RAIS MAGUFULI AONDOKA AFRIKA KUSINI, AELEKEA NAMIBIA
- Ameelekea Windhoek, Namibia baada ya kushuhudia kuapishwa kwa Rais Cyril Ramaphosa na kuzungumza naye
- Atafanya ziara rasmi nchini Namibia kutokana na mwaliko wa Rais Hage Geingob
Zaidi, soma https://jamii.app/MagufuliAendaNamibia
- Ameelekea Windhoek, Namibia baada ya kushuhudia kuapishwa kwa Rais Cyril Ramaphosa na kuzungumza naye
- Atafanya ziara rasmi nchini Namibia kutokana na mwaliko wa Rais Hage Geingob
Zaidi, soma https://jamii.app/MagufuliAendaNamibia
MWANZA: ASKARI MAGEREZA MABARONI KWA UTAPELI
- Kibemba Warioba(27) mwenye namba B.9205 WDR, amekamatwa akiwa na simu 5 za mitandao tofauti
- Mtuhumiwa akitumia mitandao ya simu alianzisha SACCOS bandia iliyojulikana kama 'Info Tell CCM'
Zaidi, soma https://jamii.app/AskariTapeliMbaroni-MWZ
- Kibemba Warioba(27) mwenye namba B.9205 WDR, amekamatwa akiwa na simu 5 za mitandao tofauti
- Mtuhumiwa akitumia mitandao ya simu alianzisha SACCOS bandia iliyojulikana kama 'Info Tell CCM'
Zaidi, soma https://jamii.app/AskariTapeliMbaroni-MWZ
RAIS MAGUFULI AWASILI NCHINI NAMIBIA
- Amepokelewa na Mwenyeji wake, Rais Hage Geingob katika Ikulu ya nchi hiyo, Jijini Windhoek leo Mei 27
- Rais Magufuli atakuwa nchini Namibia kwa ziara rasmi ya kikazi ya siku mbili
Zaidi, soma https://jamii.app/MagufuliAendaNamibia
- Amepokelewa na Mwenyeji wake, Rais Hage Geingob katika Ikulu ya nchi hiyo, Jijini Windhoek leo Mei 27
- Rais Magufuli atakuwa nchini Namibia kwa ziara rasmi ya kikazi ya siku mbili
Zaidi, soma https://jamii.app/MagufuliAendaNamibia
SERENGETI: BINTI AUAWA NA TEMBO WALIOKUWA WAKIFUKUZWA SHAMBANI
> Tukio hili limetokea usiku katika kijiji cha Bukore kata ya Kyambahi, ambapo binti wa miaka 26, Motondi Shakanyi ameuawa kwa kushambuliwa na Tembo waliofukuzwa shambani
Zaidi, soma => https://jamii.app/BintiAuawaTembo
> Tukio hili limetokea usiku katika kijiji cha Bukore kata ya Kyambahi, ambapo binti wa miaka 26, Motondi Shakanyi ameuawa kwa kushambuliwa na Tembo waliofukuzwa shambani
Zaidi, soma => https://jamii.app/BintiAuawaTembo
WATANZANIA WAONGOZA KWA MATUMIZI YA BANGI KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
> Utafiti huu ni kwa mujibu wa taasisi ya New Frontier Data ya Uingereza ambapo licha ya Tanzania kuongoza kwa Afrika Mashariki pia imeshika nafasi ya 5 kwa nchi za Afrika
Soma > https://jamii.app/TzMarijuana
> Utafiti huu ni kwa mujibu wa taasisi ya New Frontier Data ya Uingereza ambapo licha ya Tanzania kuongoza kwa Afrika Mashariki pia imeshika nafasi ya 5 kwa nchi za Afrika
Soma > https://jamii.app/TzMarijuana
SINGIDA: TAKUKURU INAMSHIKILIA LAZARO NYALANDU
- Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa imemkamata Mwanachama huyo wa CHADEMA, aliyekuwa Mbunge wa Singida Kaskazini kwa mahojiano
- Amekamatwa akiwa kwenye kikao cha chama katika Kata ya Itaja, mkoani Singida
Zaidi, soma https://jamii.app/NyalanduAkamatwaTAKUKURU
- Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa imemkamata Mwanachama huyo wa CHADEMA, aliyekuwa Mbunge wa Singida Kaskazini kwa mahojiano
- Amekamatwa akiwa kwenye kikao cha chama katika Kata ya Itaja, mkoani Singida
Zaidi, soma https://jamii.app/NyalanduAkamatwaTAKUKURU
KILIMO: JIFUNZE AINA KUU 5 ZA ZAO LA KAROTI
> Kuna aina kuu 5 za Karoti ambazo ni Nantes, Chantenay Red Core, Oxheart, Cape Market, Flacoro
> Zao hili hustawi vizuri kwenye sehemu zenye joto la wastani (nyuzi joto 15 hadi 27 za Sentigredi)
Zaidi, soma => https://jamii.app/AinaKaroti
#JFKilimo
> Kuna aina kuu 5 za Karoti ambazo ni Nantes, Chantenay Red Core, Oxheart, Cape Market, Flacoro
> Zao hili hustawi vizuri kwenye sehemu zenye joto la wastani (nyuzi joto 15 hadi 27 za Sentigredi)
Zaidi, soma => https://jamii.app/AinaKaroti
#JFKilimo
DAR: WAFANYABIASHARA 116 WA MTAA WA TANDIKA WAFUNGA MADUKA KISA KODI KUBWA
- Wamedai Mkurugenzi anataka kodi kubwa isiyo rafiki na isiyokuwepo kisheria
- Anataka kodi kuanzia Tsh. 600,000 kwa miezi 3 wakati sasa kodi ya juu ni Tsh. 150,000
Zaidi, soma https://jamii.app/MadukaYafungwaTandika
- Wamedai Mkurugenzi anataka kodi kubwa isiyo rafiki na isiyokuwepo kisheria
- Anataka kodi kuanzia Tsh. 600,000 kwa miezi 3 wakati sasa kodi ya juu ni Tsh. 150,000
Zaidi, soma https://jamii.app/MadukaYafungwaTandika
KANSELA WA AUSTRIA AONDOLEWA MADARAKANI
- Wabunge wamepiga kura ya kutokuwa na imani na Serikali ya Kansela ambaye ni Mkuu wa Baraza la Mawaziri, Sebastian Kurz
- Hatua hiyo inakuja baada ya kuibuka kashfa ya rushwa iliyosababisha Naibu Kansela kujiuzulu
Zaidi, soma https://jamii.app/KanselaAustriaAondolewaMadarakani
- Wabunge wamepiga kura ya kutokuwa na imani na Serikali ya Kansela ambaye ni Mkuu wa Baraza la Mawaziri, Sebastian Kurz
- Hatua hiyo inakuja baada ya kuibuka kashfa ya rushwa iliyosababisha Naibu Kansela kujiuzulu
Zaidi, soma https://jamii.app/KanselaAustriaAondolewaMadarakani
AFYA: FANYA YAFUATAYO KUJITIBU KUTOKWA NA DAMU KWENYE FIZI
> Tumia mswaki laini, badili mswaki kila baada ya miezi mitatu, usichokonoe meno mara kwa mara na epuka uvutaji wa sigara na tumbaku
> Kula mboga za majani, matunda na vyakula vyenye vitamini C na K kwa wingi
Kwa elimu zaidi, soma => https://jamii.app/DamuFizi
> Tumia mswaki laini, badili mswaki kila baada ya miezi mitatu, usichokonoe meno mara kwa mara na epuka uvutaji wa sigara na tumbaku
> Kula mboga za majani, matunda na vyakula vyenye vitamini C na K kwa wingi
Kwa elimu zaidi, soma => https://jamii.app/DamuFizi
MOROGORO: AJIUA BAADA YA KUMUUA MKEWE, MAMA MKWE NA JIRANI
- Inadaiwa mume alimtuhumu mkewe kuwa na mwanaume mwingine huku akituhumu hao wengine kufahamu
- Alitumia panga kumuua Mama mkwe, wengine aliwanywesha sumu na yeye kujiua kwa sumu
Zaidi, soma https://jamii.app/MumeAjiuaAua3-Dumila
- Inadaiwa mume alimtuhumu mkewe kuwa na mwanaume mwingine huku akituhumu hao wengine kufahamu
- Alitumia panga kumuua Mama mkwe, wengine aliwanywesha sumu na yeye kujiua kwa sumu
Zaidi, soma https://jamii.app/MumeAjiuaAua3-Dumila
BRAZIL: IDADI YA WAFUNGWA WALIOFARIKI GEREZANI YAFIKIA 57
> Wafungwa 15 walifariki siku ya Jumapili na wengine 42 siku ya Jumatatu, vifo hivi vimechochewa na ukosefu wa hewa kutokana na msongamano
> Mamlaka zaanza kufanya uchunguzi
Zaidi, soma => https://jamii.app/VifoGerezaniBrazil
> Wafungwa 15 walifariki siku ya Jumapili na wengine 42 siku ya Jumatatu, vifo hivi vimechochewa na ukosefu wa hewa kutokana na msongamano
> Mamlaka zaanza kufanya uchunguzi
Zaidi, soma => https://jamii.app/VifoGerezaniBrazil
IRINGA: RC ALLY HAPI, ASITISHA LIKIZO ZA MA-DC NA WAKURUGENZI
- Amewataka pia kutosafiri nje ya Mkoa baada ya kufanya vibaya katika ugawaji wa vitambulisho vya Wafanyabiashara wadogo
- Ametoa wiki 3 Wafanyabiashara wote wapatiwe vitambulisho
Zaidi, soma https://jamii.app/RCIringaLikizoDC
- Amewataka pia kutosafiri nje ya Mkoa baada ya kufanya vibaya katika ugawaji wa vitambulisho vya Wafanyabiashara wadogo
- Ametoa wiki 3 Wafanyabiashara wote wapatiwe vitambulisho
Zaidi, soma https://jamii.app/RCIringaLikizoDC
AFARIKI NDANI YA NDEGE KUTOKANA NA KUJAZA COCAINE TUMBONI
- Raia wa Japan, Udo N amefariki akiwa anasafiri kwenye ndege iliyokuwa inatoka Mjini Mexico kuelekea Japan, baada ya kumeza paketi 246 za #DawaZaKulevya aina ya Cocaine
Zaidi, soma https://jamii.app/Paketi246CocaineZamuua-MXC
- Raia wa Japan, Udo N amefariki akiwa anasafiri kwenye ndege iliyokuwa inatoka Mjini Mexico kuelekea Japan, baada ya kumeza paketi 246 za #DawaZaKulevya aina ya Cocaine
Zaidi, soma https://jamii.app/Paketi246CocaineZamuua-MXC
MICHEZO: Mchezaji wa Aston Villa iliyopanda daraja baada ya kuifunga Derby goli 2-1, Jack Grealish aeleza sababu za kuvaa viatu vilivyochakaa kwenye mchezo huo
- Amesema "Baada ya kupata majeraha kwa muda na kurejea uwanjani nilivitumia vikiwa vipya kabisa, wakati huo nilipata kufunga magoli kadhaa na kutoa pasi kadhaa za magoli."
Zaidi, soma https://jamii.app/GrealishViatuChakavu
- Amesema "Baada ya kupata majeraha kwa muda na kurejea uwanjani nilivitumia vikiwa vipya kabisa, wakati huo nilipata kufunga magoli kadhaa na kutoa pasi kadhaa za magoli."
Zaidi, soma https://jamii.app/GrealishViatuChakavu
LAZARO NYALANDU NA WENZAKE WAACHIWA KWA DHAMANA
- Wenzake wamedhaminiwa na Wadhamini 2 huku yeye akidhaminiwa na Wadhamini 3, kila mmoja akiweka bondi ya Tsh. Milioni 5
- Aidha, wote wanatakiwa kuripoti Kituo cha Polisi kilichopo Singida Mjini kesho saa 3 asubuhi
Zaidi, soma https://jamii.app/NyalanduAachiwaDhamana-SGD
- Wenzake wamedhaminiwa na Wadhamini 2 huku yeye akidhaminiwa na Wadhamini 3, kila mmoja akiweka bondi ya Tsh. Milioni 5
- Aidha, wote wanatakiwa kuripoti Kituo cha Polisi kilichopo Singida Mjini kesho saa 3 asubuhi
Zaidi, soma https://jamii.app/NyalanduAachiwaDhamana-SGD
DAR: DEREVA TAKSI KIZIMBANI KWA TUHUMA ZA KUMTEKA MO DEWJI
> Mousa Twaleb(46), amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kusomewa mashtaka 3 likiwemo la kumteka Mfanyabiashara Mohammed Dewji
Zaidi, soma => https://jamii.app/DerevaTaxiUtekajiMo
> Mousa Twaleb(46), amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kusomewa mashtaka 3 likiwemo la kumteka Mfanyabiashara Mohammed Dewji
Zaidi, soma => https://jamii.app/DerevaTaxiUtekajiMo