SUMAYE: HATUTAKI WATU WANAOCHOCHEA FUJO KWASABABU WANATAFUTA MADARAKA
> Aitaka Serikali na Vyama vya Siasa kuchukua hatua dhidi ya wagombea wanaotoa kauli zinazohatarisha Amani
> Amesema, Amani ya Tanzania lazima idumishwe
Soma - https://jamii.app/SumayeAmaniTZ
#Uchaguzi2020
> Aitaka Serikali na Vyama vya Siasa kuchukua hatua dhidi ya wagombea wanaotoa kauli zinazohatarisha Amani
> Amesema, Amani ya Tanzania lazima idumishwe
Soma - https://jamii.app/SumayeAmaniTZ
#Uchaguzi2020
NIGERIA: JIMBO LA KADUNA LAPITISHA ADHABU YA KUWAHASI WABAKAJI
> Wabunge wamepitisha adhabu ya kuwahasi wataokutwa na hatia ya kubaka/kulawiti watoto chini ya miaka 14
> Gavana wa Jimbo anasubiriwa kutia saini Muswada huo ili kuwa sheria
Soma - https://jamii.app/LawRapistsNGR
> Wabunge wamepitisha adhabu ya kuwahasi wataokutwa na hatia ya kubaka/kulawiti watoto chini ya miaka 14
> Gavana wa Jimbo anasubiriwa kutia saini Muswada huo ili kuwa sheria
Soma - https://jamii.app/LawRapistsNGR
PERU: BUNGE LAANZA MCHAKATO WA KUMSHTAKI RAIS
> Rais MartΓn Vizcarra (57) anatuhumiwa kwa makosa mbalimbali ikiwemo kujaribu kuzuia Uchunguzi wa Ufisadi
> Amekana mashtaka yote na kulishutumu Bunge kwa kuanzisha mapinduzi ya kisiasa
Soma - https://jamii.app/BungeRaisPeru
> Rais MartΓn Vizcarra (57) anatuhumiwa kwa makosa mbalimbali ikiwemo kujaribu kuzuia Uchunguzi wa Ufisadi
> Amekana mashtaka yote na kulishutumu Bunge kwa kuanzisha mapinduzi ya kisiasa
Soma - https://jamii.app/BungeRaisPeru
ZANZIBAR: CCM KUZINDUA KAMPENI ZA URAIS LEO
> Makamu Mwenyekiti wa CCM, Dkt. Ali Mohamed Shein anatarajiwa kuongoza uzinduzi
> Mgombea Urais wa CCM, Dkt. Hussein Ali Mwinyi atatangaza ilani ya Chama hicho kwa Wananchi
Soma - https://jamii.app/ZNZKampeniCCM
#Uchaguzi2020
> Makamu Mwenyekiti wa CCM, Dkt. Ali Mohamed Shein anatarajiwa kuongoza uzinduzi
> Mgombea Urais wa CCM, Dkt. Hussein Ali Mwinyi atatangaza ilani ya Chama hicho kwa Wananchi
Soma - https://jamii.app/ZNZKampeniCCM
#Uchaguzi2020
DR CONGO: WATU 50 WAHOFIWA KUFARIKI KATIKA MAPOROMOKO MGODINI
- Ajali hiyo imetokana na mvua kubwa zinazonyesha Mjini Kamituga
- Meya wa Mji huo ametangaza siku 2 za maombolezo na kutoa wito kwa Wananchi kusaidia kuopoa miili ya Marehemu
Soma - https://jamii.app/AjaliMgodiDRC
- Ajali hiyo imetokana na mvua kubwa zinazonyesha Mjini Kamituga
- Meya wa Mji huo ametangaza siku 2 za maombolezo na kutoa wito kwa Wananchi kusaidia kuopoa miili ya Marehemu
Soma - https://jamii.app/AjaliMgodiDRC
DAR: RAIA 7 WA KIGENI MBARONI KWA UTAPELI MTANDAONI
> Watuhumiwa hao wamekiri kupata Milioni 10 kwa udanganyifu
> Wametumia kiasi cha fedha hizo kuanzisha duka la pombe kali, kununua Toyota Mark X, runinga 2 na magodoro
Soma - https://jamii.app/PolisiUhalifuDar
#JFLeo
> Watuhumiwa hao wamekiri kupata Milioni 10 kwa udanganyifu
> Wametumia kiasi cha fedha hizo kuanzisha duka la pombe kali, kununua Toyota Mark X, runinga 2 na magodoro
Soma - https://jamii.app/PolisiUhalifuDar
#JFLeo
HOFU ILIYOPITILIZA HUSABABISHA KUSHUKA KWA KINGA YA MWILI
> Mtalaamu wa masuala ya saikolojia, Baraka Mushobozi amesema hofu hujidhihirisha kwenye mwili kwa kupata maumivu makali ya mgongo au kuumwa na kichwa sana na kupata magonjwa nyemelezi
Soma https://jamii.app/HofuKingaMwili
#JFLeo
> Mtalaamu wa masuala ya saikolojia, Baraka Mushobozi amesema hofu hujidhihirisha kwenye mwili kwa kupata maumivu makali ya mgongo au kuumwa na kichwa sana na kupata magonjwa nyemelezi
Soma https://jamii.app/HofuKingaMwili
#JFLeo
UGANDA: MAAFISA WA KCAA WAKAMATWA BAADA YA JENGO KUANGUKA
> Walifika eneo la mradi na kuagiza ujenzi kusimamishwa lakini baadaye wakaruhusu uendelee
> Polisi wanaendelea kutafuta watu ambao inaaminika wamefukiwa na kifusi
Soma - https://jamii.app/BuildingCollapseUG
> Walifika eneo la mradi na kuagiza ujenzi kusimamishwa lakini baadaye wakaruhusu uendelee
> Polisi wanaendelea kutafuta watu ambao inaaminika wamefukiwa na kifusi
Soma - https://jamii.app/BuildingCollapseUG
LISSU: MOROGORO IMEFANYWA KUWA SHAMBA LA BIBI NA WATAWALA
> Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu amesema ni kwasababu Mkoa huo ni tajiri kwa kilimo kuliko Mkoa mwingine hapa nchini
> Akiwa Ifakara amesema, "Nikiwa Rais wa nchi hii, nikiunda Serikali ya CHADEMA, katika Mkoa wa Morogoro jambo la kwanza litakuwa kutaifisha haya mapande makubwa yaliyoibiwa na hawa wezi"
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu amesema ni kwasababu Mkoa huo ni tajiri kwa kilimo kuliko Mkoa mwingine hapa nchini
> Akiwa Ifakara amesema, "Nikiwa Rais wa nchi hii, nikiunda Serikali ya CHADEMA, katika Mkoa wa Morogoro jambo la kwanza litakuwa kutaifisha haya mapande makubwa yaliyoibiwa na hawa wezi"
#Uchaguzi2020
ARSENAL YAANZA KWA KISHINDO. LEEDS INAITOA JASHO LIVERPOOL
> Magoli ya Arsenal yamefungwa na Lacazette, Gabriel na Aubameyang huku nyota Willian aliyetokea Chelsea akitengeneza magoli yote
> Crystal Palace imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Southampton
#Jamiiforums #JFSports
> Magoli ya Arsenal yamefungwa na Lacazette, Gabriel na Aubameyang huku nyota Willian aliyetokea Chelsea akitengeneza magoli yote
> Crystal Palace imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Southampton
#Jamiiforums #JFSports
DAR: CHAMA CHA SAU KUZINDUA KAMPENI LEO
> Kampeni za Chama cha Sauti ya Umma zinatarajiwa kuzinduliwa maeneo ya Gongo la Mboto na Mombasa kuanzia saa 4 asubuhi
> Vilevile, SAU itafanya uzinduzi wa Ilani katika eneo la Kwazoo
Soma - https://jamii.app/SAUIlaniKampeni
#Uchaguzi2020
> Kampeni za Chama cha Sauti ya Umma zinatarajiwa kuzinduliwa maeneo ya Gongo la Mboto na Mombasa kuanzia saa 4 asubuhi
> Vilevile, SAU itafanya uzinduzi wa Ilani katika eneo la Kwazoo
Soma - https://jamii.app/SAUIlaniKampeni
#Uchaguzi2020
MANYARA: DAKTARI NA MTAALAMU WA USINGIZI MBARONI KWA KUOMBA RUSHWA
> TAKUKURU inawashikilia Dkt. Martin Kongora na Fabiona Aweda kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa ya Tsh. 180,000 kutoka kwa mzee(60) aliyekuwa anasumbuliwa na tezi dume
Soma - https://jamii.app/DktRushwaKiteto
> TAKUKURU inawashikilia Dkt. Martin Kongora na Fabiona Aweda kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa ya Tsh. 180,000 kutoka kwa mzee(60) aliyekuwa anasumbuliwa na tezi dume
Soma - https://jamii.app/DktRushwaKiteto
SERIKALI: NCHI INA CHAKULA CHA KUTOSHA, HATUTEGEMEI KUWA NA UHABA
> Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga amesema Tanzania imejitosheleza kwa Chakula kwa 124% na ina ziada ya tani za Milioni 3
> Amehimiza Chakula kutumika na kuhifadhiwa vizuri
Soma - https://jamii.app/UhabaChakulaTZ
> Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga amesema Tanzania imejitosheleza kwa Chakula kwa 124% na ina ziada ya tani za Milioni 3
> Amehimiza Chakula kutumika na kuhifadhiwa vizuri
Soma - https://jamii.app/UhabaChakulaTZ
LIBERIA: UBAKAJI WATANGAZWA KUWA DHARURA YA KITAIFA
> Rais George Weah ameagiza taratibu mpya kuchukuliwa ili kukabiliana na tatizo hilo
> Serikali imesema itaunda Kikosi Kazi cha Usalama wa Taifa kwa ajili ya unyanyasaji wa kijinsia
Soma - https://jamii.app/RapeLiberia
> Rais George Weah ameagiza taratibu mpya kuchukuliwa ili kukabiliana na tatizo hilo
> Serikali imesema itaunda Kikosi Kazi cha Usalama wa Taifa kwa ajili ya unyanyasaji wa kijinsia
Soma - https://jamii.app/RapeLiberia
CHATO: TANZANIA NA UGANDA ZASAINI MAKUBALIANO YA KUANZA UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA
> Rais John Magufuli (Tanzania) na Rais Yoweri Museveni (Uganda) wamesaini makubaliano ya kuanza ujenzi wa Bomba la Mafuta ghafi kutoka Hoima, Uganda hadi Chongoleani mkoani Tanga
> Hapa nchini bomba hilo litapita kwenye Mikoa 8, Wilaya 24 na Kata 132. Aidha, watu zaidi ya 90,000 watalipwa fidia inayokadiriwa kufikia Bilioni 21
Soma - https://jamii.app/JPM-MuseveniChato
> Rais John Magufuli (Tanzania) na Rais Yoweri Museveni (Uganda) wamesaini makubaliano ya kuanza ujenzi wa Bomba la Mafuta ghafi kutoka Hoima, Uganda hadi Chongoleani mkoani Tanga
> Hapa nchini bomba hilo litapita kwenye Mikoa 8, Wilaya 24 na Kata 132. Aidha, watu zaidi ya 90,000 watalipwa fidia inayokadiriwa kufikia Bilioni 21
Soma - https://jamii.app/JPM-MuseveniChato
Tundu Lissu (Iringa): Tukipata Serikali Oktoba 28 tutahakikisha kila Mtanzania atakuwa kwenye Bima ya Afya
> Tofauti yetu na hii bima ambayo haiwasaidii ni kwamba bima tunayoisema sisi itamuhusu kila mtu anayekaa nchi hii, uwe Raia au sio Raia
#Uchaguzi2020
> Tofauti yetu na hii bima ambayo haiwasaidii ni kwamba bima tunayoisema sisi itamuhusu kila mtu anayekaa nchi hii, uwe Raia au sio Raia
#Uchaguzi2020
NEC YAENDELEA KUCHAMBUA RUFAA, MADIWANI 25 WARUDISHWA
> Rufaa 4 za Ubunge kutoka Jimbo la Babati Mjini zimekataliwa
> Pia, Tume ya Uchaguzi imekataa Rufaa 12 za Wagombea ambao hawakuteuliwa na 9 za kupinga Wagombea walioteuliwa
Soma - https://jamii.app/NECWagombeaRufaa
#Uchaguzi2020
> Rufaa 4 za Ubunge kutoka Jimbo la Babati Mjini zimekataliwa
> Pia, Tume ya Uchaguzi imekataa Rufaa 12 za Wagombea ambao hawakuteuliwa na 9 za kupinga Wagombea walioteuliwa
Soma - https://jamii.app/NECWagombeaRufaa
#Uchaguzi2020
GWAJIMA: MIMI SI KILAZA, NILIENDA MAREKANI 2019, NIMEANDIKA VITABU 5 KWA KIJAPANI
> Mgombea wa Ubunge wa Kawe(CCM) amesema, akichaguliwa ataweka Ambulance kila Kata, watu watakimbizwa hospitalini kwa haraka na jambo hilo ni jepesi halihitaji Manispaa wala Serikali
Soma zaidi https://jamii.app/KilazaGwajima
> Mgombea wa Ubunge wa Kawe(CCM) amesema, akichaguliwa ataweka Ambulance kila Kata, watu watakimbizwa hospitalini kwa haraka na jambo hilo ni jepesi halihitaji Manispaa wala Serikali
Soma zaidi https://jamii.app/KilazaGwajima
SALUM MWALIMU: TUTASEMA KWA AJILI YA ASKARI WETU HATA KAMA MNATUPIGA
> Mgombea mwenza wa Urais kupitia CHADEMA, Salum Mwalimu amesema wanataka Jeshi la Polisi linalofanya kazi zake kwa haki, kwani sheria bila haki ni unyanyasaji
> Ameongeza kuwa, CHADEMA haitaleta askari wake bali itatumia waliopo isipokuwa watalifanya kuwa Jeshi la kutoa huduma badala ya dhuluma na kutumia nguvu
#Uchaguzi2020 #JamiiForums #Siasa
> Mgombea mwenza wa Urais kupitia CHADEMA, Salum Mwalimu amesema wanataka Jeshi la Polisi linalofanya kazi zake kwa haki, kwani sheria bila haki ni unyanyasaji
> Ameongeza kuwa, CHADEMA haitaleta askari wake bali itatumia waliopo isipokuwa watalifanya kuwa Jeshi la kutoa huduma badala ya dhuluma na kutumia nguvu
#Uchaguzi2020 #JamiiForums #Siasa
COSMAS CHEKA AJINYAKULIA MKANDA WA 'UBO'
> Bondia wa Tanzania, Cosmas Cheka amejinyakulia Mkanda baada ya kushinda pambano dhidi ya Hannock Phiri
> Pambano lilikuwa la round 12 na alishinda kwa alama
Soma https://jamii.app/ChekaVsPhiri
#JFMichezo
> Bondia wa Tanzania, Cosmas Cheka amejinyakulia Mkanda baada ya kushinda pambano dhidi ya Hannock Phiri
> Pambano lilikuwa la round 12 na alishinda kwa alama
Soma https://jamii.app/ChekaVsPhiri
#JFMichezo
WASTANI WA UMRI WA WANAWAKE WANAOPATA SARATANI YA MATITI WAPUNGUA
> Mwaka 2008/2009 waliougua Saratani ya Matiti walianzia miaka 64 huku 2019 walianzia miaka 56
> Hii inaonesha Saratani hiyo imeanza kushambulia wanawake wenye umri mdogo pia
Soma https://jamii.app/SarataniWanawake
#JFLeo
> Mwaka 2008/2009 waliougua Saratani ya Matiti walianzia miaka 64 huku 2019 walianzia miaka 56
> Hii inaonesha Saratani hiyo imeanza kushambulia wanawake wenye umri mdogo pia
Soma https://jamii.app/SarataniWanawake
#JFLeo