This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Kama wewe ni miongoni mwa watu ambao wanapata vipele baada ya kunyoa ndevu nyumbani, zipo dondoo muhimu zinazoweza kukusaidia kutatua changamoto hiyo ukaendelea kuwa na muonekano mzuri
Fursa! Fursa! Fursa! Je, wewe ni miongoni mwa wanahabari wa Tanzania wanaosaka fursa ya kujifunza uandishi wa habari za takwimu (Data Journalism)? Kama ndiyo, changamkia fursa hii adhimu ili uwe miongoni mwa wanahabari 20 watakaopata mafunzo hayo ya siku tano (5) kati ya Novemba 9 -13, 2020. Kwa kubonyeza hapa
https://bit.ly/35mKNkn
Kwa maelezo zaidi tembelea kurasa zetu za mitandao ya kijamii za Twitter @NuktaAfrica, Instagram @nuktaafrica na Facebook @Nukta Africa na Facebook @InternewsTanzania.
Au tembelea tovuti ya www.nuktaafrica.co.tz kisha ingia katika kipengele cha mafunzo (Training) utaona Data Journalism, bofya kitufye kilichoandikwa Apply now kisha jaza fomu utakayopata kwa umakini.
https://bit.ly/35mKNkn
Kwa maelezo zaidi tembelea kurasa zetu za mitandao ya kijamii za Twitter @NuktaAfrica, Instagram @nuktaafrica na Facebook @Nukta Africa na Facebook @InternewsTanzania.
Au tembelea tovuti ya www.nuktaafrica.co.tz kisha ingia katika kipengele cha mafunzo (Training) utaona Data Journalism, bofya kitufye kilichoandikwa Apply now kisha jaza fomu utakayopata kwa umakini.
Endapo una swali lolote kuhusu mafunzo ya uandishi wa habari za takwimu, utapata nafasi ya kuuliza swali lako na waandaaji watatoa ufafanuzi wa kina juu ya mafunzo hayo.
Kutana na waandaaji wa mafunzo hayo mubashara kwa njia ya mtandao Jumamosi Oktoba 24, 2020 saa 5.00 asubuhi. Kujiunga na kipindi hicho, utatumia kiunganishi hiki >>> https://meet.google.com/jar-ppfc-fpa
Kutana na waandaaji wa mafunzo hayo mubashara kwa njia ya mtandao Jumamosi Oktoba 24, 2020 saa 5.00 asubuhi. Kujiunga na kipindi hicho, utatumia kiunganishi hiki >>> https://meet.google.com/jar-ppfc-fpa
Kwa bei hizi za mazao makuu ya chakula zinazotumika leo Oktoba 26, 2020 katika maeneo mbalimbali Tanzania, unafikiri ungewekeza katika biashara ya zao lipi?
#NuktaBiashara
#NuktaBiashara
DONDOO YA BIASHARA YA LEO: Mambo ya kuangazia kwa wafanyabiashara mwaka 2020.
#NuktaBiashara
#NuktaBiashara
Tumia mafuta ya kawaida yasiyo na kemikali nyingi
Jessica Kimoso ni mmoja wa wadau wa urembo na ajabu ni kuwa, hatumii pesa nyingi kununua vipodozi kwa ajili ya ngozi yake mbali na mafuta ya mgando aina ya Vaseline.
Jessica ambaye ni mkazi wa jijini Dar es Salaam anasema, yeye anafahamu kuwa kiwango cha mafuta kwenye ngozi yake ni cha wastani hivyo kwa ngozi yake amechagua kutumia mafuta hayo na hakumbuki kuwahi kutumia mafuta aina nyingine.
Jessica Kimoso ni mmoja wa wadau wa urembo na ajabu ni kuwa, hatumii pesa nyingi kununua vipodozi kwa ajili ya ngozi yake mbali na mafuta ya mgando aina ya Vaseline.
Jessica ambaye ni mkazi wa jijini Dar es Salaam anasema, yeye anafahamu kuwa kiwango cha mafuta kwenye ngozi yake ni cha wastani hivyo kwa ngozi yake amechagua kutumia mafuta hayo na hakumbuki kuwahi kutumia mafuta aina nyingine.
DONDOO YA BIASHARA YA LEO: Mjasiriamali ni nani kwa lugha ya kibiashara? #NuktaBiashara