Watumiaji wa viazi mviringo hasa kutengeneza chipsi katika Mkoa wa Lindi leo watalala na maumivu kutokana na bei ya jumla ya zao hilo kuuzwa kwa bei ya juu kuliko maeneo mengine Tanzania Bara.
Takwimu za mazao makuu ya chakula zilizotolewa na Wizara ya Viwanda na Biashara jana (Januari 31, 2022) zinaeleza kuwa gunia la kilo 100 la viazi mviringo katika masoko ya Lindi linauzwa kwa Sh120,000.
Takwimu za mazao makuu ya chakula zilizotolewa na Wizara ya Viwanda na Biashara jana (Januari 31, 2022) zinaeleza kuwa gunia la kilo 100 la viazi mviringo katika masoko ya Lindi linauzwa kwa Sh120,000.
https://jikopoint.co.tz/jiko-news/vinywaji/kwanini-glasi-za-mvinyo-zinaumbo-tofauti-na-glasi-zingine
Jiko Point
Kwanini glasi za mvinyo zinaumbo tofauti na glasi zingine? | JikoPoint
utofauti wa glasi za mvinyo (wine) na glasi zingine una makusudi yake. kuanzia bakuli, shingo na ukingo wa glasi hizo, zote zina maana yake.