KISUTU: WAHUKUMIWA KULIPA MILIONI 16 KWA KUTUMIA JINA LA MKE WA RAIS KUTAPELI
> Masse Uledi (43) na Nkinda Shekalage (34) wamehukumiwa kulipa fidia na kifungo cha nje cha miezi 7 baada ya kukiri kutumia jina la Mama Janeth Magufuli kutapeli
Soma - https://jamii.app/UtapeliMkeRais
> Masse Uledi (43) na Nkinda Shekalage (34) wamehukumiwa kulipa fidia na kifungo cha nje cha miezi 7 baada ya kukiri kutumia jina la Mama Janeth Magufuli kutapeli
Soma - https://jamii.app/UtapeliMkeRais
UCHAGUZI 2020: IJUE ILANI YA CCM INASEMA NINI KUHUSU KILIMO?
> Kuongeza eneo lenye miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji kutoka hekta 561,383 mpaka kufikia hekta 1,200,000 ifikapo mwaka 2025
> Kujenga mabwawa ya kuhifadhi maji kwa ajili ya umwagiliaji katika maeneo yanayopata mvua chache kama Kanda ya Kati, Kanda ya Ziwa na Kanda ya Kaskazini ya umwagiliaji na kuwashirikisha wakulima kwa kila mwaka
Soma zaidi - https://jamii.app/IlaniCCM
#Uchaguzi2020
> Kuongeza eneo lenye miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji kutoka hekta 561,383 mpaka kufikia hekta 1,200,000 ifikapo mwaka 2025
> Kujenga mabwawa ya kuhifadhi maji kwa ajili ya umwagiliaji katika maeneo yanayopata mvua chache kama Kanda ya Kati, Kanda ya Ziwa na Kanda ya Kaskazini ya umwagiliaji na kuwashirikisha wakulima kwa kila mwaka
Soma zaidi - https://jamii.app/IlaniCCM
#Uchaguzi2020
TCRA YAKIFUNGIA KITUO CHA WASAFI FM KWA SIKU 7
> TCRA imeifungia Wasafi FM kuanzia Septemba 12 hadi Septemba 18 kwa kukiuka kanuni za Mawasiliano ktk vipindi vya The Switch na Mashamsham
> Wasafi FM imetakiwa kuomba radhi kwa Watanzania
Soma - https://jamii.app/BanWasafiFM
> TCRA imeifungia Wasafi FM kuanzia Septemba 12 hadi Septemba 18 kwa kukiuka kanuni za Mawasiliano ktk vipindi vya The Switch na Mashamsham
> Wasafi FM imetakiwa kuomba radhi kwa Watanzania
Soma - https://jamii.app/BanWasafiFM
#CORONAVIRUS: INDIA YAREKODI VISA ZAIDI YA 96,000 NDANI YA SAA 24
> Maambukizi mapya 96,551 yameripotiwa, idadi hiyo ni kubwa zaidi kurekodiwa duniani
> #India ina jumla ya visa 4,566,726 na vifo 76,336 huku waliopona wakiwa 3,542,663
Soma - https://jamii.app/COVID19Updates
> Maambukizi mapya 96,551 yameripotiwa, idadi hiyo ni kubwa zaidi kurekodiwa duniani
> #India ina jumla ya visa 4,566,726 na vifo 76,336 huku waliopona wakiwa 3,542,663
Soma - https://jamii.app/COVID19Updates
ZEC YAMPITISHA MAALIM SEIF KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR
> Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imempitisha Mgombea Urais kupitia ACT-Wazalendo, Maalim Seif kuwa mgombea wa Urais
> Mwenyekiti wa Tume hiyo amesema mapingamizi yaliyowekwa dhidi ya Maalim hayana mashiko
#Uchaguzi2020
> Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imempitisha Mgombea Urais kupitia ACT-Wazalendo, Maalim Seif kuwa mgombea wa Urais
> Mwenyekiti wa Tume hiyo amesema mapingamizi yaliyowekwa dhidi ya Maalim hayana mashiko
#Uchaguzi2020
DAR: AFISA TAKUKURU MBARONI KWA RUSHWA YA MILIONI 4.9
- Nina Sipilon Saibul amekamatwa kwa kosa la kuomba na kupokea rushwa kutoka kwa Mfanyabiashara
- Aliwekewa mtego uliopelekea yeye na Mumewe, Ramadhan Makoye kukamatwa wakipokea fedha hizo
Soma https://jamii.app/RushwaAfisaTAKUKURU
- Nina Sipilon Saibul amekamatwa kwa kosa la kuomba na kupokea rushwa kutoka kwa Mfanyabiashara
- Aliwekewa mtego uliopelekea yeye na Mumewe, Ramadhan Makoye kukamatwa wakipokea fedha hizo
Soma https://jamii.app/RushwaAfisaTAKUKURU
AKAUNTI YA TWITTER YA BALOZI WA CHINA-UINGEREZA KUCHUNGUZWA BAADA YA KU-LIKE MAUDHUI YA NGONO
> Ubalozi wa China - Uingereza umeomba mtandao wa Twitter kuchunguza akaunti ya Liu Xiaoming kama imedukuliwa au la! kutokana na ku-like maudhui ya ngono
Soma - https://jamii.app/XiaomingTwitter
> Ubalozi wa China - Uingereza umeomba mtandao wa Twitter kuchunguza akaunti ya Liu Xiaoming kama imedukuliwa au la! kutokana na ku-like maudhui ya ngono
Soma - https://jamii.app/XiaomingTwitter
SUMAYE: HATUTAKI WATU WANAOCHOCHEA FUJO KWASABABU WANATAFUTA MADARAKA
> Aitaka Serikali na Vyama vya Siasa kuchukua hatua dhidi ya wagombea wanaotoa kauli zinazohatarisha Amani
> Amesema, Amani ya Tanzania lazima idumishwe
Soma - https://jamii.app/SumayeAmaniTZ
#Uchaguzi2020
> Aitaka Serikali na Vyama vya Siasa kuchukua hatua dhidi ya wagombea wanaotoa kauli zinazohatarisha Amani
> Amesema, Amani ya Tanzania lazima idumishwe
Soma - https://jamii.app/SumayeAmaniTZ
#Uchaguzi2020
NIGERIA: JIMBO LA KADUNA LAPITISHA ADHABU YA KUWAHASI WABAKAJI
> Wabunge wamepitisha adhabu ya kuwahasi wataokutwa na hatia ya kubaka/kulawiti watoto chini ya miaka 14
> Gavana wa Jimbo anasubiriwa kutia saini Muswada huo ili kuwa sheria
Soma - https://jamii.app/LawRapistsNGR
> Wabunge wamepitisha adhabu ya kuwahasi wataokutwa na hatia ya kubaka/kulawiti watoto chini ya miaka 14
> Gavana wa Jimbo anasubiriwa kutia saini Muswada huo ili kuwa sheria
Soma - https://jamii.app/LawRapistsNGR
PERU: BUNGE LAANZA MCHAKATO WA KUMSHTAKI RAIS
> Rais MartΓn Vizcarra (57) anatuhumiwa kwa makosa mbalimbali ikiwemo kujaribu kuzuia Uchunguzi wa Ufisadi
> Amekana mashtaka yote na kulishutumu Bunge kwa kuanzisha mapinduzi ya kisiasa
Soma - https://jamii.app/BungeRaisPeru
> Rais MartΓn Vizcarra (57) anatuhumiwa kwa makosa mbalimbali ikiwemo kujaribu kuzuia Uchunguzi wa Ufisadi
> Amekana mashtaka yote na kulishutumu Bunge kwa kuanzisha mapinduzi ya kisiasa
Soma - https://jamii.app/BungeRaisPeru
ZANZIBAR: CCM KUZINDUA KAMPENI ZA URAIS LEO
> Makamu Mwenyekiti wa CCM, Dkt. Ali Mohamed Shein anatarajiwa kuongoza uzinduzi
> Mgombea Urais wa CCM, Dkt. Hussein Ali Mwinyi atatangaza ilani ya Chama hicho kwa Wananchi
Soma - https://jamii.app/ZNZKampeniCCM
#Uchaguzi2020
> Makamu Mwenyekiti wa CCM, Dkt. Ali Mohamed Shein anatarajiwa kuongoza uzinduzi
> Mgombea Urais wa CCM, Dkt. Hussein Ali Mwinyi atatangaza ilani ya Chama hicho kwa Wananchi
Soma - https://jamii.app/ZNZKampeniCCM
#Uchaguzi2020
DR CONGO: WATU 50 WAHOFIWA KUFARIKI KATIKA MAPOROMOKO MGODINI
- Ajali hiyo imetokana na mvua kubwa zinazonyesha Mjini Kamituga
- Meya wa Mji huo ametangaza siku 2 za maombolezo na kutoa wito kwa Wananchi kusaidia kuopoa miili ya Marehemu
Soma - https://jamii.app/AjaliMgodiDRC
- Ajali hiyo imetokana na mvua kubwa zinazonyesha Mjini Kamituga
- Meya wa Mji huo ametangaza siku 2 za maombolezo na kutoa wito kwa Wananchi kusaidia kuopoa miili ya Marehemu
Soma - https://jamii.app/AjaliMgodiDRC
DAR: RAIA 7 WA KIGENI MBARONI KWA UTAPELI MTANDAONI
> Watuhumiwa hao wamekiri kupata Milioni 10 kwa udanganyifu
> Wametumia kiasi cha fedha hizo kuanzisha duka la pombe kali, kununua Toyota Mark X, runinga 2 na magodoro
Soma - https://jamii.app/PolisiUhalifuDar
#JFLeo
> Watuhumiwa hao wamekiri kupata Milioni 10 kwa udanganyifu
> Wametumia kiasi cha fedha hizo kuanzisha duka la pombe kali, kununua Toyota Mark X, runinga 2 na magodoro
Soma - https://jamii.app/PolisiUhalifuDar
#JFLeo
HOFU ILIYOPITILIZA HUSABABISHA KUSHUKA KWA KINGA YA MWILI
> Mtalaamu wa masuala ya saikolojia, Baraka Mushobozi amesema hofu hujidhihirisha kwenye mwili kwa kupata maumivu makali ya mgongo au kuumwa na kichwa sana na kupata magonjwa nyemelezi
Soma https://jamii.app/HofuKingaMwili
#JFLeo
> Mtalaamu wa masuala ya saikolojia, Baraka Mushobozi amesema hofu hujidhihirisha kwenye mwili kwa kupata maumivu makali ya mgongo au kuumwa na kichwa sana na kupata magonjwa nyemelezi
Soma https://jamii.app/HofuKingaMwili
#JFLeo
UGANDA: MAAFISA WA KCAA WAKAMATWA BAADA YA JENGO KUANGUKA
> Walifika eneo la mradi na kuagiza ujenzi kusimamishwa lakini baadaye wakaruhusu uendelee
> Polisi wanaendelea kutafuta watu ambao inaaminika wamefukiwa na kifusi
Soma - https://jamii.app/BuildingCollapseUG
> Walifika eneo la mradi na kuagiza ujenzi kusimamishwa lakini baadaye wakaruhusu uendelee
> Polisi wanaendelea kutafuta watu ambao inaaminika wamefukiwa na kifusi
Soma - https://jamii.app/BuildingCollapseUG
LISSU: MOROGORO IMEFANYWA KUWA SHAMBA LA BIBI NA WATAWALA
> Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu amesema ni kwasababu Mkoa huo ni tajiri kwa kilimo kuliko Mkoa mwingine hapa nchini
> Akiwa Ifakara amesema, "Nikiwa Rais wa nchi hii, nikiunda Serikali ya CHADEMA, katika Mkoa wa Morogoro jambo la kwanza litakuwa kutaifisha haya mapande makubwa yaliyoibiwa na hawa wezi"
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu amesema ni kwasababu Mkoa huo ni tajiri kwa kilimo kuliko Mkoa mwingine hapa nchini
> Akiwa Ifakara amesema, "Nikiwa Rais wa nchi hii, nikiunda Serikali ya CHADEMA, katika Mkoa wa Morogoro jambo la kwanza litakuwa kutaifisha haya mapande makubwa yaliyoibiwa na hawa wezi"
#Uchaguzi2020
ARSENAL YAANZA KWA KISHINDO. LEEDS INAITOA JASHO LIVERPOOL
> Magoli ya Arsenal yamefungwa na Lacazette, Gabriel na Aubameyang huku nyota Willian aliyetokea Chelsea akitengeneza magoli yote
> Crystal Palace imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Southampton
#Jamiiforums #JFSports
> Magoli ya Arsenal yamefungwa na Lacazette, Gabriel na Aubameyang huku nyota Willian aliyetokea Chelsea akitengeneza magoli yote
> Crystal Palace imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Southampton
#Jamiiforums #JFSports
DAR: CHAMA CHA SAU KUZINDUA KAMPENI LEO
> Kampeni za Chama cha Sauti ya Umma zinatarajiwa kuzinduliwa maeneo ya Gongo la Mboto na Mombasa kuanzia saa 4 asubuhi
> Vilevile, SAU itafanya uzinduzi wa Ilani katika eneo la Kwazoo
Soma - https://jamii.app/SAUIlaniKampeni
#Uchaguzi2020
> Kampeni za Chama cha Sauti ya Umma zinatarajiwa kuzinduliwa maeneo ya Gongo la Mboto na Mombasa kuanzia saa 4 asubuhi
> Vilevile, SAU itafanya uzinduzi wa Ilani katika eneo la Kwazoo
Soma - https://jamii.app/SAUIlaniKampeni
#Uchaguzi2020
MANYARA: DAKTARI NA MTAALAMU WA USINGIZI MBARONI KWA KUOMBA RUSHWA
> TAKUKURU inawashikilia Dkt. Martin Kongora na Fabiona Aweda kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa ya Tsh. 180,000 kutoka kwa mzee(60) aliyekuwa anasumbuliwa na tezi dume
Soma - https://jamii.app/DktRushwaKiteto
> TAKUKURU inawashikilia Dkt. Martin Kongora na Fabiona Aweda kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa ya Tsh. 180,000 kutoka kwa mzee(60) aliyekuwa anasumbuliwa na tezi dume
Soma - https://jamii.app/DktRushwaKiteto
SERIKALI: NCHI INA CHAKULA CHA KUTOSHA, HATUTEGEMEI KUWA NA UHABA
> Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga amesema Tanzania imejitosheleza kwa Chakula kwa 124% na ina ziada ya tani za Milioni 3
> Amehimiza Chakula kutumika na kuhifadhiwa vizuri
Soma - https://jamii.app/UhabaChakulaTZ
> Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga amesema Tanzania imejitosheleza kwa Chakula kwa 124% na ina ziada ya tani za Milioni 3
> Amehimiza Chakula kutumika na kuhifadhiwa vizuri
Soma - https://jamii.app/UhabaChakulaTZ
LIBERIA: UBAKAJI WATANGAZWA KUWA DHARURA YA KITAIFA
> Rais George Weah ameagiza taratibu mpya kuchukuliwa ili kukabiliana na tatizo hilo
> Serikali imesema itaunda Kikosi Kazi cha Usalama wa Taifa kwa ajili ya unyanyasaji wa kijinsia
Soma - https://jamii.app/RapeLiberia
> Rais George Weah ameagiza taratibu mpya kuchukuliwa ili kukabiliana na tatizo hilo
> Serikali imesema itaunda Kikosi Kazi cha Usalama wa Taifa kwa ajili ya unyanyasaji wa kijinsia
Soma - https://jamii.app/RapeLiberia