifadhi mpya ya gesi na mafuta yenye tani bilioni 1 za mafuta katika eneo la Kaskazini Magharibi mwa China
> Jumla ya tani 640,000 za mafuta zinatarajiwa kuzalishwa ktk eneo hilo kwa mwaka huu, na litafikia tani milioni 3 kwa mwaka siku zijazo
Soma - https://jamii.app/DiscoverOilDeposit
RAIS MAGUFULI KUPOKEA TAARIFA YA WAHUJUMU UCHUMI KUOMBA MSAMAHA
> Leo, Rais John Magufuli anatarajiwa kupokea taarifa ya utekelezaji wa ushauri alioutoa wa kuwasamehe watuhumiwa wa Uhujumu Uchumi walio tayari kutubu na kurejesha fedha na mali walizotafuna
> Mkurugenzi wa Mashitaka Nchini (DPP) ndiye atakayewasilisha taarifa hiyo
Soma - https://jamii.app/RipotiMsamahaWahujumu
> Leo, Rais John Magufuli anatarajiwa kupokea taarifa ya utekelezaji wa ushauri alioutoa wa kuwasamehe watuhumiwa wa Uhujumu Uchumi walio tayari kutubu na kurejesha fedha na mali walizotafuna
> Mkurugenzi wa Mashitaka Nchini (DPP) ndiye atakayewasilisha taarifa hiyo
Soma - https://jamii.app/RipotiMsamahaWahujumu
UGANDA YAZINDUA KIPIMO CHA KUPIMA UKIMWI KWA MDOMO
> Kifaa hicho kimetengenezwa na ‘Orasure Technologies’ mahususi kwa vijana kuanzia miaka 18 hadi 24 na wafanyabiashara ya ngono
> Hakihusishi damu wakati wa upimaji bali kinahitaji mate ambayo kama mtu ameathirika na VVU yanakuwa na tishu ambazo kifaa cha kupimia kitazisoma
Soma - https://jamii.app/NewHIVTestKit
> Kifaa hicho kimetengenezwa na ‘Orasure Technologies’ mahususi kwa vijana kuanzia miaka 18 hadi 24 na wafanyabiashara ya ngono
> Hakihusishi damu wakati wa upimaji bali kinahitaji mate ambayo kama mtu ameathirika na VVU yanakuwa na tishu ambazo kifaa cha kupimia kitazisoma
Soma - https://jamii.app/NewHIVTestKit
KENYA: TAKRIBANI WATU 3 WASADIKIWA KUFARIKI BAADA YA GARI KUZAMA BAHARINI
> Watu hao akiwemo mtoto mdogo wanasadikiwa kufariki baada ya gari walilokuwemo kuteleza kwa nyuma kutoka kwenye kivuko na kuzama majini Jumapili jioni katika eneo la Mombasa
> Shughuli za uokoaji zinaendelea
Soma - https://jamii.app/CarSlidoffFerry
> Watu hao akiwemo mtoto mdogo wanasadikiwa kufariki baada ya gari walilokuwemo kuteleza kwa nyuma kutoka kwenye kivuko na kuzama majini Jumapili jioni katika eneo la Mombasa
> Shughuli za uokoaji zinaendelea
Soma - https://jamii.app/CarSlidoffFerry
SAUDI ARABIA: KITUO CHA TRENI YA MWENDOKASI CHA AL-HARAMAIN CHAUNGUA MOTO
> Kituo hicho kinaunganisha Miji Mitakatifu ya Mecca na Medina pamoja na mji wa Jeddah kwenye Bahari ya Shamu
> Takriban watu 5 wamejeruhiwa ktk ajali hiyo na Serikali imesitisha safari za Treni mpaka taarifa zaidi zitakapotolewa
Soma - https://jamii.app/FireBreaksoutAl-Haramain
> Kituo hicho kinaunganisha Miji Mitakatifu ya Mecca na Medina pamoja na mji wa Jeddah kwenye Bahari ya Shamu
> Takriban watu 5 wamejeruhiwa ktk ajali hiyo na Serikali imesitisha safari za Treni mpaka taarifa zaidi zitakapotolewa
Soma - https://jamii.app/FireBreaksoutAl-Haramain
UPDATE: AJALI YA GARI KUZAMA BAHARINI KUTOKA KWENYE KIVUKO
- Mariam Kigenda(35) na mwanae(4) wamefariki baada ya gari lao kuteleza kutoka kwenye kivuko na kuzama baharini katika Feri ya Likoni
- Walikuwa ndani ya gari hilo wakati wakivuka bahari kwa kutumia kivuko cha MV Harambee
Zaidi, soma https://jamii.app/CarSlidoffFerry
- Mariam Kigenda(35) na mwanae(4) wamefariki baada ya gari lao kuteleza kutoka kwenye kivuko na kuzama baharini katika Feri ya Likoni
- Walikuwa ndani ya gari hilo wakati wakivuka bahari kwa kutumia kivuko cha MV Harambee
Zaidi, soma https://jamii.app/CarSlidoffFerry
IRINGA: VIONGOZI WA KAMATI YA MAJI KUWEKWA RUMANDE KWA UBADHIRIFU
> Waziri Mkuu ameagiza kukamatwa na kuwekwa ndani Viongozi wa Kamati ya Watumiaji Maji wa Mradi wa Matunguru Tungamalenga kwa tuhuma za ubadhirifu wa Tsh. milioni 7
> Ni baada ya kupokea malalamiko kutoka kwa wananchi
Soma - https://jamii.app/KamatiMajiUbadhirifu
> Waziri Mkuu ameagiza kukamatwa na kuwekwa ndani Viongozi wa Kamati ya Watumiaji Maji wa Mradi wa Matunguru Tungamalenga kwa tuhuma za ubadhirifu wa Tsh. milioni 7
> Ni baada ya kupokea malalamiko kutoka kwa wananchi
Soma - https://jamii.app/KamatiMajiUbadhirifu
NAMNA YA KUPANGILIA MFUMO WA ULAJI BORA KWA AFYA THABITI
> Mlo kamili hutokana na kuchanganya angalau chakula kimoja kutoka katika kila kundi la vyakula na viliwe kwa kiasi cha kutosha
> Ulaji wa mbogamboga na matunda husaidia kuimarisha mfumo wa kinga mwilini na kujikinga na maradhi mbalimbali
> Epuka vyakula vyenye mafuta mengi kwani husababisha madhara kama vile unene kupita kiasi, magonjwa ya moyo, kisukari na shinikizo la damu
Zaidi, soma - https://jamii.app/AfyaUlajiBora
#JFAfya
> Mlo kamili hutokana na kuchanganya angalau chakula kimoja kutoka katika kila kundi la vyakula na viliwe kwa kiasi cha kutosha
> Ulaji wa mbogamboga na matunda husaidia kuimarisha mfumo wa kinga mwilini na kujikinga na maradhi mbalimbali
> Epuka vyakula vyenye mafuta mengi kwani husababisha madhara kama vile unene kupita kiasi, magonjwa ya moyo, kisukari na shinikizo la damu
Zaidi, soma - https://jamii.app/AfyaUlajiBora
#JFAfya
CHINA: MOTO WALIPUKA KWENYE KIWANDA NA KUUA WATU 19 NA KUJERUHI WENGINE 9
> Moto ulilipuka kwenye kiwanda kimoja kilichopo Mashariki mwa nchi ya China katika Jimbo la Ninghai
> Majeruhi wamekimbizwa Hospitali kwa ajili ya matibabu na uangalizi
Soma > https://jamii.app/MotoKiwandaChina
> Moto ulilipuka kwenye kiwanda kimoja kilichopo Mashariki mwa nchi ya China katika Jimbo la Ninghai
> Majeruhi wamekimbizwa Hospitali kwa ajili ya matibabu na uangalizi
Soma > https://jamii.app/MotoKiwandaChina
WAASI NCHINI SOMALIA WAFANYA MASHAMBULIZI DHIDI YA VITUO VYA WANAJESHI WA MAREKANI
> Shambulio limefanywa dhidi ya eneo la kurushia ndege ktk Mkoa wa Lower Shebelle ambapo mtu wa kujitoa muhanga alilipua gari lililokuwa limesheheni mabomu mbele ya geti la Belidogle
> Kundi la Al-Shabaab limedai kuhusika na shambulio hilo
Soma - https://jamii.app/JihadistsAttackUSMilitaryBase
> Shambulio limefanywa dhidi ya eneo la kurushia ndege ktk Mkoa wa Lower Shebelle ambapo mtu wa kujitoa muhanga alilipua gari lililokuwa limesheheni mabomu mbele ya geti la Belidogle
> Kundi la Al-Shabaab limedai kuhusika na shambulio hilo
Soma - https://jamii.app/JihadistsAttackUSMilitaryBase
UGANDA: MWANAUME ATUMA JAMBAZI KWA AJILI YA KUMUUA MTALAKA WAKE
> Miezi mitatu baada ya Hanifa Nakiriowa(37) kuachana na Mumewe alikwenda kuwatembelea Watoto wake akiwa kwa Mwanaume huyo ndipo alikuja kijana asiyemfahamu na kummwagia tindikali
Soma > https://jamii.app/NakiriowaUG
> Miezi mitatu baada ya Hanifa Nakiriowa(37) kuachana na Mumewe alikwenda kuwatembelea Watoto wake akiwa kwa Mwanaume huyo ndipo alikuja kijana asiyemfahamu na kummwagia tindikali
Soma > https://jamii.app/NakiriowaUG
FAIDA ZA KIAFYA ZITOKANAZO NA KUNYWA MAJI YA KUTOSHA
> Maji husaidia mmeng'enyo au usagaji wa chakula na mara nyingine hutuliza maumivu ya kichwa endapo yametokana na upungufu wa maji mwilini
> Pendezesha ngozi yako kwa kunywa maji ya kutosha kwani maji yanasaidia kuboresha tishu za ngozi na kuongeza unyevu kwenye ngozi
> Uwezekano wa kupata mafua, mawe ya figo, matatizo ya ini na matatizo ya saratani yanaweza kupunguzwa kwa kunywa maji ya kutosha
Tembele - https://jamii.app/FaidaMajiAfya
#JFAfya
> Maji husaidia mmeng'enyo au usagaji wa chakula na mara nyingine hutuliza maumivu ya kichwa endapo yametokana na upungufu wa maji mwilini
> Pendezesha ngozi yako kwa kunywa maji ya kutosha kwani maji yanasaidia kuboresha tishu za ngozi na kuongeza unyevu kwenye ngozi
> Uwezekano wa kupata mafua, mawe ya figo, matatizo ya ini na matatizo ya saratani yanaweza kupunguzwa kwa kunywa maji ya kutosha
Tembele - https://jamii.app/FaidaMajiAfya
#JFAfya
KILIMANJARO: POLISI WAFIKA KUSIKILIZA MKUTANO WA NDANI WA CHADEMA, WASEMA SIO HARUSI WALA SEND OFF
- Mkutano huo ulikuwa ukiongozwa na Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe
- Polisi wamefika kwenye kikao hicho cha ndani kwa maagizo ya DC wa Hai
Soma > https://jamii.app/MboweVsSabayaHai
- Mkutano huo ulikuwa ukiongozwa na Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe
- Polisi wamefika kwenye kikao hicho cha ndani kwa maagizo ya DC wa Hai
Soma > https://jamii.app/MboweVsSabayaHai
FAHAMU: KIJIJI CHA WATU WALIOUZA FIGO ZAO
- Kijiji cha Hokse nchini Nepal kimebatizwa jina jipya la ‘Kidney Village’ baada ya Watu karibia wote wanaoishi kwenye kijiji hicho kuwa wameuza Figo zao
- Hali ngumu ya maisha imewasukuma kufanya hivyo
Soma > https://jamii.app/Hokse
- Kijiji cha Hokse nchini Nepal kimebatizwa jina jipya la ‘Kidney Village’ baada ya Watu karibia wote wanaoishi kwenye kijiji hicho kuwa wameuza Figo zao
- Hali ngumu ya maisha imewasukuma kufanya hivyo
Soma > https://jamii.app/Hokse
UTEUZI: Rais Magufuli amemteua Dkt. Wilson Mahera kuwa Mkurugenzi mpya wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) akichukua nafasi ya Athuman Kihamia ambaye atapangiwa kazi nyingine
> Kabla ya uteuzi huo Mahera alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Arusha
Soma - https://jamii.app/UteuziMkrgnzNEC
#JFLeo
> Kabla ya uteuzi huo Mahera alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Arusha
Soma - https://jamii.app/UteuziMkrgnzNEC
#JFLeo
RAIS AFANYA TEUZI MBALIMBALI ZA WAKURUGENZI WA HALMASHAURI
> Amemteua Ndaki Stephano Muhuli kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Siha, Kilimanjaro
> Rehema Saidi Bwasi Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri Wilaya ya Morogoro na Sheillah Edward Lukuba Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro
#JFLeo
> Amemteua Ndaki Stephano Muhuli kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Siha, Kilimanjaro
> Rehema Saidi Bwasi Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri Wilaya ya Morogoro na Sheillah Edward Lukuba Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro
#JFLeo
UTEUZI: Rais Magufuli amemteua Kanali Wilbert Augustine Ibuge kuwa Balozi na Mkuu wa Itifaki (Chief of Protocal) wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki
> Ibuge anachukua nafasi ya Balozi Grace A. Martin ambaye atapangiwa majukumu mengine ya Kibalozi
#JFLeo
> Ibuge anachukua nafasi ya Balozi Grace A. Martin ambaye atapangiwa majukumu mengine ya Kibalozi
#JFLeo