Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Sekou Toure imesema Aprili 8, 2026 kulitokea hitilafu ya muda mfupi ya umeme (low voltage) kutoka kwenye chanzo kikuu cha umeme, Mkoa wa Mwanza hali iliyosababisha kushuka kwa uwezo wa kuendesha baadhi ya mashine na huduma muhimu za hospitali kuanzia Saa 6:00 Mchana hadi 8:00 Mchana.
Taarifa ya hospitali hiyo imeeleza baada ya tukio hilo jenereta tatu ziliwashwa kurudisha huduma zote kuendelea bila athari kwa wagonjwa na kwamba waliwasiliana na uongozi wa TANESCO ambao ulikiri kutokea kwa changamoto hiyo na kuwajulisha wanaifanyia kazi kwa haraka.
Ufafanuzi huo umetolewa baada ya Mdau wa JamiiForums.com kudai kumekuwa na changamoto ya umeme kukatika mara kwa mara siku tofauti na kusababisha baadhi ya huduma kusimama hospitalini hapo, akahoji hawana jenereta au miundombinu ni mibovu?
Zaidi https://jamii.app/UmemeHospitaliaMza
#JamiiForums #JFAfya #Uwajibikaji #PublicHealth
Taarifa ya hospitali hiyo imeeleza baada ya tukio hilo jenereta tatu ziliwashwa kurudisha huduma zote kuendelea bila athari kwa wagonjwa na kwamba waliwasiliana na uongozi wa TANESCO ambao ulikiri kutokea kwa changamoto hiyo na kuwajulisha wanaifanyia kazi kwa haraka.
Ufafanuzi huo umetolewa baada ya Mdau wa JamiiForums.com kudai kumekuwa na changamoto ya umeme kukatika mara kwa mara siku tofauti na kusababisha baadhi ya huduma kusimama hospitalini hapo, akahoji hawana jenereta au miundombinu ni mibovu?
Zaidi https://jamii.app/UmemeHospitaliaMza
#JamiiForums #JFAfya #Uwajibikaji #PublicHealth
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
BEI ZA MAFUTA vs NAULI KUPANDA vs HALI YA UCHUMI YA WANANCHI...
Katibu Mkuu wa Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (#TABOA), Priscus John, ametoa kauli hiyo Aprili 10, 2026 Dar es Salaam, baada ya kukutana na Waziri wa Uchukuzi, Makame Mbarawa, na viongozi wa chama hicho.
Ikumbukwe April 8, 2026, Priscus alitoa taarifa kwa wananchi ambao hawajafanya 'booking' mpaka April 12 wasifanye, kwani hawawezi kuendelea kutoa huduma baada ya bei za mafuta kupanda mpaka pale serikali itakapokuja na suluhu, badala yake mabasi yangepelekwa kufanyiwa 'service'.
Una maoni gani juu ya hili Mdau?
Shiriki kwenye mjadala huu kupitia https://jamii.app/HatutagomaMadereva
Katibu Mkuu wa Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (#TABOA), Priscus John, ametoa kauli hiyo Aprili 10, 2026 Dar es Salaam, baada ya kukutana na Waziri wa Uchukuzi, Makame Mbarawa, na viongozi wa chama hicho.
Ikumbukwe April 8, 2026, Priscus alitoa taarifa kwa wananchi ambao hawajafanya 'booking' mpaka April 12 wasifanye, kwani hawawezi kuendelea kutoa huduma baada ya bei za mafuta kupanda mpaka pale serikali itakapokuja na suluhu, badala yake mabasi yangepelekwa kufanyiwa 'service'.
Una maoni gani juu ya hili Mdau?
Shiriki kwenye mjadala huu kupitia https://jamii.app/HatutagomaMadereva
PEMBA: Mdau wa JamiiForums.com anahoji mamlaka zinazohusika na ujenzi wa uwanja uliopo Mkoa wa Kaskazini, Wilaya ya wete, Shehia ya Pandani kwanini zielekeze kupekwa kwa nyasi kongwe sehemu ya kuchezea badala ya kuweka mpya? Kwamba hakuna bajeti ya kutosha au kuna mazingira ya upigaji?
Toa maoni yako kupitia https://jamii.app/UwanjaPemba
#JamiiForums #JFMdau2026 #Uwajibikaji #JFSports
Toa maoni yako kupitia https://jamii.app/UwanjaPemba
#JamiiForums #JFMdau2026 #Uwajibikaji #JFSports
Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (#TLS), Boniface Mwabukusi amevitaka vyombo vya dola na taasisi za usimamizi wa uchaguzi kutoa majibu ya haraka kuhusu kile alichokiita “mauaji ya halaiki” na miili ya raia iliyopotezwa Oktoba 29, 2025, akisisitiza kuwa taifa haliwezi kupona bila ukweli na uwajibikaji.
Fuatilia mjadala huu kupitia https://jamii.app/MauajiYaHalaiki
#JamiiForums #Uwajibikaji
Fuatilia mjadala huu kupitia https://jamii.app/MauajiYaHalaiki
#JamiiForums #Uwajibikaji
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Jaji Mkuu, George Masaju ametoa kauli hiyo wakati wa ufunguzi wa Wiki ya Usuluhishi, Aprili 9, 2026.
Fuatilia zaidi mjadala https://jamii.app/MasajuKupakiKesi
#JamiiForums #Uwajibikaji
Fuatilia zaidi mjadala https://jamii.app/MasajuKupakiKesi
#JamiiForums #Uwajibikaji
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), CPA Charles Kichere ameeleza hayo Machi 30, 2026 wakati akisoma Ripoti ya ofisi yake ya Mwaka 2024/2025, kuhusu malipo ya uuzwaji wa viwanja eneo la Pangani, Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha, Mkoani Pwani.
Ikumbukwe, Septemba 4, 2025, Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Dkt. Rogers Shemwelekwa na Mkuu wa Wilaya ya Kibaha, Nickson John walisema hadi siku hiyo walikuwa wamepima viwanja 18,000 na kugawa Hati 180 na kwamba Hati 7,000 zilikuwa tayari zinasubiri wahusika wamalizie malipo.
Kwa taarifa zaidi tembelea https://jamii.app/CAGViwanjaKibaha
#JamiiForums #RipotiCAG #Uwajibikaji #Accountability #Governance
Ikumbukwe, Septemba 4, 2025, Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Dkt. Rogers Shemwelekwa na Mkuu wa Wilaya ya Kibaha, Nickson John walisema hadi siku hiyo walikuwa wamepima viwanja 18,000 na kugawa Hati 180 na kwamba Hati 7,000 zilikuwa tayari zinasubiri wahusika wamalizie malipo.
Kwa taarifa zaidi tembelea https://jamii.app/CAGViwanjaKibaha
#JamiiForums #RipotiCAG #Uwajibikaji #Accountability #Governance
ENGLAND: Arsenal, vinara wa Ligi Kuu England (#EPL), wamepoteza mchezo huo kwa mabao 2-1 dhidi ya Bournemouth katika dimba la Emirates. Arsenal inabaki na alama 70 baada ya michezo 32, huku wapinzani wao wa karibu, Manchester City, wakiwa na alama 61 na michezo 30.
Kupoteza huko kumeongeza presha katika mbio za ubingwa, hasa wakati tofauti ya alama ikiendelea kupungua kadri ligi inavyoelekea ukingoni.
Mchezo ujao wa Arsenal itaivaa Manchester City katika mwendelezo wa ligi hiyo.
Fuatilia mjadala huu https://jamii.app/ArsenalWashikwaBega
#JamiiForums #JFSports #JFEPL2026
Kupoteza huko kumeongeza presha katika mbio za ubingwa, hasa wakati tofauti ya alama ikiendelea kupungua kadri ligi inavyoelekea ukingoni.
Mchezo ujao wa Arsenal itaivaa Manchester City katika mwendelezo wa ligi hiyo.
Fuatilia mjadala huu https://jamii.app/ArsenalWashikwaBega
#JamiiForums #JFSports #JFEPL2026
🤣2
DODOMA: Uongozi wa Chuo Kikuu cha Jimbo la Nasarawa, Keffi (#NSUK) cha Nigeria umemtunuku Shahada ya Heshima ya Udaktari Rais Samia Suluhu, tukio hilo limefanyika kwa njia ya Mtandao, leo Aprili 11, 2026.
Fuatilia zaidi mjadala huu https://jamii.app/SamiaTuzoNigeria
#JamiiForums #Diplomasia #JFDiplomacy
Fuatilia zaidi mjadala huu https://jamii.app/SamiaTuzoNigeria
#JamiiForums #Diplomasia #JFDiplomacy
❤2
Aprili 11, 2026: Moja kati ya mijadala mingi inayoendelea ndani ya JamiiForums.com wakati huu📌
Fuatilia zaidi https://jamii.app/PrecisionMwanza
#JamiiForums #Uwajibikaji
Fuatilia zaidi https://jamii.app/PrecisionMwanza
#JamiiForums #Uwajibikaji