KESI YA MBOWE: PINGAMIZI LA HATI YA UKAMATAJI MALI ZA WASHTAKIWA LATUPILIWA MBALI
Jaji Joachim Tiganga ametupilia mbali pingamizi lililowekwa na Upande wa Utetezi wakipinga Mahakama kupokea Hati ya Ukamataji Mali za washtakiwa 2 ktk kesi hiyo
Soma https://jamii.app/PingamiziMali
Jaji Joachim Tiganga ametupilia mbali pingamizi lililowekwa na Upande wa Utetezi wakipinga Mahakama kupokea Hati ya Ukamataji Mali za washtakiwa 2 ktk kesi hiyo
Soma https://jamii.app/PingamiziMali
'PLATFORM' YA SIASA AFRIKA SIO CHAGUO SAHIHI LA MAENDELEO KWA VIJANA
Mshiriki wa Shindano la 'Stories of Change' anasema kuna mifano mingi ya Wanasiasa Vijana ambao baada ya kuondoka kwenye Mfumo walipoteza Mali na kuanza kuhangaika
Anasema Vijana wa Kiafrika wakiwekeza nguvu kubwa katika Sekta ya #Biashara na Ujasiriamali wana nafasi kubwa sana ya kufanikiwa kwasababu ni rahisi kukutana na 'connection' kwa Watu mbalimbali.
Msome - https://jamii.app/SiasaVijana
#JamiiForums
Mshiriki wa Shindano la 'Stories of Change' anasema kuna mifano mingi ya Wanasiasa Vijana ambao baada ya kuondoka kwenye Mfumo walipoteza Mali na kuanza kuhangaika
Anasema Vijana wa Kiafrika wakiwekeza nguvu kubwa katika Sekta ya #Biashara na Ujasiriamali wana nafasi kubwa sana ya kufanikiwa kwasababu ni rahisi kukutana na 'connection' kwa Watu mbalimbali.
Msome - https://jamii.app/SiasaVijana
#JamiiForums
JE, WAJUA: Kutafuna 'Big G' (Bubble Gum) huongeza Umakini kwenye kazi, huongeza Mtiririko wa Damu kwenye Ubongo na kusaidia kuboresha kumbukumbu
Tafiti zinaonesha Kutafuna 'Big G' mara mbili kwa siku kwa muda wa Wiki mbili huweza kusaidia kupunguza Wasiwasi, Msongo wa Mawazo, Uchovu, na Magonjwa mengine ya Akili
Soma - https://jamii.app/FaidaBigG
#Afya
Tafiti zinaonesha Kutafuna 'Big G' mara mbili kwa siku kwa muda wa Wiki mbili huweza kusaidia kupunguza Wasiwasi, Msongo wa Mawazo, Uchovu, na Magonjwa mengine ya Akili
Soma - https://jamii.app/FaidaBigG
#Afya
RAIS CHAKWERA: WANANCHI WAWAJIBIKE KWENYE MAENDELEO YA TAIFA, WAACHE KULALAMIKIA WANASIASA
Rais wa #Malawi amesema anapokea SMS nyingi kwenye Simu yake kutoka kwa Watu wanaomtaka awasaidie kulea Familia kwasababu tu yeye ni Rais
Ameongeza "Lazima tujitibu na tabia hii ya kuomba kutoka kwa Wanasiasa. Nchi yetu kamwe haiwezi kuendelea kwa tabia hiyo"
Soma - https://jamii.app/ChakweraMalalamiko
Rais wa #Malawi amesema anapokea SMS nyingi kwenye Simu yake kutoka kwa Watu wanaomtaka awasaidie kulea Familia kwasababu tu yeye ni Rais
Ameongeza "Lazima tujitibu na tabia hii ya kuomba kutoka kwa Wanasiasa. Nchi yetu kamwe haiwezi kuendelea kwa tabia hiyo"
Soma - https://jamii.app/ChakweraMalalamiko
CHANJO ZA COVID-19 HAZIATHIRI UCHANGIAJI WA DAMU
Wataalamu wa Afya wanasema kuchanja dhidi ya #CoronaVirus hakukuzuii kuchangia au kuchangiwa damu
Chanjo inajenga kinga mwili lakini mchanganyo wa dawa haubaki kwenye damu
Soma - https://jamii.app/ChanjoDamu
#UVIKO3
Wataalamu wa Afya wanasema kuchanja dhidi ya #CoronaVirus hakukuzuii kuchangia au kuchangiwa damu
Chanjo inajenga kinga mwili lakini mchanganyo wa dawa haubaki kwenye damu
Soma - https://jamii.app/ChanjoDamu
#UVIKO3
TANGA: Polisi wasema wamebaini kiwanda bubu kimoja cha bunduki kilichokuwa msituni na wamemkamata mtu mmoja anayetuhumiwa kuhusika nacho
Vitu vinavyodaiwa kukutwa kiwandani hapo ni pamoja na vifaa vya kutengenezea silaha na magobore 11
Soma https://jamii.app/KiwandaBubu
#JFLeo
Vitu vinavyodaiwa kukutwa kiwandani hapo ni pamoja na vifaa vya kutengenezea silaha na magobore 11
Soma https://jamii.app/KiwandaBubu
#JFLeo
TMA: KUSOGEA JUA LA UTOSI CHANZO CHA JOTO KUONGEZEKA
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania(TMA) yasema joto kali litaendelea Novemba na kupungua kidogo ifikapo Disemba
Joto Mkoani Kilimanjaro limeripotiwa kuongezeka kwa nyuzi joto 4.6 na kufikia 36.4
Soma - https://jamii.app/JotoOngezeko
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania(TMA) yasema joto kali litaendelea Novemba na kupungua kidogo ifikapo Disemba
Joto Mkoani Kilimanjaro limeripotiwa kuongezeka kwa nyuzi joto 4.6 na kufikia 36.4
Soma - https://jamii.app/JotoOngezeko
UDHAIFU WA MFUMO WA MANUNUZI WA KIELETRONIKI (TANePS)
Ukaguzi wa CAG ulibaini mfumo wa TANePS hauna uwezo wa kutoa taarifa kuhusu jumla ya Taasisi zinazofanya manunuzi Nchini
Aidha, Mfumo haujaunganishwa na Mifumo mingine ya Serikali. Pia, Muuzaji wa Mfumo hakuiwezesha Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) kuifikia Seva na Kanzi-data ya TANePS
Soma - https://jamii.app/UdhaifuTANeps
#JFUwajibikaji
Ukaguzi wa CAG ulibaini mfumo wa TANePS hauna uwezo wa kutoa taarifa kuhusu jumla ya Taasisi zinazofanya manunuzi Nchini
Aidha, Mfumo haujaunganishwa na Mifumo mingine ya Serikali. Pia, Muuzaji wa Mfumo hakuiwezesha Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) kuifikia Seva na Kanzi-data ya TANePS
Soma - https://jamii.app/UdhaifuTANeps
#JFUwajibikaji
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuondoka kesho, Novemba 10 kuelekea #Cairo - Misri kwa Ziara ya Kiserikali ya Siku tatu
Akiwa huko, atashuhudia utiaji saini wa mkataba mmoja na hati saba (7) za makubaliano kati ya Tanzania na Misri.
Soma - https://jamii.app/SamiaCairo
#JFLeo
Akiwa huko, atashuhudia utiaji saini wa mkataba mmoja na hati saba (7) za makubaliano kati ya Tanzania na Misri.
Soma - https://jamii.app/SamiaCairo
#JFLeo
MBEYA: Mkuu wa Mkoa, Juma Homera amesema Watendaji wa Vijiji na Kata walioshindwa kufikia kiwango cha ukusanyaji Mapato ya Ndani kilichowekwa wametakiwa kupangiwa kazi nyingine
> Asema hatua hiyo itaongeza ufanisi wa ukusanyaji wa mapato
Soma https://jamii.app/MapatoWatendaji
#JFLeo
> Asema hatua hiyo itaongeza ufanisi wa ukusanyaji wa mapato
Soma https://jamii.app/MapatoWatendaji
#JFLeo
Tanzania imekuwa ikipokea misaada kutoka nje ya nchi kwa ajili ya shughuli mbalimbali za maendeleo.
Kumekuwa na hoja kuwa misaada tajwa haileti tija stahiki kwa umma ikilinganishwa na malengo. Je, ni kweli? Nini kifanyike kuleta tija?
Ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika kupitia Clubhouse ya JamiiForums
#JamiiForums #JFUwajibikaji
Kumekuwa na hoja kuwa misaada tajwa haileti tija stahiki kwa umma ikilinganishwa na malengo. Je, ni kweli? Nini kifanyike kuleta tija?
Ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika kupitia Clubhouse ya JamiiForums
#JamiiForums #JFUwajibikaji
Mapendekezo ya CAG yameendelea kuongezeka kuanzia Mwaka wa Fedha 2018/19 huku utekelezaji wa mapendekezo ukiendelea kushuka
Taasisi ya WAJIBU imesema kutofanyia kazi mapendekezo kunaondoa ufanisi na kupelekea upotevu wa Fedha za Umma
Soma https://jamii.app/MapendekezoYaCAG
#JFUwajibikaji
Taasisi ya WAJIBU imesema kutofanyia kazi mapendekezo kunaondoa ufanisi na kupelekea upotevu wa Fedha za Umma
Soma https://jamii.app/MapendekezoYaCAG
#JFUwajibikaji
Watu wenye Ulemavu mara nyingi ni miongoni mwa Watu Masikini zaidi na waliotengwa katika jamii. Ulemavu huleta athari kubwa kwenye Afya, Ajira na Elimu
Kiwango cha kutokujua Kusoma na Kuandika miongoni mwa Watanzania wenye Ulemavu ni kikubwa na hii inazuia sana Maendeleo ya Kijamii na Kiuchumi.
#JamiiForums #FUWAVITA #Disabilities #JFPartnership
Kiwango cha kutokujua Kusoma na Kuandika miongoni mwa Watanzania wenye Ulemavu ni kikubwa na hii inazuia sana Maendeleo ya Kijamii na Kiuchumi.
#JamiiForums #FUWAVITA #Disabilities #JFPartnership
HOJA: Mshiriki wa #StoriesOfChange anasema Taasisi za Umma zinatoa Huduma duni ikilinganishwa na Taasisi Binafsi
Ashauri Serikali kuboresha mazingira ya kazi na kuongeza maslahi ya Watumishi
Watumishi wazembe wawajibishwe badala kuhamishwa Vituo
Soma - https://jamii.app/TaasisiUmma
Ashauri Serikali kuboresha mazingira ya kazi na kuongeza maslahi ya Watumishi
Watumishi wazembe wawajibishwe badala kuhamishwa Vituo
Soma - https://jamii.app/TaasisiUmma
CHANJO ZA COVID-19 HAZIATHIRI 'DNA'
UNICEF imesema chanjo haziathiri au kuingiliana na 'DNA'
Chanjo hufunza Seli jinsi ya kutengeneza Protini ambayo huchochea mwitikio wa Kinga ndani ya mwili ili kuulinda dhidi ya Virusi
Soma - https://jamii.app/ChanjoDNA
#COVID19 #UVIKO3
UNICEF imesema chanjo haziathiri au kuingiliana na 'DNA'
Chanjo hufunza Seli jinsi ya kutengeneza Protini ambayo huchochea mwitikio wa Kinga ndani ya mwili ili kuulinda dhidi ya Virusi
Soma - https://jamii.app/ChanjoDNA
#COVID19 #UVIKO3
BUNGENI: Rais Samia Suluhu Hassan awasilisha Muswada wa Hati ya Dharura kuhusu Mapendekezo ya Mabadiliko ya Sheria ya Tozo ya Kodi ya Mazao akitaka iondolewe
Sheria inaruhusu Mamlaka ya Mapato (TRA) kutoza ushuru wa bidhaa wa 2% kwa Mazao
Soma - https://jamii.app/HatiSamiaBunge
Sheria inaruhusu Mamlaka ya Mapato (TRA) kutoza ushuru wa bidhaa wa 2% kwa Mazao
Soma - https://jamii.app/HatiSamiaBunge
SUDAN: MAHAKAMA YAAMURU HUDUMA ZA INTANETI KUREJESHWA
Huduma hizo zilikatwa wakati wa Mapinduzi ya Kijeshi zaidi ya wiki mbili zilizopita
> Kesi ilifunguliwa na Kundi la Wanasheria na Jumuiya ya Ulinzi wa Wateja wa Sudan
Soma - https://jamii.app/IntanetiSudan
#HumanRights
Huduma hizo zilikatwa wakati wa Mapinduzi ya Kijeshi zaidi ya wiki mbili zilizopita
> Kesi ilifunguliwa na Kundi la Wanasheria na Jumuiya ya Ulinzi wa Wateja wa Sudan
Soma - https://jamii.app/IntanetiSudan
#HumanRights
Tanzania imekuwa ikipokea misaada kutoka nje ya nchi kwa ajili ya shughuli mbalimbali za maendeleo.
Kumekuwa na hoja kuwa misaada tajwa haileti tija stahiki kwa umma ikilinganishwa na malengo. Je, ni kweli? Nini kifanyike kuleta tija?
Ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika kupitia Clubhouse ya JamiiForums
#JamiiForums #JFUwajibikaji
Kumekuwa na hoja kuwa misaada tajwa haileti tija stahiki kwa umma ikilinganishwa na malengo. Je, ni kweli? Nini kifanyike kuleta tija?
Ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika kupitia Clubhouse ya JamiiForums
#JamiiForums #JFUwajibikaji
AFYA: Utafiti uliofanywa na Watanzania na kuchapishwa ktk Jarida la BMC Neurology la Uingereza umebaini wanaougua Shinikizo la Damu muda mrefu wapo hatarini kupoteza kumbukumbu na uwezo wa kufikiri
Utafiti ulitumia dodoso lililowahoji wagonjwa 1,201
Soma https://jamii.app/ShinikizoLaDamu
Utafiti ulitumia dodoso lililowahoji wagonjwa 1,201
Soma https://jamii.app/ShinikizoLaDamu
IFAHAMU CHANJO AINA YA #MODERNA
imethibitishwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) kuwa ni salama kukinga #CoronaVirus kwa Watu wenye miaka 18 na zaidi
Inatolewa kwa Dozi mbili ambapo Dozi ya pili hutolewa siku 28 baada ya Dozi ya kwanza
Soma - https://jamii.app/FahamuChanjo
#UVIKO3
imethibitishwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) kuwa ni salama kukinga #CoronaVirus kwa Watu wenye miaka 18 na zaidi
Inatolewa kwa Dozi mbili ambapo Dozi ya pili hutolewa siku 28 baada ya Dozi ya kwanza
Soma - https://jamii.app/FahamuChanjo
#UVIKO3