BURUNDI: WANANCHI WAFUNGUA KESI DHIDI YA SERIKALI
> Raia 19 wamefungua kesi katika Mahakama ya Afrika Mashariki dhidi ya Serikali yao kupinga vitendo vya unyanyasaji wa haki za binadamu unaoendelea Nchini humo
> Ni baada ya Serikali yao kutaifisha Ardhi na Nyumba zao zimetaifishwa walipopinga Rais Pierre Nkurunzinza kujiongezea muda wa madaraka mwaka jana
Soma - https://jamii.app/RaiakesiVsSerikali
> Raia 19 wamefungua kesi katika Mahakama ya Afrika Mashariki dhidi ya Serikali yao kupinga vitendo vya unyanyasaji wa haki za binadamu unaoendelea Nchini humo
> Ni baada ya Serikali yao kutaifisha Ardhi na Nyumba zao zimetaifishwa walipopinga Rais Pierre Nkurunzinza kujiongezea muda wa madaraka mwaka jana
Soma - https://jamii.app/RaiakesiVsSerikali
MBEYA: MBARONI KWA KUKUTWA NA LAINI 141 ZA SIMU
- Ally Mwakila (32), amekutwa na laini za Halotel 13, laini za Tigo 29, laini moja ya TTCL, laini 78 za VodaCom na laini 20 za Airtel
- Pia, alikutwa na simu ya Itel (3), Oking (1) na Hotwave (1)
Zaidi, soma https://jamii.app/MbaroniLaini141Simu
- Ally Mwakila (32), amekutwa na laini za Halotel 13, laini za Tigo 29, laini moja ya TTCL, laini 78 za VodaCom na laini 20 za Airtel
- Pia, alikutwa na simu ya Itel (3), Oking (1) na Hotwave (1)
Zaidi, soma https://jamii.app/MbaroniLaini141Simu
UNASHAURIWA KUZINGATIA HAYA KATIKA KUFANYA SHUGHULI ZA KILIMO
> Mtoa mada ndani ya JamiiForums anasema ni vizuri sana kujua vipimo halisi vya shamba lako katika vipimo vya mita na si miguu kama wengi walivyozoea kufanya
> Jali kilimo kama ajira au kazi zingine. Usifanye kilimk baada ya kushindwa kazi zingine hapa duniani au kwa ajili ya kujiburudisha tu
> Epuka kufanya kilimo cha simu. Hata kama unaishi mbali ni vizuri kwenda shambani kwako mara kwa mara hasa kwenye hatua muhimu za upandaji na sio kusubiri siku ya kuvuna
> Epuka kilimo cha kutegemea mvua tu. Mazao mengi au karibu yote, yana uhitaji maalumu wa kiwango cha maji hivyo tumia umwagiliaji pia
Tembelea - https://jamii.app/ZingatioKilimo
#JFKilimo
JACOB ZUMA: TUHUMA ZA RUSHWA DHIDI YANGU NI NJAMA ZA KUNIMALIZA KISIASA
- Amesema madai ya ufisadi ni njama ambayo imekuwepo kwa muda mrefu ili kumuharibia jina
- Amedai mpango huo umetekelezwa na wasimamizi wa chama chake cha ANC
Zaidi, soma https://jamii.app/ZumaAkanaUfisadi
- Amesema madai ya ufisadi ni njama ambayo imekuwepo kwa muda mrefu ili kumuharibia jina
- Amedai mpango huo umetekelezwa na wasimamizi wa chama chake cha ANC
Zaidi, soma https://jamii.app/ZumaAkanaUfisadi
TETESI ZA SOKA: Inadaiwa kuwa Manchester United imekubaliwa kumnunua Mchezaji wa Leicester City, Harry Maguire kwa ada ya Paundi Milioni 80 (Tsh. 230,542,519,200)
Iwapo Maguire ambaye pia anawaniwa kwa karibu na Manchester City atajiunga rasmi na Man. Utd kwa ada ya kiasi hicho basi akuwa ndiye beki ghali zaidi dunia katika historia ya soka
Iwapo Maguire ambaye pia anawaniwa kwa karibu na Manchester City atajiunga rasmi na Man. Utd kwa ada ya kiasi hicho basi akuwa ndiye beki ghali zaidi dunia katika historia ya soka
WALIOUA WATANZANIA 9 MPAKANI MWA MSUMBIJI WAKAMATWA
> Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Simon Sirro amesema, watu 5 wanaoshukiwa kuhusika katika tukio la mauaji ya Watanzania 9 wamekamatwa na mmoja kati yao amefariki
> IGP Sirro amesema mpango wa utekelezaji wa tukio hilo ulifanyika Tanzania, huku utekelezaji wake ukifanyika Msumbiji
Soma - https://jamii.app/WahusikaMauajiWatz9
> Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Simon Sirro amesema, watu 5 wanaoshukiwa kuhusika katika tukio la mauaji ya Watanzania 9 wamekamatwa na mmoja kati yao amefariki
> IGP Sirro amesema mpango wa utekelezaji wa tukio hilo ulifanyika Tanzania, huku utekelezaji wake ukifanyika Msumbiji
Soma - https://jamii.app/WahusikaMauajiWatz9
Vacancy: Content Production Manager (1) needed at JamiiForums
Deadline for Applications: 27.07.2019
Responsibilities, Qualifications and Mode of Application >> jamii.app/JFVacancyCPM
Deadline for Applications: 27.07.2019
Responsibilities, Qualifications and Mode of Application >> jamii.app/JFVacancyCPM
Vacancy: Content Monitoring and Evaluation Manager (1) needed at JamiiForums
Deadline for Applications: 27.07.2019
Responsibilities, Qualifications and Mode of Application >> jamii.app/JFVacancyCMEM
Deadline for Applications: 27.07.2019
Responsibilities, Qualifications and Mode of Application >> jamii.app/JFVacancyCMEM
Vacancy: Content Manager/Moderator (6) needed at JamiiForums
Deadline for Applications: 27.07.2019
Responsibilities, Qualifications and Mode of Application >> jamii.app/JFVacancyCMMOD
Deadline for Applications: 27.07.2019
Responsibilities, Qualifications and Mode of Application >> jamii.app/JFVacancyCMMOD
Vacancies: Social Media Engagers (4) needed at JamiiForums
Deadline for Applications: 27.07.2019
Responsibilities, Qualifications and Mode of Application >> jamii.app/JFVacancySME
Deadline for Applications: 27.07.2019
Responsibilities, Qualifications and Mode of Application >> jamii.app/JFVacancySME
Vacancy: Administrative Assistant (1) needed at JamiiForums
Deadline for Applications: 27.07.2019
Responsibilities, Qualifications and Mode of Application >> jamii.app/JFVacancyAA
Deadline for Applications: 27.07.2019
Responsibilities, Qualifications and Mode of Application >> jamii.app/JFVacancyAA
Vacancies: Interns (4) needed at JamiiForums
Deadline for Applications: 27.07.2019
Responsibilities, Qualifications and Mode of Application >> jamii.app/JFVacancyIntern
Deadline for Applications: 27.07.2019
Responsibilities, Qualifications and Mode of Application >> jamii.app/JFVacancyIntern
Vacancies: Transcribers (2) needed at JamiiForums
Deadline for Applications: 27.07.2019
Responsibilities, Qualifications and Mode of Application >> jamii.app/JFVacancyTrscrb
Deadline for Applications: 27.07.2019
Responsibilities, Qualifications and Mode of Application >> jamii.app/JFVacancyTrscrb
Vacancies: Field Reseach Assistants (4) needed at JamiiForums
Deadline for Applications: 27.07.2019
Responsibilities, Qualifications and Mode of Application >> jamii.app/JFVacancyFRA
Deadline for Applications: 27.07.2019
Responsibilities, Qualifications and Mode of Application >> jamii.app/JFVacancyFRA
UTEUZI: WAKURUGENZI WATENDAJI WA MAMLAKA ZA MAJISAFI NA USAFI WA MAZINGIRA
- Waziri wa Maji, Professa Makame Mbarawa amefanya uteuzi wa Wakurugenzi Watendaji wa Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira wa Tabora, Kahama na Bukoba
Zaidi, soma https://jamii.app/UteuziMamlakaMajisafi
- Waziri wa Maji, Professa Makame Mbarawa amefanya uteuzi wa Wakurugenzi Watendaji wa Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira wa Tabora, Kahama na Bukoba
Zaidi, soma https://jamii.app/UteuziMamlakaMajisafi
TANZANIA YATAKIWA KUWALIPA FIDIA FAMILIA ZA WAFUNGWA 10 WA KENYA
> Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu imeiamuru Serikali ya Tanzania kuzilipa fidia familia za raia 10 wa Kenya waliohukumiwa kifungo nchini hapa
> Ni kutokana na kesi yao kuendeshwa kwa muda mrefu tofauti na ilivyotakiwa na haki zao kukiukwa
Soma - https://jamii.app/TzFidiaWafungwaKE
> Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu imeiamuru Serikali ya Tanzania kuzilipa fidia familia za raia 10 wa Kenya waliohukumiwa kifungo nchini hapa
> Ni kutokana na kesi yao kuendeshwa kwa muda mrefu tofauti na ilivyotakiwa na haki zao kukiukwa
Soma - https://jamii.app/TzFidiaWafungwaKE
Vacancies: Content Quality Controllers (2) needed at JamiiForums
Deadline for Applications: 27.07.2019
Responsibilities, Qualifications and Mode of Application >> jamii.app/JFVacancyCQC
Deadline for Applications: 27.07.2019
Responsibilities, Qualifications and Mode of Application >> jamii.app/JFVacancyCQC
VYUO VILIVYOKUWA VIMEFUNGIWA KUDAHILI VYAPEWA RUHUSA YA KUDAHILI
> Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania, imesema vyuo hivyo vimeruhusiwa kufanya udahili baada ya kukidhi vigezo vilivyotakiwa
> Ni Chuo kikuu cha Teofilo Kisanji (TEKU), Chuo kikuu kishiriki cha Marian cha Bagamoyo, Chuo kikuu cha kimataifa cha Kampala (KIU) na Chuo Kikuu Kishiriki cha Askofu Mkuu Mihayo (AMUKTA)
Soma - https://jamii.app/RuhusaUdahiliVyuo
> Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania, imesema vyuo hivyo vimeruhusiwa kufanya udahili baada ya kukidhi vigezo vilivyotakiwa
> Ni Chuo kikuu cha Teofilo Kisanji (TEKU), Chuo kikuu kishiriki cha Marian cha Bagamoyo, Chuo kikuu cha kimataifa cha Kampala (KIU) na Chuo Kikuu Kishiriki cha Askofu Mkuu Mihayo (AMUKTA)
Soma - https://jamii.app/RuhusaUdahiliVyuo
WIZARA YA UJENZI YAPEWA SIKU 7 KUSAINI MKATABA WA UJENZI WA DARAJA
> Rais Magufuli ameipa Wizara na Wakala wa Barabara Tanzania muda wa wiki moja kuanzia Julai 15 kutia saini makubaliano ya mkataba wa ujenzi wa daraja la Kigongo-Busisi lenye urefu wa Km 3.2
> Daraja hilo litagharimu zaidi ya Tsh bilioni 700 na litaunganisha Wilaya za Misungwi na Sengerema
Soma - https://jamii.app/UjenziDarajaZiwaVictoria
> Rais Magufuli ameipa Wizara na Wakala wa Barabara Tanzania muda wa wiki moja kuanzia Julai 15 kutia saini makubaliano ya mkataba wa ujenzi wa daraja la Kigongo-Busisi lenye urefu wa Km 3.2
> Daraja hilo litagharimu zaidi ya Tsh bilioni 700 na litaunganisha Wilaya za Misungwi na Sengerema
Soma - https://jamii.app/UjenziDarajaZiwaVictoria
MSEKWA: MALALAMIKO YA KINANA NA MAKAMBA KUPELEKWA NGAZI YA JUU
- Katibu wa Baraza la Ushauri la viongozi Wastaafu wa CCM , Pius Msekwa amesema malalamiko ya Wazee hao kuhusu Cyprian Musiba yatafika hadi kwa Mwenyekiti wa CCM, Rais Magufuli
Zaidi, soma https://jamii.app/MalalamikoKinanaMakamba
- Katibu wa Baraza la Ushauri la viongozi Wastaafu wa CCM , Pius Msekwa amesema malalamiko ya Wazee hao kuhusu Cyprian Musiba yatafika hadi kwa Mwenyekiti wa CCM, Rais Magufuli
Zaidi, soma https://jamii.app/MalalamikoKinanaMakamba