Aprili 8, 2026: Moja ya mijadala mingi inayoendelea ndani ya JamiiForums.com asubuhi hii📌
Fuatilia zaidi na kushiriki mjadala https://jamii.app/TrumpAsitishaShambulio
#JamiiForums #GlobalPolitics
Fuatilia zaidi na kushiriki mjadala https://jamii.app/TrumpAsitishaShambulio
#JamiiForums #GlobalPolitics
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), CPA Charles Kichere amesema baadhi ya Taasisi za Umma hazikuzingatia mapitio ya Kisheria wala ushauri wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali katika kusaini mikataba yenye thamani ya Tsh. Bilioni 56, akitoa mifano ya taasisi hizo kuwa ni Chuo Kikuu cha Dodoma (#UDOM) na Shirika la Umeme Tanzania (#TANESCO).
Alieleza hayo Machi 30, 2026 wakati akisoma Ripoti ya ofisi yake ya Mwaka 2024/2025, Ikulu Jijini Dar es Salaam
Zaidi https://jamii.app/CAGRipoti2026
#JamiiForums #RipotiCAG #Uwajibikaji #Accountability #Governance
Alieleza hayo Machi 30, 2026 wakati akisoma Ripoti ya ofisi yake ya Mwaka 2024/2025, Ikulu Jijini Dar es Salaam
Zaidi https://jamii.app/CAGRipoti2026
#JamiiForums #RipotiCAG #Uwajibikaji #Accountability #Governance
Mdau wa JamiiForums.com ametoa wito kwa Mamlaka husika kuleta Msuluhishi wa migogoro kwenye ofisi ya Idara ya Kazi (CMA) Mkoani Katavi, jambo linalochelewesha haki za wananchi wakisubiri msuluhishi kutoka mkoa mwingine.
Zaidi https://jamii.app/IdaraKaziKatavi
#JamiiForums #JFMdau2026 #JFHuduma
Zaidi https://jamii.app/IdaraKaziKatavi
#JamiiForums #JFMdau2026 #JFHuduma
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Mwenyekiti wa Tume ya Kuchunguza Matukio Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, Jaji Msataafu Mohamed Chande Othman amesema hayo Aprili 8, 2026 wakati akizungumza na Waandishi wa Habari.
Zaidi https://jamii.app/TumeJajiChande
#JamiiForums #Uwajibikaji
Zaidi https://jamii.app/TumeJajiChande
#JamiiForums #Uwajibikaji
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DODOMA: Mbunge wa Singida Magharibi, Elibariki Kingu ameyasema hayo Bungeni, leo Aprili 8, 2026 wakati akichangia hoja.
Soma https://jamii.app/BungeMgogoroRais
#JamiiForums #Uwajibikaji #Utawala
Soma https://jamii.app/BungeMgogoroRais
#JamiiForums #Uwajibikaji #Utawala
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DODOMA: Rais Samia akizungumza katika hafla ya uapisho wa viongozi mbalimbali leo Aprili 8, 2026, Ikulu ya Chamwino, ametoa maelekezo kwa Serikali kuanza kupunguza matumizi ya mafuta ya gari.
Soma zaidi https://jamii.app/SamiaKubanaMatumizi
#JamiiForums #Uwajibikaji #Utawala #JFUchumi
Soma zaidi https://jamii.app/SamiaKubanaMatumizi
#JamiiForums #Uwajibikaji #Utawala #JFUchumi
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DODOMA: Mbunge wa Jimbo la Biharamulo Eng. Ezra Chilewesa, Amesema hayo Aprili 8, 2026 wakati akichangia mjadala wa bajeti ya ofisi ya Waziri Mkuu Bungeni.
Kwa taarifa zaidi https://jamii.app/MafutaSerikali
#JamiiForums #Uwajibikaji
Kwa taarifa zaidi https://jamii.app/MafutaSerikali
#JamiiForums #Uwajibikaji
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DODOMA: Akizungumza Aprili 8, 2026 katika hafla ya uapisho wa viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni, Rais Samia ametoa mchanganuo wa bei za mafuta kwa mataifa ya Ulaya na Marekani.
Kwa taarifa zaidi https://jamii.app/MafutaMarekaniUlaya
#JamiiForums #Uwajibikaji
Kwa taarifa zaidi https://jamii.app/MafutaMarekaniUlaya
#JamiiForums #Uwajibikaji
MWANZA: Timu ya #Yanga imeendelea kujikita kileleni katika Ligi Kuu Bara baada ya kuichakaza Pamba Jiji FC magoli 3-0 kwenye Uwanja wa CCM Kirumba na hivyo kufikisha pointi 44 katika michezo 18, huku Pamba ikishuka kwa nafasi moja na kuwa katika nafasi ya 6 ikiwa na alama 26 katika mechi 18.
Wakati huohuo, mchezo mwingine wa Ligi Kuu uliochezwa mapema leo Aprili 8, 2026, Singida Black Stars imeifunga KMC goli 1-0 kwenye Uwanja wa Airtel, Singida.
Zaidi https://jamii.app/PambaFCYangaSC
#JamiiForums #JFSports #JFLigiKuu2026
Wakati huohuo, mchezo mwingine wa Ligi Kuu uliochezwa mapema leo Aprili 8, 2026, Singida Black Stars imeifunga KMC goli 1-0 kwenye Uwanja wa Airtel, Singida.
Zaidi https://jamii.app/PambaFCYangaSC
#JamiiForums #JFSports #JFLigiKuu2026
Timu hizo zinakutana katika Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA Champions League), michezo ya marudio inatarajiwa kuchezwa Jumanne, Aprili 14, 2026, zote zikiwania kufuzu kwenda hatua ya Nusu Fainali.
Awali, michezo ya kwanza ya hatua hiyo ya jana Aprili 7, 2026, Real Madrid ilipoteza nafasi ya kutamba nyumbani baada ya kufungwa magoli 2-1 dhidi ya Bayern Munich, huku Sporting CP ikiruhusu Arsenal kutikisa nyavu zake kwa goli 1-0 nyumbani.
Fuatilia zaidi mjadala https://jamii.app/UEFARoboFainali
#JamiiForums #JFSports #JFUEFA2026
Awali, michezo ya kwanza ya hatua hiyo ya jana Aprili 7, 2026, Real Madrid ilipoteza nafasi ya kutamba nyumbani baada ya kufungwa magoli 2-1 dhidi ya Bayern Munich, huku Sporting CP ikiruhusu Arsenal kutikisa nyavu zake kwa goli 1-0 nyumbani.
Fuatilia zaidi mjadala https://jamii.app/UEFARoboFainali
#JamiiForums #JFSports #JFUEFA2026
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DODOMA: Mbunge wa Singida Magharibi, Elibariki Kingu ameyasema hayo Bungeni, leo Aprili 8, 2026 wakati akichangia hoja.
Fuatilia zaidi https://jamii.app/KinguMakampuniMafuta
#JamiiForums #Uwajibikaji #Utawala
Fuatilia zaidi https://jamii.app/KinguMakampuniMafuta
#JamiiForums #Uwajibikaji #Utawala
Moja ya mjadala unaendelea ndani ya JamiiForums.com wakati huu📌
Zaidi tembelea https://jamii.app/SamiaBeiMafuta
#JamiiForums
Zaidi tembelea https://jamii.app/SamiaBeiMafuta
#JamiiForums