Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Mdau anasema hali ya Barabara Kuu kutoka Dareda Mkoani Manyara hadi Singida ni mbaya, magari yanalazimika kutembea kwa mwendo mdogo kwa kuwa mashimo ni mengi na ukiendesha gari kwa mwendo wa kasi unaweza kusababisha ajali au chombo kupata uharibifu.
Anadai Oktoba 2025, TANROADS waliweka udongo kuziba mashimo ambayo kimsingi yalikuwa kama 'Mahandaki' kutokana na ukubwa wake, lakini baadaye udongo huo uliondolewa na mvua na mashimo kurejea kama awali.
Amehoji iwapo viongozi hawaoni hali hiyo ilhali ni njia kuu inayotumiwa na magari yanayoelekea na kutoka Kanda ya Ziwa.
Bofya https://jamii.app/DaredaManyara
#JamiiForums #JFMdau2026 #Uwajibikaji
Nawe pia unaweza kuwasilisha Kero yako kupitia FichuaUovu ndani ya JamiiForums.com📌📌
Anadai Oktoba 2025, TANROADS waliweka udongo kuziba mashimo ambayo kimsingi yalikuwa kama 'Mahandaki' kutokana na ukubwa wake, lakini baadaye udongo huo uliondolewa na mvua na mashimo kurejea kama awali.
Amehoji iwapo viongozi hawaoni hali hiyo ilhali ni njia kuu inayotumiwa na magari yanayoelekea na kutoka Kanda ya Ziwa.
Bofya https://jamii.app/DaredaManyara
#JamiiForums #JFMdau2026 #Uwajibikaji
Nawe pia unaweza kuwasilisha Kero yako kupitia FichuaUovu ndani ya JamiiForums.com📌📌
❤1
Moja ya mjadala mkubwa unaoendelea katika Jukwaa la Michezo ndani ya JamiiForums.com
Kushiriki mjadala https://jamii.app/ViwanjaMpiraUmma
#JamiiForums #Uwajibikaji #Accountability #Utawala
Kushiriki mjadala https://jamii.app/ViwanjaMpiraUmma
#JamiiForums #Uwajibikaji #Accountability #Utawala
Mdau, unakumbuka nini kuhusu matukio ya aina hii?
Zaidi tembelea https://jamii.app/NidhamuKipaYanga
#JamiiForums #JFMdau2026 #Uwajibikaji #JFSports
Zaidi tembelea https://jamii.app/NidhamuKipaYanga
#JamiiForums #JFMdau2026 #Uwajibikaji #JFSports
DAR: Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (#CHADEMA), Tundu Lissu ambaye amekaa gerezani kwa zaidi ya miezi 11 tangu alipokamatwa Aprili 9, 2025 Mbinga Mkoani Ruvuma amewasilisha maombi Mahakama ya Rufaa akiomba kesi yake ya uhaini isikilizwe kwa dharura kutokana na afya yake kuzorota.
Zaidi bofya https://jamii.app/LissuBaruala
#JamiiForums #JFSheria #JFMatukio
Zaidi bofya https://jamii.app/LissuBaruala
#JamiiForums #JFSheria #JFMatukio
Timu ya #Simba imeichapa #TRAUnited magoli 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo na hivyo kujiweka kwenye mazingira mazuri ya kukimbizana na #Yanga (inaongoza ligi, pointi 38 michezo 16) katika kuwania ubingwa.
Matokeo hayo yanaifanya Simba ambayo imefikisha michezo 14 kushika nafasi ya pili kwa kuwa na alama 31 wakati TRA United ambayo inamilikiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imebaki nafasi ya 10 kati ya timu 16 ikiwa na pointi 20 katika mechi 16.
Zaidi https://jamii.app/SimbaTRA
#JamiiForums #JFSports #JFLigiKuu2026
Matokeo hayo yanaifanya Simba ambayo imefikisha michezo 14 kushika nafasi ya pili kwa kuwa na alama 31 wakati TRA United ambayo inamilikiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imebaki nafasi ya 10 kati ya timu 16 ikiwa na pointi 20 katika mechi 16.
Zaidi https://jamii.app/SimbaTRA
#JamiiForums #JFSports #JFLigiKuu2026
ENGLAND: Ndoto za #Arsenal kubeba mataji manne msimu huu wa 2025/26 zimeyeyuka baada ya kupoteza Kombe la EFL (Carabao Cup) kwa kufungwa Magoli 2-0 na #ManchesterCity inayonolewa na Kocha Pep Guardiola katika Fainali iliyopigwa kwenye Uwanja wa Wembley, Machi 22, 2026.
Magoli yote yameweka wavuni na Nico O'Reilly dakika ya 60 na 64, hivyo kuifanya Arsenal inayonolewa na Mikel Arteta kubaki kwenye mataji matatu msimu huu ambayo ni Premier League, Ligi ya Mabingwa Ulaya na Kombe la FA.
Timu zilizotwaa Carabao Cup mara nyingi:
1. Liverpool - 10
2. Man City - 9
3. Man United - 5
4. Aston Villa - 5
5. Tottenham - 4
6. Nottingham - 4
7. Leicester City - 3
8. Arsenal - 2
9. Norwich City - 2
10. Birmingham – 2
Zaidi https://jamii.app/EFLCupFinal
#JamiiForums #JFSports #EFL2026
Magoli yote yameweka wavuni na Nico O'Reilly dakika ya 60 na 64, hivyo kuifanya Arsenal inayonolewa na Mikel Arteta kubaki kwenye mataji matatu msimu huu ambayo ni Premier League, Ligi ya Mabingwa Ulaya na Kombe la FA.
Timu zilizotwaa Carabao Cup mara nyingi:
1. Liverpool - 10
2. Man City - 9
3. Man United - 5
4. Aston Villa - 5
5. Tottenham - 4
6. Nottingham - 4
7. Leicester City - 3
8. Arsenal - 2
9. Norwich City - 2
10. Birmingham – 2
Zaidi https://jamii.app/EFLCupFinal
#JamiiForums #JFSports #EFL2026
❤2
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Padre Prosper Kessy aliyasema hayo wakati akitoa semina katika Mafungo ya WAWATA yaliyofanyika katika Kanisa Kuu la Moyo Safi wa Bikira Maria, Jimbo Katoliki la Bagamoyo, Machi 14, 2026.
Zaidi: https://jamii.app/PadreKessySiri
#JamiiForums #Uwajibikaji #UtawalaBora
Zaidi: https://jamii.app/PadreKessySiri
#JamiiForums #Uwajibikaji #UtawalaBora