UPINZANI VENEZUELA WAKAMATA KITUO CHA MAFUTA
> Upinzani unaolidhibiti Bunge la Venezuela umeteuwa bodi ya mpito ya kampuni ya mafuta ya Serikali (PDVSA), ikiwa ni jitihada za kiongozi, Juan Guaido kuidhibiti sekta ya uchimbaji wa mafuta
Soma - https://jamii.app/GuaidoSeizeOilProduction
> Upinzani unaolidhibiti Bunge la Venezuela umeteuwa bodi ya mpito ya kampuni ya mafuta ya Serikali (PDVSA), ikiwa ni jitihada za kiongozi, Juan Guaido kuidhibiti sekta ya uchimbaji wa mafuta
Soma - https://jamii.app/GuaidoSeizeOilProduction
NIGERIA: WATU 7 WAFARIKI DUNIA KWENYE KAMPENI ZA RAIS BUHARI
> Wengine 12 wamejeruhiwa baada ya umati wa Watu kukanyagana wakati wakitoka kwenye uwanja uliofanyika kampeni za Rais Muhammadu Buhari
> 8 bado wamelazwa Hospitali
Zaidi, soma => https://jamii.app/VifoMkutanoBuhari
> Wengine 12 wamejeruhiwa baada ya umati wa Watu kukanyagana wakati wakitoka kwenye uwanja uliofanyika kampeni za Rais Muhammadu Buhari
> 8 bado wamelazwa Hospitali
Zaidi, soma => https://jamii.app/VifoMkutanoBuhari
AFYA: SIDIRIA INAYOWEZA KUGUNDUA SARATANI YA MATITI YAVUMBULIWA
> Sidiria hiyo inaweza kupima viwango vya joto, kuviweka katika programu na kisha kutoa taarifa
> Wanawake wanaohitaji watalazimika kuivaa kwa dakika 60 hadi 90 kwa wiki
Soma > https://jamii.app/SidiriaSaratani
> Sidiria hiyo inaweza kupima viwango vya joto, kuviweka katika programu na kisha kutoa taarifa
> Wanawake wanaohitaji watalazimika kuivaa kwa dakika 60 hadi 90 kwa wiki
Soma > https://jamii.app/SidiriaSaratani
BUSEGA, SIMIYU: WANANCHI WAPIGA KURA YA SIRI ILI KUWATAJA WAUAJI WA WATOTO
> Zoezi hilo limeendeshwa leo kwenye Kata ya Lamadi ambapo kura hiyo imelenga kuwataja watuhumiwa wa mauaji ya Watoto wilayani humo
Zaidi, soma => https://jamii.app/KuraWauajiSimiyu
> Zoezi hilo limeendeshwa leo kwenye Kata ya Lamadi ambapo kura hiyo imelenga kuwataja watuhumiwa wa mauaji ya Watoto wilayani humo
Zaidi, soma => https://jamii.app/KuraWauajiSimiyu
MFANYAKAZI WA TAZARA AKAMATWA NA TAKUKURU KWA TUHUMA ZA RUSHWA
> Bahati Selemani amekamatwa na TAKUKURU, Mbeya kwa tuhuma za kupokea rushwa ya Shilingi laki 2 kutoka kwa Mfugaji aliyemkamata akilisha mifugo kwenye hifadhi ya reli
Soma > https://jamii.app/TAKUKURUVsAfisaTAZARA
> Bahati Selemani amekamatwa na TAKUKURU, Mbeya kwa tuhuma za kupokea rushwa ya Shilingi laki 2 kutoka kwa Mfugaji aliyemkamata akilisha mifugo kwenye hifadhi ya reli
Soma > https://jamii.app/TAKUKURUVsAfisaTAZARA
CHINA YAIPATIA BURUNDI IKULU MPYA
> Balozi wa China nchini Burundi, na Waziri wa mambo ya nje wa Burundi, wamesaini hati ya makabidhiano ya jengo la Ikulu ya Burundi lililojengwa kwa msaada wa China
> Ipo eneo la Mutimbuzi, Bujumbura
Soma - https://jamii.app/BurundiNewWhiteHouse
> Balozi wa China nchini Burundi, na Waziri wa mambo ya nje wa Burundi, wamesaini hati ya makabidhiano ya jengo la Ikulu ya Burundi lililojengwa kwa msaada wa China
> Ipo eneo la Mutimbuzi, Bujumbura
Soma - https://jamii.app/BurundiNewWhiteHouse
TRUMP KUSAINI MUSWADA WA KUGHARAMIA MATUMIZI YA SERIKALI
> Muswada huo utazuia kufungwa tena kwa Serikali Kuu na kuwapa ahueni wafanyakazi takribani 800,000 waliopata kadhia ya kutolipwa mishahara mwezi Desemba
> Aahidi kutangaza hali ya dharura ili kupata pesa za kujenga ukuta
Zaidi, soma https://jamii.app/USFundingBill
> Muswada huo utazuia kufungwa tena kwa Serikali Kuu na kuwapa ahueni wafanyakazi takribani 800,000 waliopata kadhia ya kutolipwa mishahara mwezi Desemba
> Aahidi kutangaza hali ya dharura ili kupata pesa za kujenga ukuta
Zaidi, soma https://jamii.app/USFundingBill
KUELEKEA UCHAGUZI MKUU NIGERIA: MAGUNIA 17 YA KURA ZILIZOPIGWA YAKAMATWA
> Magunia hayo yamekamatwa kwenye Jimbo la Kano na inadaiwa kura zake zimepigwa ili kukipa ushindi chama tawala cha All Progressive Party (APC)
Zaidi, soma => https://jamii.app/NigeriaBallotsScandal
> Magunia hayo yamekamatwa kwenye Jimbo la Kano na inadaiwa kura zake zimepigwa ili kukipa ushindi chama tawala cha All Progressive Party (APC)
Zaidi, soma => https://jamii.app/NigeriaBallotsScandal
WANASAYANSI ITALIA WATENGENEZA CHANJO YA UKIMWI
> Wanasayansi kutoka nchini Italia wamegundua chanjo dhidi ya ugonjwa wa UKIMWI ambayo imefanikiwa kupunguza idadi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa huo mwilini kwa asilimia 90
Fahamu zaidi, soma - https://jamii.app/UtafitiChanjoUKIMWI
> Wanasayansi kutoka nchini Italia wamegundua chanjo dhidi ya ugonjwa wa UKIMWI ambayo imefanikiwa kupunguza idadi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa huo mwilini kwa asilimia 90
Fahamu zaidi, soma - https://jamii.app/UtafitiChanjoUKIMWI
ZANZIBAR: MWANAUME AMJERUHI MKE WAKE USONI, BAADA YA KUKATAA KUTOA PENZI KINYUME NA MAUMBILE
> Amesema Mume wake alianza kumuomba penzi kinyume na maumbile miezi 3 baada ya ndoa
> Baada ya kukataa Mume wake alianza kumwambia hajui mapenzi
Soma > https://jamii.app/AjeruhiwaMapenziZNZ
> Amesema Mume wake alianza kumuomba penzi kinyume na maumbile miezi 3 baada ya ndoa
> Baada ya kukataa Mume wake alianza kumwambia hajui mapenzi
Soma > https://jamii.app/AjeruhiwaMapenziZNZ
AIRBUS KUSITISHA UZALISHAJI WA NDEGE AINA YA A380
> Shirika la Airbus limetangaza kusitisha uzalishaji wa ndege zake aina ya A380 Superjumbo ifikapo 2021 kutokana na kukosekana kwa soko
> Mteja mkuu alikuwa ni Shirika la ndege la Emirates
Soma - https://jamii.app/AirbusSeizeA380
> Shirika la Airbus limetangaza kusitisha uzalishaji wa ndege zake aina ya A380 Superjumbo ifikapo 2021 kutokana na kukosekana kwa soko
> Mteja mkuu alikuwa ni Shirika la ndege la Emirates
Soma - https://jamii.app/AirbusSeizeA380
TRUMP KUSAINI MUSWADA WA KUGHARAMIA MATUMIZI YA SERIKALI
> Muswada huo utazuia kufungwa tena kwa Serikali Kuu na kuwapa ahueni wafanyakazi takribani 800,000 waliopata kadhia ya kutolipwa mishahara mwezi Desemba
> Aahidi kutangaza hali ya dharura ili kupata pesa za kujenga ukuta
Soma - https://jamii.app/USFundingBill
> Muswada huo utazuia kufungwa tena kwa Serikali Kuu na kuwapa ahueni wafanyakazi takribani 800,000 waliopata kadhia ya kutolipwa mishahara mwezi Desemba
> Aahidi kutangaza hali ya dharura ili kupata pesa za kujenga ukuta
Soma - https://jamii.app/USFundingBill
KENYA: AFISA WA POLISI AHUKUMIWA KIFO KWA KUMUUA MAHABUSU
> Mahakama Kuu imempa adhabu ya kifo Afisa Mwandamizi wa Jeshi la Polisi, Nahashon Mutua kwa kosa la kumuua Mahabusu
> Mutua alimpiga na nondo Martin Koome hadi kufa mwaka 2013
Soma - https://jamii.app/AfisaPolisiAhukumiwaKifoKE
> Mahakama Kuu imempa adhabu ya kifo Afisa Mwandamizi wa Jeshi la Polisi, Nahashon Mutua kwa kosa la kumuua Mahabusu
> Mutua alimpiga na nondo Martin Koome hadi kufa mwaka 2013
Soma - https://jamii.app/AfisaPolisiAhukumiwaKifoKE
RAIA 13 WA ETHIOPIA WAKAMATWA MWANZA
> Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linawashikilia raia 13 wa Ethiopia baada ya kukutwa wakiwa wamejificha kwenye shamba la mkazi mmoja wa mtaa wa Nyaburogoya Kata ya Nyegezi
> Walikamatwa Februari 13
Soma - https://jamii.app/WahamiajiEthiopiaWakamatwa
> Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linawashikilia raia 13 wa Ethiopia baada ya kukutwa wakiwa wamejificha kwenye shamba la mkazi mmoja wa mtaa wa Nyaburogoya Kata ya Nyegezi
> Walikamatwa Februari 13
Soma - https://jamii.app/WahamiajiEthiopiaWakamatwa
KENYA: MAAFISA WATANO WA POLISI WAKUTWA NA HATIA YA KUMUUA MTOTO
> Maafisa 5 wa Jeshi la Polisi, wamekutwa na hatia ktk kesi ya kumpiga na kitu kizito kichwani mtoto mwenye umri wa miezi 6, Samantha Pendo mwaka 2017 na kumsababishia kifo
Soma - https://jamii.app/Maafisa5HatianiMauajiMtoto
> Maafisa 5 wa Jeshi la Polisi, wamekutwa na hatia ktk kesi ya kumpiga na kitu kizito kichwani mtoto mwenye umri wa miezi 6, Samantha Pendo mwaka 2017 na kumsababishia kifo
Soma - https://jamii.app/Maafisa5HatianiMauajiMtoto
KAMPALA, UGANDA: WANAWAKE WAWILI WAFANYAKAZI WA BENKI WABAKWA NA MAJAMBAZI
> Wanawake hao ni wafanyakazi wa Benki ya Development Finance Company of Uganda(DFCU). Wamebakwa na majambazi waliojaribu kupora fedha katika benki hiyo
Soma > https://jamii.app/KampalaBankRobbery
> Wanawake hao ni wafanyakazi wa Benki ya Development Finance Company of Uganda(DFCU). Wamebakwa na majambazi waliojaribu kupora fedha katika benki hiyo
Soma > https://jamii.app/KampalaBankRobbery
SHINYANGA: WATU 2 WAFARIKI DUNIA BAADA YA KUANGUKIA KWENYE SHIMO LA MACHIMBO YA KOKOTO
> Shimo hilo limejaa maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha kwenye kijiji cha Kadoto huko Mwalukwa
Zaidi, soma => https://jamii.app/WafarikiShimoKokoto
> Shimo hilo limejaa maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha kwenye kijiji cha Kadoto huko Mwalukwa
Zaidi, soma => https://jamii.app/WafarikiShimoKokoto
SLOVENIA: MBUNGE AJIUZULU BAADA YA KUIBA MKATE
> Mbunge Krajcic wa Slovenia amejiuzulu baada ya kuiba mkate maarufu ''sandwich'' katika duka moja kwa madai kuwa wahudumu wa sehemu hiyo walimpuuzia
> Ameomba msamaha na kujutia kufanya hivyo
Soma - https://jamii.app/PmResignsStealingSandwich
> Mbunge Krajcic wa Slovenia amejiuzulu baada ya kuiba mkate maarufu ''sandwich'' katika duka moja kwa madai kuwa wahudumu wa sehemu hiyo walimpuuzia
> Ameomba msamaha na kujutia kufanya hivyo
Soma - https://jamii.app/PmResignsStealingSandwich
AFARIKI KWA KUCHOMWA KISU NA MKEWE
> Mkazi wa Kijiji cha Lugalawa, Wilaya ya Ludewa-Njombe, Osmund Joseph Mwinuka(37) amefariki baada ya kuchomwa Kisu tumboni na mke wake kwa wivu wa Mapenzi
> Kamanda wa Polisi amethibitisha taarifa hiyo
Soma - https://jamii.app/MkeAuaMumeLudewa
> Mkazi wa Kijiji cha Lugalawa, Wilaya ya Ludewa-Njombe, Osmund Joseph Mwinuka(37) amefariki baada ya kuchomwa Kisu tumboni na mke wake kwa wivu wa Mapenzi
> Kamanda wa Polisi amethibitisha taarifa hiyo
Soma - https://jamii.app/MkeAuaMumeLudewa
KONDOMU ZADAIWA KUADIMIKA WILAYANI MAFINGA
> Kondomu za kike na kiume zimeonekana kupungua mjini hapo huku zilizopo zikielezwa kupanda bei na kuuzwa ghali kuanzia shilingi 1,000 mpaka 3,000
Soma - https://jamii.app/UhabaKondomuMafinga
> Kondomu za kike na kiume zimeonekana kupungua mjini hapo huku zilizopo zikielezwa kupanda bei na kuuzwa ghali kuanzia shilingi 1,000 mpaka 3,000
Soma - https://jamii.app/UhabaKondomuMafinga
SERIKALI KURUDISHA KODI KWENYE TAULO ZA KIKE KAMA HAZITASHUKA BEI
> Hii ni kutokana na wauzaji na wasambazaji wa taulo hizo kushindwa kupunguza bei licha ya kodi kuondolewa
> Waziri wa Fedha na wa Viwanda watakiwa kuanza kusimamia
Soma > https://jamii.app/BeiTauloKike
> Hii ni kutokana na wauzaji na wasambazaji wa taulo hizo kushindwa kupunguza bei licha ya kodi kuondolewa
> Waziri wa Fedha na wa Viwanda watakiwa kuanza kusimamia
Soma > https://jamii.app/BeiTauloKike