Historia inasema mwanzoni mwa miaka ya 60, nchi nyingi za Afrika na Asia zilikuwa kwenye "level" moja ya kiuchumi na maisha. Lakini baada ya hapo, nchi kama Singapore zilichomoka na kuwaacha mbali wengine, wakibaki kwenye mstari uleule wa mwaka 1960!
Leo hii Singapore ni nchi ya 13 kwa uchumi mkubwa duniani. Je, unadhani hawa waliofanikiwa kusonga mbele walifanya nini cha tofauti?
Bofya, kushiriki kwenye mjadala huu https://jamii.app/PichaSingapore
#JamiiForums #Utawala #Uchumi
Leo hii Singapore ni nchi ya 13 kwa uchumi mkubwa duniani. Je, unadhani hawa waliofanikiwa kusonga mbele walifanya nini cha tofauti?
Bofya, kushiriki kwenye mjadala huu https://jamii.app/PichaSingapore
#JamiiForums #Utawala #Uchumi
ZANZIBAR: Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Unguja Kaskazini, Benedict Mapujira amesema Mwanamtandao Ashly Robinson (#AshleeJenae), Raia wa Marekani alifia Hospitali alikowaishwa baada ya kukutwa na Mhudumu wa Hoteli akiwa amejinyonga katika chumba chake cha hoteli.
Nini maoni yako?
Fuatilia mjadala huu https://jamii.app/AshleeAlifiaHospitali
#JamiiForums #JFMatukio
Nini maoni yako?
Fuatilia mjadala huu https://jamii.app/AshleeAlifiaHospitali
#JamiiForums #JFMatukio
❤1
Wadau mbalimbali wa JamiiForums.com kutoka Halmashauri tofauti nchini wanatoa wito kwa mamlaka husika kuwapatia barua za kuwathibitisha kazini, wakidai kuwa wanakosa baadhi ya stahiki za kiutumishi kwa wao kukosa barua za uthibitisho kazini.
Fuatilia mjadala https://jamii.app/UthibitishoWaajiriwaWapya
#JamiiForums #JFMdau2026 #Uwajibikaji
Nawe pia unaweza kuwasilisha Kero yako kupitia FichuaUovu ndani ya JamiiForums.com 📌
Fuatilia mjadala https://jamii.app/UthibitishoWaajiriwaWapya
#JamiiForums #JFMdau2026 #Uwajibikaji
Nawe pia unaweza kuwasilisha Kero yako kupitia FichuaUovu ndani ya JamiiForums.com 📌
UGANDA: Shabiki wa Arsenal, Eric Kyama amepanga kuishtaki klabu hiyo, wachezaji wa kikosi cha kwanza pamoja na Kocha Mikel Arteta, kufuatia kiwango duni walichokionyesha katika mchezo dhidi ya AFC Bournemouth uliochezwa Aprili 11, 2026, ambapo walifungwa magoli 2–1.
Neno moja kwa shabiki Eric😃
Fuatilia mjadala https://jamii.app/EricKuishtakiArsenal
#JamiiForums #JFSports #EPL2026
Neno moja kwa shabiki Eric😃
Fuatilia mjadala https://jamii.app/EricKuishtakiArsenal
#JamiiForums #JFSports #EPL2026
Mdau, unamshauri afanye nini kuhusu hili?
Shiriki mjadala https://jamii.app/MpenziTutoke
#JamiiForums #Maisha #JFLifestyle
Shiriki mjadala https://jamii.app/MpenziTutoke
#JamiiForums #Maisha #JFLifestyle
UPDATES: Aprili 1, 2026, Mdau aliandika “TRA boresheni Kitengo cha ‘Customer Care’, siyo kila kitu hadi kwenda ofisini kwenu”, Aprili 13, 2026, kupitia Akaunti yao ndani ya JamiiForums.com, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema imepokea wito na imeanza utekelezaji na kumwambia Mdau “Tunathamini mrejesho wako, asante kwa kushirikiana nasi.”
Fuatilia mjadala zaidi https://jamii.app/TRAHudumaWateja
Nawe pia unaweza kuwasilisha KERO yako kupitia FichuaUovu ndani ya JamiiForums.com 📌
#JamiiForums #JFMdau2026 #Uwajibikaji #JFHuduma
Fuatilia mjadala zaidi https://jamii.app/TRAHudumaWateja
Nawe pia unaweza kuwasilisha KERO yako kupitia FichuaUovu ndani ya JamiiForums.com 📌
#JamiiForums #JFMdau2026 #Uwajibikaji #JFHuduma
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DODOMA: Mbunge wa jimbo la Tanganyika, Selemani Kakoso ameyasema hayo Bungeni Aprili 13, 2026 wakati akichangia Hotuba ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu.
Nini maoni yako Mdau?
Shiriki kwenye mjadala huu https://jamii.app/TozoMiamala
#JamiiForums #Governance #Uwajibikaji
Nini maoni yako Mdau?
Shiriki kwenye mjadala huu https://jamii.app/TozoMiamala
#JamiiForums #Governance #Uwajibikaji
Korea Kusini inakuwa nchi ya kwanza kutekeleza mpango wa kuwapatia Wananchi Intaneti bure hata baada ya vifurushi kuisha.
Japo nchi kama Ufilipino, Estonia na Costa Rica tayari zimetambua Intaneti kama haki ya msingi, lakini badala ya kutoa data moja kwa moja kwenye simu, hutoa huduma ya Wi-Fi ya bure katika maeneo ya umma.
Una maoni gani Mdau?
Shiriki kwenye mjadala huu https://jamii.app/KoreaKusiniIntaneti
#JamiiForums #DigitalRights #HakiZaDigitali
Japo nchi kama Ufilipino, Estonia na Costa Rica tayari zimetambua Intaneti kama haki ya msingi, lakini badala ya kutoa data moja kwa moja kwenye simu, hutoa huduma ya Wi-Fi ya bure katika maeneo ya umma.
Una maoni gani Mdau?
Shiriki kwenye mjadala huu https://jamii.app/KoreaKusiniIntaneti
#JamiiForums #DigitalRights #HakiZaDigitali
❤1
DAR: Mdau wa JamiiForums.com anasema Barabara inayopita Kimara, Mavurunza, Bonyokwa mpaka Kinyerezi wakati wa awamu ya nne chini ya Rais Jakaya Kikwete liliwekwa jiwe la msingi na barabara hiyo kuitwa Kikwete Road, lakini hadi sasa ujenzi wake haujatekelezwa.
Mdau, barabara ya mtaani kwako inapitika vizuri kipindi hiki cha mvua?
Shiriki mjadala https://jamii.app/MkandarasiHayupoSite
#JamiiForums #JFMdau2026 #Uwajibikaji
Mdau, barabara ya mtaani kwako inapitika vizuri kipindi hiki cha mvua?
Shiriki mjadala https://jamii.app/MkandarasiHayupoSite
#JamiiForums #JFMdau2026 #Uwajibikaji