Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DODOMA: Mbunge wa jimbo la Tanganyika, Selemani Kakoso ameyasema hayo Bungeni Aprili 13, 2026 wakati akichangia Hotuba ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu.
Nini maoni yako Mdau?
Shiriki kwenye mjadala huu https://jamii.app/TozoMiamala
#JamiiForums #Governance #Uwajibikaji
Nini maoni yako Mdau?
Shiriki kwenye mjadala huu https://jamii.app/TozoMiamala
#JamiiForums #Governance #Uwajibikaji
Korea Kusini inakuwa nchi ya kwanza kutekeleza mpango wa kuwapatia Wananchi Intaneti bure hata baada ya vifurushi kuisha.
Japo nchi kama Ufilipino, Estonia na Costa Rica tayari zimetambua Intaneti kama haki ya msingi, lakini badala ya kutoa data moja kwa moja kwenye simu, hutoa huduma ya Wi-Fi ya bure katika maeneo ya umma.
Una maoni gani Mdau?
Shiriki kwenye mjadala huu https://jamii.app/KoreaKusiniIntaneti
#JamiiForums #DigitalRights #HakiZaDigitali
Japo nchi kama Ufilipino, Estonia na Costa Rica tayari zimetambua Intaneti kama haki ya msingi, lakini badala ya kutoa data moja kwa moja kwenye simu, hutoa huduma ya Wi-Fi ya bure katika maeneo ya umma.
Una maoni gani Mdau?
Shiriki kwenye mjadala huu https://jamii.app/KoreaKusiniIntaneti
#JamiiForums #DigitalRights #HakiZaDigitali
❤1
DAR: Mdau wa JamiiForums.com anasema Barabara inayopita Kimara, Mavurunza, Bonyokwa mpaka Kinyerezi wakati wa awamu ya nne chini ya Rais Jakaya Kikwete liliwekwa jiwe la msingi na barabara hiyo kuitwa Kikwete Road, lakini hadi sasa ujenzi wake haujatekelezwa.
Mdau, barabara ya mtaani kwako inapitika vizuri kipindi hiki cha mvua?
Shiriki mjadala https://jamii.app/MkandarasiHayupoSite
#JamiiForums #JFMdau2026 #Uwajibikaji
Mdau, barabara ya mtaani kwako inapitika vizuri kipindi hiki cha mvua?
Shiriki mjadala https://jamii.app/MkandarasiHayupoSite
#JamiiForums #JFMdau2026 #Uwajibikaji
DAR: Mdau wa JamiiForums.com aliyejitambulisha kuwa ni Mfanyakazi katika Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka ameomba Uongozi uboreshe maslahi yao katika mikataba na kuwalipa malipo ya muda wa ziada (overtime) waliyostahili kulipwa Mei hadi Oktoba 2025.
Jitihada za kutafuta Mamlaka inayosimamia mradi huo upande wa mabasi zinaendelea.
Fuatilia zaidi mjadala huu https://jamii.app/MwendikasiMaslahi
#JamiiForums #Uwajibikaji #JFMdau2026
Jitihada za kutafuta Mamlaka inayosimamia mradi huo upande wa mabasi zinaendelea.
Fuatilia zaidi mjadala huu https://jamii.app/MwendikasiMaslahi
#JamiiForums #Uwajibikaji #JFMdau2026
MALAWI: Jeshi la Polisi limemkamata aliyekuwa Waziri wa Fedha, Simplex Chithyola kwa tuhuma za utakatishaji fedha na matumizi mabaya ya ofisi. Chithyola, ambaye kwa sasa ni Kiongozi wa Upinzani bungeni, alijikabidhi mwenyewe Polisi Aprili 12, 2026 baada ya kuwekwa kwenye orodha ya wanaosakwa na wachunguzi wa makosa ya jinai.
Fuatilia mjadala huu https://jamii.app/ChithyolaMalawi
#JamiiForums #Uwajibikaj #Accountability
Fuatilia mjadala huu https://jamii.app/ChithyolaMalawi
#JamiiForums #Uwajibikaj #Accountability
DAR ES SALAAM: Mdau wa JamiiForums.com anatoa wito kwa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) kufanya matengenezo ya 'lifti' tatu zilizoharibika ambazo hazitumiki katika jengo la RITA Tower akidai imekuwa kero kwa Watu wengi na kwamba Mtu anaweza kusubiri kwa nusu saa au zaidi kusubiria zamu ya kupanda.
Nini maoni yako Mdau?
Shiriki kwenye mjadala https://jamii.app/RitaLift
#JamiiForums #JFMdau2026 #Uwajibikaji #JFHuduma
Nini maoni yako Mdau?
Shiriki kwenye mjadala https://jamii.app/RitaLift
#JamiiForums #JFMdau2026 #Uwajibikaji #JFHuduma
❤1
Je, unakubaliana na hoja kuwa wazazi wanapaswa kujipanga wenyewe kwa Maisha ya uzeeni badala ya kutegemea Watoto?
Toa maoni yako 👇 na washirikishe wazazi wako kupata mitazamo yao https://jamii.app/WatotoMsaadaWazazi
#JamiiForums #JFMaisha #JFUwajibikaji
Toa maoni yako 👇 na washirikishe wazazi wako kupata mitazamo yao https://jamii.app/WatotoMsaadaWazazi
#JamiiForums #JFMaisha #JFUwajibikaji