ILANI YA CHADEMA INASEMA NINI KUHUSU MASLAHI YA WALIMU?
- Bila mwalimu mwenye motisha na aliyepewa mafunzo vizuri hakuna chochote tutakachofanikiwa
- Walimu hawathaminiwi; mishahara, marupurupu, maslahi hayalingani na kazi yao ngumu
Soma https://jamii.app/IlaniCDM
#Uchaguzi2020
- Bila mwalimu mwenye motisha na aliyepewa mafunzo vizuri hakuna chochote tutakachofanikiwa
- Walimu hawathaminiwi; mishahara, marupurupu, maslahi hayalingani na kazi yao ngumu
Soma https://jamii.app/IlaniCDM
#Uchaguzi2020
ZANZIBAR: KESI YA ULAWITI YAFUTWA BAADA YA MASHAHIDI KUTOFIKA MAHAKAMANI
> Mahakama ya Mkoani Wete imeiondoa kesi iliyokuwa inamkabili Khamis Abdalla Khamis(35) aliyetuhumiwa kumwingilia kinyume na maumbile mtoto wa kiume mwenye miaka 10
Soma https://jamii.app/PembaKesi
#JFLeo
> Mahakama ya Mkoani Wete imeiondoa kesi iliyokuwa inamkabili Khamis Abdalla Khamis(35) aliyetuhumiwa kumwingilia kinyume na maumbile mtoto wa kiume mwenye miaka 10
Soma https://jamii.app/PembaKesi
#JFLeo
SULTAN WA ZANZIBAR JAMSHID BIN ABDULLAH ARUHUSIWA KUINGIA OMAN
> Sultan wa mwisho wa Zanzibar ameruhusiwa kuingia Oman toka apinduliwe Januari 12, 1964
> Alipewa hifadhi nchini Uingereza ambako ameishi kwa miaka 50 katika mji wa Portsmouth
Soma https://jamii.app/SultanZnzOman
#JFLeo
> Sultan wa mwisho wa Zanzibar ameruhusiwa kuingia Oman toka apinduliwe Januari 12, 1964
> Alipewa hifadhi nchini Uingereza ambako ameishi kwa miaka 50 katika mji wa Portsmouth
Soma https://jamii.app/SultanZnzOman
#JFLeo
ILANI YA UCHAGUZI YA SAU INASEMA NINI KUHUSU ELIMU?
> Inasema, itatoa ajira mpya kwa Walimu ili kupata Walimu wa kutosha na kufikia uwiano wa Wanafunzi 20-29 kwa Mwalimu 1
> Watahakikisha Elimu ya Awali (Chekechea) inaboreshwa na kuzingatiwa
Soma https://jamii.app/IlaniSAU
#Uchaguzi2020
> Inasema, itatoa ajira mpya kwa Walimu ili kupata Walimu wa kutosha na kufikia uwiano wa Wanafunzi 20-29 kwa Mwalimu 1
> Watahakikisha Elimu ya Awali (Chekechea) inaboreshwa na kuzingatiwa
Soma https://jamii.app/IlaniSAU
#Uchaguzi2020
NEC YAWEKA WAZI MASHARTI YA KUZINGATIWA SIKU YA KUPIGA KURA (28 OKTOBA 2020)
-
Haitaruhusiwa mtu yeyote kutumia simu ya kiganjani ndani ya kituo cha kupigia, kuhesabia au kujumlishia kura
> Wasimamizi wa Kituo ndio watakao ruhusiwa
Soma > https://jamii.app/NECMashartiUchaguzi
#Uchaguzi2020
-
Haitaruhusiwa mtu yeyote kutumia simu ya kiganjani ndani ya kituo cha kupigia, kuhesabia au kujumlishia kura
> Wasimamizi wa Kituo ndio watakao ruhusiwa
Soma > https://jamii.app/NECMashartiUchaguzi
#Uchaguzi2020
JAPAN: YOSHIHIDE SUGA ATHIBITISHWA KUWA WAZIRI MKUU
> Bunge limemthibitisha Yoshihide Suga(71) kuwa Waziri Mkuu akichukua nafasi ya Shinzo Abe ambaye alijiuzulu kutokana na changamoto za kiafya
> Bunge limempitisha kwa theluthi mbili ya kura
Soma https://jamii.app/SugaPMJapan
#JFLeo
> Bunge limemthibitisha Yoshihide Suga(71) kuwa Waziri Mkuu akichukua nafasi ya Shinzo Abe ambaye alijiuzulu kutokana na changamoto za kiafya
> Bunge limempitisha kwa theluthi mbili ya kura
Soma https://jamii.app/SugaPMJapan
#JFLeo
GEITA: MBARONI KWA KUWAUNGUZA WATOTO KUTOKANA NA KULA SAMAKI WA WAGENI
> Ester John anatuhumiwa kuwaunguza na majimoto watoto wake 2 wa kambo na kuwafungia ndani bila kuwapatia matibabu yoyote
> Watoto hao ni wa miaka nane na mwingine minne
Soma https://jamii.app/GeitaMajiMoto
#JFLeo
> Ester John anatuhumiwa kuwaunguza na majimoto watoto wake 2 wa kambo na kuwafungia ndani bila kuwapatia matibabu yoyote
> Watoto hao ni wa miaka nane na mwingine minne
Soma https://jamii.app/GeitaMajiMoto
#JFLeo
ZANZIBAR: ACT-WAZALENDO YAWATAKA POLISI KUMUACHIA AU KUMFIKISHA MAHAKAMANI MWENYEKITI WA JIMBO LA OLE
> ACT-Wazalendo wamedai Rashid Ali Hamadi anashikiliwa kwa tuhuma za uchochezi
> Wamedai ana wiki yuko rumande na amenyimwa dhamana
Soma https://jamii.app/PolisiVsACT
#JFSiasa
> ACT-Wazalendo wamedai Rashid Ali Hamadi anashikiliwa kwa tuhuma za uchochezi
> Wamedai ana wiki yuko rumande na amenyimwa dhamana
Soma https://jamii.app/PolisiVsACT
#JFSiasa
LISSU: TUME IKITAKA AMANI, IHAKIKISHE UCHAGUZI UNAKUWA WA HAKI
-
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu amewataka NEC wawarudishe wagombea wote wa CHADEMA walioenguliwa
> Asema wakikosewa watadai haki kwa namna wanavyojua
Soma https://jamii.app/HakiItaletaAmani
#Uchaguzi2020
-
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu amewataka NEC wawarudishe wagombea wote wa CHADEMA walioenguliwa
> Asema wakikosewa watadai haki kwa namna wanavyojua
Soma https://jamii.app/HakiItaletaAmani
#Uchaguzi2020
MEMBE: ATAKA MSAIDIZI WAKE ARUDI BILA MCHUBUKO
> Mgombea Urais kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Bernard Membe amesema waliomteka Jerome Luanda wamuachie
> Aidha, amesema sio vyema kutumia Polisi kama kichaka cha kujificha
Soma https://jamii.app/MembeLuanda10
#JFSiasa
> Mgombea Urais kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Bernard Membe amesema waliomteka Jerome Luanda wamuachie
> Aidha, amesema sio vyema kutumia Polisi kama kichaka cha kujificha
Soma https://jamii.app/MembeLuanda10
#JFSiasa
ALIYEKUWA KAIMU MKURUGENZI WA BONDE LA RUFIJI AFUNGWA MIAKA 14
> Aloyce Masanja, amesomewa hukumu hiyo kwa hatia ya kosa la wizi wa Shilingi Milioni 86.
> Mahakama yaamuru alipe fidia ya Milioni 86
Soma > https://jamii.app/AloyceMasanjaJela
#JFLeo #JamiiForums #JamiiTalks #KemeaRushwa
> Aloyce Masanja, amesomewa hukumu hiyo kwa hatia ya kosa la wizi wa Shilingi Milioni 86.
> Mahakama yaamuru alipe fidia ya Milioni 86
Soma > https://jamii.app/AloyceMasanjaJela
#JFLeo #JamiiForums #JamiiTalks #KemeaRushwa
KATAVI: MBARONI KWA KUCHOMA NYUMBA 100 ZA WAVUVI
> Wanaoshikiliwa na Polisi kwa mahojiano ni Sungusungu wawili huku wengine wakiendelea kusakwa
> Tukio hilo lilitokea Septemba 16, 2020 saa 8 mchana katika Kata ya Itenka, Wilayani Mpanda
Soma https://jamii.app/KataviSungusungu
#JFLeo
> Wanaoshikiliwa na Polisi kwa mahojiano ni Sungusungu wawili huku wengine wakiendelea kusakwa
> Tukio hilo lilitokea Septemba 16, 2020 saa 8 mchana katika Kata ya Itenka, Wilayani Mpanda
Soma https://jamii.app/KataviSungusungu
#JFLeo
FAHAMU ILANI YA ACT-WAZALENDO INASEMA NINI KUHUSU ELIMU YA JUU
> ACT itarudisha uhuru wa wanataaluma na watafiti ktk kuzalisha na kukuza fikra za kimapinduzi.
> Kutoa ruzuku ya 40% ili Vyuo Vikuu vifanye tafiti
Soma > https://jamii.app/IlaniACT
#Uchaguzi2020 #TZ2020 #Siasa
> ACT itarudisha uhuru wa wanataaluma na watafiti ktk kuzalisha na kukuza fikra za kimapinduzi.
> Kutoa ruzuku ya 40% ili Vyuo Vikuu vifanye tafiti
Soma > https://jamii.app/IlaniACT
#Uchaguzi2020 #TZ2020 #Siasa
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DKT. MAGUFULI: WASANII NI WATU MUHIMU KATIKA MAENDELEO
> Mgombea urais kupitia CCM amesema Tasnia ya Sanaa na Michezo imekuwa ya tatu katika kukuza uchumi wa nchi
> Amesema, Wasanii ni watu muhimu katika kuelimisha jamii na kuburudisha
Angalia - https://youtu.be/xEm7tLulNVE
> Mgombea urais kupitia CCM amesema Tasnia ya Sanaa na Michezo imekuwa ya tatu katika kukuza uchumi wa nchi
> Amesema, Wasanii ni watu muhimu katika kuelimisha jamii na kuburudisha
Angalia - https://youtu.be/xEm7tLulNVE
KITAMBI KINAWEZA KUATHIRI MFUMO WA UPUMUAJI NA KUPUNGUZA UWEZO WA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA
- Dkt. Makala anasema, Mafuta yana faida mwilini lakini yanapozidi husababisha msuli wa upumuaji (diaphragm) kukosa nafasi nzuri ya kushuka na kupanda
Soma https://jamii.app/AthariKitambi
#JFAfya
- Dkt. Makala anasema, Mafuta yana faida mwilini lakini yanapozidi husababisha msuli wa upumuaji (diaphragm) kukosa nafasi nzuri ya kushuka na kupanda
Soma https://jamii.app/AthariKitambi
#JFAfya
DAR: AFIKISHWA KIZIMBANI KWA TUHUMA ZA KUKWEPA KODI ZAIDI YA TSH. MILIONI 48
> Geoffrey Kilimba ameshtakiwa kwa uhujumu uchumi na kuisababishia TRA hasara
> Pia, amedaiwa kujihusisha na genge la uhalifu Agosti 29, 2013 hadi Agosti 8, 2020
Soma https://jamii.app/Milioni48Uhujumu
#JFLeo
> Geoffrey Kilimba ameshtakiwa kwa uhujumu uchumi na kuisababishia TRA hasara
> Pia, amedaiwa kujihusisha na genge la uhalifu Agosti 29, 2013 hadi Agosti 8, 2020
Soma https://jamii.app/Milioni48Uhujumu
#JFLeo
MAALIM SEIF: MKINICHAGUA WAKULIMA WA KARAFUU NA VIUNGO WATAKUWA HURU KUUZA MAZAO YAO POPOTE DUNIANI
> Kazi ya Serikali yake itakuwa ni kukusanya kodi ndogo ili kuwafanya wakulima wapate faida kubwa ili waweze kuendeleza kazi yao
Soma > https://jamii.app/SeifWakulimaZNZ
#Uchaguzi2020
> Kazi ya Serikali yake itakuwa ni kukusanya kodi ndogo ili kuwafanya wakulima wapate faida kubwa ili waweze kuendeleza kazi yao
Soma > https://jamii.app/SeifWakulimaZNZ
#Uchaguzi2020
MAMBOSASA: WANAODAI MSAIDIZI WA MEMBE AMETEKWA NI WAONGO
> Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar, Lazaro Mambosasa, amesema Jerome Luanda ambaye ni Msaidizi wa Mgombea Urais wa JMT, Bernard Membe yuko mikononi mwa Polisi na ni mzima wa afya
Soma https://jamii.app/JeromeHakutekwa
#JFLeo
> Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar, Lazaro Mambosasa, amesema Jerome Luanda ambaye ni Msaidizi wa Mgombea Urais wa JMT, Bernard Membe yuko mikononi mwa Polisi na ni mzima wa afya
Soma https://jamii.app/JeromeHakutekwa
#JFLeo
MAREKANI YAKANA KUHUSIKA NA JASUSI ALIYEKAMATWA VENEZUELA
> Marekani imesema raia wa Marekani, Matthew John Heath hakutumwa na Serikali ya Marekani
> Jasusi huyo anatuhumiwa kupanga kulipua Viwanda vya OPEC na Mifumo ya Umeme ya Venezuela
Soma https://jamii.app/MarekaniYamkanaJasusi
#JFLeo
> Marekani imesema raia wa Marekani, Matthew John Heath hakutumwa na Serikali ya Marekani
> Jasusi huyo anatuhumiwa kupanga kulipua Viwanda vya OPEC na Mifumo ya Umeme ya Venezuela
Soma https://jamii.app/MarekaniYamkanaJasusi
#JFLeo
VISIWA VYA BARBADOS VYATANGAZA NIA YA KUMUONDOA MALKIA WA UINGEREZA KAMA KIONGOZI WAO
> Zoezi linatarajiwa kukamilika ktk Kumbukumbu ya Miaka 55 ya Uhuru mnamo Novemba 2021
> Waziri Mkuu amesema raia hao wanataka kuongozwa na kiongozi mzawa
Soma https://jamii.app/BarbadosVsUingereza
#JFLeo
> Zoezi linatarajiwa kukamilika ktk Kumbukumbu ya Miaka 55 ya Uhuru mnamo Novemba 2021
> Waziri Mkuu amesema raia hao wanataka kuongozwa na kiongozi mzawa
Soma https://jamii.app/BarbadosVsUingereza
#JFLeo
PROF. LIPUMBA: TANZANIA INAHITAJI RAIS MCHUMI NA MWENYE HURUMA NA WATANZANIA
> Amesema idadi ya watu masikini imeongezeka kutoka watu Mil. 12.3(2011) mpaka Mil. 14(2018)
> 74% ya Watoto wa Tanzania wanaishi ktk mazingira ya umasikini
Soma https://jamii.app/LipumbaRaisMchumi
#Uchaguzi2020
> Amesema idadi ya watu masikini imeongezeka kutoka watu Mil. 12.3(2011) mpaka Mil. 14(2018)
> 74% ya Watoto wa Tanzania wanaishi ktk mazingira ya umasikini
Soma https://jamii.app/LipumbaRaisMchumi
#Uchaguzi2020