NHC KUWAFUKUZA WADAIWA SUGU KATIKA MAJENGO YAKE
- Ni kwa wale walioshindwa kulipa kodi ya pango ya jumla ya Tsh. Milioni 44.3
- Ni mpango wa kutaka kumaliza kukusanya kodi ambapo hadi sasa shirika limekusanya zaidi ya Tsh. Bilioni 1.9(73%)
Zaidi, soma https://jamii.app/WadaiwaNHCKuondolewa
- Ni kwa wale walioshindwa kulipa kodi ya pango ya jumla ya Tsh. Milioni 44.3
- Ni mpango wa kutaka kumaliza kukusanya kodi ambapo hadi sasa shirika limekusanya zaidi ya Tsh. Bilioni 1.9(73%)
Zaidi, soma https://jamii.app/WadaiwaNHCKuondolewa
TUNISIA: WAZIRI AJIUZULU KUTOKANA NA VIFO VYA WATOTO
> Waziri wa Afya, Abdurrauf esh-Sherif amejiuzulu baada ya kutokea vifo 11 vya watoto ktk Hospitali ya Serikali mjini Tunis
> Uchunguzi unafanyika kubaini sababu ya vifo hivyo
Soma - https://jamii.app/WaziriAjiuzuluVifoWatoto
#JFInternational
> Waziri wa Afya, Abdurrauf esh-Sherif amejiuzulu baada ya kutokea vifo 11 vya watoto ktk Hospitali ya Serikali mjini Tunis
> Uchunguzi unafanyika kubaini sababu ya vifo hivyo
Soma - https://jamii.app/WaziriAjiuzuluVifoWatoto
#JFInternational
SERIKALI YATAKA TAARIFA ZA WAAJIRI WALIOFUKUZA KAZI WANAWAKE BAADA YA KUPATA UJAUZITO
> Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ametaka apewe taarifa hasa za sekta binafsi za waliowafukuza Wanawake kazi au kuwashusha vyeo kwa sababu wamepata ujauzito
Soma > https://jamii.app/UjauzitoKazi
#JFLeo
> Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ametaka apewe taarifa hasa za sekta binafsi za waliowafukuza Wanawake kazi au kuwashusha vyeo kwa sababu wamepata ujauzito
Soma > https://jamii.app/UjauzitoKazi
#JFLeo
CHINA, ETHIOPIA ZASITISHA KUTUMIA BOEING 737 MAX 8
> China imeyaamuru mashirika ya ndege ya ndani ya nchi kusimamisha matumizi ya ndege aina ya Boeing 737 MAX 8 kufuatia ajali iliyotokea Ethiopia na nyingine nchini Indonesia
> Shirika la ndege la Ethiopia nalo limetangaza kusitisha safari za ndege zake zote aina ya Boeing 737 Max 8 kuanzia Machi 10 mwaka huu kama tahadhari ya ziada licha ya kuwa bado chanzo cha ajali iliyotokea jana na kuua watu 157 bado hakijafahamika mpaka sasa
Soma - https://jamii.app/ChinaBansBoeing737
#JFInternational
> China imeyaamuru mashirika ya ndege ya ndani ya nchi kusimamisha matumizi ya ndege aina ya Boeing 737 MAX 8 kufuatia ajali iliyotokea Ethiopia na nyingine nchini Indonesia
> Shirika la ndege la Ethiopia nalo limetangaza kusitisha safari za ndege zake zote aina ya Boeing 737 Max 8 kuanzia Machi 10 mwaka huu kama tahadhari ya ziada licha ya kuwa bado chanzo cha ajali iliyotokea jana na kuua watu 157 bado hakijafahamika mpaka sasa
Soma - https://jamii.app/ChinaBansBoeing737
#JFInternational
UINGEREZA: MBUNGE AITUHUMU QATAR KWA KUTOA RUSHWA FIFA
> Taifa la Qatar linatuhumiwa kutoa kiasi cha zaidi ya Shilingi za Kitanzania Bilioni 937 kwa FIFA ili ipewe uenyeji wa Kombe la Dunia mwaka 2022
Zaidi, soma => https://jamii.app/FIFAQatarScandal
#JFLeo
> Taifa la Qatar linatuhumiwa kutoa kiasi cha zaidi ya Shilingi za Kitanzania Bilioni 937 kwa FIFA ili ipewe uenyeji wa Kombe la Dunia mwaka 2022
Zaidi, soma => https://jamii.app/FIFAQatarScandal
#JFLeo
AJINYONGA BAADA YA UGOMVI NA SHANGAZI KUHUSU CHAPATI
> Binti Sharon (20), mkazi wa Kisumu, Kenya, amejinyonga hadi kufa baada ya ugomvi na shangazi yake kuhusu chapati
> Alitumia fedha ya chakula cha familia kujinunulia chapati na maharage
Soma - https://jamii.app/BintiAjinyongaChapati
#JFLeo
> Binti Sharon (20), mkazi wa Kisumu, Kenya, amejinyonga hadi kufa baada ya ugomvi na shangazi yake kuhusu chapati
> Alitumia fedha ya chakula cha familia kujinunulia chapati na maharage
Soma - https://jamii.app/BintiAjinyongaChapati
#JFLeo
MPANDA, KATAVI: WANAFUNZI WALALA BWALONI BAADA YA BWENI KUTEKETEA KWA MOTO
> Ni Wanafunzi wa Chuo cha Maendeleo ya Jamii Msaginya wamelazimika kulala katika bwalo la chakula tangu mabweni yao yateketee kwa moto wiki iliyopita
Zaidi, soma => https://jamii.app/WanafunziWalalaBwaloni
#JFLeo
> Ni Wanafunzi wa Chuo cha Maendeleo ya Jamii Msaginya wamelazimika kulala katika bwalo la chakula tangu mabweni yao yateketee kwa moto wiki iliyopita
Zaidi, soma => https://jamii.app/WanafunziWalalaBwaloni
#JFLeo
MAKAMU WA RAIS KUMUWAKILISHA RAIS KWENYE MKUTANO WA ANS UGANDA
> Samia Suluhu anaondoka nchini leo kuelekea Kampala kwenye Mkutano wa "Africa Now Summit"
> Atazungumzia mada ya Uongozi unaohitajika kuchochea mabadiliko ya Kijamii na Uchumi Afrika
Soma - https://jamii.app/SamiaMkutanoANS
#JFLeo
> Samia Suluhu anaondoka nchini leo kuelekea Kampala kwenye Mkutano wa "Africa Now Summit"
> Atazungumzia mada ya Uongozi unaohitajika kuchochea mabadiliko ya Kijamii na Uchumi Afrika
Soma - https://jamii.app/SamiaMkutanoANS
#JFLeo
MWENDELEZO: KISANDUKU CHA TAARIFA KUTOKA NDEGE YA ETHIOPIA CHAPATIKANA
> Kisanduku(Black Box) cha kurekodia taarifa za ndege wakati wa safari kilichokuwa cha ndege ya Boeing 737 MAX 8 iliyoanguka na kuua watu 157 chapatikana
Soma => https://jamii.app/ETHAirlines-Boeing737Crashes
#JFInternational
> Kisanduku(Black Box) cha kurekodia taarifa za ndege wakati wa safari kilichokuwa cha ndege ya Boeing 737 MAX 8 iliyoanguka na kuua watu 157 chapatikana
Soma => https://jamii.app/ETHAirlines-Boeing737Crashes
#JFInternational
UUZAJI WA SILAHA DUNIANI WAONGEZEKA KWA ASILIMIA 8
> Taasisi ya masuala ya amani duniani (SIPRI) imesema uuzaji wa silaha za kivita duniani umeongezeka kati ya 2014 hadi 2018
> Marekani yaongoza kwa kuuza zaidi ya 36% ya silaha zote
Zaidi, soma - https://jamii.app/OngezekoUuzajiSilaha
#JFLeo
> Taasisi ya masuala ya amani duniani (SIPRI) imesema uuzaji wa silaha za kivita duniani umeongezeka kati ya 2014 hadi 2018
> Marekani yaongoza kwa kuuza zaidi ya 36% ya silaha zote
Zaidi, soma - https://jamii.app/OngezekoUuzajiSilaha
#JFLeo
FAHAMU MAMBO YA MSINGI KATIKA KILIMO CHA MIHOGO
> Muhogo hustawi vizuri katika maeneo yaliyopo mita 0 – 1500 kutoka usawa wa bahari na maeneo yanayopata mvua ya wastani wa mm 750 - mm 1200 kwa mwaka
> Mbegu ya Naliendele huzaa tani 19 kwa hekta moja, na inaweza kuvunwa kuanzia miezi 9 toka ipandwe na mbegu ya Kiroba huzaa tani 25 – 30 kwa hekta moja, na inaweza kuvunwa kuanzia miezi 9 toka ipandwe
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/KilimoMihogo
#JFKilimo
> Muhogo hustawi vizuri katika maeneo yaliyopo mita 0 – 1500 kutoka usawa wa bahari na maeneo yanayopata mvua ya wastani wa mm 750 - mm 1200 kwa mwaka
> Mbegu ya Naliendele huzaa tani 19 kwa hekta moja, na inaweza kuvunwa kuanzia miezi 9 toka ipandwe na mbegu ya Kiroba huzaa tani 25 – 30 kwa hekta moja, na inaweza kuvunwa kuanzia miezi 9 toka ipandwe
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/KilimoMihogo
#JFKilimo
SOKO LA SABASABA DODOMA LAKOSA UONGOZI KWA ZAIDI YA MIEZI 5
> Soko kuu la Sabasaba Dodoma halina uongozi kwa muda mrefu kutokana na uongozi wa awali kuvunjwa na Mkurugenzi wa Jiji, Septemba 2018 kwa tuhuma za ubadhirifu wa mali za soko hilo
Soma - https://jamii.app/UongoziSabasabaDodoma
#JFLeo
> Soko kuu la Sabasaba Dodoma halina uongozi kwa muda mrefu kutokana na uongozi wa awali kuvunjwa na Mkurugenzi wa Jiji, Septemba 2018 kwa tuhuma za ubadhirifu wa mali za soko hilo
Soma - https://jamii.app/UongoziSabasabaDodoma
#JFLeo
WANAWAKE WALIOANDAMANA SUDAN WAHUKUMIWA KWENDA JELA
> Mahakama ya Khartoum imemhukumu kifungo cha wiki 1 Naibu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani pamoja na wenzake na kuwatoza faini ya dola 42 kwa kushiriki maandamano ‘haramu’
Soma - https://jamii.app/WaandamanajiJelaSudan
#JFInternational
> Mahakama ya Khartoum imemhukumu kifungo cha wiki 1 Naibu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani pamoja na wenzake na kuwatoza faini ya dola 42 kwa kushiriki maandamano ‘haramu’
Soma - https://jamii.app/WaandamanajiJelaSudan
#JFInternational
TANZANIA YAONGOZA KWA KUWA NA SIMBA WENGI BARANI AFRIKA
> African Wildlife Foundation imesema Tanzania inaongoza kwa kuwa na Simba wengi Afrika na iko nafasi ya 3 kwa upande wa Tembo
> Kwa Tembo, Botswana inaongoza ikifuatiwa na Zimbabwe
Soma - https://jamii.app/TzOngozaSimbaAfrika
#JFLeo
> African Wildlife Foundation imesema Tanzania inaongoza kwa kuwa na Simba wengi Afrika na iko nafasi ya 3 kwa upande wa Tembo
> Kwa Tembo, Botswana inaongoza ikifuatiwa na Zimbabwe
Soma - https://jamii.app/TzOngozaSimbaAfrika
#JFLeo
INDIA: UCHAGUZI KUFANYIKA MWEZI UJAO, UTAHUSISHA WAPIGA KURA MILIONI 900
> Waziri Mkuu, Narendra Modi anatarajiwa kuibuka mshindi katika uchaguzi huo ambao kwa mujibu wa Msemaji wa Tume Uchaguzi, Sunil Arora, utafanyika Aprili 11
Soma > https://jamii.app/UchaguziMkuuIndia
#JFInternational
> Waziri Mkuu, Narendra Modi anatarajiwa kuibuka mshindi katika uchaguzi huo ambao kwa mujibu wa Msemaji wa Tume Uchaguzi, Sunil Arora, utafanyika Aprili 11
Soma > https://jamii.app/UchaguziMkuuIndia
#JFInternational
MULEBA, KAGERA: WAKAMATWA KWA KUFOJI VITAMBULISHO VYA WAJASIRIAMALI
> Watu 3 akiwemo Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Rutoro Kata ya Ngenge Wamekamatwa kwa tuhuma za kufoji vitambulisho vilivyotolewa na Serikali kwa ajili ya Wajasiriamali
Soma > https://jamii.app/VitambulishoMuleba
#JFLeo
> Watu 3 akiwemo Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Rutoro Kata ya Ngenge Wamekamatwa kwa tuhuma za kufoji vitambulisho vilivyotolewa na Serikali kwa ajili ya Wajasiriamali
Soma > https://jamii.app/VitambulishoMuleba
#JFLeo
KUMRADHI: JamiiForums tunawaomba radhi watumiaji na watembeleaji wa huduma yetu (tovuti) kutokana na kutopatikana kwa tovuti yetu
> Chanzo cha tatizo lililojitokeza kimebainika na kurekebishwa na huduma itarejea muda si mrefu
> Chanzo cha tatizo lililojitokeza kimebainika na kurekebishwa na huduma itarejea muda si mrefu
SHEHENA YA SAMAKI WENYE SUMU WALIOINGIA NCHINI YATEKETEZWA
> Waliingia nchini wakitokea China na waliteketezwa katika dampo la Pugu Kinyamwezi Jijini Dar
> Walibainika kuwa na kemikali ya Zebaki inayosababisha saratani na kuharibu kizazi
Soma => https://jamii.app/SamakiSumuMoto
#JFLeo
> Waliingia nchini wakitokea China na waliteketezwa katika dampo la Pugu Kinyamwezi Jijini Dar
> Walibainika kuwa na kemikali ya Zebaki inayosababisha saratani na kuharibu kizazi
Soma => https://jamii.app/SamakiSumuMoto
#JFLeo
ALGERIA: RAIS BOUTEFLIKA ATANGAZA KUTOGOMBEA TENA KWA MUHULA WA 5
> Abdelaziz Bouteflika(82) ameiongoza Algeria kwa zaidi ya miongo 2. Wananchi waliandamana alipotangaza nia ya kugombea tena
> Amesema afya na umri havimruhusu
Soma > https://jamii.app/BouteflikaKutogombea
#JFInternational
> Abdelaziz Bouteflika(82) ameiongoza Algeria kwa zaidi ya miongo 2. Wananchi waliandamana alipotangaza nia ya kugombea tena
> Amesema afya na umri havimruhusu
Soma > https://jamii.app/BouteflikaKutogombea
#JFInternational
SEHEMU YA SOKO LA TOI NCHINI KENYA YATEKETEA KWA MOTO
> Sehemu ya Soko la Toi lililopo Kibera, Nairobi imeteketea kufuatia moto uliozuka usiku wa kuamkia leo Jumanne, Machi 12
> Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana na umeteketeza mali zenye thamani ya mamilioni ya pesa na kuwaacha wafanyabiashara na hasara kubwa
#JFInternational
> Sehemu ya Soko la Toi lililopo Kibera, Nairobi imeteketea kufuatia moto uliozuka usiku wa kuamkia leo Jumanne, Machi 12
> Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana na umeteketeza mali zenye thamani ya mamilioni ya pesa na kuwaacha wafanyabiashara na hasara kubwa
#JFInternational