DAR: Mdau wa JamiiForums.com ametoa wito kwa Wakala wa Barabara Tanzania (#TANROADS) kushughulikia alama za barabarani zilizofutika katika Barabara ya Bagamoyo, hususan Kituo cha Kibo Complex Tegeta, Boko Basihaya, Boko Magengeni na Bunju Center.
Fuatilia zaidi https://jamii.app/ZebraBagamoyoRoad
#JamiiForums #Uwajibikaji #JFMdau2026
Fuatilia zaidi https://jamii.app/ZebraBagamoyoRoad
#JamiiForums #Uwajibikaji #JFMdau2026
❤1
Unakubaliana na hoja ya mdau kuwa ni ngumu kwa Wanaume kuulizana majina pindi wanapokutana kwa mara ya kwanza?
Fuatilia mjadala https://jamii.app/MajinaWanaume
#JamiiForums #Maisha
Fuatilia mjadala https://jamii.app/MajinaWanaume
#JamiiForums #Maisha
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Waziri Mkuu Mwigulu ameyasema hayo Aprili 6, 2026 wakati akiongea na wafanyabiashara katika eneo la Simu 2000 - Ubungo, baada ya kukagua madhara yaliyotokana na moto ulioteketeza zaidi ya vibada 500, April 4, 2026.
Hata hivyo, Aprili 5, 2026 moja ya wafanyabiashara waliopatwa na madhila hayo alinukuliwa akisema kuwa, wakati moto ukiwa unawaka kuna mtumishi wa serikali alisema waache moto uwake kwasababu waliambiwa watoke na kupisha mradi lakini walikataa!
Kwa taarifa zaidi https://jamii.app/MwiguluAmaniNchini
#JamiiForums #Uwajibikaji #Utawala
Hata hivyo, Aprili 5, 2026 moja ya wafanyabiashara waliopatwa na madhila hayo alinukuliwa akisema kuwa, wakati moto ukiwa unawaka kuna mtumishi wa serikali alisema waache moto uwake kwasababu waliambiwa watoke na kupisha mradi lakini walikataa!
Kwa taarifa zaidi https://jamii.app/MwiguluAmaniNchini
#JamiiForums #Uwajibikaji #Utawala
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Ikumbukwe, siku za hivi karibuni kulizuka taharuki katika baadhi ya mikoa, ikienezwa kuwa wanaume hupoteza sehemu za siri baada ya kuguswa begani, ambapo takriban Watu saba wanadaiwa kuuawa kufuatia tuhuma hizo.
Tembelea https://jamii.app/ChalamilaNyeti
#JamiiForums #JFMatukio
Tembelea https://jamii.app/ChalamilaNyeti
#JamiiForums #JFMatukio
❤1
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba ameyasema hayo leo Aprili 6, 2026 wakati akizungumza na Wafanyabiashara eneo la Simu 2000 - Ubungo, baada ya kukagua madhara yaliyotokana na moto ulioteketeza zaidi ya vibada 500 mnamo Aprili 4, 2026.
Fuatilia zaidi https://jamii.app/MwiguluVyanzoMapato
#JamiiForums #Uwajibikaji #Utawala
Fuatilia zaidi https://jamii.app/MwiguluVyanzoMapato
#JamiiForums #Uwajibikaji #Utawala
Mdau, umeshakutana na hoja kama hizi kuhusu chakula?
Fuatilia zaidi https://jamii.app/VyakulaSalama
#JamiiForums #JFMdau2026, #Maisha #JFAfya #PublicHealth
Fuatilia zaidi https://jamii.app/VyakulaSalama
#JamiiForums #JFMdau2026, #Maisha #JFAfya #PublicHealth
Una mtazamo gani kwenye hili? Ni lazima kueleza changamoto inayokufanya ukope?
Kushiriki mjadala tembelea https://jamii.app/KukopaKwaMtu
#JamiiForums #JFMdau2026, #Maisha
Kushiriki mjadala tembelea https://jamii.app/KukopaKwaMtu
#JamiiForums #JFMdau2026, #Maisha
Aprili 7, 2026: Moja kati ya mijadala mingi inayoendelea ndani ya JamiiForums.com usiku huu📌📌
Fuatilia zaidi mjadala https://jamii.app/TumeUchunguziApril24
#JamiiForums #Governance
Fuatilia zaidi mjadala https://jamii.app/TumeUchunguziApril24
#JamiiForums #Governance
Mdau wa JamiiForums.com ametoa wito kwa Mamlaka husika kufuatilia mifumo ya vitengo vya Huduma kwa Wateja za Kampuni za Mawasiliano akidai baadhi hazina chaguo la kuzungumza na mhudumu, pia mteja kusubirishwa kwa muda mrefu.
Mdau, umewahi kupitia changamoto hii kupitia kampuni yako ya simu unayoitumia?
Zaidi https://jamii.app/CallCentre
#JamiiForums #JFMdau2026 #JFHuduma #HakiZaKidijitali #DigitalWorld
Mdau, umewahi kupitia changamoto hii kupitia kampuni yako ya simu unayoitumia?
Zaidi https://jamii.app/CallCentre
#JamiiForums #JFMdau2026 #JFHuduma #HakiZaKidijitali #DigitalWorld