SERIKALI: NCHI INA CHAKULA CHA KUTOSHA, HATUTEGEMEI KUWA NA UHABA
> Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga amesema Tanzania imejitosheleza kwa Chakula kwa 124% na ina ziada ya tani za Milioni 3
> Amehimiza Chakula kutumika na kuhifadhiwa vizuri
Soma - https://jamii.app/UhabaChakulaTZ
> Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga amesema Tanzania imejitosheleza kwa Chakula kwa 124% na ina ziada ya tani za Milioni 3
> Amehimiza Chakula kutumika na kuhifadhiwa vizuri
Soma - https://jamii.app/UhabaChakulaTZ
LIBERIA: UBAKAJI WATANGAZWA KUWA DHARURA YA KITAIFA
> Rais George Weah ameagiza taratibu mpya kuchukuliwa ili kukabiliana na tatizo hilo
> Serikali imesema itaunda Kikosi Kazi cha Usalama wa Taifa kwa ajili ya unyanyasaji wa kijinsia
Soma - https://jamii.app/RapeLiberia
> Rais George Weah ameagiza taratibu mpya kuchukuliwa ili kukabiliana na tatizo hilo
> Serikali imesema itaunda Kikosi Kazi cha Usalama wa Taifa kwa ajili ya unyanyasaji wa kijinsia
Soma - https://jamii.app/RapeLiberia
CHATO: TANZANIA NA UGANDA ZASAINI MAKUBALIANO YA KUANZA UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA
> Rais John Magufuli (Tanzania) na Rais Yoweri Museveni (Uganda) wamesaini makubaliano ya kuanza ujenzi wa Bomba la Mafuta ghafi kutoka Hoima, Uganda hadi Chongoleani mkoani Tanga
> Hapa nchini bomba hilo litapita kwenye Mikoa 8, Wilaya 24 na Kata 132. Aidha, watu zaidi ya 90,000 watalipwa fidia inayokadiriwa kufikia Bilioni 21
Soma - https://jamii.app/JPM-MuseveniChato
> Rais John Magufuli (Tanzania) na Rais Yoweri Museveni (Uganda) wamesaini makubaliano ya kuanza ujenzi wa Bomba la Mafuta ghafi kutoka Hoima, Uganda hadi Chongoleani mkoani Tanga
> Hapa nchini bomba hilo litapita kwenye Mikoa 8, Wilaya 24 na Kata 132. Aidha, watu zaidi ya 90,000 watalipwa fidia inayokadiriwa kufikia Bilioni 21
Soma - https://jamii.app/JPM-MuseveniChato
Tundu Lissu (Iringa): Tukipata Serikali Oktoba 28 tutahakikisha kila Mtanzania atakuwa kwenye Bima ya Afya
> Tofauti yetu na hii bima ambayo haiwasaidii ni kwamba bima tunayoisema sisi itamuhusu kila mtu anayekaa nchi hii, uwe Raia au sio Raia
#Uchaguzi2020
> Tofauti yetu na hii bima ambayo haiwasaidii ni kwamba bima tunayoisema sisi itamuhusu kila mtu anayekaa nchi hii, uwe Raia au sio Raia
#Uchaguzi2020
NEC YAENDELEA KUCHAMBUA RUFAA, MADIWANI 25 WARUDISHWA
> Rufaa 4 za Ubunge kutoka Jimbo la Babati Mjini zimekataliwa
> Pia, Tume ya Uchaguzi imekataa Rufaa 12 za Wagombea ambao hawakuteuliwa na 9 za kupinga Wagombea walioteuliwa
Soma - https://jamii.app/NECWagombeaRufaa
#Uchaguzi2020
> Rufaa 4 za Ubunge kutoka Jimbo la Babati Mjini zimekataliwa
> Pia, Tume ya Uchaguzi imekataa Rufaa 12 za Wagombea ambao hawakuteuliwa na 9 za kupinga Wagombea walioteuliwa
Soma - https://jamii.app/NECWagombeaRufaa
#Uchaguzi2020
GWAJIMA: MIMI SI KILAZA, NILIENDA MAREKANI 2019, NIMEANDIKA VITABU 5 KWA KIJAPANI
> Mgombea wa Ubunge wa Kawe(CCM) amesema, akichaguliwa ataweka Ambulance kila Kata, watu watakimbizwa hospitalini kwa haraka na jambo hilo ni jepesi halihitaji Manispaa wala Serikali
Soma zaidi https://jamii.app/KilazaGwajima
> Mgombea wa Ubunge wa Kawe(CCM) amesema, akichaguliwa ataweka Ambulance kila Kata, watu watakimbizwa hospitalini kwa haraka na jambo hilo ni jepesi halihitaji Manispaa wala Serikali
Soma zaidi https://jamii.app/KilazaGwajima
SALUM MWALIMU: TUTASEMA KWA AJILI YA ASKARI WETU HATA KAMA MNATUPIGA
> Mgombea mwenza wa Urais kupitia CHADEMA, Salum Mwalimu amesema wanataka Jeshi la Polisi linalofanya kazi zake kwa haki, kwani sheria bila haki ni unyanyasaji
> Ameongeza kuwa, CHADEMA haitaleta askari wake bali itatumia waliopo isipokuwa watalifanya kuwa Jeshi la kutoa huduma badala ya dhuluma na kutumia nguvu
#Uchaguzi2020 #JamiiForums #Siasa
> Mgombea mwenza wa Urais kupitia CHADEMA, Salum Mwalimu amesema wanataka Jeshi la Polisi linalofanya kazi zake kwa haki, kwani sheria bila haki ni unyanyasaji
> Ameongeza kuwa, CHADEMA haitaleta askari wake bali itatumia waliopo isipokuwa watalifanya kuwa Jeshi la kutoa huduma badala ya dhuluma na kutumia nguvu
#Uchaguzi2020 #JamiiForums #Siasa
COSMAS CHEKA AJINYAKULIA MKANDA WA 'UBO'
> Bondia wa Tanzania, Cosmas Cheka amejinyakulia Mkanda baada ya kushinda pambano dhidi ya Hannock Phiri
> Pambano lilikuwa la round 12 na alishinda kwa alama
Soma https://jamii.app/ChekaVsPhiri
#JFMichezo
> Bondia wa Tanzania, Cosmas Cheka amejinyakulia Mkanda baada ya kushinda pambano dhidi ya Hannock Phiri
> Pambano lilikuwa la round 12 na alishinda kwa alama
Soma https://jamii.app/ChekaVsPhiri
#JFMichezo
WASTANI WA UMRI WA WANAWAKE WANAOPATA SARATANI YA MATITI WAPUNGUA
> Mwaka 2008/2009 waliougua Saratani ya Matiti walianzia miaka 64 huku 2019 walianzia miaka 56
> Hii inaonesha Saratani hiyo imeanza kushambulia wanawake wenye umri mdogo pia
Soma https://jamii.app/SarataniWanawake
#JFLeo
> Mwaka 2008/2009 waliougua Saratani ya Matiti walianzia miaka 64 huku 2019 walianzia miaka 56
> Hii inaonesha Saratani hiyo imeanza kushambulia wanawake wenye umri mdogo pia
Soma https://jamii.app/SarataniWanawake
#JFLeo
KYERWA, KAGERA: WATOTO 10 WAFARIKI DUNIA BAADA YA BWENI KUTEKETEA KWA MOTO
> Watoto 6 wamjeruhiwa vibaya katika ajali hiyo iliyotokea majira ya saa 9 usiku wa kuamkia leo katika Bweni la Wavulana wa Shule ya Msingi Islamic Byamungu
> Inaelezwa kuwa waliofariki wana umri wa miaka kati ya 6 na 12
Soma > https://jamii.app/MotoShuleKyerwa
#JFLeo
> Watoto 6 wamjeruhiwa vibaya katika ajali hiyo iliyotokea majira ya saa 9 usiku wa kuamkia leo katika Bweni la Wavulana wa Shule ya Msingi Islamic Byamungu
> Inaelezwa kuwa waliofariki wana umri wa miaka kati ya 6 na 12
Soma > https://jamii.app/MotoShuleKyerwa
#JFLeo
DRC: MIILI 18 YAPATIKANA KUTOKA KWENYE KIFUSI CHA MGODI ULIOPOROMOKA
> Takriban wachimbaji 50 walifukiwa ktk kifusi baada ya mgodi wa dhahabu kuporomoka
> Bado haifahamiki Wachimbaji wangapi walikuwa wakifanya shughuli zao kwenye mgodi huo
Soma > https://jamii.app/MgodiKamituga
#JFLeo
> Takriban wachimbaji 50 walifukiwa ktk kifusi baada ya mgodi wa dhahabu kuporomoka
> Bado haifahamiki Wachimbaji wangapi walikuwa wakifanya shughuli zao kwenye mgodi huo
Soma > https://jamii.app/MgodiKamituga
#JFLeo
MTAALAMU: SUPU YA PWEZA HAIONGEZI NGUVU ZA KIUME
> Dkt. Abdallah Makala kutoka Hospitali ya Muhimbili amesema, utumiaji wa dawa za kuongeza nguvu za kiume si mzuri lakini ufanyaji mazoezi ni njia bora zaidi katika kuongeza nguvu za kiume
Soma https://jamii.app/PwezaNguvuZaKiume
#JFLeo
> Dkt. Abdallah Makala kutoka Hospitali ya Muhimbili amesema, utumiaji wa dawa za kuongeza nguvu za kiume si mzuri lakini ufanyaji mazoezi ni njia bora zaidi katika kuongeza nguvu za kiume
Soma https://jamii.app/PwezaNguvuZaKiume
#JFLeo
KENYA: WAZAZI WENYE HASIRA KALI WAVAMIA SHULE NA KUCHINJA NGβOMBE
- Walinunuliwa kwa ajili ya kuchota maji ili kupunguza gharama lakini uongozi wa shule ulitaka kuwauza
- Wamedai shule inauza mifugo na vyakula bila kufuata utaratibu halali
Soma - https://jamii.app/VifoNgombe
#JFLeo
- Walinunuliwa kwa ajili ya kuchota maji ili kupunguza gharama lakini uongozi wa shule ulitaka kuwauza
- Wamedai shule inauza mifugo na vyakula bila kufuata utaratibu halali
Soma - https://jamii.app/VifoNgombe
#JFLeo
MGOMBEA URAIS KUPITIA SAU ASEMA SERIKALI YAKE ITAONGEZA NDEGE KUFIKIA 50
> Mgombea Muttamwega Mgaywa amesema akichaguliwa atahakikisha kila Mtanzania anapata ajira ya uhakika
> Aidha, atamteua Ummy Mwalimu na Kassim Majaliwa kuwa Mawaziri
Soma https://jamii.app/KampeniSAU
#JFLeo
> Mgombea Muttamwega Mgaywa amesema akichaguliwa atahakikisha kila Mtanzania anapata ajira ya uhakika
> Aidha, atamteua Ummy Mwalimu na Kassim Majaliwa kuwa Mawaziri
Soma https://jamii.app/KampeniSAU
#JFLeo
MAGUFULI: MZEE MKAPA NDIYE ALIYENIOKOTA HUKO βJALALANIβ
> Mgombea Urais kupitia CCM, Dkt. Magufuli amesema akimkumbuka Rais Mkapa huwa anaumia nafsi
> Amesema ametumia neno hilo kwa kuwa mtu akipata kazi anasemwa amekotwa jalalani
Soma https://jamii.app/MagufuliChato
#JFSiasa
> Mgombea Urais kupitia CCM, Dkt. Magufuli amesema akimkumbuka Rais Mkapa huwa anaumia nafsi
> Amesema ametumia neno hilo kwa kuwa mtu akipata kazi anasemwa amekotwa jalalani
Soma https://jamii.app/MagufuliChato
#JFSiasa
ZITTO: ACT-WAZALENDO IPO TAYARI KUSHIRIKIANA NA CHADEMA
> Amesema ACT-Wazalendo wapo tayari kushirikiana na CHADEMA kwa kuunga mkono wagombea wanaokubalika
> CHADEMA imemuunga mkono Maalim Seif (Zanzibar) ila Membe bado hajasema chochote
Soma https://jamii.app/CHADEMAvsACT
#JFSiasa
> Amesema ACT-Wazalendo wapo tayari kushirikiana na CHADEMA kwa kuunga mkono wagombea wanaokubalika
> CHADEMA imemuunga mkono Maalim Seif (Zanzibar) ila Membe bado hajasema chochote
Soma https://jamii.app/CHADEMAvsACT
#JFSiasa
TCRA: WATANGAZAJI WA VYOMBO VYA HABARI WANAPASWA KUWA NA SHAHADA/STASHAHADA YA UANDISHI
- Kanuni ya 17(2) ya Vyombo vya Habari(2017) inasema, ili Mtu athibitishwe kuwa mwandishi anatakiwa kuwa na Shahada/Stashahada ya Uandishi wa Habari
Soma > https://jamii.app/TCRAVsMediaHousesTz
#JFLeo
- Kanuni ya 17(2) ya Vyombo vya Habari(2017) inasema, ili Mtu athibitishwe kuwa mwandishi anatakiwa kuwa na Shahada/Stashahada ya Uandishi wa Habari
Soma > https://jamii.app/TCRAVsMediaHousesTz
#JFLeo
TACAIDS: UNYANYAPAA HUSABABABISHA VIJANA KUOGOPA KUPIMA UKIMWI
> TACAIDS wanasema kitaifa hali ya maambukizi mapya ya UKIMWI kwa vijana ni 40%
> Aidha, vijana huogopa kupima na kutumia dawa za kupunguza makali ya VVU kutokana na unyanyapaa
Soma https://jamii.app/UnyanyapaaTACAIDS
#JFAfya
> TACAIDS wanasema kitaifa hali ya maambukizi mapya ya UKIMWI kwa vijana ni 40%
> Aidha, vijana huogopa kupima na kutumia dawa za kupunguza makali ya VVU kutokana na unyanyapaa
Soma https://jamii.app/UnyanyapaaTACAIDS
#JFAfya
SUDAN KUSINI: SHULE ZAFUNGULIWA, IDADI YA WANAFUNZI WALIOPATA MIMBA YAONGEZEKA
> Baada ya miezi 6 ya kukaa nyumbani kutokana na #CoronaVirus, Serikali imefungua shule zote kuanzia leo huku Wizara ya Elimu ikiripoti watoto 148 kupata ujauzito
Soma https://jamii.app/MimbaSudanKusini
#JFLeo
> Baada ya miezi 6 ya kukaa nyumbani kutokana na #CoronaVirus, Serikali imefungua shule zote kuanzia leo huku Wizara ya Elimu ikiripoti watoto 148 kupata ujauzito
Soma https://jamii.app/MimbaSudanKusini
#JFLeo
KILIMO: FAHAMU KUHUSU MACADAMIA/KARANGA PORI
> Karanga pori ni zao la muda mrefu, mti wake unatokana na jamii ya mimea ya Proteaceae. Aina zote za mmea huu zinafaa kama zao la kilimo, la biashara na chakula
> Zinaota kwenye eneo lenye jotoridi kati ya nyuzi joto 25 na 35. Huhitaji mvua kiasi cha 800mm hadi 1200mm kwa mwaka na hali ya hewa huchangia zaidi katika kupata mazao bora
Zaidi, soma https://jamii.app/MacadamiaKaranga
#JFKilimo
> Karanga pori ni zao la muda mrefu, mti wake unatokana na jamii ya mimea ya Proteaceae. Aina zote za mmea huu zinafaa kama zao la kilimo, la biashara na chakula
> Zinaota kwenye eneo lenye jotoridi kati ya nyuzi joto 25 na 35. Huhitaji mvua kiasi cha 800mm hadi 1200mm kwa mwaka na hali ya hewa huchangia zaidi katika kupata mazao bora
Zaidi, soma https://jamii.app/MacadamiaKaranga
#JFKilimo
UGANDA: MWANAMUZIKI MBARONI KWA KUKIUKA TARATIBU ZA KUPAMBANA NA #CORONAVIRUS
> Ni Ziza Bafana na wenzake 4 walikiuka taratibu za mapambano ya #COVID19
> Wanamuziki hao walivuka mpaka na kuingia Tanzania kwa ajili ya kutumbuiza
Soma > https://jamii.app/ZizaVsCOVID19
#JFLeo
> Ni Ziza Bafana na wenzake 4 walikiuka taratibu za mapambano ya #COVID19
> Wanamuziki hao walivuka mpaka na kuingia Tanzania kwa ajili ya kutumbuiza
Soma > https://jamii.app/ZizaVsCOVID19
#JFLeo