Iwapo mtu unaswali zaidi usisite kuuliza hapa hapa kwa ajili ya manufaa ya wengine pia.
Maswali yanayokuja inbox sitayajibu.
Maswali yanayokuja inbox sitayajibu.
Kama hukuelewa ile YouTube video kuhusu staking.
Hii article inaweza kuleta uelewa zaidi kuhusu Crypto Staking.
https://medium.com/@charlesvenny/crypto-staking-b6072af5c372
Hii article inaweza kuleta uelewa zaidi kuhusu Crypto Staking.
https://medium.com/@charlesvenny/crypto-staking-b6072af5c372
Medium
Crypto Staking
Crypto Staking kwa lugha rahisi ni kuchukua coins unazo-HODL na kuwekeza katika project fulani na baada ya muda fulani kupata coins zaidi…
Kutofautisha Simu Feki na Original
Ukikaa muda mrefu sana mtandaoni kuna uhakika utakutana na watu ambao wako tayari kutumia mamilioni kununua simu feki na ni mara chache sana huwa wanajua kwamba walichonunua ni feki.
https://habaritechtz.com/kutofautisha-simu-feki-na-original/
Ukikaa muda mrefu sana mtandaoni kuna uhakika utakutana na watu ambao wako tayari kutumia mamilioni kununua simu feki na ni mara chache sana huwa wanajua kwamba walichonunua ni feki.
https://habaritechtz.com/kutofautisha-simu-feki-na-original/
Kutofautisha Simu Feki na Original
Ukikaa muda mrefu sana mtandaoni kuna uhakika utakutana na watu ambao wako tayari kutumia mamilioni kununua simu feki na ni mara chache sana huwa wanajua kwamba walichonunua ni feki.
https://habaritechtz.com/kutofautisha-simu-feki-na-original/
Ukikaa muda mrefu sana mtandaoni kuna uhakika utakutana na watu ambao wako tayari kutumia mamilioni kununua simu feki na ni mara chache sana huwa wanajua kwamba walichonunua ni feki.
https://habaritechtz.com/kutofautisha-simu-feki-na-original/
Kuboresha Windows 10 Yako
Windows 10 inasifika kwa ubora ukilinganisha na matoleo ya nyuma ya Windows, kama vile windows 8, 7 na XP. Ndani ya windows 10 Kuna settings huwa zinakuwa activated by default.
https://habaritechtz.com/kuboresha-windows-10-yako/
Windows 10 inasifika kwa ubora ukilinganisha na matoleo ya nyuma ya Windows, kama vile windows 8, 7 na XP. Ndani ya windows 10 Kuna settings huwa zinakuwa activated by default.
https://habaritechtz.com/kuboresha-windows-10-yako/
Serikali ya US ilikuwa ikifuatilia mawasiliano ya watu, taarifa za jeshi na vikao muhimu vya nchi nyingi duniani.
Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizokuwa katika radar ya Marekani. Marekani walikuwa wakifuatilia mawasiliano ya watu mtandaoni pamoja ma serikali.
Marekani wameweza kufanya yote haya kupitia vyombo vyake vya usalama (FBI, CIA na NSA). Hii ni katika mpango wao wa kuwa taifa kubwa kuzidi yote duniani.
Soma makala nzima katika blog yetu, link ipo kwenye bio
https://habaritechtz.com/edward-snowden-wanaona-calls-sms-emails-na-browser-history-bila-wewe-kujua/
Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizokuwa katika radar ya Marekani. Marekani walikuwa wakifuatilia mawasiliano ya watu mtandaoni pamoja ma serikali.
Marekani wameweza kufanya yote haya kupitia vyombo vyake vya usalama (FBI, CIA na NSA). Hii ni katika mpango wao wa kuwa taifa kubwa kuzidi yote duniani.
Soma makala nzima katika blog yetu, link ipo kwenye bio
https://habaritechtz.com/edward-snowden-wanaona-calls-sms-emails-na-browser-history-bila-wewe-kujua/
HabariTech - Ulimwengu wa Teknolojia Kiganjani Mwako
Edward Snowden: Wanaona Calls, SMS, Emails na Browser History Bila Wewe Kujua - HabariTech
Kwa miaka mingi serikali imetumia mifumo kama Echelon na EvilOlive kufatilia mawasiliano ya Wananchi wao.
*Kwanini Graphics Designers Wanashindwa Kutengeneza Pesa?*
Mara kwa mara tumesikia graphics designers wengi wakilalamika juu ya _kushindwa kutengeneza pesa kwa kazi zao._
Wengi ukiwasikiliza sababu zao ni zile zile ambazo hata sisi wenye uzoefu tulikuwa tukikosea miaka ya nyuma.
Leo nazungumza na graphics designers ili wafahamu ni wali wanakosea mpaka wanashindwa kujipatia kipato.
Hii inamfaa designer anayeanza au anayetaka kuanza graphics designing.
*https://habaritechtz.com/kwanini-graphics-designer-wanashindwa-kutengeneza-pesa/*
Mara kwa mara tumesikia graphics designers wengi wakilalamika juu ya _kushindwa kutengeneza pesa kwa kazi zao._
Wengi ukiwasikiliza sababu zao ni zile zile ambazo hata sisi wenye uzoefu tulikuwa tukikosea miaka ya nyuma.
Leo nazungumza na graphics designers ili wafahamu ni wali wanakosea mpaka wanashindwa kujipatia kipato.
Hii inamfaa designer anayeanza au anayetaka kuanza graphics designing.
*https://habaritechtz.com/kwanini-graphics-designer-wanashindwa-kutengeneza-pesa/*
HabariTech - Ulimwengu wa Teknolojia Kiganjani Mwako
Home - HabariTech
maelezo rahisi ya kiteknolojia, kiganjani mwako
Ukivaa saa kama hujazoea unaweza kuona mkono unakuwa mzito sana, lakini watu wengi, wewe ukiwa miongoni mwao unapenda/unatamani kuvaa smartwatch.
Bahati mbaya kila ukigeuka kuangalia unakutana na smartwatch za hovyo lakini bei zake ziko juu vibaya mno.
Unaona hii video hapa inahusu bei ya smartwatches hapa Tanzania kuanzia grade ya 3 mpaka ya 1 kutoka china.
Grade 1 ni ile inakaribiana na Apple Watch kwa asilimia 70%.
Leo nataka kukwambia unaweza kuipata hii kwa bei iliyo chini ya hiyo kwa zaidi ya 75%
Ila kwanza angalia hiyo video
https://vm.tiktok.com/ZM2xcajxc/
Bahati mbaya kila ukigeuka kuangalia unakutana na smartwatch za hovyo lakini bei zake ziko juu vibaya mno.
Unaona hii video hapa inahusu bei ya smartwatches hapa Tanzania kuanzia grade ya 3 mpaka ya 1 kutoka china.
Grade 1 ni ile inakaribiana na Apple Watch kwa asilimia 70%.
Leo nataka kukwambia unaweza kuipata hii kwa bei iliyo chini ya hiyo kwa zaidi ya 75%
Ila kwanza angalia hiyo video
https://vm.tiktok.com/ZM2xcajxc/
TikTok
HabariTech on TikTok
Replying to @Jewellery_boy_360 Bei ziko tofauti kulingana na ubora wa hizi saa. Yenye ubora kabisa ni HK8 Pro Max #hk8promax #smartwatch #google #myturn