MAHAKAMA KUU YAMTAMBUA PROF LIPUMBA KAMA MWENYEKITI HALALI WA CUF
> Kesi ilifunguliwa na Bodi ya Wadhamini wa chama hicho wanaomuunga mkono Maalim Seif baada ya Msajili wa Vyama vya Siasa kudai anamtambua Lipumba kama Mwenyekiti halali
Soma > https://jamii.app/MahakamaKuuLipumba
#JFLeo
> Kesi ilifunguliwa na Bodi ya Wadhamini wa chama hicho wanaomuunga mkono Maalim Seif baada ya Msajili wa Vyama vya Siasa kudai anamtambua Lipumba kama Mwenyekiti halali
Soma > https://jamii.app/MahakamaKuuLipumba
#JFLeo
MALI ZA MANJI ZAZUILIWA KUTOKANA NA DENI LAKE NBC
> Mahakama Kuu imezuia mali za mfanyabiashara maarufu nchini, Yusuph Manji kutokana na madeni anayodaiwa na Benki ya NBC
> Anadaiwa zaidi ya Tsh bilioni 25 ambazo hajazirejesha kwa wakati
Soma - https://jamii.app/ZuioManjiNBC
#JFLeo
> Mahakama Kuu imezuia mali za mfanyabiashara maarufu nchini, Yusuph Manji kutokana na madeni anayodaiwa na Benki ya NBC
> Anadaiwa zaidi ya Tsh bilioni 25 ambazo hajazirejesha kwa wakati
Soma - https://jamii.app/ZuioManjiNBC
#JFLeo
JESHI LA POLISI LAUA MTU MMOJA AKIDAIWA KUWA JAMBAZI
> Jeshi la Polisi Wilayani Muheza Mkoani Tanga limemuua kwa kumpiga risasi Mkazi wa Dar es Salaam, Mwinyiheri Nuhu, akidaiwa alikuwa akijihusisha na ujambazi
> Yeye na wenzake walivamia nyumba ya Mfanyabiashara Ally Nassoro Wilayani Muheza wakiwa na bunduki juzi usiku na kupora Tsh. milioni moja
Soma - https://jamii.app/JambaziKifoPolisi
#JFLeo
> Jeshi la Polisi Wilayani Muheza Mkoani Tanga limemuua kwa kumpiga risasi Mkazi wa Dar es Salaam, Mwinyiheri Nuhu, akidaiwa alikuwa akijihusisha na ujambazi
> Yeye na wenzake walivamia nyumba ya Mfanyabiashara Ally Nassoro Wilayani Muheza wakiwa na bunduki juzi usiku na kupora Tsh. milioni moja
Soma - https://jamii.app/JambaziKifoPolisi
#JFLeo
MWANAFUNZI WA DARASA LA 5 AJIUA KWA KUJINYONGA
> Ktk Kijiji cha Shaviringa ndogo ya makuchi, Kenya, mvulana (13) amejitoa uhai kwa kujinyonga na kamba
> Ni baada ya wazazi wake kumuadhibu kwa kosa la kuchukua kitu cha jirani yao
Soma - https://jamii.app/MwanafunziAjinyongaKE
#JFInternational
> Ktk Kijiji cha Shaviringa ndogo ya makuchi, Kenya, mvulana (13) amejitoa uhai kwa kujinyonga na kamba
> Ni baada ya wazazi wake kumuadhibu kwa kosa la kuchukua kitu cha jirani yao
Soma - https://jamii.app/MwanafunziAjinyongaKE
#JFInternational
MAALIM SEIF ATANGAZA KUJIUNGA NA ACT-WAZALENDO
> Mwanasiasa mkongwe na Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF ametangaza kukihama chama hicho na kuhamia ACT Wazalendo
> Maalim Seif ametangaza uamuzi huo mchana huu
Zaidi, soma => https://jamii.app/MaalimACT
#JFLeo
> Mwanasiasa mkongwe na Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF ametangaza kukihama chama hicho na kuhamia ACT Wazalendo
> Maalim Seif ametangaza uamuzi huo mchana huu
Zaidi, soma => https://jamii.app/MaalimACT
#JFLeo
ATHARI ZA KULA MATUNDA NA MAJI TU KWA MUDA MREFU
> Matumizi ya matunda na maji kama chakula ndani ya mwezi mzima itasababisha upungufu wa Vitamin za aina zote ila kwa kiasi kikubwa Vitamin B12 ambayo haipatikani kwenye tunda lolote lile
> Upungufu wa B12 unaweza kusababisha matatizo ya kinyurologia, ikiwamo matatizo ya akili (psychosis) na kuharibika kwa Kongosho, ambapo kwa kiasi kikubwa utapata kansa
Zaidi, soma - https://jamii.app/AthariMatundaMajiTu
#JFAfya
> Matumizi ya matunda na maji kama chakula ndani ya mwezi mzima itasababisha upungufu wa Vitamin za aina zote ila kwa kiasi kikubwa Vitamin B12 ambayo haipatikani kwenye tunda lolote lile
> Upungufu wa B12 unaweza kusababisha matatizo ya kinyurologia, ikiwamo matatizo ya akili (psychosis) na kuharibika kwa Kongosho, ambapo kwa kiasi kikubwa utapata kansa
Zaidi, soma - https://jamii.app/AthariMatundaMajiTu
#JFAfya
SERIKALI YAAGIZA ASKARI WALIOTUKANA NA KUMPIGA DEREVA WAKAMATWE
> Agizo hilo limetolewa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni
> Askari hao wanaonekana kupitia picha ya video wakimpiga dereva na kumtukana
Zaidi, soma => https://jamii.app/AskariKukamatwa
#JFLeo
> Agizo hilo limetolewa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni
> Askari hao wanaonekana kupitia picha ya video wakimpiga dereva na kumtukana
Zaidi, soma => https://jamii.app/AskariKukamatwa
#JFLeo
SPIKA NDUGAI: NINATAFAKARI HATUA ZA KUMCHUKULIA LIJUA LIKALI
> Taarifa rasmi ya Ofisi ya Bunge, imemtuhumu Mbunge huyo wa Jimbo la Kilombero kwa kumtolea kauli ya dharau na kejeli Spika na Bunge zima mbele ya Wanahabari Machi 17
Zaidi, soma > https://jamii.app/SpikaNdugaiVsMbungeLijualikali
#JFLeo
> Taarifa rasmi ya Ofisi ya Bunge, imemtuhumu Mbunge huyo wa Jimbo la Kilombero kwa kumtolea kauli ya dharau na kejeli Spika na Bunge zima mbele ya Wanahabari Machi 17
Zaidi, soma > https://jamii.app/SpikaNdugaiVsMbungeLijualikali
#JFLeo
MADHARA YA KUINGIZA VIDOLE UKENI WAKATI WA KUJISAFISHA
- Kitendo cha kuweka vidole sehemu za siri wakati wa kujisafisha, husababisha michubuko hasahasa kwenye mlango wa shingo ya kizazi hivyo kupelekea kuta hizo kushambuliwa na wadudu kirahisi
- Pia husababisha wadudu kupenya kirahisi mpaka kwenye kizazi na kusababisha madhara makubwa ikiwemo kutopona vidonda kwa wale wanawake waliojifungua kwa operesheni
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/VidoleUkeniKujisafisha
#JFAfya
- Kitendo cha kuweka vidole sehemu za siri wakati wa kujisafisha, husababisha michubuko hasahasa kwenye mlango wa shingo ya kizazi hivyo kupelekea kuta hizo kushambuliwa na wadudu kirahisi
- Pia husababisha wadudu kupenya kirahisi mpaka kwenye kizazi na kusababisha madhara makubwa ikiwemo kutopona vidonda kwa wale wanawake waliojifungua kwa operesheni
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/VidoleUkeniKujisafisha
#JFAfya
KAGERA: WATU 3 WANAODAIWA KUWA MAJAMBAZI WAUAWA
> Polisi walikuwa wakipelekwa zilikofichwa silaha, ghafla walianza kushambuliwa kwa risasi kutoka porini
> Waliouawa ni Erick Samson(Burundi), Shabani Magote na mmoja jina lake halijafahamika
Soma > https://jamii.app/MajambaziKagera
#JFLeo
> Polisi walikuwa wakipelekwa zilikofichwa silaha, ghafla walianza kushambuliwa kwa risasi kutoka porini
> Waliouawa ni Erick Samson(Burundi), Shabani Magote na mmoja jina lake halijafahamika
Soma > https://jamii.app/MajambaziKagera
#JFLeo
MAELEZO KUHUSU LISHE KWA MBWA NA UANDAAJI WA CHAKULA CHAKE
> Vyakula vingi vya Mbwa hupatikana madukani kutoka viwandani maana vimefanyiwa utafiti ila hata wewe mmiliki wa Mbwa unaweza kujitengenezea chakula mwenyewe
> La muhimu kuzingatia ni kuwa Mbwa anaweza kukaa muda mrefu bila kula chakula ( Hunger tolerance) lakini hawezi kukaa muda mrefu bila kunywa maji. Akipoteza 1/10 ya maji yake mwilini hupoteza maisha
> Chakula cha Mbwa kinatakiwa kuwa na ladha na harufu ya kuvutia, kiwango kikubwa cha nguvu (wanga) na Protini ya kutosha kuwezesha ukuaji
Fahamu zaidi - https://jamii.app/ChakulaLisheMbwa
#JFKilimo
> Vyakula vingi vya Mbwa hupatikana madukani kutoka viwandani maana vimefanyiwa utafiti ila hata wewe mmiliki wa Mbwa unaweza kujitengenezea chakula mwenyewe
> La muhimu kuzingatia ni kuwa Mbwa anaweza kukaa muda mrefu bila kula chakula ( Hunger tolerance) lakini hawezi kukaa muda mrefu bila kunywa maji. Akipoteza 1/10 ya maji yake mwilini hupoteza maisha
> Chakula cha Mbwa kinatakiwa kuwa na ladha na harufu ya kuvutia, kiwango kikubwa cha nguvu (wanga) na Protini ya kutosha kuwezesha ukuaji
Fahamu zaidi - https://jamii.app/ChakulaLisheMbwa
#JFKilimo
NINI MAANA YA KUVAA NGUO NYEUSI MSIBANI?
> Mjadala ndani ya JamiiForums unaeleza kwamba nguo nyeusi kwenye misiba huwa ni ishara ya kufukuza pepo wachafu/ roho za mauti na wengine wanadai kwamba nguo nyeusi inapovaliwa msibani ni kukumbushana kwamba asili yetu wote ni mavumbini kama ambavyo marehemu anatangulia kwenye kwenye asili yake, na sisi tutafuata
> Je, kwa mtazamo wako ni kwanini rangi nyeusi hutawala sana kwenye misiba?
Tembelea - https://jamii.app/RangiNyeusiMsibani
#JFHoja
> Mjadala ndani ya JamiiForums unaeleza kwamba nguo nyeusi kwenye misiba huwa ni ishara ya kufukuza pepo wachafu/ roho za mauti na wengine wanadai kwamba nguo nyeusi inapovaliwa msibani ni kukumbushana kwamba asili yetu wote ni mavumbini kama ambavyo marehemu anatangulia kwenye kwenye asili yake, na sisi tutafuata
> Je, kwa mtazamo wako ni kwanini rangi nyeusi hutawala sana kwenye misiba?
Tembelea - https://jamii.app/RangiNyeusiMsibani
#JFHoja
FILAMU YA NAMNA MITANDAO YA KIJAMII INAVYOSIMAMIWA NA KUSAFISHWA KUONESHWA KESHO
> Kupitia filamu hiyo jopo la wadau watajadili namna maudhui yanavyosafishwa katika Mitandao ya Kijamii
> Kesho jioni ktk ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, Dar
Soma > https://jamii.app/TheCleanersDar
#JFLeo
> Kupitia filamu hiyo jopo la wadau watajadili namna maudhui yanavyosafishwa katika Mitandao ya Kijamii
> Kesho jioni ktk ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, Dar
Soma > https://jamii.app/TheCleanersDar
#JFLeo
UFARANSA: KOFFI OLOMIDE AHUKUMIWA MIAKA 2 YA KIFUNGO CHA NJE KWA UBAKAJI
> Katika kesi hiyo Wanenguaji wanne walilalamika kunyanyaswa kingono na Koffi Olomide alipokuwa akirekodi nyimbo zake kati ya mwaka 2002-2006 nchini Ufaransa
Soma > https://jamii.app/KoffiOlomideAfungwa
#JFCelebrity
> Katika kesi hiyo Wanenguaji wanne walilalamika kunyanyaswa kingono na Koffi Olomide alipokuwa akirekodi nyimbo zake kati ya mwaka 2002-2006 nchini Ufaransa
Soma > https://jamii.app/KoffiOlomideAfungwa
#JFCelebrity
MAAFA YA KIMBUNGA MSUMBIJI: IDADI YA VIFO YAHOFIWA KUFIKIA 1,000
> Kimbunga hicho kililikumba Jiji la Beira lililopo katika pwani ya nchi hiyo.
> Kimbunga 'Idai' kinaelezwa kuwa kilikuwa na kasi ya Kilomita 177 kwa saa
Zaidi, soma => https://jamii.app/CycloneIdai1000
#JFLeo
> Kimbunga hicho kililikumba Jiji la Beira lililopo katika pwani ya nchi hiyo.
> Kimbunga 'Idai' kinaelezwa kuwa kilikuwa na kasi ya Kilomita 177 kwa saa
Zaidi, soma => https://jamii.app/CycloneIdai1000
#JFLeo
THAILAND: ASKARI POLISI WAPELEKWA KAMBI YA KUPUNGUZA UZITO
> Jumla ya Askari 200 wamehusika kwenye progamu hiyo ya majaribio ya wiki mbili
> Kupitia programu hiyo wapo Askari waliopungua uzito kutoka kilo 80 hadi 60
Zaidi, soma => https://jamii.app/ThaiPorkyPolisi
#JFInternational
> Jumla ya Askari 200 wamehusika kwenye progamu hiyo ya majaribio ya wiki mbili
> Kupitia programu hiyo wapo Askari waliopungua uzito kutoka kilo 80 hadi 60
Zaidi, soma => https://jamii.app/ThaiPorkyPolisi
#JFInternational
HISTORIA: LITI KIDANKA MWANAMKE SHUJAA ALIYEILINDA NGOME YA WANYATURU KWA NYUKI
> Ni Liti Lerti Kidanka aliyewaongoza watu wa kabila la Wanyaturu Mkoani Singida katika mapambano dhidi ya utawala wa Kijerumani
Kupata historia hii adhimu,fungua > https://jamii.app/LetiKidanka
#JFHistoria
> Ni Liti Lerti Kidanka aliyewaongoza watu wa kabila la Wanyaturu Mkoani Singida katika mapambano dhidi ya utawala wa Kijerumani
Kupata historia hii adhimu,fungua > https://jamii.app/LetiKidanka
#JFHistoria
MVUA KUBWA NA THELUJI VYASABABISHA MAAFA MAREKANI
> Mvua kubwa na theluji vimesababisha vifo vya watu wawili huku wengine wawili wakiwa hawajulikani walipo
> Mamlaka zinaendelea na shughuli zake za utafutaji na uokoaji katika maeneo yaliyoathirika na mafuriko
Soma - https://jamii.app/FloodsDeathUS
#JFInternational
> Mvua kubwa na theluji vimesababisha vifo vya watu wawili huku wengine wawili wakiwa hawajulikani walipo
> Mamlaka zinaendelea na shughuli zake za utafutaji na uokoaji katika maeneo yaliyoathirika na mafuriko
Soma - https://jamii.app/FloodsDeathUS
#JFInternational
WALIOLIPWA FEDHA ZA KOROSHO KUBANDIKWA KWENYE OFISI ZA VIJIJI
> Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga ameagiza kubandikwa kwa majina ya wakulima wote waliolipwa fedha za Korosho na kiasi walicholipwa ikiwa ni hatua ya kuondokana na taarifa potofu zinazotolewa na baadhi yao kuwa hawajalipwa na kuichafua Serikali
Soma - https://jamii.app/MajinaMalipoKorosho
#JFLeo
> Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga ameagiza kubandikwa kwa majina ya wakulima wote waliolipwa fedha za Korosho na kiasi walicholipwa ikiwa ni hatua ya kuondokana na taarifa potofu zinazotolewa na baadhi yao kuwa hawajalipwa na kuichafua Serikali
Soma - https://jamii.app/MajinaMalipoKorosho
#JFLeo
HIVI NDIVYO SHERIA INAVYOMLINDA MTOTO ANAYEFANYA KAZI ZA NYUMBANI
> Ingawa sheria inasema Mtoto mwenye miaka 14 ana haki ya kufanya kazi, inakwenda mbali kutaka aajiriwe kufanya ‘kazi nyepesi’ na kupata malipo stahiki
Zaidi, soma > https://jamii.app/WatotoAjira
#JFCivicSpace
> Ingawa sheria inasema Mtoto mwenye miaka 14 ana haki ya kufanya kazi, inakwenda mbali kutaka aajiriwe kufanya ‘kazi nyepesi’ na kupata malipo stahiki
Zaidi, soma > https://jamii.app/WatotoAjira
#JFCivicSpace
WAKIMBIZI WADAIWA KULA CHAKULA CHA MSAADA CHENYE SUMU
> Shirika la chakula duniani, WFP limesitisha shughuli ya kugawanya chakula cha misaada kwa wakimbizi nchini Uganda baada ya madai kuibuka kuwa watu 2 wamefariki na wengine zaidi ya 200 kulazwa katika Hospitali ya Karamoja Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo baada ya kutumia unga wa uji unaodaiwa kuwa na sumu
> Shirika la msalaba mwekundu limeripoti kuwa waathiriwa wanaonesha ishara za kuugua ugonjwa wa akili huku wengi wao wakilalamika kuumwa tumbo
Soma - https://jamii.app/SumuChakulaWFP
#JFLeo
> Shirika la chakula duniani, WFP limesitisha shughuli ya kugawanya chakula cha misaada kwa wakimbizi nchini Uganda baada ya madai kuibuka kuwa watu 2 wamefariki na wengine zaidi ya 200 kulazwa katika Hospitali ya Karamoja Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo baada ya kutumia unga wa uji unaodaiwa kuwa na sumu
> Shirika la msalaba mwekundu limeripoti kuwa waathiriwa wanaonesha ishara za kuugua ugonjwa wa akili huku wengi wao wakilalamika kuumwa tumbo
Soma - https://jamii.app/SumuChakulaWFP
#JFLeo