SONGWE: Watu 24 wa Kijiji cha Changβombe wanashikiliwa kwa tuhuma za kuzingira Kituo cha Polisi Galula wakidai mikoba ya Waganga wa Jadi iliyokamatwa na Askari
Waganga maarufu lambalamba wanadaiwa kuwadhalilisha Watu wakiwatuhumu ni wachawi
Soma - https://jamii.app/24Songwe
#JFLeo
Waganga maarufu lambalamba wanadaiwa kuwadhalilisha Watu wakiwatuhumu ni wachawi
Soma - https://jamii.app/24Songwe
#JFLeo
Jamii Forums inatoa nafasi 2 za ajira kwa Wasanifu Grafiki (Graphic Designers)
MAJUKUMU: Kuandaa na kusanifu picha kulingana na mahitaji, Kuandaa na kuhariri picha mjongeo zitakazotumika kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii
Kwa Maelezo zaidi tembelea - https://jamii.app/GraphicDesignersJF
MAJUKUMU: Kuandaa na kusanifu picha kulingana na mahitaji, Kuandaa na kuhariri picha mjongeo zitakazotumika kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii
Kwa Maelezo zaidi tembelea - https://jamii.app/GraphicDesignersJF
Ripoti ya CAG 2019/20 ilibaini zaidi ya Miradi ya Maendeleo 68 yenye thamani ya Tsh. Bilioni 18.3 ilikuwa imekamilika lakini haitumiki. Miradi hii ilitekelezwa kwenye Mamlaka ya Serikali za Mitaa 40
Ilihusisha Miradi ya Ujenzi wa Masoko, Ujenzi wa Hospitali za Wilaya, Vituo vya Afya na Zahanati, Ujenzi wa Miundombinu ya Shule (nyumba za Walimu, Vyoo na Madarasa) na ujenzi wa maeneo ya machinjio
Soma - https://jamii.app/MapungufuMiradi
#JFUwajibikaji
Ilihusisha Miradi ya Ujenzi wa Masoko, Ujenzi wa Hospitali za Wilaya, Vituo vya Afya na Zahanati, Ujenzi wa Miundombinu ya Shule (nyumba za Walimu, Vyoo na Madarasa) na ujenzi wa maeneo ya machinjio
Soma - https://jamii.app/MapungufuMiradi
#JFUwajibikaji
FAHAMU TATIZO LA KUTOKWA NA DAMU KWENYE FIZI (1)
Mara nyingi kuvimba au kutokwa Damu kwenye Fizi huweza kusababishwa na magonjwa mbalimbali ya Kinywa na Meno ambayo husababishwa na kutofanya usafi wa Kinywa kwa usahihi au maambukizi ya Bakteria ambao husababisha utando mgumu kwenye Meno
Ugonjwa wa Fizi ni hatari kwa kuwa hautambuliki mapema
Soma - https://jamii.app/FiziDamu
#Afya
Mara nyingi kuvimba au kutokwa Damu kwenye Fizi huweza kusababishwa na magonjwa mbalimbali ya Kinywa na Meno ambayo husababishwa na kutofanya usafi wa Kinywa kwa usahihi au maambukizi ya Bakteria ambao husababisha utando mgumu kwenye Meno
Ugonjwa wa Fizi ni hatari kwa kuwa hautambuliki mapema
Soma - https://jamii.app/FiziDamu
#Afya
Rais Samia asema bado Askari wanalalamikiwa kwa masuala kadhaa ikiwemo kushikilia Leseni za Madereva kwa muda mrefu au kuwalazimisha kulipa faini papo hapo
Pia, amesema kuna ukamataji mwingi wa Vyombo, na Pikipiki nyingi zimepangwa Vituo vya Polisi
Soma https://jamii.app/KeroAskari
Pia, amesema kuna ukamataji mwingi wa Vyombo, na Pikipiki nyingi zimepangwa Vituo vya Polisi
Soma https://jamii.app/KeroAskari
RAIS SAMIA: VIJANA WAHANGA WAKUBWA WA AJALI ZA BARABARANI
Amesema takwimu zinaonesha zaidi ya 90% ya Ajali za Barabarani husababishwa na makosa ya kibinadamu ikiwemo mwendokasi, kutovaa mikanda na kupita gari lingine bila tahadhari
Soma - https://jamii.app/VijanaAjali
#JFLeo
Amesema takwimu zinaonesha zaidi ya 90% ya Ajali za Barabarani husababishwa na makosa ya kibinadamu ikiwemo mwendokasi, kutovaa mikanda na kupita gari lingine bila tahadhari
Soma - https://jamii.app/VijanaAjali
#JFLeo
TANESCO: TAASISI ZA SERIKALI NI CHANGAMOTO KWA KUTOLIPA BILI ZA UMEME
Changamoto nyingine ni Watu kutumia vyanzo vingine vya Nishati kwa kuwa TANESCO haina uthabiti wa huduma
Pia, Uharibifu wa miundombinu, gharama na ushindani wa matumizi ya Maji
Soma - https://jamii.app/ChangamotoTANESCO
Changamoto nyingine ni Watu kutumia vyanzo vingine vya Nishati kwa kuwa TANESCO haina uthabiti wa huduma
Pia, Uharibifu wa miundombinu, gharama na ushindani wa matumizi ya Maji
Soma - https://jamii.app/ChangamotoTANESCO
TANZANIA YAPOKEA DOZI 499,590 ZA #PFIZER
Waziri kwa Afya, Dkt. Dorothy Gwajima amesema Tanzania imepokea Dozi 499,590 za Chanjo hiyo dhidi ya #COVID19
Asema kufikia Novemba 19 takwimu zinaonesha Wananchi 1,359,624 wamefikiwa na Chanjo
Soma - https://jamii.app/PfizerTanzania
#UVIKO3
Waziri kwa Afya, Dkt. Dorothy Gwajima amesema Tanzania imepokea Dozi 499,590 za Chanjo hiyo dhidi ya #COVID19
Asema kufikia Novemba 19 takwimu zinaonesha Wananchi 1,359,624 wamefikiwa na Chanjo
Soma - https://jamii.app/PfizerTanzania
#UVIKO3
UGANDA: WATU 7 WAUAWA NA 106 WAKAMATWA KWA TUHUMA ZA UGAIDI
Zaidi ya mara moja #Uganda imepata mashambulizi ya mabomu ikiwa Miezi kadhaa baada ya Uingereza kutoa tahadhari kwa Nchi hiyo
Shambulio la Novemba 6 lilisababisha Vifo vya Watu 7
Soma - https://jamii.app/UgandaUgaidi
#JFLeo
Zaidi ya mara moja #Uganda imepata mashambulizi ya mabomu ikiwa Miezi kadhaa baada ya Uingereza kutoa tahadhari kwa Nchi hiyo
Shambulio la Novemba 6 lilisababisha Vifo vya Watu 7
Soma - https://jamii.app/UgandaUgaidi
#JFLeo
MDAU ASHAURI NAMNA YA KUPAMBANA NA TATIZO LA USAFIRI KWA WANAFUNZI WA SHULE ZA SERIKALI
Shule za Serikali hazina Magari hivyo huwapa shida Wanafunzi kwa kuwa Daladala hazipendi kubeba Wanafunzi kutokana na udogo wa nauli zao
Mshiriki wa 'Stories Of Change' ameshauri Serikali kuweka bajeti ya kuwa na Mabasi ya kubeba Wanafunzi, au kuwalipia kwa kuweka mfumo wa Wanafunzi kuweka Kidole wakipanda Daladala
Soma - https://jamii.app/WanafunziUsafiri
#StoriesOfChange
Shule za Serikali hazina Magari hivyo huwapa shida Wanafunzi kwa kuwa Daladala hazipendi kubeba Wanafunzi kutokana na udogo wa nauli zao
Mshiriki wa 'Stories Of Change' ameshauri Serikali kuweka bajeti ya kuwa na Mabasi ya kubeba Wanafunzi, au kuwalipia kwa kuweka mfumo wa Wanafunzi kuweka Kidole wakipanda Daladala
Soma - https://jamii.app/WanafunziUsafiri
#StoriesOfChange
Kumekuwa na mjadala wa muda mrefu ukiituhumu Demokrasia kukwamisha Maendeleo huku wengine wakidai kuwa ili maendeleo yatokee kunahitajika utawala wa kiimla
Je, wewe una mtazamo gani kuhusu hili?
Ungana nasi katika Mjadala utakaofanyika Alhamisi Novemba 25, 2021 kuanzia saa 12 jioni kupitia Clubhouse
#JamiiForums #Democracy
Je, wewe una mtazamo gani kuhusu hili?
Ungana nasi katika Mjadala utakaofanyika Alhamisi Novemba 25, 2021 kuanzia saa 12 jioni kupitia Clubhouse
#JamiiForums #Democracy
SUDAN: MAWAZIRI 12 WAJIUZULU KUPINGA MAKUBALIANO NA JESHI
Wamewasilisha barua za kujiuzulu kwa Waziri Mkuu Abdalla Hamdok aliyerejeshewa Madaraka siku kadhaa zilizopita
Wanapinga Makubaliano ya Kisiasa kati ya Waziri Mkuu na Baraza la Kijeshi
Soma - https://jamii.app/12MinSudan
Wamewasilisha barua za kujiuzulu kwa Waziri Mkuu Abdalla Hamdok aliyerejeshewa Madaraka siku kadhaa zilizopita
Wanapinga Makubaliano ya Kisiasa kati ya Waziri Mkuu na Baraza la Kijeshi
Soma - https://jamii.app/12MinSudan
RIPOTI: COVID-19 IMEATHIRI ZAIDI WANAWAKE KIUCHUMI NA KIJAMII
Ripoti ya Shirika la Msalaba Mwekundu inasema Wanawake wameathiriwa zaidi na upotevu wa Mapato, kuongezeka ukatili, Ndoa za utotoni na biashara haramu ya usafirishaji binadamu
Soma - https://jamii.app/CoronaWanawake
#UVIKO3
Ripoti ya Shirika la Msalaba Mwekundu inasema Wanawake wameathiriwa zaidi na upotevu wa Mapato, kuongezeka ukatili, Ndoa za utotoni na biashara haramu ya usafirishaji binadamu
Soma - https://jamii.app/CoronaWanawake
#UVIKO3
NCHI KADHAA ZATAKA RAIA WAKE KUONDOKA ETHIOPIA
Ufaransa na Ujerumani zimewataka Wananchi wake kuondoka mara moja Nchini #Ethiopia
Marekani na Uingereza nazo zimetoa angalizo hilo kutokana na hali ya usalama kuendelea kudorora
Soma - https://jamii.app/VitaEthiopia
#JFLeo
Ufaransa na Ujerumani zimewataka Wananchi wake kuondoka mara moja Nchini #Ethiopia
Marekani na Uingereza nazo zimetoa angalizo hilo kutokana na hali ya usalama kuendelea kudorora
Soma - https://jamii.app/VitaEthiopia
#JFLeo
UNDP: MTOTO HUFARIKI KILA BAADA YA DAKIKA 9 KUTOKANA NA VITA YEMEN
Shirika la Umoja wa Mataifa la Mipango ya Maendeleo(UNDP) lasema 80% ya Wakazi wanahitaji Msaada wa Kibinadamu
Vita ikiendelea watu wapatao Milioni 1.3 watapoteza maisha hadi 2030
Soma - https://jamii.app/UNDPYemen
Shirika la Umoja wa Mataifa la Mipango ya Maendeleo(UNDP) lasema 80% ya Wakazi wanahitaji Msaada wa Kibinadamu
Vita ikiendelea watu wapatao Milioni 1.3 watapoteza maisha hadi 2030
Soma - https://jamii.app/UNDPYemen
UHOLANZI: Serikali ya Uholanzi imeanza kupeleka Wagonjwa wa #CoronaVirus Nchini Ujerumani kutibiwa ili kupunguza msongamano unaozizonga Hospitali zake
Idadi ya Wagonjwa imeongezeka sana kwa kiwango ambacho hakijawahi kuonekana tangu Mei
Soma - https://jamii.app/CovidRiseNether
#UVIKO3
Idadi ya Wagonjwa imeongezeka sana kwa kiwango ambacho hakijawahi kuonekana tangu Mei
Soma - https://jamii.app/CovidRiseNether
#UVIKO3
CHANJO YA COVID-19 NI SALAMA KWA WENYE SARATANI
Wataalamu wa Afya wa Chuo Kikuu cha Texas wanasema Chanjo za #COVID19 ni salama kwa wenye Magonjwa ya Saratani
Daktari anaweza kusaidia kuamua wakati unaofaa kuchanjwa ili kunufaika na Chanjo
Soma - https://jamii.app/ChanjoCancer
#UVIKO3
Wataalamu wa Afya wa Chuo Kikuu cha Texas wanasema Chanjo za #COVID19 ni salama kwa wenye Magonjwa ya Saratani
Daktari anaweza kusaidia kuamua wakati unaofaa kuchanjwa ili kunufaika na Chanjo
Soma - https://jamii.app/ChanjoCancer
#UVIKO3
FAIDA ZA KULA TOFAA KIAFYA
Tofaa/Apple lina Kemikali ambazo husaidia kufyonza sumu hivyo kusaidia katika usafishaji wa Damu, Ini na Ngozi. Matumizi mazuri ya Tofaa huleta unafuu kwa Watu wanaokosa choo
Pia, Ganda la Tofaa linasaidia kushusha kiwango cha Sukari katika Damu kwa wale wenye Kisukari, pamoja na kuondoa Magonjwa yanayosababishwa na kujaa kwa Mafuta Mwilini
Soma - https://jamii.app/FaidaTofaa
#Afya
Tofaa/Apple lina Kemikali ambazo husaidia kufyonza sumu hivyo kusaidia katika usafishaji wa Damu, Ini na Ngozi. Matumizi mazuri ya Tofaa huleta unafuu kwa Watu wanaokosa choo
Pia, Ganda la Tofaa linasaidia kushusha kiwango cha Sukari katika Damu kwa wale wenye Kisukari, pamoja na kuondoa Magonjwa yanayosababishwa na kujaa kwa Mafuta Mwilini
Soma - https://jamii.app/FaidaTofaa
#Afya
APPLE YAIFUNGULIA MASHTAKA KAMPUNI INAYOMILIKI PEGASUS
Mashtaka ya Apple dhidi ya NSO yanakuja wakati Kampuni hiyo ikikabiliwa na madai kuwa maelfu ya wanaharakati, Waandishi wa Habari na Wanasiasa walikuwa walengwa wa Programu ya upelelezi
Soma - https://jamii.app/ApplePegasus
#JFLeo
Mashtaka ya Apple dhidi ya NSO yanakuja wakati Kampuni hiyo ikikabiliwa na madai kuwa maelfu ya wanaharakati, Waandishi wa Habari na Wanasiasa walikuwa walengwa wa Programu ya upelelezi
Soma - https://jamii.app/ApplePegasus
#JFLeo
Jamii Forums inatoa nafasi 2 za ajira kwa Wasanifu Grafiki (Graphic Designers)
MAJUKUMU: Kuandaa na kusanifu picha kulingana na mahitaji, Kuandaa na kuhariri picha mjongeo zitakazotumika kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii
Kwa Maelezo zaidi tembelea - https://jamii.app/GraphicDesignersJF
MAJUKUMU: Kuandaa na kusanifu picha kulingana na mahitaji, Kuandaa na kuhariri picha mjongeo zitakazotumika kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii
Kwa Maelezo zaidi tembelea - https://jamii.app/GraphicDesignersJF
SOMALIA: Waziri Mkuu wa Nchi hiyo, Mohamed Hussein Roble ametangaza Hali ya Dharura kutokana na Ukame mbaya, akiwataka Wananchi na Jumuiya ya Kimataifa kusaidia wahanga
Takriban Raia Milioni 3.5 tayari wanakabiliwa na uhaba wa Chakula
Soma - https://jamii.app/UkameSomali
Takriban Raia Milioni 3.5 tayari wanakabiliwa na uhaba wa Chakula
Soma - https://jamii.app/UkameSomali