ZITTO: ACT-WAZALENDO IPO TAYARI KUSHIRIKIANA NA CHADEMA
> Amesema ACT-Wazalendo wapo tayari kushirikiana na CHADEMA kwa kuunga mkono wagombea wanaokubalika
> CHADEMA imemuunga mkono Maalim Seif (Zanzibar) ila Membe bado hajasema chochote
Soma https://jamii.app/CHADEMAvsACT
#JFSiasa
> Amesema ACT-Wazalendo wapo tayari kushirikiana na CHADEMA kwa kuunga mkono wagombea wanaokubalika
> CHADEMA imemuunga mkono Maalim Seif (Zanzibar) ila Membe bado hajasema chochote
Soma https://jamii.app/CHADEMAvsACT
#JFSiasa
TCRA: WATANGAZAJI WA VYOMBO VYA HABARI WANAPASWA KUWA NA SHAHADA/STASHAHADA YA UANDISHI
- Kanuni ya 17(2) ya Vyombo vya Habari(2017) inasema, ili Mtu athibitishwe kuwa mwandishi anatakiwa kuwa na Shahada/Stashahada ya Uandishi wa Habari
Soma > https://jamii.app/TCRAVsMediaHousesTz
#JFLeo
- Kanuni ya 17(2) ya Vyombo vya Habari(2017) inasema, ili Mtu athibitishwe kuwa mwandishi anatakiwa kuwa na Shahada/Stashahada ya Uandishi wa Habari
Soma > https://jamii.app/TCRAVsMediaHousesTz
#JFLeo
TACAIDS: UNYANYAPAA HUSABABABISHA VIJANA KUOGOPA KUPIMA UKIMWI
> TACAIDS wanasema kitaifa hali ya maambukizi mapya ya UKIMWI kwa vijana ni 40%
> Aidha, vijana huogopa kupima na kutumia dawa za kupunguza makali ya VVU kutokana na unyanyapaa
Soma https://jamii.app/UnyanyapaaTACAIDS
#JFAfya
> TACAIDS wanasema kitaifa hali ya maambukizi mapya ya UKIMWI kwa vijana ni 40%
> Aidha, vijana huogopa kupima na kutumia dawa za kupunguza makali ya VVU kutokana na unyanyapaa
Soma https://jamii.app/UnyanyapaaTACAIDS
#JFAfya
SUDAN KUSINI: SHULE ZAFUNGULIWA, IDADI YA WANAFUNZI WALIOPATA MIMBA YAONGEZEKA
> Baada ya miezi 6 ya kukaa nyumbani kutokana na #CoronaVirus, Serikali imefungua shule zote kuanzia leo huku Wizara ya Elimu ikiripoti watoto 148 kupata ujauzito
Soma https://jamii.app/MimbaSudanKusini
#JFLeo
> Baada ya miezi 6 ya kukaa nyumbani kutokana na #CoronaVirus, Serikali imefungua shule zote kuanzia leo huku Wizara ya Elimu ikiripoti watoto 148 kupata ujauzito
Soma https://jamii.app/MimbaSudanKusini
#JFLeo
KILIMO: FAHAMU KUHUSU MACADAMIA/KARANGA PORI
> Karanga pori ni zao la muda mrefu, mti wake unatokana na jamii ya mimea ya Proteaceae. Aina zote za mmea huu zinafaa kama zao la kilimo, la biashara na chakula
> Zinaota kwenye eneo lenye jotoridi kati ya nyuzi joto 25 na 35. Huhitaji mvua kiasi cha 800mm hadi 1200mm kwa mwaka na hali ya hewa huchangia zaidi katika kupata mazao bora
Zaidi, soma https://jamii.app/MacadamiaKaranga
#JFKilimo
> Karanga pori ni zao la muda mrefu, mti wake unatokana na jamii ya mimea ya Proteaceae. Aina zote za mmea huu zinafaa kama zao la kilimo, la biashara na chakula
> Zinaota kwenye eneo lenye jotoridi kati ya nyuzi joto 25 na 35. Huhitaji mvua kiasi cha 800mm hadi 1200mm kwa mwaka na hali ya hewa huchangia zaidi katika kupata mazao bora
Zaidi, soma https://jamii.app/MacadamiaKaranga
#JFKilimo
UGANDA: MWANAMUZIKI MBARONI KWA KUKIUKA TARATIBU ZA KUPAMBANA NA #CORONAVIRUS
> Ni Ziza Bafana na wenzake 4 walikiuka taratibu za mapambano ya #COVID19
> Wanamuziki hao walivuka mpaka na kuingia Tanzania kwa ajili ya kutumbuiza
Soma > https://jamii.app/ZizaVsCOVID19
#JFLeo
> Ni Ziza Bafana na wenzake 4 walikiuka taratibu za mapambano ya #COVID19
> Wanamuziki hao walivuka mpaka na kuingia Tanzania kwa ajili ya kutumbuiza
Soma > https://jamii.app/ZizaVsCOVID19
#JFLeo
UMOJA WA ULAYA KUTOA BILIONI 70 KUSAIDIA MAPAMBANO YA COVID 19 TANZANIA
> Umoja wa Ulaya umesema uko tayari kutoa kiasi hicho cha fedha kwaajili ya kukabiliana na janga la #CoronaVirus pamoja na athari zake kiuchumi
Soma > https://jamii.app/EUCovid19Tz
#JFLeo #COVID19
> Umoja wa Ulaya umesema uko tayari kutoa kiasi hicho cha fedha kwaajili ya kukabiliana na janga la #CoronaVirus pamoja na athari zake kiuchumi
Soma > https://jamii.app/EUCovid19Tz
#JFLeo #COVID19
BODI YA MICHEZO YA KUBAHATISHA YAWATAKA WAMILIKI WA βPOOL TABLESβ KUWA NA LESENI
> GBT imewataka wamiliki wa βpool tablesβ kunasajiliwa na kuwa leseni
> Hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi ya watakaokaidi agizo hilo
Soma https://jamii.app/PoolTableLeseni
#JFLea
> GBT imewataka wamiliki wa βpool tablesβ kunasajiliwa na kuwa leseni
> Hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi ya watakaokaidi agizo hilo
Soma https://jamii.app/PoolTableLeseni
#JFLea
LISSU: UWANJA WA NDEGE WA CHATO UNA FAIDA GANI KWA UMMA?
> Mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, amesema ndege za kiraia zinatua Uwanja wa Shinyanga
> Amewambia wafuasi wake wahoji ndege gani ya kiraia inatua Uwanja wa ndege wa Chato?
Soma https://jamii.app/LissuMakambako
#JFLeo
> Mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, amesema ndege za kiraia zinatua Uwanja wa Shinyanga
> Amewambia wafuasi wake wahoji ndege gani ya kiraia inatua Uwanja wa ndege wa Chato?
Soma https://jamii.app/LissuMakambako
#JFLeo
NEC YAKUBALI RUFAA ZINGINE ZA UDIWANI NA KUREJESHA WAGOMBEA
> NEC imekubali Rufaa 24 na kuwarejesha Wagombea. Pia, imezikataa rufaa 19 za Wagombea Udiwani ambao hawakuteuliwa
> Imezikataa rufaa 6 za kupinga Wagombea walioteuliwa
Soma https://jamii.app/UamuziRufaaUdiwani
#Uchaguzi20202
> NEC imekubali Rufaa 24 na kuwarejesha Wagombea. Pia, imezikataa rufaa 19 za Wagombea Udiwani ambao hawakuteuliwa
> Imezikataa rufaa 6 za kupinga Wagombea walioteuliwa
Soma https://jamii.app/UamuziRufaaUdiwani
#Uchaguzi20202
PROF. LIPUMBA, MKINICHAGUA NITATOA HUDUMA BORA YA AFYA
- Asema Bajeti ya Wizara ya Afya itapanda kufikia 15% katika kipindi cha miaka 10 ijayo
- Ongezeko la bajeti litawezesha miundombinu ya Kisasa, Wataalam, Vifaa Tiba na Vipimo
Soma > https://jamii.app/LipumbaAfyaBora
#Uchaguzi20202
- Asema Bajeti ya Wizara ya Afya itapanda kufikia 15% katika kipindi cha miaka 10 ijayo
- Ongezeko la bajeti litawezesha miundombinu ya Kisasa, Wataalam, Vifaa Tiba na Vipimo
Soma > https://jamii.app/LipumbaAfyaBora
#Uchaguzi20202
TANZIA: MWANASIASA MKONGWE SALIM HASSAN ABDULLAH TURKY AFARIKI DUNIA
> Salim Turky 'Mr White' amefariki usiku kuamkia Septemba 15 baada ya kuugua ghafla
> Alikuwa Mbunge wa Mpendae, Zanzibar tangu 2010 na alikuwa anatetea Kiti hicho mwaka huu
Soma https://jamii.app/MrWhiteAfariki
#JFLeo
> Salim Turky 'Mr White' amefariki usiku kuamkia Septemba 15 baada ya kuugua ghafla
> Alikuwa Mbunge wa Mpendae, Zanzibar tangu 2010 na alikuwa anatetea Kiti hicho mwaka huu
Soma https://jamii.app/MrWhiteAfariki
#JFLeo
MAREKANI YAWAWEKEA VIKWAZO WALIOSHIRIKI KUVURUGA UCHAGUZI WA MAJIMBO NCHINI NIGERIA
- Walioshiriki "Kuchakachua" matokeo ya Uchaguzi wa Majimbo ya Kogi na Bayeslsa hawataruhusiwa kuingia Marekani
- Majina ya waliowekewa vikwazo hayajawekwa wazi
Soma > https://jamii.app/USVsNigeriaElectionRiggers
- Walioshiriki "Kuchakachua" matokeo ya Uchaguzi wa Majimbo ya Kogi na Bayeslsa hawataruhusiwa kuingia Marekani
- Majina ya waliowekewa vikwazo hayajawekwa wazi
Soma > https://jamii.app/USVsNigeriaElectionRiggers
ADC KESHO WATAZINDUA KAMPENI ZAKE PEMBA - ZANZIBAR
> Tukio hilo litafanyika Septemba 16, 2020 ktk Viwanja vya Shame Mmata, Soko la Mjini Micheweni
> ADC ndio chama pekee kilichomsimamisha Mwanamke kuwania Urais wa JMT
Soma > https://jamii.app/KampeniADC
#Siasa #Uchaguzi20202
> Tukio hilo litafanyika Septemba 16, 2020 ktk Viwanja vya Shame Mmata, Soko la Mjini Micheweni
> ADC ndio chama pekee kilichomsimamisha Mwanamke kuwania Urais wa JMT
Soma > https://jamii.app/KampeniADC
#Siasa #Uchaguzi20202
BASHIRU: HAMJAZUIWA KUTUMIA WASANII
> Katibu Mkuu wa CCM amesema wasanii wanafikiri na kufuata lililojema, wasanii hao wanajitolea kufanya Kampeni
> Pia, Vyama vinavyodai kuonewa viende kushtaki Kamati ya Maadili ya Uchaguzi
Soma https://jamii.app/DktBashiruWasanii
#JFSiasa
> Katibu Mkuu wa CCM amesema wasanii wanafikiri na kufuata lililojema, wasanii hao wanajitolea kufanya Kampeni
> Pia, Vyama vinavyodai kuonewa viende kushtaki Kamati ya Maadili ya Uchaguzi
Soma https://jamii.app/DktBashiruWasanii
#JFSiasa
UMD YAAHIDI KUTOA βPASSPORTβ BURE NA KUFUTA VITAMBULISHO VYA TAIFA
> Mgombea Urais, Mohamed Mazrui amesema watatoa 'Passport' bure ili Raia waweze kusafiri kwenda Nchi mbalimbali kutafuta maisha
> Pia, wataondoa ulipaji wa Kodi ya Majengo
Soma https://jamii.app/UMDKampeni
#JFSiasa
> Mgombea Urais, Mohamed Mazrui amesema watatoa 'Passport' bure ili Raia waweze kusafiri kwenda Nchi mbalimbali kutafuta maisha
> Pia, wataondoa ulipaji wa Kodi ya Majengo
Soma https://jamii.app/UMDKampeni
#JFSiasa
TAARIFA ZA WATU 18,000 WALIOAMBUKIZWA #CORONAVIRUS ZACHAPISHWA MTANDAONI KIMAKOSA
- Makosa hayo yamefanywa na Taasisi ya Public Health Wales(PHW) ya nchini Wales na taarifa hiyo ilidumu mtandaoni kwa takriban saa 20 na kuonwa mara 56
Soma > https://jamii.app/COVID19DataBreach
#COVID19 #UlinziWaTaarifa
- Makosa hayo yamefanywa na Taasisi ya Public Health Wales(PHW) ya nchini Wales na taarifa hiyo ilidumu mtandaoni kwa takriban saa 20 na kuonwa mara 56
Soma > https://jamii.app/COVID19DataBreach
#COVID19 #UlinziWaTaarifa
UNESCO: MANYANYASO KWA WAANDISHI KATIKA MIGOMO NA MAANDAMANO YAONGEZEKA DUNIANI
> Mwaka 2015 waandishi walinyanyaswa wakati wakifuatilia matukio 15 ya migomo
> Waandishi wamekuwa wakipigwa, kukamatwa, kuuawa na wengine kuachiwa ulemavu wa kudumu
Soma https://jamii.app/JournalistProtestsCovering
#JFLeo
> Mwaka 2015 waandishi walinyanyaswa wakati wakifuatilia matukio 15 ya migomo
> Waandishi wamekuwa wakipigwa, kukamatwa, kuuawa na wengine kuachiwa ulemavu wa kudumu
Soma https://jamii.app/JournalistProtestsCovering
#JFLeo
TANZANIA YAONGOZA KWA UKUAJI WA UCHUMI WAKATI WA #COVID19 KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
> AfDB imesema uchumi wa Tanzania umekua kwa wastani wa 5.2%, Rwanda 4.2%, Uganda 2.5%, Kenya 1.4%, Sudan Kusini umepungua kwa 0.4% na Burundi 5.2%
Soma https://jamii.app/TzUchumiCovid19
#JFLeo
> AfDB imesema uchumi wa Tanzania umekua kwa wastani wa 5.2%, Rwanda 4.2%, Uganda 2.5%, Kenya 1.4%, Sudan Kusini umepungua kwa 0.4% na Burundi 5.2%
Soma https://jamii.app/TzUchumiCovid19
#JFLeo
MAREKANI: IRAN IKISHAMBULIA, TUTALIPIZA MARA 1000
> Rais Trump ameionya Iran baada ya Wataalamu wa Usalama kutoa tahadhari kuwa Iran imepanga kushambulia Ubalozi wa Marekani wa Afrika Kusini ili kulipiza kisasi cha kuuawa kwa Qasem Soleimani
Soma https://jamii.app/US1000Iran
#JFLeo
> Rais Trump ameionya Iran baada ya Wataalamu wa Usalama kutoa tahadhari kuwa Iran imepanga kushambulia Ubalozi wa Marekani wa Afrika Kusini ili kulipiza kisasi cha kuuawa kwa Qasem Soleimani
Soma https://jamii.app/US1000Iran
#JFLeo
NEC: TUNAWEZA KUWAFUNGIA WAGOMBEA AMBAO KAZI YAO NI KUSAMBAZA MATUSI
- Mkurugenzi wa Uchaguzi amesema Sheria ipo hivyo wahusika wazingatie maadili ya Uchaguzi waliyosaini
> Amewataka wauze sera zao ili Wananchi wawachague kwa manufaa yao
Soma https://jamii.app/NECVsWagombea
#TZ2020
- Mkurugenzi wa Uchaguzi amesema Sheria ipo hivyo wahusika wazingatie maadili ya Uchaguzi waliyosaini
> Amewataka wauze sera zao ili Wananchi wawachague kwa manufaa yao
Soma https://jamii.app/NECVsWagombea
#TZ2020