AFRIKA KUSINI KUHARIBU DOZI 100,000 ZA CHANJO YA PFIZER
Afrika Kusini imerekodi idadi kubwa ya Maambukizi na vifo vya #CoronaVirus katika Bara la Afrika, hata hivyo utoaji Chanjo umepungua huku Nchi ikiwa na akiba ya kutosha ya dozi milioni 25
Soma - https://jamii.app/ExpireVaccineSA
Afrika Kusini imerekodi idadi kubwa ya Maambukizi na vifo vya #CoronaVirus katika Bara la Afrika, hata hivyo utoaji Chanjo umepungua huku Nchi ikiwa na akiba ya kutosha ya dozi milioni 25
Soma - https://jamii.app/ExpireVaccineSA
MABEYO AWASAMEHE WALIOFUKUZWA JKT, WARUDISHWA JESHINI
Mkuu wa Majeshi, Jenerali Venance Mabeyo ametoa msamaha kwa Vijana 853 waliofukuzwa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Aprili Mwaka 2021
Wanatakiwa kupokelewa kambini Machi 12, 2022
Soma - https://jamii.app/JKTMabeyo
#JFLeo
Mkuu wa Majeshi, Jenerali Venance Mabeyo ametoa msamaha kwa Vijana 853 waliofukuzwa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Aprili Mwaka 2021
Wanatakiwa kupokelewa kambini Machi 12, 2022
Soma - https://jamii.app/JKTMabeyo
#JFLeo
JESHI LA URUSI KUWAPOKEA WANAFUNZI WA KITANZANIA WALIO UKRAINE
Wanafunzi hao wanatakiwa kuelekea eneo la Sudja, watapokelewa na kusafirishwa hadi Belgorod, hapo watakabidhiwa kwa Maafisa wa Ubalozi wa Tanzania Nchini Urusi kwa taratibu za kurejeshwa
Soma https://jamii.app/RussiaTZ
Wanafunzi hao wanatakiwa kuelekea eneo la Sudja, watapokelewa na kusafirishwa hadi Belgorod, hapo watakabidhiwa kwa Maafisa wa Ubalozi wa Tanzania Nchini Urusi kwa taratibu za kurejeshwa
Soma https://jamii.app/RussiaTZ
CANADA YAWATAKA RAIA WAKE KUONDOKA URUSI
Serikali ya #Canada imesema hali ya Usalama haitabiriki na inaweza kuwa mbaya ghafla
IMF imeonya kuwa athari za kiuchumi za vita kati ya #Ukraine na Urusi zitakuwa mbaya zaidi ikiwa mzozo huo utaendelea
Soma - https://jamii.app/RaiaCanada
Serikali ya #Canada imesema hali ya Usalama haitabiriki na inaweza kuwa mbaya ghafla
IMF imeonya kuwa athari za kiuchumi za vita kati ya #Ukraine na Urusi zitakuwa mbaya zaidi ikiwa mzozo huo utaendelea
Soma - https://jamii.app/RaiaCanada
SERIKALI MPYA YAPITISHWA NCHINI BURKINA FASO
Rais wa Mpito ameidhinisha Serikali mpya yenye Mawaziri 25. Miongoni mwao ni Barthelemy Simpore aliyehudumu kama Waziri wa Ulinzi chini ya Rais Roch Kabore kabla ya Jeshi kufanya Mapinduzi
Soma - https://jamii.app/BFNewGovt
#JFLeo
Rais wa Mpito ameidhinisha Serikali mpya yenye Mawaziri 25. Miongoni mwao ni Barthelemy Simpore aliyehudumu kama Waziri wa Ulinzi chini ya Rais Roch Kabore kabla ya Jeshi kufanya Mapinduzi
Soma - https://jamii.app/BFNewGovt
#JFLeo
#UKRAINE: RAIS VOLODYMYR ZELENSKY AHIMIZA VIKWAZO ZAIDI DHIDI YA URUSI
Asema ujasiri wa kutangaza wazi ukatili uliopangwa kufanyika ni ishara tosha kwa Nchi za Magharibi kwamba vikwazo vilivyowekwa dhidi ya #Russia havitoshi
Soma - https://jamii.app/UrusiVikwazo
#RussiaUkraineWar
Asema ujasiri wa kutangaza wazi ukatili uliopangwa kufanyika ni ishara tosha kwa Nchi za Magharibi kwamba vikwazo vilivyowekwa dhidi ya #Russia havitoshi
Soma - https://jamii.app/UrusiVikwazo
#RussiaUkraineWar
URUSI: PADRI MBARONI KWA KUHUBIRI AMANI
Padri John Burdin amekosoa mapigano yanayoendelea kati ya Urusi na #Ukraine huku akichapisha picha za kupinga Vita
Kukosoa matumizi ya Jeshi ni jinai kwa Sheria iliyopitishwa na Bunge
Soma - https://jamii.app/PadriAmani
#RussiaUkraineConflict
Padri John Burdin amekosoa mapigano yanayoendelea kati ya Urusi na #Ukraine huku akichapisha picha za kupinga Vita
Kukosoa matumizi ya Jeshi ni jinai kwa Sheria iliyopitishwa na Bunge
Soma - https://jamii.app/PadriAmani
#RussiaUkraineConflict
Ripoti ya CAG 2019/20 ilibaini zaidi ya Miradi ya Maendeleo 68 yenye thamani ya Tsh. Bilioni 18.3 ilikuwa imekamilika lakini haitumiki
Baadhi ya Miradi hiyo ni Ujenzi wa Masoko, Miundombinu ya Shule, Hospitali za Wilaya, Vituo vya Afya na Zahanati
#JFUwajibikaji #WAJIBU #JamiiForums #Accountability
Baadhi ya Miradi hiyo ni Ujenzi wa Masoko, Miundombinu ya Shule, Hospitali za Wilaya, Vituo vya Afya na Zahanati
#JFUwajibikaji #WAJIBU #JamiiForums #Accountability
MDAU: TAKA NGUMU ZICHAKATWE KUWA MBOLEA ASILIA KUOKOA MAZINGIRA
Anasema tatizo la taka ngumu ni kubwa, na jitihada za Mamlaka pamoja na wadau mbalimbali bado hazijakidhi ukubwa wa tatizo lililopo
Anashauri maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya kutupa taka ngumu kuwekwa viwanda vya mbolea, malighafi ya chuma na plastiki badala ya kuchoma moto taka na kusababisha uchafuzi wa mazingira na athari za Kiafya
Soma - https://jamii.app/TakaNgumuSOC
#StoriesOfChange
Anasema tatizo la taka ngumu ni kubwa, na jitihada za Mamlaka pamoja na wadau mbalimbali bado hazijakidhi ukubwa wa tatizo lililopo
Anashauri maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya kutupa taka ngumu kuwekwa viwanda vya mbolea, malighafi ya chuma na plastiki badala ya kuchoma moto taka na kusababisha uchafuzi wa mazingira na athari za Kiafya
Soma - https://jamii.app/TakaNgumuSOC
#StoriesOfChange
Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani (Machi 8, 2022), inaelezwa Wanawake na Wasichana wanakumbana na athari kubwa zaidi za Mabadiliko ya TabiaNchi, kwani yanazidisha ukosefu wa #UsawaWaKijinsia
Kukosekana Usawa wa Kijinsia ni miongoni mwa changamoto kubwa inayohitaji suluhisho la haraka, na ni wakati wa kuchukua hatua
Soma - https://jamii.app/UsawaWanawake
#IWD2022
Kukosekana Usawa wa Kijinsia ni miongoni mwa changamoto kubwa inayohitaji suluhisho la haraka, na ni wakati wa kuchukua hatua
Soma - https://jamii.app/UsawaWanawake
#IWD2022
NAMIBIA: Wanafunzi 23 wamefanikiwa kurejeshwa Nchini humo kutoka #Ukraine na Wizara ya Elimu imewataka kujiunga na Vyuo vya ndani ili kuendelea na Masomo
Wanafunzi takribani 13,000 wa #Ghana, Somalia na #Nigeria wamekwama Mjini Sumy
Soma - https://jamii.app/WanafunziNamibia
#RussiaUkraine
Wanafunzi takribani 13,000 wa #Ghana, Somalia na #Nigeria wamekwama Mjini Sumy
Soma - https://jamii.app/WanafunziNamibia
#RussiaUkraine
MTWARA: ATUHUMIWA KUUA MKE NA KISHA KUMZIKA KWENYE SHIMO
Shaibu Kauselela anatafutwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma ya kumuua Amina Mtausi (40) kwa kumpiga na kitu kizito, baadaye kumzika kwenye Shamba na kupanda Mpunga ili kupoteza ushahidi
Soma - https://jamii.app/Mtwara
#GBV
Shaibu Kauselela anatafutwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma ya kumuua Amina Mtausi (40) kwa kumpiga na kitu kizito, baadaye kumzika kwenye Shamba na kupanda Mpunga ili kupoteza ushahidi
Soma - https://jamii.app/Mtwara
#GBV
URUSI: Baadhi ya raia wameingia Mitaani kupinga hatua ya Nchi yao kuishambulia #Ukraine wakitoa maneno ya βNo to Warβ
Wizara ya Mambo ya Ndani imesema takriban Watu 3,500 wamekamatwa katika Miji 56 kwa kufanya maandamano
Soma - https://jamii.app/ProtestersRussia
#RussiaUkraineConflict
Wizara ya Mambo ya Ndani imesema takriban Watu 3,500 wamekamatwa katika Miji 56 kwa kufanya maandamano
Soma - https://jamii.app/ProtestersRussia
#RussiaUkraineConflict
KUNYIMWA KUJIELEZA NI KUNYIMWA HAKI YA KUSHIRIKI KATIKA MAENDELEO
Ripoti iliyotolewa na Taasisi ya Article 19 Mwaka 2021 inaonesha hali ya #UhuruWaKujieleza/kutoa mawazo binafsi imekuwa ikidorora katika maeneo mengi duniani
Bila Uhuru wa Kuzungumza haiwezekani kamwe kutatua matatizo ambayo yanahitaji kutatuliwa
Soma - https://jamii.app/UhuruKujieleza
Ripoti iliyotolewa na Taasisi ya Article 19 Mwaka 2021 inaonesha hali ya #UhuruWaKujieleza/kutoa mawazo binafsi imekuwa ikidorora katika maeneo mengi duniani
Bila Uhuru wa Kuzungumza haiwezekani kamwe kutatua matatizo ambayo yanahitaji kutatuliwa
Soma - https://jamii.app/UhuruKujieleza
ETHIOPIA: Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Wakimbizi (UNHCR) limeripoti machafuko ya #Ethiopia kusababisha Watu milioni 2 kukimbia Makazi yao
> Mapigano ya #Tigray yamezibomoa hata kambi za Wakimbizi zilizokuwa Nchini #Eritrea
Soma https://jamii.app/EthiopiaMachafuko
#JFLeo
> Mapigano ya #Tigray yamezibomoa hata kambi za Wakimbizi zilizokuwa Nchini #Eritrea
Soma https://jamii.app/EthiopiaMachafuko
#JFLeo
UPDATES: Serikali ya #Ukraine imependekeza vikwazo vya kibiashara vya kimataifa dhidi ya Urusi ikiwemo kuzuia mafuta ya Taifa hilo ikisema 'Vita viwalishe'
Vikosi vya Moscow vinaushambulia Mji wa #Mariupol na Raia 300,000 wanasubiri kuondolewa
Soma - https://jamii.app/MafutaUrusi
Vikosi vya Moscow vinaushambulia Mji wa #Mariupol na Raia 300,000 wanasubiri kuondolewa
Soma - https://jamii.app/MafutaUrusi
SIMIYU: WATENDAJI WA SERIKALI WAKAMATWA KWA WIZI WA CHUPA ZA DAWA
Watu 12 wakiwamo Watendaji wa Serikali za Mtaa wamekamatwa wakidaiwa kuiba Chupa 434 za Dawa za kuua wadudu wa Pamba zilizotolewa na Serikali kwa Wakulima Wilayani Bariadi
Soma - https://jamii.app/WiziSimiyu
#JFLeo
Watu 12 wakiwamo Watendaji wa Serikali za Mtaa wamekamatwa wakidaiwa kuiba Chupa 434 za Dawa za kuua wadudu wa Pamba zilizotolewa na Serikali kwa Wakulima Wilayani Bariadi
Soma - https://jamii.app/WiziSimiyu
#JFLeo
URUSI YATOA MASHARTI YA KUACHA KUISHAMBULIA UKRAINE
Imeitaka Ukraine kuitambua #Crimea kama sehemu ya #Russia, na Donetsk and Luhansk kama Mataifa huru
Aidha, #Ukraine imetakiwa kubadili Katiba na kukataa kuingia katika kambi yoyote kama NATO
Soma - https://jamii.app/UrusiMasharti
Imeitaka Ukraine kuitambua #Crimea kama sehemu ya #Russia, na Donetsk and Luhansk kama Mataifa huru
Aidha, #Ukraine imetakiwa kubadili Katiba na kukataa kuingia katika kambi yoyote kama NATO
Soma - https://jamii.app/UrusiMasharti
WANAFUNZI WA KITANZANIA WATOKA SALAMA UKRAINE
Waziri wa Mambo ya Nje, Balozi Liberata Mulamula amesema Wanafunzi wapatao 150 wamevuka salama na kukimbilia nchi za Poland, #Hungary, Romania na #Denmark. 23 wamefanikiwa kurejea Tanzania
Soma - https://jamii.app/WatanzaniaSalama
#JFLeo
Waziri wa Mambo ya Nje, Balozi Liberata Mulamula amesema Wanafunzi wapatao 150 wamevuka salama na kukimbilia nchi za Poland, #Hungary, Romania na #Denmark. 23 wamefanikiwa kurejea Tanzania
Soma - https://jamii.app/WatanzaniaSalama
#JFLeo
#BURUDANI: Watu wengi hasa Vijana wanapenda kuangalia Filamu (#Movies). Filamu hizi huburudisha, huchangamsha na kutoa mafunzo kwa Jamii
Je, ni Filamu gani uliyowahi kuangalia zaidi ya mara moja na bado huichoki?
Mjadala - https://jamii.app/FilamuBurudani
#Entertainment #JamiiForums
Je, ni Filamu gani uliyowahi kuangalia zaidi ya mara moja na bado huichoki?
Mjadala - https://jamii.app/FilamuBurudani
#Entertainment #JamiiForums
SERIKALI: WATU 8 WAFARIKI DUNIA KWA #COVID19 NDANI YA MWEZI MMOJA
Visa vipya 290 viliripotiwa kuanzia Februari 5 - Machi 4, 2022. Wagonjwa 136 walilazwa na 128 kati yao hawakupata chanjo
Idadi ya waliopata dozi kamili ya chanjo Nchini ni 2,664,373
Soma https://jamii.app/8COVID19
Visa vipya 290 viliripotiwa kuanzia Februari 5 - Machi 4, 2022. Wagonjwa 136 walilazwa na 128 kati yao hawakupata chanjo
Idadi ya waliopata dozi kamili ya chanjo Nchini ni 2,664,373
Soma https://jamii.app/8COVID19