DODOMA: Shule za Sekondari zimetakiwa kufunga 'CCTV Camera' ili kusaidia kubaini wanaojihusisha na vitendo vya kihalifu ktk maeneo ya shule
> Mkuu wa Mkoa wa Dodoma ametoa agizo hilo baada ya matukio ya wizi na uharibifu wa miundombinu kuenea
Soma - https://jamii.app/KameraShuleni
#Governance #JFUwajibikaji
> Mkuu wa Mkoa wa Dodoma ametoa agizo hilo baada ya matukio ya wizi na uharibifu wa miundombinu kuenea
Soma - https://jamii.app/KameraShuleni
#Governance #JFUwajibikaji
#ANGOLA: Mzozo mkubwa unadaiwa kujitokeza baada Serikali kupanga Mazishi ya Kitaifa ya Rais Mstaafu #JoseDosSantos nchini humo huku familia yake ikisema Baba yao alitaka kuzikwa Barcelona na kutaka matakwa ya baba yao yaheshimiwe
Soma https://jamii.app/MzozoMsibaAngola
#JFDiplomasia
Soma https://jamii.app/MzozoMsibaAngola
#JFDiplomasia
CHINA: Mamlaka za Jiji la #Macau zimeamuru kufungwa kwa wiki moja kwa biashara zisizo muhimu zinazojumuisha zaidi ya 'Casino' 30 baada ya visa 1,536 vya #COVID19 kurekodiwa tokea Mwezi Juni
> Takriban Watu 19,000 Jijini humo wamewekwa karantini
Soma https://jamii.app/CasinoKufungwa
> Takriban Watu 19,000 Jijini humo wamewekwa karantini
Soma https://jamii.app/CasinoKufungwa
UTAFITI: KUONGEZEA CHAKULA CHUMVI HUPUNGUZA MIAKA YA KUISHI
Utafiti uliohusisha Waingereza wapatao 500,000 umebaini kuongeza chumvi kwenye Chakula kilicho mezani (Chakula kilichopikwa tayari) kunahusishwa na kifo cha mapema
Watafiti wamesema kuongeza chumvi kila wakati kwenye Chakula hupunguza zaidi ya miaka miwili ya kuishi kwa Wanaume na mwaka mmoja na nusu kwa Wanawake
Soma - https://jamii.app/ChumviChakula
#JFAfya
Utafiti uliohusisha Waingereza wapatao 500,000 umebaini kuongeza chumvi kwenye Chakula kilicho mezani (Chakula kilichopikwa tayari) kunahusishwa na kifo cha mapema
Watafiti wamesema kuongeza chumvi kila wakati kwenye Chakula hupunguza zaidi ya miaka miwili ya kuishi kwa Wanaume na mwaka mmoja na nusu kwa Wanawake
Soma - https://jamii.app/ChumviChakula
#JFAfya
MWANZA: Wakili wa 'Mfalme Zumaridi' amewasilisha ombi la kumkataa Hakimu Monica Ndyekobora na kudai kuwa, Mteja wake hana imani na Hakimu huyo wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza
> Kesi imeahirishwa hadi Julai 18, 2022
Soma https://jamii.app/ZumaridiHakimu
> Kesi imeahirishwa hadi Julai 18, 2022
Soma https://jamii.app/ZumaridiHakimu
UPIMAJI DNA: Anayetaka kupima Vinasaba (DNA) ili kujua Uhalali wa Mtoto atalipia Tsh. 100,000 na hilo litatimia baada ya kufuata taratibu zinazotakiwa
> Mhusika atatoa taarifa kwa Afisa Ustawi wa Jamii ambaye ndiye atatuma maombi kwa Mkemia Mkuu
Soma https://jamii.app/KupimaDNA
#PublicHealth
> Mhusika atatoa taarifa kwa Afisa Ustawi wa Jamii ambaye ndiye atatuma maombi kwa Mkemia Mkuu
Soma https://jamii.app/KupimaDNA
#PublicHealth
DAR: MKURUGENZI WA JIJI ASIMAMISHWA KWA UBADHIRIFU
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar, Jumanne Shauri na watumishi wengine 9 wamesimamishwa kazi na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kupisha uchunguzi wa tuhuma za ubadhirifu wa zaidi ya Tsh. Bilioni 10
Ukaguzi umebaini Fedha zilikusanywa na hazikuwasilishwa Benki kama Sheria inavyoelekeza
Soma - https://jamii.app/MkurugenziDar
#JFUwajibikaji
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar, Jumanne Shauri na watumishi wengine 9 wamesimamishwa kazi na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kupisha uchunguzi wa tuhuma za ubadhirifu wa zaidi ya Tsh. Bilioni 10
Ukaguzi umebaini Fedha zilikusanywa na hazikuwasilishwa Benki kama Sheria inavyoelekeza
Soma - https://jamii.app/MkurugenziDar
#JFUwajibikaji
URUSI: Rais Vladimir Putin ametia saini amri ya kurahisisha mchakato wa kupata Uraia wa Urusi kwa raia wa Ukraine
> Awali, utaratibu huo ulitumika kwa wakazi wa maeneo ya Mashariki mwa Ukraine ambayo ni Washirika wa karibu na Urusi
Soma https://jamii.app/UraiaWaUrusi
> Awali, utaratibu huo ulitumika kwa wakazi wa maeneo ya Mashariki mwa Ukraine ambayo ni Washirika wa karibu na Urusi
Soma https://jamii.app/UraiaWaUrusi
#UGANDA: RAIA WAANDAMANA KUPINGA GHARAMA ZA MAISHA
Maandamano ya kupinga ongezeko kubwa la bei ya vyakula, mafuta na bidhaa nyingine yamesababisha ghasia. Polisi wamefyatua mabomu ya machozi na kukamata waandamanaji 8
Mara kadhaa, Rais Yoweri Museveni amepuuza wito wa kupunguza Kodi, na badala yake amewataka Raia kuwa na matumizi makini zaidi
Soma - https://jamii.app/ProtestsUG
Maandamano ya kupinga ongezeko kubwa la bei ya vyakula, mafuta na bidhaa nyingine yamesababisha ghasia. Polisi wamefyatua mabomu ya machozi na kukamata waandamanaji 8
Mara kadhaa, Rais Yoweri Museveni amepuuza wito wa kupunguza Kodi, na badala yake amewataka Raia kuwa na matumizi makini zaidi
Soma - https://jamii.app/ProtestsUG
MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA AFRIKA
Julai 11 ilipitishwa na Umoja wa Afrika (AU) kuwa Siku ya Mapambano dhidi ya Rushwa Barani Afrika. Kwa mwaka 2022, Maadhimisho yana Kaulimbiu "Mikakati na Mifumo ya Wazi ya Usimamizi ya Fedha za UVIKO-19"
Tangu kuanza kwa janga la #COVID19 kumekuwa na taarifa nyingi za Rushwa, wizi na matumizi mabaya ya fedha
Vitendo hivyo vimehusishwa na kukosekana kwa Uwazi na #Uwajibikaji
Soma - https://jamii.app/RushwaBaraniAfrika
#AfricaAgainstCorruption #KemeaRushwa
Julai 11 ilipitishwa na Umoja wa Afrika (AU) kuwa Siku ya Mapambano dhidi ya Rushwa Barani Afrika. Kwa mwaka 2022, Maadhimisho yana Kaulimbiu "Mikakati na Mifumo ya Wazi ya Usimamizi ya Fedha za UVIKO-19"
Tangu kuanza kwa janga la #COVID19 kumekuwa na taarifa nyingi za Rushwa, wizi na matumizi mabaya ya fedha
Vitendo hivyo vimehusishwa na kukosekana kwa Uwazi na #Uwajibikaji
Soma - https://jamii.app/RushwaBaraniAfrika
#AfricaAgainstCorruption #KemeaRushwa
RUSHWA AFRIKA: Kumekuwepo upotoshaji mkubwa wa Taarifa na ukosefu wa Uwazi katika jinsi Nchi Wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) zimetumia Rasilimali Fedha za COVID-19
Fedha zilizotengwa kukabiliana na athari za #CoronaVirus katika Mataifa mbalimbali Barani Afrika zinawanufaisha Raia?
Soma - https://jamii.app/RushwaBaraniAfrika
#AfricaAgainstCorruption #KemeaRushwa
Fedha zilizotengwa kukabiliana na athari za #CoronaVirus katika Mataifa mbalimbali Barani Afrika zinawanufaisha Raia?
Soma - https://jamii.app/RushwaBaraniAfrika
#AfricaAgainstCorruption #KemeaRushwa
RAIS SAMIA: Nilikuwa nazungumza na Waziri Mkuu juzi ametoka ziara Mikoa ya Kusini, ameniambia ameona maradhi mapya yameingia. Watu wanatokwa damu puani na kudondoka
Hatujui ni kitu gani ila Wanasayansi wamehamia huko kwa uchunguzi zaidi kwa kuwa ni Watu wengi wanaougua kwa mfululuzo
Yote ni kwa sababu tunaharibu makazi ya viumbe kule walikowekwa na Mungu, tunawasogeza kwetu wanatuletea maradhi
Soma https://jamii.app/UgonjwaMpya
#PublicHealth #JFAfya
Hatujui ni kitu gani ila Wanasayansi wamehamia huko kwa uchunguzi zaidi kwa kuwa ni Watu wengi wanaougua kwa mfululuzo
Yote ni kwa sababu tunaharibu makazi ya viumbe kule walikowekwa na Mungu, tunawasogeza kwetu wanatuletea maradhi
Soma https://jamii.app/UgonjwaMpya
#PublicHealth #JFAfya
PACHA WALIOTENGANISHWA, MMOJA AFARIKI DUNIA
Pacha Neema amefariki wakati akiendelea na matibabu baada ya hali yake kubadilika ghafla
> Pacha mwenzie, Rehema bado yupo Muhimbili katika Chumba cha Wagonjwa Mahututi (ICU)
Soma https://jamii.app/PachaMmojaAfariki
#JFAfya #PublicHealth
Pacha Neema amefariki wakati akiendelea na matibabu baada ya hali yake kubadilika ghafla
> Pacha mwenzie, Rehema bado yupo Muhimbili katika Chumba cha Wagonjwa Mahututi (ICU)
Soma https://jamii.app/PachaMmojaAfariki
#JFAfya #PublicHealth
MAXENCE MELO: Asasi za Kiraia nchini jukumu letu ni kushirikiana katika kupambana na rushwa kwa vitendo
Mfano, JamiiForums kuna uwanja unaokuruhusu kutoa taarifa kwa faragha na zile zinazohusu rushwa tunahakikisha zinafanyiwa kazi
Soma - https://jamii.app/KemeaRushwa
#KemeaRushwa
Mfano, JamiiForums kuna uwanja unaokuruhusu kutoa taarifa kwa faragha na zile zinazohusu rushwa tunahakikisha zinafanyiwa kazi
Soma - https://jamii.app/KemeaRushwa
#KemeaRushwa
#KEMEARUSHWA: Rushwa inaendelea kuwa kikwazo kikubwa kwa Mataifa ya Afrika kutimiza Ajenda 2063 na Malengo ya Maendeleo Endelevu
Jitihada kubwa zinahitajika kupambana na Rushwa katika utoaji wa Huduma za Msingi ambazo huathiri zaidi Wananchi walio katika mazingira magumu, na hutegemea zaidi Huduma za Umma
Soma - https://jamii.app/RushwaBaraniAfrika
#AfricaAgainstCorruption
Jitihada kubwa zinahitajika kupambana na Rushwa katika utoaji wa Huduma za Msingi ambazo huathiri zaidi Wananchi walio katika mazingira magumu, na hutegemea zaidi Huduma za Umma
Soma - https://jamii.app/RushwaBaraniAfrika
#AfricaAgainstCorruption
KASSIM MAJALIWA: Rushwa ni adui wa Haki na Maendeleo, pia hudumaza maadili katika Taifa
> Taasisi zetu za kupambana na Rushwa (Bara na Zanzibar) zimejitahidi kuboresha utendaji. Hatua zinachukuliwa haraka tofauti na awali
Soma https://jamii.app/KemeaRushwa
#KemeaRushwa
> Taasisi zetu za kupambana na Rushwa (Bara na Zanzibar) zimejitahidi kuboresha utendaji. Hatua zinachukuliwa haraka tofauti na awali
Soma https://jamii.app/KemeaRushwa
#KemeaRushwa
RAIS HUSSEIN MWINYI: Tunaanza Ziara rasmi ndani ya mwezi huu katika maeneo yote ambayo fedha za #UVIKO19 zimefika
Ningependa niwaambie wanaohusika wote wahakikishe wana maelezo mazuri. Na kazi hizo ziwe zina ubora unaoendana na fedha zilizotolewa
#KemeaRushwa #AfricaAgainstCorruption
Ningependa niwaambie wanaohusika wote wahakikishe wana maelezo mazuri. Na kazi hizo ziwe zina ubora unaoendana na fedha zilizotolewa
#KemeaRushwa #AfricaAgainstCorruption
Akizungumza wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Mapambano dhidi ya Rushwa Afrika, Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi amesema ipo haja ya kuongeza kasi na umahiri katika kupambana na Rushwa na Uhujumu Uchumi
Amesisitiza, jitihada za Taasisi za Kupambana na Rushwa pekee (TAKUKURU na ZAECA) haziwezi kuleta ushindi katika mapambano hayo, na Wadau wote wanapaswa kuhusika
#KemeaRushwa #AfricaAgainstCorruption
Amesisitiza, jitihada za Taasisi za Kupambana na Rushwa pekee (TAKUKURU na ZAECA) haziwezi kuleta ushindi katika mapambano hayo, na Wadau wote wanapaswa kuhusika
#KemeaRushwa #AfricaAgainstCorruption
DAR: MSTAAFU WA JESHI ATUHUMIWA KUUA KWA RISASI
Jonas Ziganyige (71) anatuhumiwa kusababisha kifo cha Patient Romwadi kwa kumpiga na risasi kutokana na mgogoro wa mipaka
> Baada ya tukio Mtuhumiwa alikimbia, amekamatwa akiwa Kibaha-Pwani
Soma https://jamii.app/TuhumaZaMauaji
#JFMatukio
Jonas Ziganyige (71) anatuhumiwa kusababisha kifo cha Patient Romwadi kwa kumpiga na risasi kutokana na mgogoro wa mipaka
> Baada ya tukio Mtuhumiwa alikimbia, amekamatwa akiwa Kibaha-Pwani
Soma https://jamii.app/TuhumaZaMauaji
#JFMatukio
KIMARA, DAR: Polisi inamshikilia Selemani Haruna 'Kwata' (24) kwa mauaji ya Editha Charles (22) aliyekuwa akifanya Kazi za Ndani
> Mtuhumiwa alifika ktk nyumba anayofanya kazi Editha na kumshambulia na kitu chenye ncha kali, kisha kuiba Tsh. 1,800,000
Soma https://jamii.app/DarMauaji
#JFMatukio
> Mtuhumiwa alifika ktk nyumba anayofanya kazi Editha na kumshambulia na kitu chenye ncha kali, kisha kuiba Tsh. 1,800,000
Soma https://jamii.app/DarMauaji
#JFMatukio
ACP AHMED MAKARANI: Siku za karibuni kumekuwa na changamoto ya Waendesha Mashtaka kufanya kazi ya kupeleleza Washtakiwa wa Rushwa na Uhujumu Uchumi
> Asema hiyo ni kazi ya Wapelelezi yaani Polisi na Watu wa #DawaZaKulevya na si ya TAKUKURU
Soma https://jamii.app/KemeaRushwa
#KemeaRushwa
> Asema hiyo ni kazi ya Wapelelezi yaani Polisi na Watu wa #DawaZaKulevya na si ya TAKUKURU
Soma https://jamii.app/KemeaRushwa
#KemeaRushwa