MBEYA: Mkuu wa Mkoa, Juma Homera amesema Watendaji wa Vijiji na Kata walioshindwa kufikia kiwango cha ukusanyaji Mapato ya Ndani kilichowekwa wametakiwa kupangiwa kazi nyingine
> Asema hatua hiyo itaongeza ufanisi wa ukusanyaji wa mapato
Soma https://jamii.app/MapatoWatendaji
#JFLeo
> Asema hatua hiyo itaongeza ufanisi wa ukusanyaji wa mapato
Soma https://jamii.app/MapatoWatendaji
#JFLeo
Tanzania imekuwa ikipokea misaada kutoka nje ya nchi kwa ajili ya shughuli mbalimbali za maendeleo.
Kumekuwa na hoja kuwa misaada tajwa haileti tija stahiki kwa umma ikilinganishwa na malengo. Je, ni kweli? Nini kifanyike kuleta tija?
Ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika kupitia Clubhouse ya JamiiForums
#JamiiForums #JFUwajibikaji
Kumekuwa na hoja kuwa misaada tajwa haileti tija stahiki kwa umma ikilinganishwa na malengo. Je, ni kweli? Nini kifanyike kuleta tija?
Ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika kupitia Clubhouse ya JamiiForums
#JamiiForums #JFUwajibikaji
Mapendekezo ya CAG yameendelea kuongezeka kuanzia Mwaka wa Fedha 2018/19 huku utekelezaji wa mapendekezo ukiendelea kushuka
Taasisi ya WAJIBU imesema kutofanyia kazi mapendekezo kunaondoa ufanisi na kupelekea upotevu wa Fedha za Umma
Soma https://jamii.app/MapendekezoYaCAG
#JFUwajibikaji
Taasisi ya WAJIBU imesema kutofanyia kazi mapendekezo kunaondoa ufanisi na kupelekea upotevu wa Fedha za Umma
Soma https://jamii.app/MapendekezoYaCAG
#JFUwajibikaji
Watu wenye Ulemavu mara nyingi ni miongoni mwa Watu Masikini zaidi na waliotengwa katika jamii. Ulemavu huleta athari kubwa kwenye Afya, Ajira na Elimu
Kiwango cha kutokujua Kusoma na Kuandika miongoni mwa Watanzania wenye Ulemavu ni kikubwa na hii inazuia sana Maendeleo ya Kijamii na Kiuchumi.
#JamiiForums #FUWAVITA #Disabilities #JFPartnership
Kiwango cha kutokujua Kusoma na Kuandika miongoni mwa Watanzania wenye Ulemavu ni kikubwa na hii inazuia sana Maendeleo ya Kijamii na Kiuchumi.
#JamiiForums #FUWAVITA #Disabilities #JFPartnership
HOJA: Mshiriki wa #StoriesOfChange anasema Taasisi za Umma zinatoa Huduma duni ikilinganishwa na Taasisi Binafsi
Ashauri Serikali kuboresha mazingira ya kazi na kuongeza maslahi ya Watumishi
Watumishi wazembe wawajibishwe badala kuhamishwa Vituo
Soma - https://jamii.app/TaasisiUmma
Ashauri Serikali kuboresha mazingira ya kazi na kuongeza maslahi ya Watumishi
Watumishi wazembe wawajibishwe badala kuhamishwa Vituo
Soma - https://jamii.app/TaasisiUmma
CHANJO ZA COVID-19 HAZIATHIRI 'DNA'
UNICEF imesema chanjo haziathiri au kuingiliana na 'DNA'
Chanjo hufunza Seli jinsi ya kutengeneza Protini ambayo huchochea mwitikio wa Kinga ndani ya mwili ili kuulinda dhidi ya Virusi
Soma - https://jamii.app/ChanjoDNA
#COVID19 #UVIKO3
UNICEF imesema chanjo haziathiri au kuingiliana na 'DNA'
Chanjo hufunza Seli jinsi ya kutengeneza Protini ambayo huchochea mwitikio wa Kinga ndani ya mwili ili kuulinda dhidi ya Virusi
Soma - https://jamii.app/ChanjoDNA
#COVID19 #UVIKO3
BUNGENI: Rais Samia Suluhu Hassan awasilisha Muswada wa Hati ya Dharura kuhusu Mapendekezo ya Mabadiliko ya Sheria ya Tozo ya Kodi ya Mazao akitaka iondolewe
Sheria inaruhusu Mamlaka ya Mapato (TRA) kutoza ushuru wa bidhaa wa 2% kwa Mazao
Soma - https://jamii.app/HatiSamiaBunge
Sheria inaruhusu Mamlaka ya Mapato (TRA) kutoza ushuru wa bidhaa wa 2% kwa Mazao
Soma - https://jamii.app/HatiSamiaBunge
SUDAN: MAHAKAMA YAAMURU HUDUMA ZA INTANETI KUREJESHWA
Huduma hizo zilikatwa wakati wa Mapinduzi ya Kijeshi zaidi ya wiki mbili zilizopita
> Kesi ilifunguliwa na Kundi la Wanasheria na Jumuiya ya Ulinzi wa Wateja wa Sudan
Soma - https://jamii.app/IntanetiSudan
#HumanRights
Huduma hizo zilikatwa wakati wa Mapinduzi ya Kijeshi zaidi ya wiki mbili zilizopita
> Kesi ilifunguliwa na Kundi la Wanasheria na Jumuiya ya Ulinzi wa Wateja wa Sudan
Soma - https://jamii.app/IntanetiSudan
#HumanRights
Tanzania imekuwa ikipokea misaada kutoka nje ya nchi kwa ajili ya shughuli mbalimbali za maendeleo.
Kumekuwa na hoja kuwa misaada tajwa haileti tija stahiki kwa umma ikilinganishwa na malengo. Je, ni kweli? Nini kifanyike kuleta tija?
Ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika kupitia Clubhouse ya JamiiForums
#JamiiForums #JFUwajibikaji
Kumekuwa na hoja kuwa misaada tajwa haileti tija stahiki kwa umma ikilinganishwa na malengo. Je, ni kweli? Nini kifanyike kuleta tija?
Ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika kupitia Clubhouse ya JamiiForums
#JamiiForums #JFUwajibikaji
AFYA: Utafiti uliofanywa na Watanzania na kuchapishwa ktk Jarida la BMC Neurology la Uingereza umebaini wanaougua Shinikizo la Damu muda mrefu wapo hatarini kupoteza kumbukumbu na uwezo wa kufikiri
Utafiti ulitumia dodoso lililowahoji wagonjwa 1,201
Soma https://jamii.app/ShinikizoLaDamu
Utafiti ulitumia dodoso lililowahoji wagonjwa 1,201
Soma https://jamii.app/ShinikizoLaDamu
IFAHAMU CHANJO AINA YA #MODERNA
imethibitishwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) kuwa ni salama kukinga #CoronaVirus kwa Watu wenye miaka 18 na zaidi
Inatolewa kwa Dozi mbili ambapo Dozi ya pili hutolewa siku 28 baada ya Dozi ya kwanza
Soma - https://jamii.app/FahamuChanjo
#UVIKO3
imethibitishwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) kuwa ni salama kukinga #CoronaVirus kwa Watu wenye miaka 18 na zaidi
Inatolewa kwa Dozi mbili ambapo Dozi ya pili hutolewa siku 28 baada ya Dozi ya kwanza
Soma - https://jamii.app/FahamuChanjo
#UVIKO3
Tanzania imekuwa ikipokea misaada kutoka nje ya nchi kwa ajili ya shughuli mbalimbali za maendeleo.
Kumekuwa na hoja kuwa misaada tajwa haileti tija stahiki kwa umma ikilinganishwa na malengo. Je, ni kweli? Nini kifanyike kuleta tija?
Ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika kupitia Clubhouse ya JamiiForums
#JamiiForums #JFUwajibikaji
Kumekuwa na hoja kuwa misaada tajwa haileti tija stahiki kwa umma ikilinganishwa na malengo. Je, ni kweli? Nini kifanyike kuleta tija?
Ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika kupitia Clubhouse ya JamiiForums
#JamiiForums #JFUwajibikaji
Fuatilia Mjadala wa "Nini kifanyike ili Nchi ipate tija stahiki kutokana na Misaada inayotoka nje ya nchi?" unaoendelea hivi sasa kupitia Clubhouse
Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/LYWyFrn2/PQDz7y5w
#JFUwajibikaji
Link - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/LYWyFrn2/PQDz7y5w
#JFUwajibikaji
Yanayojiri katika Mjadala unaoendelea hivi sasa kupitia Clubhouse
Ungana nasi - https://www.clubhouse.com/room/PG4vRR0p
#JFUwajibikaji
Ungana nasi - https://www.clubhouse.com/room/PG4vRR0p
#JFUwajibikaji
Baadhi ya yaliyozungumzwa katika Mjadala wa "Nini kifanyike ili Nchi ipate tija stahiki kutokana na Misaada inayotoka nje ya nchi?" uliofanyika kupitia Clubhouse
#JFUwajibikaji #WAJIBU #JamiiForums
#JFUwajibikaji #WAJIBU #JamiiForums