Kumekuwa na mjadala wa muda mrefu ukiituhumu Demokrasia kukwamisha Maendeleo huku wengine wakidai kuwa ili maendeleo yatokee kunahitajika utawala wa kiimla
Je, wewe una mtazamo gani kuhusu hili?
Ungana nasi katika Mjadala utakaofanyika Alhamisi Novemba 25, 2021 kuanzia saa 12 jioni kupitia Clubhouse
#JamiiForums #Democracy
Je, wewe una mtazamo gani kuhusu hili?
Ungana nasi katika Mjadala utakaofanyika Alhamisi Novemba 25, 2021 kuanzia saa 12 jioni kupitia Clubhouse
#JamiiForums #Democracy
SUDAN: MAWAZIRI 12 WAJIUZULU KUPINGA MAKUBALIANO NA JESHI
Wamewasilisha barua za kujiuzulu kwa Waziri Mkuu Abdalla Hamdok aliyerejeshewa Madaraka siku kadhaa zilizopita
Wanapinga Makubaliano ya Kisiasa kati ya Waziri Mkuu na Baraza la Kijeshi
Soma - https://jamii.app/12MinSudan
Wamewasilisha barua za kujiuzulu kwa Waziri Mkuu Abdalla Hamdok aliyerejeshewa Madaraka siku kadhaa zilizopita
Wanapinga Makubaliano ya Kisiasa kati ya Waziri Mkuu na Baraza la Kijeshi
Soma - https://jamii.app/12MinSudan
RIPOTI: COVID-19 IMEATHIRI ZAIDI WANAWAKE KIUCHUMI NA KIJAMII
Ripoti ya Shirika la Msalaba Mwekundu inasema Wanawake wameathiriwa zaidi na upotevu wa Mapato, kuongezeka ukatili, Ndoa za utotoni na biashara haramu ya usafirishaji binadamu
Soma - https://jamii.app/CoronaWanawake
#UVIKO3
Ripoti ya Shirika la Msalaba Mwekundu inasema Wanawake wameathiriwa zaidi na upotevu wa Mapato, kuongezeka ukatili, Ndoa za utotoni na biashara haramu ya usafirishaji binadamu
Soma - https://jamii.app/CoronaWanawake
#UVIKO3
NCHI KADHAA ZATAKA RAIA WAKE KUONDOKA ETHIOPIA
Ufaransa na Ujerumani zimewataka Wananchi wake kuondoka mara moja Nchini #Ethiopia
Marekani na Uingereza nazo zimetoa angalizo hilo kutokana na hali ya usalama kuendelea kudorora
Soma - https://jamii.app/VitaEthiopia
#JFLeo
Ufaransa na Ujerumani zimewataka Wananchi wake kuondoka mara moja Nchini #Ethiopia
Marekani na Uingereza nazo zimetoa angalizo hilo kutokana na hali ya usalama kuendelea kudorora
Soma - https://jamii.app/VitaEthiopia
#JFLeo
UNDP: MTOTO HUFARIKI KILA BAADA YA DAKIKA 9 KUTOKANA NA VITA YEMEN
Shirika la Umoja wa Mataifa la Mipango ya Maendeleo(UNDP) lasema 80% ya Wakazi wanahitaji Msaada wa Kibinadamu
Vita ikiendelea watu wapatao Milioni 1.3 watapoteza maisha hadi 2030
Soma - https://jamii.app/UNDPYemen
Shirika la Umoja wa Mataifa la Mipango ya Maendeleo(UNDP) lasema 80% ya Wakazi wanahitaji Msaada wa Kibinadamu
Vita ikiendelea watu wapatao Milioni 1.3 watapoteza maisha hadi 2030
Soma - https://jamii.app/UNDPYemen
UHOLANZI: Serikali ya Uholanzi imeanza kupeleka Wagonjwa wa #CoronaVirus Nchini Ujerumani kutibiwa ili kupunguza msongamano unaozizonga Hospitali zake
Idadi ya Wagonjwa imeongezeka sana kwa kiwango ambacho hakijawahi kuonekana tangu Mei
Soma - https://jamii.app/CovidRiseNether
#UVIKO3
Idadi ya Wagonjwa imeongezeka sana kwa kiwango ambacho hakijawahi kuonekana tangu Mei
Soma - https://jamii.app/CovidRiseNether
#UVIKO3
CHANJO YA COVID-19 NI SALAMA KWA WENYE SARATANI
Wataalamu wa Afya wa Chuo Kikuu cha Texas wanasema Chanjo za #COVID19 ni salama kwa wenye Magonjwa ya Saratani
Daktari anaweza kusaidia kuamua wakati unaofaa kuchanjwa ili kunufaika na Chanjo
Soma - https://jamii.app/ChanjoCancer
#UVIKO3
Wataalamu wa Afya wa Chuo Kikuu cha Texas wanasema Chanjo za #COVID19 ni salama kwa wenye Magonjwa ya Saratani
Daktari anaweza kusaidia kuamua wakati unaofaa kuchanjwa ili kunufaika na Chanjo
Soma - https://jamii.app/ChanjoCancer
#UVIKO3
FAIDA ZA KULA TOFAA KIAFYA
Tofaa/Apple lina Kemikali ambazo husaidia kufyonza sumu hivyo kusaidia katika usafishaji wa Damu, Ini na Ngozi. Matumizi mazuri ya Tofaa huleta unafuu kwa Watu wanaokosa choo
Pia, Ganda la Tofaa linasaidia kushusha kiwango cha Sukari katika Damu kwa wale wenye Kisukari, pamoja na kuondoa Magonjwa yanayosababishwa na kujaa kwa Mafuta Mwilini
Soma - https://jamii.app/FaidaTofaa
#Afya
Tofaa/Apple lina Kemikali ambazo husaidia kufyonza sumu hivyo kusaidia katika usafishaji wa Damu, Ini na Ngozi. Matumizi mazuri ya Tofaa huleta unafuu kwa Watu wanaokosa choo
Pia, Ganda la Tofaa linasaidia kushusha kiwango cha Sukari katika Damu kwa wale wenye Kisukari, pamoja na kuondoa Magonjwa yanayosababishwa na kujaa kwa Mafuta Mwilini
Soma - https://jamii.app/FaidaTofaa
#Afya
APPLE YAIFUNGULIA MASHTAKA KAMPUNI INAYOMILIKI PEGASUS
Mashtaka ya Apple dhidi ya NSO yanakuja wakati Kampuni hiyo ikikabiliwa na madai kuwa maelfu ya wanaharakati, Waandishi wa Habari na Wanasiasa walikuwa walengwa wa Programu ya upelelezi
Soma - https://jamii.app/ApplePegasus
#JFLeo
Mashtaka ya Apple dhidi ya NSO yanakuja wakati Kampuni hiyo ikikabiliwa na madai kuwa maelfu ya wanaharakati, Waandishi wa Habari na Wanasiasa walikuwa walengwa wa Programu ya upelelezi
Soma - https://jamii.app/ApplePegasus
#JFLeo
Jamii Forums inatoa nafasi 2 za ajira kwa Wasanifu Grafiki (Graphic Designers)
MAJUKUMU: Kuandaa na kusanifu picha kulingana na mahitaji, Kuandaa na kuhariri picha mjongeo zitakazotumika kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii
Kwa Maelezo zaidi tembelea - https://jamii.app/GraphicDesignersJF
MAJUKUMU: Kuandaa na kusanifu picha kulingana na mahitaji, Kuandaa na kuhariri picha mjongeo zitakazotumika kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii
Kwa Maelezo zaidi tembelea - https://jamii.app/GraphicDesignersJF
SOMALIA: Waziri Mkuu wa Nchi hiyo, Mohamed Hussein Roble ametangaza Hali ya Dharura kutokana na Ukame mbaya, akiwataka Wananchi na Jumuiya ya Kimataifa kusaidia wahanga
Takriban Raia Milioni 3.5 tayari wanakabiliwa na uhaba wa Chakula
Soma - https://jamii.app/UkameSomali
Takriban Raia Milioni 3.5 tayari wanakabiliwa na uhaba wa Chakula
Soma - https://jamii.app/UkameSomali
Kwa mwaka 2019/20, jumla ya Miradi ya Maendeleo 266 yenye thamani ya Tsh. Bilioni 184 katika Mamlaka ya Serikali za Mitaa 101 haikukamilika
Ripoti ya CAG ilibaini Miradi ya Maendeleo 76 yenye thamani ya Tsh. Bilioni 4.4 iliyopangwa kutekelezwa kwenye Halmashauri 6 haikutekelezwa kutokana na kutopokea Fedha
Soma - https://jamii.app/MapungufuMiradi
#JFUwajibikaji
Ripoti ya CAG ilibaini Miradi ya Maendeleo 76 yenye thamani ya Tsh. Bilioni 4.4 iliyopangwa kutekelezwa kwenye Halmashauri 6 haikutekelezwa kutokana na kutopokea Fedha
Soma - https://jamii.app/MapungufuMiradi
#JFUwajibikaji
Waziri wa Elimu, Prof. Joyce Ndalichako amesema Serikali itaendelea kuondoa vikwazo vya upatikanaji wa fursa za #Elimu
Amefafanua, "Fursa hizo zitajumuisha Wasichana ambao wanapata Ujauzito wakiwa Shule za Msingi na Sekondari. Wanafunzi hao wataruhusiwa kuendelea na Masomo yao katika Mfumo rasmi baada ya kujifungua"
Soma - https://jamii.app/ElimuUjauzito
#JFLeo
Amefafanua, "Fursa hizo zitajumuisha Wasichana ambao wanapata Ujauzito wakiwa Shule za Msingi na Sekondari. Wanafunzi hao wataruhusiwa kuendelea na Masomo yao katika Mfumo rasmi baada ya kujifungua"
Soma - https://jamii.app/ElimuUjauzito
#JFLeo
Kumekuwa na mjadala wa muda mrefu ukiituhumu Demokrasia kukwamisha Maendeleo huku wengine wakidai kuwa ili maendeleo yatokee kunahitajika utawala wa kiimla
Je, wewe una mtazamo gani kuhusu hili?
Ungana nasi katika Mjadala utakaofanyika Alhamisi Novemba 25, 2021 kuanzia saa 12 jioni kupitia Clubhouse
#JamiiForums #Democracy
Je, wewe una mtazamo gani kuhusu hili?
Ungana nasi katika Mjadala utakaofanyika Alhamisi Novemba 25, 2021 kuanzia saa 12 jioni kupitia Clubhouse
#JamiiForums #Democracy
MDAU: MAADILI AMBAYO MTOTO ANATAKIWA KUFUNDISHWA
1. Heshima: Usimfundishe kuheshimu Wazee/Wakubwa tu bali mfundishe kila Mtu anastahili heshima, bila kujali umri au hadhi ya kijamii
2. Uwajibikaji: Mfundishe kuchukua hatua juu ya kila ambacho anatakiwa kukifanya pasipo ulazima wa Mzazi kumwelekeza kila mara
Soma - https://jamii.app/MaadiliWatoto
#Malezi
1. Heshima: Usimfundishe kuheshimu Wazee/Wakubwa tu bali mfundishe kila Mtu anastahili heshima, bila kujali umri au hadhi ya kijamii
2. Uwajibikaji: Mfundishe kuchukua hatua juu ya kila ambacho anatakiwa kukifanya pasipo ulazima wa Mzazi kumwelekeza kila mara
Soma - https://jamii.app/MaadiliWatoto
#Malezi
CHANZO CHA UGONJWA WA FIZI
Kuna mambo kadhaa yanayochangia kupata Ugonjwa wa Fizi. Utando wa Bakteria ambao kwa kawaida hutokea kwenye meno ndicho chanzo kikuu
Usipotolewa, Bakteria husababisha kuvimba kwa Fizi. Hatua hiyo inapoendelea fizi huachana na meno, hivyo utando huo wa Bakteria husambaa na kuingia chini ya Fizi
Soma - https://jamii.app/FiziDamu
#Afya
Kuna mambo kadhaa yanayochangia kupata Ugonjwa wa Fizi. Utando wa Bakteria ambao kwa kawaida hutokea kwenye meno ndicho chanzo kikuu
Usipotolewa, Bakteria husababisha kuvimba kwa Fizi. Hatua hiyo inapoendelea fizi huachana na meno, hivyo utando huo wa Bakteria husambaa na kuingia chini ya Fizi
Soma - https://jamii.app/FiziDamu
#Afya
MDAU: CHANGAMOTO KUBWA KWA VIJANA KUJIAJIRI NI UVUMILIVU NA UZOEFU
Anasema pamoja na kuwepo changamoto lukuki zinazokwamisha Vijana kujiajiri, uvumilivu na uzoefu ndizo za msingi na Vijana wengi wanashindwa kuvumilia machungu ya kujiajiri ambayo yanapatikana mwanzoni tu
Msome - https://jamii.app/VijanaUjasiriamali
#StoriesOfChange
Anasema pamoja na kuwepo changamoto lukuki zinazokwamisha Vijana kujiajiri, uvumilivu na uzoefu ndizo za msingi na Vijana wengi wanashindwa kuvumilia machungu ya kujiajiri ambayo yanapatikana mwanzoni tu
Msome - https://jamii.app/VijanaUjasiriamali
#StoriesOfChange
👍1
DALILI TATU HATARISHI ZA COVID-19
WHO wanaeleza dalili hizo ni kupata tabu ya kupumua, kushindwa kuzungumza na maumivu kifuani
Huanza kuonekana Siku 5 - 6 tangu kupata Maambukizi
Ukipata dalili hizi fika haraka Hospitali kupata Matibabu
Soma - https://jamii.app/DaliliHatariUviko
#UVIKO3
WHO wanaeleza dalili hizo ni kupata tabu ya kupumua, kushindwa kuzungumza na maumivu kifuani
Huanza kuonekana Siku 5 - 6 tangu kupata Maambukizi
Ukipata dalili hizi fika haraka Hospitali kupata Matibabu
Soma - https://jamii.app/DaliliHatariUviko
#UVIKO3
LIBYA: TUME YAKATAA MAOMBI YA URAIS YA MTOTO WA GADDAFI
Tume imesema Saif al-Islam Gaddafi aliyezua utata baada ya kutangaza atawania Urais wa Libya anakosa vigezo kwasababu alihukumiwa
ICC ilitoa Hati ya kumkamata kwa tuhuma za uhalifu wa kivita
Soma - https://jamii.app/UraisGaddafi
Tume imesema Saif al-Islam Gaddafi aliyezua utata baada ya kutangaza atawania Urais wa Libya anakosa vigezo kwasababu alihukumiwa
ICC ilitoa Hati ya kumkamata kwa tuhuma za uhalifu wa kivita
Soma - https://jamii.app/UraisGaddafi
Kumekuwa na mjadala wa muda mrefu ukiituhumu Demokrasia kukwamisha Maendeleo huku wengine wakidai kuwa ili maendeleo yatokee kunahitajika utawala wa kiimla
Je, wewe una mtazamo gani kuhusu hili?
Ungana nasi katika Mjadala utakaofanyika kuanzia saa 12 jioni kupitia Clubhouse
Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/3RJTuGde/P08pBBww
Je, wewe una mtazamo gani kuhusu hili?
Ungana nasi katika Mjadala utakaofanyika kuanzia saa 12 jioni kupitia Clubhouse
Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/3RJTuGde/P08pBBww
SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA
Hii ni Kampeni ya Kimataifa ya kila mwaka inayoanza Novemba 25 na kuhitimishwa Desemba 10
Siku hii inalenga kuhamasisha Raia na Mashirika duniani kote kupaza sauti kuhusu kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Wasichana
Soma - https://jamii.app/16DaysActivism
#OrangeTheWorld #16DaysofActivism
Hii ni Kampeni ya Kimataifa ya kila mwaka inayoanza Novemba 25 na kuhitimishwa Desemba 10
Siku hii inalenga kuhamasisha Raia na Mashirika duniani kote kupaza sauti kuhusu kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Wasichana
Soma - https://jamii.app/16DaysActivism
#OrangeTheWorld #16DaysofActivism