Rais Samia Suluhu amesema Tanzania ni miongoni mwa Nchi 10 za Afrika ambazo Uchumi unakua kwa kasi
Asema, "Tumeona viashiria vya Maendeleo kwenye Maendeleo ya mtu. Tumeweza kupunguza kiwango cha umasikini kutoka 28.6% (2015) hadi 26.2% (2020)
Soma - https://jamii.app/MkutanoTaasisiFedha
Asema, "Tumeona viashiria vya Maendeleo kwenye Maendeleo ya mtu. Tumeweza kupunguza kiwango cha umasikini kutoka 28.6% (2015) hadi 26.2% (2020)
Soma - https://jamii.app/MkutanoTaasisiFedha
PROF. BISANDA AOMBA HESLB WAFADHILI WANAFUNZI WANAOSOMA CHUO KIKUU HURIA
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria #Tanzania, Prof Elifas Tozo amesema wanakumbana na changamoto ya Bodi ya Mikopo kutowatambua Wanafunzi wao, hivyo hutoa mikopo kwa wachache
Soma - https://jamii.app/OUTHESLB
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria #Tanzania, Prof Elifas Tozo amesema wanakumbana na changamoto ya Bodi ya Mikopo kutowatambua Wanafunzi wao, hivyo hutoa mikopo kwa wachache
Soma - https://jamii.app/OUTHESLB
BURKINA FASO: Serikali imeongeza muda wa kusitishwa Huduma za Intaneti, ikielezwa hatua hiyo inatokana na sababu za Kiusalama
Wapinzani wa Rais Kabore wameitisha maandamano mapya kupinga Serikali kushindwa kuzuia ghasia zinazofanywa na Wanamgambo
Soma - https://jamii.app/InternetBurkinaFaso
Wapinzani wa Rais Kabore wameitisha maandamano mapya kupinga Serikali kushindwa kuzuia ghasia zinazofanywa na Wanamgambo
Soma - https://jamii.app/InternetBurkinaFaso
RC MAKALLA: KUNA WANAUME WANANYANYASWA NA WANAWAKE WENYE FEDHA
RC wa Dar amesema βWapo Wanaume wanaonyanyaswa. Kuna Wanawake wana Fedha wanahitaji tu Wanaume wa kuwaoa, anaweza kumpa kitu Mwanaume na kumnyangβanya wakiachanaβ
Soma - https://jamii.app/MakallaGBVMen
#16DaysofActivism2021
RC wa Dar amesema βWapo Wanaume wanaonyanyaswa. Kuna Wanawake wana Fedha wanahitaji tu Wanaume wa kuwaoa, anaweza kumpa kitu Mwanaume na kumnyangβanya wakiachanaβ
Soma - https://jamii.app/MakallaGBVMen
#16DaysofActivism2021
UTUMIKISHAJI WATOTO AFRIKA MAGHARIBI NA KATI WAONGEZEKA
Wanatumiwa kama wapiganaji, wapelelezi, wapishi, walinzi na wabeba mizigo
Watoto 21,000 waliandikishwa na Vikosi vya Kijeshi na makundi yenye silaha kati ya 2016 na 2020
Soma - https://jamii.app/ChildLabourWA
#ChildViolence
Wanatumiwa kama wapiganaji, wapelelezi, wapishi, walinzi na wabeba mizigo
Watoto 21,000 waliandikishwa na Vikosi vya Kijeshi na makundi yenye silaha kati ya 2016 na 2020
Soma - https://jamii.app/ChildLabourWA
#ChildViolence
SERIKALI: NGUVU YA PAMOJA INAHITAJIKA KUKOMESHA UKATILI WA KIJINSIA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema licha ya Sheria kali bado Ukatili unajitokeza
Asema, "Rushwa ya ngono imekua changamoto Vyuo Vikuu na maeneo ya kazi"
Soma - https://jamii.app/VitendoUkatiliTZ
#16DaysofActivism2021
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema licha ya Sheria kali bado Ukatili unajitokeza
Asema, "Rushwa ya ngono imekua changamoto Vyuo Vikuu na maeneo ya kazi"
Soma - https://jamii.app/VitendoUkatiliTZ
#16DaysofActivism2021
AFRIKA KUSINI: Serikali imeomba Kampuni za Johnson & Johnson na #Pfizer kuchelewesha utoaji wa Chanjo kutokana na kuwa na Chanjo nyingi kwenye maghala
35% ya Wananchi wameshapata Chanjo kamili huku Nchi ikiwa na dozi Milioni 16.8 ghalani
Soma - https://jamii.app/StockVaccineSA
#UVIKO3
35% ya Wananchi wameshapata Chanjo kamili huku Nchi ikiwa na dozi Milioni 16.8 ghalani
Soma - https://jamii.app/StockVaccineSA
#UVIKO3
Kumekuwa na mjadala wa muda mrefu ukiituhumu Demokrasia kukwamisha Maendeleo huku wengine wakidai kuwa ili maendeleo yatokee kunahitajika utawala wa kiimla
Je, wewe una mtazamo gani kuhusu hili?
Ungana nasi katika Mjadala kuanzia saa 12 jioni kupitia Clubhouse
Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/3RJTuGde/P08pBBww
Je, wewe una mtazamo gani kuhusu hili?
Ungana nasi katika Mjadala kuanzia saa 12 jioni kupitia Clubhouse
Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/3RJTuGde/P08pBBww
Aidan Eyakuze: Demokrasia inaturuhusu sisi kama binadamu wa nchi fulani kujiuliza maswali 2 ya msingi
1. Nani atazalisha yale yote tunayohitaji kama binadamu?
2. Nani atalipia uzalishaji huo?
Fuatilia - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/3RJTuGde/P08pBBww
#JamiiForums #Democracy
1. Nani atazalisha yale yote tunayohitaji kama binadamu?
2. Nani atalipia uzalishaji huo?
Fuatilia - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/3RJTuGde/P08pBBww
#JamiiForums #Democracy
Yanayojiri katika Mjadala wa "Je, Demokrasia inakwamisha Maendeleo?" unaoendelea kupitia Clubhouse
#Democracy #JamiiForums
#Democracy #JamiiForums
TETESI: MANCHESTER UNITED KUMPA RANGNICK UKOCHA WA MUDA
- Inadaiwa Klabu ya Man. Utd imefikia makubaliano na Kocha Ralf Rangnick (63) ili awe kocha wao wa muda hadi mwisho wa msimu 2021 - 22
- Rangnick amewahi kuwa Kocha wa Hannover, Schalke, Hoffenheim na RB Leipzig
#JFSports
- Inadaiwa Klabu ya Man. Utd imefikia makubaliano na Kocha Ralf Rangnick (63) ili awe kocha wao wa muda hadi mwisho wa msimu 2021 - 22
- Rangnick amewahi kuwa Kocha wa Hannover, Schalke, Hoffenheim na RB Leipzig
#JFSports
SUDAN: Maelfu ya watu wameandamana Jijini #Khartoum pamoja na Miji mingine. Vikosi vya Usalama vimetumia mabomu ya machozi dhidi ya Waandamanaji huko Omdurman
Wananchi wamepinga Makubaliano yaliyomrejesha Madarakani Waziri Mkuu, Abdalla Hamdok
Soma - https://jamii.app/ProtestsKhartoum
Wananchi wamepinga Makubaliano yaliyomrejesha Madarakani Waziri Mkuu, Abdalla Hamdok
Soma - https://jamii.app/ProtestsKhartoum
Ili kutatua kasoro zilizoainishwa katika Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo, Serikali inashauriwa kuwezesha Halmashauri kukamilisha miradi iliyoanza kabla ya kuanza miradi mipya
Pia, Taasisi ya WAJIBU inashauri Wizara ya Fedha na Mipango (Hazina) pamoja na watekeleza miradi kufuata makubaliano waliojiwekea na Washirika wa Maendeleo
Soma - https://jamii.app/MapungufuMiradi
#JFUwajibikaji
Pia, Taasisi ya WAJIBU inashauri Wizara ya Fedha na Mipango (Hazina) pamoja na watekeleza miradi kufuata makubaliano waliojiwekea na Washirika wa Maendeleo
Soma - https://jamii.app/MapungufuMiradi
#JFUwajibikaji
AINA MPYA YA KIRUSI CHA CORONA YAGUNDULIKA AFRIKA KUSINI
Wanasayansi Nchini humo wameelezea wasiwasi wao kuhusu aina mpya ya Kirusi cha Corona kiitwacho B.1.1.529
Wataalamu wa Shirika la Afya Duniani(WHO) wanatarajiwa kukutana kukitathmini
Soma https://jamii.app/NewVariantSA
#UVIKO3
Wanasayansi Nchini humo wameelezea wasiwasi wao kuhusu aina mpya ya Kirusi cha Corona kiitwacho B.1.1.529
Wataalamu wa Shirika la Afya Duniani(WHO) wanatarajiwa kukutana kukitathmini
Soma https://jamii.app/NewVariantSA
#UVIKO3