MSUMBIJI: Rais Filipe Nyusi amemfukuza kazi aliyekuwa Waziri Mkuu, Carlos Agostinho do RosΓ‘rio na kumteua Adriano Afonso Maleiane ktk nafasi hiyo
> Ernesto Max Tonela anakuwa Waziri wa Fedha na Uchumi, Carlos Zacarias kuwa Waziri wa Nishati na Madini
Soma: https://jamii.app/Msumbiji
> Ernesto Max Tonela anakuwa Waziri wa Fedha na Uchumi, Carlos Zacarias kuwa Waziri wa Nishati na Madini
Soma: https://jamii.app/Msumbiji
MDAU: TUMJALI MTU ZAIDI PALE ANAPOKUWA MGONJWA KULIKO AKIWA MAREHEMU
Anasema Mtu akifariki kunakuwepo na michango na misaada mingi kwa ajili ya Msiba lakini Marehemu alipokuwa anaumwa huenda Ndugu na Marafiki hawakutoa msaada wowote
Aidha, baadhi ya wachangiaji wanasema kama Mtu huna ushirikiano mzuri na Watu hata unapopata matatizo pia utakosa wa kukupa msaada.
Una maoni gani?
Mjadala - https://jamii.app/KujaliWatu
#Maisha
Anasema Mtu akifariki kunakuwepo na michango na misaada mingi kwa ajili ya Msiba lakini Marehemu alipokuwa anaumwa huenda Ndugu na Marafiki hawakutoa msaada wowote
Aidha, baadhi ya wachangiaji wanasema kama Mtu huna ushirikiano mzuri na Watu hata unapopata matatizo pia utakosa wa kukupa msaada.
Una maoni gani?
Mjadala - https://jamii.app/KujaliWatu
#Maisha
URUSI: Bunge limepitisha Sheria inayoruhusu Mamlaka kuwafunga hadi miaka 15 watu walioshtakiwa kwa kusambaza makusudi taarifa zisizo na ukweli kuhusu Jeshi la Nchi hiyo. Sheria hiyo pia inafanya wito wa vikwazo dhidi ya Urusi kuwa Kosa la Jinai
Soma - https://jamii.app/JeshiUrusi
Soma - https://jamii.app/JeshiUrusi
SHINYANGA: Madirisha Kanyalu (60) amejiua kwa kujitumbukiza kisimani baada ya kumuua mtoto wake, Meshack Madirisha (miezi 11) na mkewe Evodia Nyerere (27), akimtuhumu mkewe kwa usaliti
> Tukio hilo limetokea Februari 2, 2022 ktk Kijiji cha Bulambila
Soma - https://jamii.app/Ajiua
> Tukio hilo limetokea Februari 2, 2022 ktk Kijiji cha Bulambila
Soma - https://jamii.app/Ajiua
Balozi wa Marekani Nchini Tanzania, Donald J. Wright amesema kuachiwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe ni nafasi nzuri kwa Tanzania kubadili ukurasa na kutazama maisha yajayo
Soma - https://jamii.app/USAMbowe
#JamiiForums
Soma - https://jamii.app/USAMbowe
#JamiiForums
SIKU YA KIMATAIFA YA UFAHAMU WA VIRUSI VYA PAPILLOMA - HPV
'Human Papilloma Virus' au #HPV ni kirusi ambacho husambaa kwa njia ya kujamiiana. Asilimia kubwa ya Watu wenye maambukizi ya HPV hupata vipele au #GenitalWarts, maumivu au Damu wakati wa Tendo, kuwashwa n.k
HPV huweza kusababisha aina mbalimbali za Saratani kwenye Mwili wa Binadamu ikiwemo Saratani ya Shingo ya Kizazi, Saratani Njia ya Haja kubwa n.k. Takriban Saratani zote za Shingo ya Kizazi hutokana na HPV za aina mbili, HPV16 na HPV18.
Soma - https://jamii.app/HPVDay2022
#Afya #Cancer
'Human Papilloma Virus' au #HPV ni kirusi ambacho husambaa kwa njia ya kujamiiana. Asilimia kubwa ya Watu wenye maambukizi ya HPV hupata vipele au #GenitalWarts, maumivu au Damu wakati wa Tendo, kuwashwa n.k
HPV huweza kusababisha aina mbalimbali za Saratani kwenye Mwili wa Binadamu ikiwemo Saratani ya Shingo ya Kizazi, Saratani Njia ya Haja kubwa n.k. Takriban Saratani zote za Shingo ya Kizazi hutokana na HPV za aina mbili, HPV16 na HPV18.
Soma - https://jamii.app/HPVDay2022
#Afya #Cancer
UKRAINE: WANAFUNZI WA KITANZANIA KUONDOLEWA KUPITIA URUSI
Ubalozi wa Tanzania Sweden na Ubalozi wa Tanzania #Moscow unawaondoa Wanafunzi waliopo Chuo cha Sumy kupitia mpaka wa Urusi
Zoezi hilo linaratibiwa na Serikali ya Urusi
Soma https://jamii.app/WatzSumy
#RussianUkrainianWar
Ubalozi wa Tanzania Sweden na Ubalozi wa Tanzania #Moscow unawaondoa Wanafunzi waliopo Chuo cha Sumy kupitia mpaka wa Urusi
Zoezi hilo linaratibiwa na Serikali ya Urusi
Soma https://jamii.app/WatzSumy
#RussianUkrainianWar
Rais Samia Suluhu Hassan leo Machi 4, 2022 amekutana na kuzungumza na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe
Soma zaidi > https://jamii.app/MboweSamia
Soma zaidi > https://jamii.app/MboweSamia
URUSI: Sheria inayoruhusu Mamlaka kuwafunga hadi miaka 15 wanaoshtakiwa kusambaza makusudi taarifa feki imepelekea BBC, CNN, Bloomberg, CBC na Redio Canada kusema zitaacha kurusha Matangazo kwa muda Nchini humo ili kulinda Wanahabari
Soma - https://jamii.app/NewsRussia
#PressFreedom
Soma - https://jamii.app/NewsRussia
#PressFreedom
URUSI: MEJA JENERALI AMSHAURI PUTIN WAPIGE MAPIGO MABAYA ILI UKRAINE IJISALIMISHE
Kiongozi wa #Chechnya, Ramzan Kadyrov amemshauri Rais Putin asikubali mazungumzo
> Ameshauri kuipiga #Ukraine haraka sana kwani kuchelewa kunafanya waongezewe vikwazo
Soma https://jamii.app/ChechnyaUrusi
Kiongozi wa #Chechnya, Ramzan Kadyrov amemshauri Rais Putin asikubali mazungumzo
> Ameshauri kuipiga #Ukraine haraka sana kwani kuchelewa kunafanya waongezewe vikwazo
Soma https://jamii.app/ChechnyaUrusi
AFRIKA KUSINI KUHARIBU DOZI 100,000 ZA CHANJO YA PFIZER
Afrika Kusini imerekodi idadi kubwa ya Maambukizi na vifo vya #CoronaVirus katika Bara la Afrika, hata hivyo utoaji Chanjo umepungua huku Nchi ikiwa na akiba ya kutosha ya dozi milioni 25
Soma - https://jamii.app/ExpireVaccineSA
Afrika Kusini imerekodi idadi kubwa ya Maambukizi na vifo vya #CoronaVirus katika Bara la Afrika, hata hivyo utoaji Chanjo umepungua huku Nchi ikiwa na akiba ya kutosha ya dozi milioni 25
Soma - https://jamii.app/ExpireVaccineSA
MABEYO AWASAMEHE WALIOFUKUZWA JKT, WARUDISHWA JESHINI
Mkuu wa Majeshi, Jenerali Venance Mabeyo ametoa msamaha kwa Vijana 853 waliofukuzwa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Aprili Mwaka 2021
Wanatakiwa kupokelewa kambini Machi 12, 2022
Soma - https://jamii.app/JKTMabeyo
#JFLeo
Mkuu wa Majeshi, Jenerali Venance Mabeyo ametoa msamaha kwa Vijana 853 waliofukuzwa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Aprili Mwaka 2021
Wanatakiwa kupokelewa kambini Machi 12, 2022
Soma - https://jamii.app/JKTMabeyo
#JFLeo
JESHI LA URUSI KUWAPOKEA WANAFUNZI WA KITANZANIA WALIO UKRAINE
Wanafunzi hao wanatakiwa kuelekea eneo la Sudja, watapokelewa na kusafirishwa hadi Belgorod, hapo watakabidhiwa kwa Maafisa wa Ubalozi wa Tanzania Nchini Urusi kwa taratibu za kurejeshwa
Soma https://jamii.app/RussiaTZ
Wanafunzi hao wanatakiwa kuelekea eneo la Sudja, watapokelewa na kusafirishwa hadi Belgorod, hapo watakabidhiwa kwa Maafisa wa Ubalozi wa Tanzania Nchini Urusi kwa taratibu za kurejeshwa
Soma https://jamii.app/RussiaTZ
CANADA YAWATAKA RAIA WAKE KUONDOKA URUSI
Serikali ya #Canada imesema hali ya Usalama haitabiriki na inaweza kuwa mbaya ghafla
IMF imeonya kuwa athari za kiuchumi za vita kati ya #Ukraine na Urusi zitakuwa mbaya zaidi ikiwa mzozo huo utaendelea
Soma - https://jamii.app/RaiaCanada
Serikali ya #Canada imesema hali ya Usalama haitabiriki na inaweza kuwa mbaya ghafla
IMF imeonya kuwa athari za kiuchumi za vita kati ya #Ukraine na Urusi zitakuwa mbaya zaidi ikiwa mzozo huo utaendelea
Soma - https://jamii.app/RaiaCanada
SERIKALI MPYA YAPITISHWA NCHINI BURKINA FASO
Rais wa Mpito ameidhinisha Serikali mpya yenye Mawaziri 25. Miongoni mwao ni Barthelemy Simpore aliyehudumu kama Waziri wa Ulinzi chini ya Rais Roch Kabore kabla ya Jeshi kufanya Mapinduzi
Soma - https://jamii.app/BFNewGovt
#JFLeo
Rais wa Mpito ameidhinisha Serikali mpya yenye Mawaziri 25. Miongoni mwao ni Barthelemy Simpore aliyehudumu kama Waziri wa Ulinzi chini ya Rais Roch Kabore kabla ya Jeshi kufanya Mapinduzi
Soma - https://jamii.app/BFNewGovt
#JFLeo
#UKRAINE: RAIS VOLODYMYR ZELENSKY AHIMIZA VIKWAZO ZAIDI DHIDI YA URUSI
Asema ujasiri wa kutangaza wazi ukatili uliopangwa kufanyika ni ishara tosha kwa Nchi za Magharibi kwamba vikwazo vilivyowekwa dhidi ya #Russia havitoshi
Soma - https://jamii.app/UrusiVikwazo
#RussiaUkraineWar
Asema ujasiri wa kutangaza wazi ukatili uliopangwa kufanyika ni ishara tosha kwa Nchi za Magharibi kwamba vikwazo vilivyowekwa dhidi ya #Russia havitoshi
Soma - https://jamii.app/UrusiVikwazo
#RussiaUkraineWar
URUSI: PADRI MBARONI KWA KUHUBIRI AMANI
Padri John Burdin amekosoa mapigano yanayoendelea kati ya Urusi na #Ukraine huku akichapisha picha za kupinga Vita
Kukosoa matumizi ya Jeshi ni jinai kwa Sheria iliyopitishwa na Bunge
Soma - https://jamii.app/PadriAmani
#RussiaUkraineConflict
Padri John Burdin amekosoa mapigano yanayoendelea kati ya Urusi na #Ukraine huku akichapisha picha za kupinga Vita
Kukosoa matumizi ya Jeshi ni jinai kwa Sheria iliyopitishwa na Bunge
Soma - https://jamii.app/PadriAmani
#RussiaUkraineConflict
Ripoti ya CAG 2019/20 ilibaini zaidi ya Miradi ya Maendeleo 68 yenye thamani ya Tsh. Bilioni 18.3 ilikuwa imekamilika lakini haitumiki
Baadhi ya Miradi hiyo ni Ujenzi wa Masoko, Miundombinu ya Shule, Hospitali za Wilaya, Vituo vya Afya na Zahanati
#JFUwajibikaji #WAJIBU #JamiiForums #Accountability
Baadhi ya Miradi hiyo ni Ujenzi wa Masoko, Miundombinu ya Shule, Hospitali za Wilaya, Vituo vya Afya na Zahanati
#JFUwajibikaji #WAJIBU #JamiiForums #Accountability
MDAU: TAKA NGUMU ZICHAKATWE KUWA MBOLEA ASILIA KUOKOA MAZINGIRA
Anasema tatizo la taka ngumu ni kubwa, na jitihada za Mamlaka pamoja na wadau mbalimbali bado hazijakidhi ukubwa wa tatizo lililopo
Anashauri maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya kutupa taka ngumu kuwekwa viwanda vya mbolea, malighafi ya chuma na plastiki badala ya kuchoma moto taka na kusababisha uchafuzi wa mazingira na athari za Kiafya
Soma - https://jamii.app/TakaNgumuSOC
#StoriesOfChange
Anasema tatizo la taka ngumu ni kubwa, na jitihada za Mamlaka pamoja na wadau mbalimbali bado hazijakidhi ukubwa wa tatizo lililopo
Anashauri maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya kutupa taka ngumu kuwekwa viwanda vya mbolea, malighafi ya chuma na plastiki badala ya kuchoma moto taka na kusababisha uchafuzi wa mazingira na athari za Kiafya
Soma - https://jamii.app/TakaNgumuSOC
#StoriesOfChange
Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani (Machi 8, 2022), inaelezwa Wanawake na Wasichana wanakumbana na athari kubwa zaidi za Mabadiliko ya TabiaNchi, kwani yanazidisha ukosefu wa #UsawaWaKijinsia
Kukosekana Usawa wa Kijinsia ni miongoni mwa changamoto kubwa inayohitaji suluhisho la haraka, na ni wakati wa kuchukua hatua
Soma - https://jamii.app/UsawaWanawake
#IWD2022
Kukosekana Usawa wa Kijinsia ni miongoni mwa changamoto kubwa inayohitaji suluhisho la haraka, na ni wakati wa kuchukua hatua
Soma - https://jamii.app/UsawaWanawake
#IWD2022
NAMIBIA: Wanafunzi 23 wamefanikiwa kurejeshwa Nchini humo kutoka #Ukraine na Wizara ya Elimu imewataka kujiunga na Vyuo vya ndani ili kuendelea na Masomo
Wanafunzi takribani 13,000 wa #Ghana, Somalia na #Nigeria wamekwama Mjini Sumy
Soma - https://jamii.app/WanafunziNamibia
#RussiaUkraine
Wanafunzi takribani 13,000 wa #Ghana, Somalia na #Nigeria wamekwama Mjini Sumy
Soma - https://jamii.app/WanafunziNamibia
#RussiaUkraine