Mdau wa JamiiForums.com amehoji kuhusiana na ukimya wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (#LATRA) wa kutotoa tamko rasmi au ufafanuzi kuhusu suala la nauli kupanda tangu taarifa hizo zilipoanza kusambaa Mtandaoni na nauli kupanda rasmi kuanzia Mei Mosi, 2026.
Zaidi https://jamii.app/UkimyaLatraNauli
#JamiiForums #JFMdau2026 #JFHuduma #Uwajibikaji
Zaidi https://jamii.app/UkimyaLatraNauli
#JamiiForums #JFMdau2026 #JFHuduma #Uwajibikaji
Unakubaliana na hoja ya Mdau?🤔
Zaidi tembelea https://jamii.app/KusumbuaWafanyabiashara
#JamiiForums #Uwajibikaji #JFMdau2026
Zaidi tembelea https://jamii.app/KusumbuaWafanyabiashara
#JamiiForums #Uwajibikaji #JFMdau2026
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DODOMA: Waziri Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, leo Mei 4, 2026, amewasilisha hotuba ya Bajeti ya Wizara kwa Mwaka wa Fedha 2026/2027, akiomba Bunge kuidhinisha Tsh. Bilioni 525.3.
Kati ya hizo, kiasi cha Tsh. Bilioni 39.07 kwa ajili ya mishahara, Tsh. Bilioni 28.06 ni matumizi mengineyo, huku Tsh. Bilioni 458.19 zikitengwa kwa ajili ya miradi ya maendeleo.
Kwani nyie Wadau wa Michezo, Habari, Sanaa na Utamaduni mnasemaje?
Soma https://jamii.app/BajetiWizaraHabari
#JamiiForums #Utawala #Governance
Kati ya hizo, kiasi cha Tsh. Bilioni 39.07 kwa ajili ya mishahara, Tsh. Bilioni 28.06 ni matumizi mengineyo, huku Tsh. Bilioni 458.19 zikitengwa kwa ajili ya miradi ya maendeleo.
Kwani nyie Wadau wa Michezo, Habari, Sanaa na Utamaduni mnasemaje?
Soma https://jamii.app/BajetiWizaraHabari
#JamiiForums #Utawala #Governance
❤1
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Bara, Isihaka Mchinjita amesema hayo Mei 4, 2026 wakati akizungumza na Waandishi wa Habari.
Fuatilia zaidi https://jamii.app/MchinjitaTumeRisasi
#JamiiForums #Uwajibikaji #HumanRights
Fuatilia zaidi https://jamii.app/MchinjitaTumeRisasi
#JamiiForums #Uwajibikaji #HumanRights
Una kipi cha kumshauri Mdau?
Zaidi https://jamii.app/KuchangamanaNaWatu
#JamiiForums #JFMdau2026 #Maisha
Zaidi https://jamii.app/KuchangamanaNaWatu
#JamiiForums #JFMdau2026 #Maisha
Mdau, je, nawe umewahi kujikuta ukijilinganisha au kushindana na watu wengine? Ilikuwaje, na ulijifunza nini kutokana na hilo?
Shiriki mjadala👉🏾 https://jamii.app/KujilinganishaAfyaAkili
#JamiiForums #AfyaYaAkili
Shiriki mjadala👉🏾 https://jamii.app/KujilinganishaAfyaAkili
#JamiiForums #AfyaYaAkili
ENGLAND: Chelsea FC imebaki nafasi ya 9 kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya England ikiwa na alama 48 baada ya michezo 35, ikimaanisha haitaweza kufuzu kushiriki Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA Champions League) msimu wa 2026/2027.
Upande wa Nottingham Forest, imepata matumaini ya kusalia Ligi Kuu baada ya kufikisha alama 42 katika michezo 35, ikijitenga kwa alama 6 kutoka eneo la kushuka daraja.
Zaidi soma https://jamii.app/ChelseaVsNottinghamForest
#JamiiForums #JFSports #JFEPL2026
Upande wa Nottingham Forest, imepata matumaini ya kusalia Ligi Kuu baada ya kufikisha alama 42 katika michezo 35, ikijitenga kwa alama 6 kutoka eneo la kushuka daraja.
Zaidi soma https://jamii.app/ChelseaVsNottinghamForest
#JamiiForums #JFSports #JFEPL2026
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
KENYA: Mahojiano hayo yaliyofanyika Aprili 30, 2026, kupitia Citizen TV Kenya kuhusu Vijana, Siasa na Uongozi.
Nini maoni yako?
Zaidi tembelea https://jamii.app/KumpendaRais
#JamiiForums #Governance #AfricanPolitics
Nini maoni yako?
Zaidi tembelea https://jamii.app/KumpendaRais
#JamiiForums #Governance #AfricanPolitics
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Rais Samia amesema hayo alipokuwa akihutubia Kongamano la Biashara kati ya Tanzania na Kenya lililofanyika Mei 4, 2026 katika Ukumbi wa JNICC, limehudhuriwa pia na Rais wa Jamhuri ya Kenya, William Ruto, pamoja na ujumbe kutoka nchini humo.
Fuatilia zaidi https://jamii.app/SamiaGenZMikwaju
#JamiiForums #Utawala #Uwajibikaji #AfricanPolitics
Fuatilia zaidi https://jamii.app/SamiaGenZMikwaju
#JamiiForums #Utawala #Uwajibikaji #AfricanPolitics
👎4
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Sheikh Mussa Kundecha, Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Maimamu na Viongozi wa Kiislam Tanzania amesema hayo Aprili 29, 2026, wakati baraza hilo lilipozungumza na Waandishi wa Habari kuhusu Ripoti ya Kuchunguza Matukio ya Wakati na Baada ya Uchaguzi wa Oktoba 29, 2025.
Soma zaidi jamii.app/SheikhKundecha
#JamiiForums #Uwajibikaji #JFMatukio
Soma zaidi jamii.app/SheikhKundecha
#JamiiForums #Uwajibikaji #JFMatukio
Mdau wa JamiiForums.com anatoa wito kwa mamlaka zinazohusika kuacha tabia ya kuruka baadhi ya shule za umma zinazostahili kupokea fedha za kuendesha taasisi hizo kwa kuwa hali hiyo inaathiri uendeshaji wa shughuli za kila siku.
Zaidi https://jamii.app/PesaZaElimu
#JamiiForums #JFMdau2026 #Uwajibikaji #JFElimu
Zaidi https://jamii.app/PesaZaElimu
#JamiiForums #JFMdau2026 #Uwajibikaji #JFElimu