KATAVI: WATOTO 3 WA FAMILIA 1 WAFARIKI KWA KULA KUNDE PORI
> Imeelezwa kuwa jana mchana watoto 6 walikula kunde pori na baadae kukimbizwa Zahanati kutokana na kupata maumivu ya tumbo
> Mwaka 1988, watu 4 nao walifariki kwa kula kunde hizo na mtu mmoja alinusurika kifo mwaka jana
Soma https://jamii.app/KataviKundePori
> Imeelezwa kuwa jana mchana watoto 6 walikula kunde pori na baadae kukimbizwa Zahanati kutokana na kupata maumivu ya tumbo
> Mwaka 1988, watu 4 nao walifariki kwa kula kunde hizo na mtu mmoja alinusurika kifo mwaka jana
Soma https://jamii.app/KataviKundePori
20 PERCENT: NARUDI KWENYE MUZIKI KUONDOA MUZIKI WA MATUSI
- Baada ya kimya cha muda mrefu Mwanamuziki 20 Percent amesema anafarijika kuona bado mashabiki wake wana upendo naye
- Amesema, “Mimi silengi soko, nalenga fikra za mlalahoi na mtu yeyote ambaye huzuni yake ipo na hamna mtu wa kuiongelea.”
Angalia; https://youtu.be/JkbbH3wZXfY
#JFBurudani
- Baada ya kimya cha muda mrefu Mwanamuziki 20 Percent amesema anafarijika kuona bado mashabiki wake wana upendo naye
- Amesema, “Mimi silengi soko, nalenga fikra za mlalahoi na mtu yeyote ambaye huzuni yake ipo na hamna mtu wa kuiongelea.”
Angalia; https://youtu.be/JkbbH3wZXfY
#JFBurudani
YouTube
20 Percent: Siwezi kutaja Wasanii wanaofanya vizuri sasa hadi watakapoanza kuniongelea
Amesema watu bado wanampenda ila yeye aliamua kukaa kimya na hajapotea, na kweli ameona anawanyima raha mashabiki wake. Amesema akirudi anakuja kurudisha muziki wa heshima na kuondoa muziki wa matusi
#COVID19 – KENYA: JUMLA YA WATU 487 WAMEFARIKI KWA #CORONAVIRUS
> Ni baada ya Watu 4 zaidi kufariki dunia. Maambukizi yamefikia 30,636 baada ya watu 217 kugundulika kuwa na #COVID19
> Watu 208 wamepona na kufanya idadi ya waliopona kufikia 17,368
Soma https://jamii.app/KE4DeathsCOVID19
#JFCOVID19_Updates
> Ni baada ya Watu 4 zaidi kufariki dunia. Maambukizi yamefikia 30,636 baada ya watu 217 kugundulika kuwa na #COVID19
> Watu 208 wamepona na kufanya idadi ya waliopona kufikia 17,368
Soma https://jamii.app/KE4DeathsCOVID19
#JFCOVID19_Updates
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
MAPINDUZI YA KIJESHI: RAIS WA MALI NA WAZIRI MKUU MBARONI
- Kwa mujibu wa Reuters, Jeshi limewatia nguvuni Rais Ibrahim Boubacar Keita na Waziri Mkuu
- Wananchi wanataka Rais ajiuzulu kwa Uchumi kuporomoka na kushindwa kukabiliana na masuala ya kiusalama
Soma https://jamii.app/MaliMutiny
#MaliCoup
- Kwa mujibu wa Reuters, Jeshi limewatia nguvuni Rais Ibrahim Boubacar Keita na Waziri Mkuu
- Wananchi wanataka Rais ajiuzulu kwa Uchumi kuporomoka na kushindwa kukabiliana na masuala ya kiusalama
Soma https://jamii.app/MaliMutiny
#MaliCoup
BAADA YA MAPINDUZI YA KIJESHI, RAIS WA MALI AJIUZULU
- Rais Ibrahim Boubacar Keita amejiuzulu akisema hataki kuona umwagaji damu ukitokea
- Kabla ya uamuzi huo, Wanajeshi waliofanya mapinduzi walimuweka kizuizini pamoja na Waziri Mkuu Boubou Cisse
Soma https://jamii.app/RaisMaliAjiuzulu
#MaliCoup
- Rais Ibrahim Boubacar Keita amejiuzulu akisema hataki kuona umwagaji damu ukitokea
- Kabla ya uamuzi huo, Wanajeshi waliofanya mapinduzi walimuweka kizuizini pamoja na Waziri Mkuu Boubou Cisse
Soma https://jamii.app/RaisMaliAjiuzulu
#MaliCoup
FAHAMU HAYA BAADA YA PSG KUTINGA FAINALI YA MICHUANO YA KLABU BINGWA ULAYA
- Klabu ya Paris Saint-Germain (PSG) jana imefanikiwa kuingia fainali ya michuano ya Klabu Bingwa Ulaya baada ya kuifunga Klabu ya RB Leipzig goli 3-0
- Huu ulikuwa mchezo wa 110 wa PSG kwa michuano ya Ulaya - michezo mingi kuchezwa na timu kabla ya kufika fainali ya kwanza, wamevunja rekodi ya Arsenal ya michezo 90
Zaidi, soma https://jamii.app/PSGRekodiUlaya
#JFSports
- Klabu ya Paris Saint-Germain (PSG) jana imefanikiwa kuingia fainali ya michuano ya Klabu Bingwa Ulaya baada ya kuifunga Klabu ya RB Leipzig goli 3-0
- Huu ulikuwa mchezo wa 110 wa PSG kwa michuano ya Ulaya - michezo mingi kuchezwa na timu kabla ya kufika fainali ya kwanza, wamevunja rekodi ya Arsenal ya michezo 90
Zaidi, soma https://jamii.app/PSGRekodiUlaya
#JFSports
FAHAMU JINA LA SEHEMU REFU ZAIDI DUNIANI
>Taumatawhakatangihangakoauauotamateaturipukakapikimaungahoronukupokaiwhenuakitanatahu ni jina la mwinuko ulioko Porangahau, New Zealand
> Jina linabeba historia ya Taumata ambaye alitumia sehemu hiyo kuomboleza
Soma https://jamii.app/JinaRefuDuniani
>Taumatawhakatangihangakoauauotamateaturipukakapikimaungahoronukupokaiwhenuakitanatahu ni jina la mwinuko ulioko Porangahau, New Zealand
> Jina linabeba historia ya Taumata ambaye alitumia sehemu hiyo kuomboleza
Soma https://jamii.app/JinaRefuDuniani
MAREKANI: JOE BIDEN ATEULIWA KUGOMBEA URAIS KUPITIA DEMOCRATIC
> Bill Clinton na Jimmy Carter, wamemsifu Biden kuwa ni mtu wa kuinusuru Marekani iliyoathiriwa na #CoronaVirus
> Michelle Obama amesema Rais Trump ameshindwa kuliongoza Taifa hilo
Soma https://jamii.app/USJoeBidden
#JFSiasa
> Bill Clinton na Jimmy Carter, wamemsifu Biden kuwa ni mtu wa kuinusuru Marekani iliyoathiriwa na #CoronaVirus
> Michelle Obama amesema Rais Trump ameshindwa kuliongoza Taifa hilo
Soma https://jamii.app/USJoeBidden
#JFSiasa
UMOJA WA MATAIFA WALITAKA JESHI KUWAACHIA HURU RAIS WA MALI NA VIONGOZI WAKE
> Katibu Mkuu wa UN, Antonio Guterres ametaka kurudishwa kwa utawala wa Katiba na sheria nchini Mali
> Baraza la usalama la UN litakutana leo kujadili hali ya #Mali
Soma https://jamii.app/MaliJeshiUN
#JFLeo
> Katibu Mkuu wa UN, Antonio Guterres ametaka kurudishwa kwa utawala wa Katiba na sheria nchini Mali
> Baraza la usalama la UN litakutana leo kujadili hali ya #Mali
Soma https://jamii.app/MaliJeshiUN
#JFLeo
IGUNGA: MKURUGENZI WA MAJI ASIMAMISHWA KAZI AKIDAIWA KUNYANYASA WAFANYAKAZI
- Naibu Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amemsimamisha kazi Raphael Merumba na Bodi yote kupisha uchunguzi
- Watendaji wanadai kunyanyaswa na wengine kudaiwa rushwa ya ngono
Soma https://jamii.app/MrkngzMajiIgunga
- Naibu Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amemsimamisha kazi Raphael Merumba na Bodi yote kupisha uchunguzi
- Watendaji wanadai kunyanyaswa na wengine kudaiwa rushwa ya ngono
Soma https://jamii.app/MrkngzMajiIgunga
BAADA YA KIPIGO KIZITO, BARCELONA YAMTAMBULISHA KOCHA MPYA
- Aliyekuwa Kocha wa timu ya Taifa ya Uholanzi, Ronald Koeman (57) amepewa mkataba wa miaka miwili
- Koeman anachukua nafasi ya Quique Setien, aliyefukuzwa baada ya Barcelona kufungwa goli 8-2 na Bayern Muchin
Soma https://jamii.app/KoemanBarca
#JFSports
- Aliyekuwa Kocha wa timu ya Taifa ya Uholanzi, Ronald Koeman (57) amepewa mkataba wa miaka miwili
- Koeman anachukua nafasi ya Quique Setien, aliyefukuzwa baada ya Barcelona kufungwa goli 8-2 na Bayern Muchin
Soma https://jamii.app/KoemanBarca
#JFSports
RC MGHWIRA: HAKUNA UHALALI MISAFARA YA WAGOMBEA KUPIGWA MAWE
> RC wa Kilimanjaro amesema hayo wakati akimjibu Askofu Shoo aliyeitaka Serikali kukomesha wanaoharibu misafara ya wagombea
> Asema atalifanyia kazi suala hilo na kulitolea ufafanuzi
Soma https://jamii.app/AnnaMghwira
#JFSiasa
> RC wa Kilimanjaro amesema hayo wakati akimjibu Askofu Shoo aliyeitaka Serikali kukomesha wanaoharibu misafara ya wagombea
> Asema atalifanyia kazi suala hilo na kulitolea ufafanuzi
Soma https://jamii.app/AnnaMghwira
#JFSiasa
UTAFITI: TANZANIA YAONGOZA KWA KUWA NA AMANI AFRIKA MASHARIKI
> Tanzania imekuwa ya 52 duniani huku Rwanda ikiwa ya 81, Kenya 125, Uganda 109, Burundi 132 na Sudan Kusini 160
> Nchi ya 1 kwa amani duniani ni Iceland ikifuatiwa na New Zealand huku Iraq, Syria na Afghanistan zikishika mkia
Soma https://jamii.app/GrobalPeaceIndex
> Tanzania imekuwa ya 52 duniani huku Rwanda ikiwa ya 81, Kenya 125, Uganda 109, Burundi 132 na Sudan Kusini 160
> Nchi ya 1 kwa amani duniani ni Iceland ikifuatiwa na New Zealand huku Iraq, Syria na Afghanistan zikishika mkia
Soma https://jamii.app/GrobalPeaceIndex
PWANI: MWALIMU MBARONI AKITUHUMIWA KUMSHAMBULIA MWANAFUNZI KWA FIMBO
- Evata Mboya wa shule ya Msingi Mwendapole, Kibaha anadaiwa kumshambulia kwa fimbo Mwanafunzi (12) kwa kosa la kupiga kelele na kumsababishia maumivu makali ya kichwa
Soma https://jamii.app/MwalimuMbaroniPWN
- Evata Mboya wa shule ya Msingi Mwendapole, Kibaha anadaiwa kumshambulia kwa fimbo Mwanafunzi (12) kwa kosa la kupiga kelele na kumsababishia maumivu makali ya kichwa
Soma https://jamii.app/MwalimuMbaroniPWN
JE, UNAZIJUA AINA ZA NYAYO ZA KIDIGITALI?
> Nyayo za Kidigital za hiyari: Hizi hujumuisha taarifa unazoziacha kwa kujua unapotembelea tovuti mbalimbali
> Nyayo za Kidigitali zisizo za hiyari: Hizi zinachukuliwa kwako bila ya kujua
Soma > https://jamii.app/DigitalFootPrints
#UlinziWaTaarifa
> Nyayo za Kidigital za hiyari: Hizi hujumuisha taarifa unazoziacha kwa kujua unapotembelea tovuti mbalimbali
> Nyayo za Kidigitali zisizo za hiyari: Hizi zinachukuliwa kwako bila ya kujua
Soma > https://jamii.app/DigitalFootPrints
#UlinziWaTaarifa
SAME: WANACCM KATA YA BWAMBO WAMPINGA MGOMBEA UDIWANI ALIYEPITISHWA NA HALMASHAURI KUU
- WanaCCM Kata ya Bwambo wameandamana kumpinga mgombea aliyeshika namba 2 kwenye kura za maoni na kupitishwa na Halmashauri Kuu kugombea Udiwani
Soma https://jamii.app/CCMUdiwaniBwambo
#Uchaguzi2020
- WanaCCM Kata ya Bwambo wameandamana kumpinga mgombea aliyeshika namba 2 kwenye kura za maoni na kupitishwa na Halmashauri Kuu kugombea Udiwani
Soma https://jamii.app/CCMUdiwaniBwambo
#Uchaguzi2020
DAR: WATU 3 KIZIMBANI KWA TUHUMA ZA UGAIDI
> Wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa makosa 7 waliyodaiwa kuyatenda kati ya Mei 1 na Agosti 1, 2020
> Wamekutwa na silaha, vifaa vya milipuko, sare za JWTZ na #DawaZaKulevya aina ya Heroin
Soma https://jamii.app/KisutuUgaidi
> Wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa makosa 7 waliyodaiwa kuyatenda kati ya Mei 1 na Agosti 1, 2020
> Wamekutwa na silaha, vifaa vya milipuko, sare za JWTZ na #DawaZaKulevya aina ya Heroin
Soma https://jamii.app/KisutuUgaidi
LIFAHAMU KUNDI LINALOTOA HUDUMA YA KUVUNJA MAHUSIANO - WAKARESASEYA
> Kundi hili liko Japan likitoa huduma ya kumuacha mpenzi wao bila kumuumiza au kuwaachanisha watoto ikiwa mpenzi aliyenaye kama mzazi unaona hamfai
> Tafiti zinaonesha watu wengi hupenda huduma hii
Soma https://jamii.app/UjasusiWaMapenzi
> Kundi hili liko Japan likitoa huduma ya kumuacha mpenzi wao bila kumuumiza au kuwaachanisha watoto ikiwa mpenzi aliyenaye kama mzazi unaona hamfai
> Tafiti zinaonesha watu wengi hupenda huduma hii
Soma https://jamii.app/UjasusiWaMapenzi
UTEUZI WA MKURUGENZI MPYA WA JIJI LA DODOMA
- Rais Magufuli amemteua Joseph Constantine Mafuru kuwa Mkurugenzi akichukua nafasi ya Godwin Kunambi
- Awali, Mafuru alikuwa Mkuu wa Idara ya Ardhi, Mipango Miji na Maliasili wa Jiji hilo
Soma https://jamii.app/KunambiAondolewaDDM
- Rais Magufuli amemteua Joseph Constantine Mafuru kuwa Mkurugenzi akichukua nafasi ya Godwin Kunambi
- Awali, Mafuru alikuwa Mkuu wa Idara ya Ardhi, Mipango Miji na Maliasili wa Jiji hilo
Soma https://jamii.app/KunambiAondolewaDDM
WASAFIRI KUTOKA NCHI 130 WATAINGIA KENYA BILA KUWEKWA KARANTINI, TANZANIA HAIMO
> Orodha imejumuisha Wasafiri kutoka India ambayo ni nchi ya 3 kwa maambukizi ya #COVID19 Duniani
> Kwa Afrika Mashariki nchi zilizopo kwenye orodha hiyo ni Rwanda na Uganda
Soma https://jamii.app/CountriesExempted
#JFCOVID19_Updates
> Orodha imejumuisha Wasafiri kutoka India ambayo ni nchi ya 3 kwa maambukizi ya #COVID19 Duniani
> Kwa Afrika Mashariki nchi zilizopo kwenye orodha hiyo ni Rwanda na Uganda
Soma https://jamii.app/CountriesExempted
#JFCOVID19_Updates
SUDAN KUSINI: BENKI KUU YAISHIWA PESA ZA KIGENI
> Wataalamu wanasema ni kutokana na kushuka kwa uzalishaji wa mafuta kulikosababishwa na rushwa na migogoro ya ndani
> Paundi ya nchi hiyo imeshuka thamani. Kwa muda mrefu mfumuko wa bei umebaki 35%
Soma https://jamii.app/ForeignReserve
> Wataalamu wanasema ni kutokana na kushuka kwa uzalishaji wa mafuta kulikosababishwa na rushwa na migogoro ya ndani
> Paundi ya nchi hiyo imeshuka thamani. Kwa muda mrefu mfumuko wa bei umebaki 35%
Soma https://jamii.app/ForeignReserve