ʜᴏᴡ ᴛᴏ ɢᴇᴛ 1000 ᴠɪᴇᴡꜱ ᴏɴ ʏᴏᴜᴛᴜʙᴇ ᴄʜᴀɴɴᴇʟ ꜰᴏʀ ꜰʀᴇᴇ ᴀɴᴅ ᴊᴜꜱᴛ ɪɴ ꜰᴇᴡ ᴍɪɴᴜᴛᴇꜱ 💫
🌀ɢᴏ ᴛᴏ: https://www.qqtube.com
🌀ᴄʀᴇᴀᴛᴇ ᴀɴ ᴀᴄᴄᴏᴜɴᴛ ᴡɪᴛʜ ᴀɴʏ ᴇᴍᴀɪʟ.
🌀ᴄʟɪᴄᴋ ᴏɴ ᴛʀʏ 1000 ᴠɪᴇᴡꜱ ꜰᴏʀ ꜰʀᴇᴇ.
🌀ᴄᴏɴꜰɪʀᴍ ʏᴏᴜʀ ᴇᴍᴀɪʟ.
🌀ꜰᴏʟʟᴏᴡ ᴛʜᴇᴍ ᴏɴ ᴛᴡɪᴛᴛᴇʀ ᴀɴᴅ ᴇɴᴛᴇʀ ʏᴏᴜr ᴠɪᴅᴇᴏ ʟɪɴᴋ ᴛʜᴇʀᴇ.
ᴅᴏɴᴇ ɴᴏᴡ ᴡᴀɪᴛ ꜱᴏᴍᴇ ʜᴏᴜʀꜱ ʏᴏᴜ ᴡɪʟʟ ɢᴇᴛ 1000 ᴠɪᴇᴡꜱ ɪɴ ʏᴏᴜʀ ᴠɪᴅᴇᴏ✨
ᴛʜᴇɴ ᴇɴᴊᴏʏ!⚓
ɴᴏᴛᴇ: ᴛʜɪꜱ ᴄᴀɴ ʙᴇ ᴏɴʟʏ ᴅᴏɴᴇ ᴏɴᴄᴇ ꜰᴏʀ ᴀ ᴄʜᴀɴɴᴇʟ.
ᴘʟᴇᴀꜱᴇ ꜱʜᴀʀᴇ ᴀɴᴅ ꜱᴜᴘᴘᴏʀᴛ ᴏᴜʀ ᴄʜᴀɴɴᴇʟ ꜰᴏʀ ᴍᴏʀᴇ ᴛʀɪᴄᴋꜱ ᴀɴᴅ ᴍᴜꜱᴛ ɢɪᴠᴇ ʀᴇᴀᴄᴛɪᴏɴꜱ 🔥
ᴍᴀɪɴ ᴄʜᴀɴɴᴇʟ:https://t.me/luhovero26code
🌀ɢᴏ ᴛᴏ: https://www.qqtube.com
🌀ᴄʀᴇᴀᴛᴇ ᴀɴ ᴀᴄᴄᴏᴜɴᴛ ᴡɪᴛʜ ᴀɴʏ ᴇᴍᴀɪʟ.
🌀ᴄʟɪᴄᴋ ᴏɴ ᴛʀʏ 1000 ᴠɪᴇᴡꜱ ꜰᴏʀ ꜰʀᴇᴇ.
🌀ᴄᴏɴꜰɪʀᴍ ʏᴏᴜʀ ᴇᴍᴀɪʟ.
🌀ꜰᴏʟʟᴏᴡ ᴛʜᴇᴍ ᴏɴ ᴛᴡɪᴛᴛᴇʀ ᴀɴᴅ ᴇɴᴛᴇʀ ʏᴏᴜr ᴠɪᴅᴇᴏ ʟɪɴᴋ ᴛʜᴇʀᴇ.
ᴅᴏɴᴇ ɴᴏᴡ ᴡᴀɪᴛ ꜱᴏᴍᴇ ʜᴏᴜʀꜱ ʏᴏᴜ ᴡɪʟʟ ɢᴇᴛ 1000 ᴠɪᴇᴡꜱ ɪɴ ʏᴏᴜʀ ᴠɪᴅᴇᴏ✨
ᴛʜᴇɴ ᴇɴᴊᴏʏ!⚓
ɴᴏᴛᴇ: ᴛʜɪꜱ ᴄᴀɴ ʙᴇ ᴏɴʟʏ ᴅᴏɴᴇ ᴏɴᴄᴇ ꜰᴏʀ ᴀ ᴄʜᴀɴɴᴇʟ.
ᴘʟᴇᴀꜱᴇ ꜱʜᴀʀᴇ ᴀɴᴅ ꜱᴜᴘᴘᴏʀᴛ ᴏᴜʀ ᴄʜᴀɴɴᴇʟ ꜰᴏʀ ᴍᴏʀᴇ ᴛʀɪᴄᴋꜱ ᴀɴᴅ ᴍᴜꜱᴛ ɢɪᴠᴇ ʀᴇᴀᴄᴛɪᴏɴꜱ 🔥
ᴍᴀɪɴ ᴄʜᴀɴɴᴇʟ:https://t.me/luhovero26code
Qqtube
Buy Real Followers, Likes, Views & Subs
Boost your presence across YouTube, Instagram, TikTok & more with QQTube. Get authentic followers, likes, views & subscribers for real, lasting growth. Start now!
👍1
WhatsApp_1.0.apk
3.2 MB
Download ila usifungue kama kuna mtu unakisasi naye mtumie mwambie afungue Kisha afuate maelezo inafuta kila kitu picha video music files shwaaa😭😢😭😭😭
❤4
👍5
NAMNA YA KUSHARE BANDO LA VPN NA RAFIKI PASIPO PROXY.
🎞 Leo Tuangalie namna tunaweza share mb za vpn na rafiki bila kutumia proxy. Maana kuna baadh ya watu application hizo kama padnet na Everyproxy zimewia vigumu kwao kuelewa namna zinatumika pia namna ya kuset vyema .
📡Sasa tuangalie ni jinsi gani tunaweza share bando la vpn na rafiki hata kama ni Airtel 300MB bila kutumia proxy...
🎥kwa kawaida huw ukiwasha hotspot kwako na wifi ya rafiki huwa hawezi kupata access Yoyote.. sasa Trick ni ndg tu tujifunze kwa ambao atufaham Tujue pia.
Steps;
✅ Install vpn husika na configuration file kwa simu zote mbili. Yaan yako na kwa rafiki.
- unaweza tumia vpn Yoyote tu kama ni http custom, ha tunnel, napsternetv, stark vpn n.k
✅ Weka line husika kwa Simu yako kisha washa data
✅ Fungua hotspot kwako - kwa kawaida ukifungua hotspot itakua default iko WPA2 na kuna password inakuepo so wew configure kwa kuweka none au kuweka password nyepesi kwako kuifaham.
✅ Fungua wifi kwa rafiki yako kisha scan available networks .
- utaona Jina la wifi ambalo mara nyingi huwa ina relate kutokana na jina la simu yako mfano kama unatumia SAMSUNG S4 basi hata wifi name itaendana na jina hilo..
✅ Connect
- unaweza kuombwa password kama uliacha WPA2 na kuchange password kuweka yako. Hivyo password uliyoweka kule .
-unaweza usiombwe password kama uliweka none( umetoa ulinzi maana yake yeyote anaweza kuwa connected na simu yako)
✅ Baada ya kuwa hotspot yako imeconnect na rafiki haitasoma mb kama kwako unavyotumia...
Basi ingia katika Simu ya rafiki yako connect na vpn ambayo ulimuekea mule ,make sure asiwashe data bali azime na atumie ile wifi yako tu .
🛠Vpn itasoma connected✅ kupitia wifi yako na line yako...
Hii process wifi yako itatumika kama wire ambayo unasupply mb kwa Simu. Hivyo unaweza connect na watu zaid ya wawili na ukawawekea vpn na settings zake kisha wakatumia wifi yako ambayo pia itasoma kama line...
🔦Kwa ambao wanakua wana host/vpn za mtandao flani either Vodacom,Tigo,Airtel,Halotel, Zantel, TTCL na uwezekano wa kupata line hizo mahali ulipo au hauna NIDA but flani anayo... pia mnaweza tumia hii njia ya WIFI kutumia .
📲📲📲📲📲📲📲📲📲
☎️☎️☎️☎️☎️☎️☎️☎️☎️☎️
Usisahau kushare Link ya channel yetu kwa marafiki ..
Link ya channel yetu: https://t.me/luhovero26code
📡📡📡📡📡📡📡📡
🎞 Leo Tuangalie namna tunaweza share mb za vpn na rafiki bila kutumia proxy. Maana kuna baadh ya watu application hizo kama padnet na Everyproxy zimewia vigumu kwao kuelewa namna zinatumika pia namna ya kuset vyema .
📡Sasa tuangalie ni jinsi gani tunaweza share bando la vpn na rafiki hata kama ni Airtel 300MB bila kutumia proxy...
🎥kwa kawaida huw ukiwasha hotspot kwako na wifi ya rafiki huwa hawezi kupata access Yoyote.. sasa Trick ni ndg tu tujifunze kwa ambao atufaham Tujue pia.
Steps;
✅ Install vpn husika na configuration file kwa simu zote mbili. Yaan yako na kwa rafiki.
- unaweza tumia vpn Yoyote tu kama ni http custom, ha tunnel, napsternetv, stark vpn n.k
✅ Weka line husika kwa Simu yako kisha washa data
✅ Fungua hotspot kwako - kwa kawaida ukifungua hotspot itakua default iko WPA2 na kuna password inakuepo so wew configure kwa kuweka none au kuweka password nyepesi kwako kuifaham.
✅ Fungua wifi kwa rafiki yako kisha scan available networks .
- utaona Jina la wifi ambalo mara nyingi huwa ina relate kutokana na jina la simu yako mfano kama unatumia SAMSUNG S4 basi hata wifi name itaendana na jina hilo..
✅ Connect
- unaweza kuombwa password kama uliacha WPA2 na kuchange password kuweka yako. Hivyo password uliyoweka kule .
-unaweza usiombwe password kama uliweka none( umetoa ulinzi maana yake yeyote anaweza kuwa connected na simu yako)
✅ Baada ya kuwa hotspot yako imeconnect na rafiki haitasoma mb kama kwako unavyotumia...
Basi ingia katika Simu ya rafiki yako connect na vpn ambayo ulimuekea mule ,make sure asiwashe data bali azime na atumie ile wifi yako tu .
🛠Vpn itasoma connected✅ kupitia wifi yako na line yako...
Hii process wifi yako itatumika kama wire ambayo unasupply mb kwa Simu. Hivyo unaweza connect na watu zaid ya wawili na ukawawekea vpn na settings zake kisha wakatumia wifi yako ambayo pia itasoma kama line...
🔦Kwa ambao wanakua wana host/vpn za mtandao flani either Vodacom,Tigo,Airtel,Halotel, Zantel, TTCL na uwezekano wa kupata line hizo mahali ulipo au hauna NIDA but flani anayo... pia mnaweza tumia hii njia ya WIFI kutumia .
📲📲📲📲📲📲📲📲📲
☎️☎️☎️☎️☎️☎️☎️☎️☎️☎️
Usisahau kushare Link ya channel yetu kwa marafiki ..
Link ya channel yetu: https://t.me/luhovero26code
📡📡📡📡📡📡📡📡
Telegram
POWER VPN UNLIMITED
KAZI HIENDELEEE KARIBU TUJIFUNZE PAMOJA NA MR POWER VPN UNLIMITED
👍12❤2🥰1
VPN Mpya Ya Tigo Natoa Kwanza Maelekezo Link Ya Kwenda Kupakua Ntaweka Chini Hapo Baada Ya Maelekezo
Ukishapakua Hii VPN Utaingia Ndani Utaweka Tiki Hapo Nilipoweka Mie
Alafu Utabonyeza Ilo Neno Hapo
SHOW AD GET FREE UDP ACC
Ukishabonyeza Itatokea Ads Utaangalia Baada Ya Kuisha Utatoka VPN Itakurudisha Mwanzo Hapo Hapo
Sasa Connect Na Uinjoi
Ina Nguvu Sana Mpaka TikTok Inasukuma
Alafu Unlimited Sasa
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.zi.zivpn
Ukishapakua Hii VPN Utaingia Ndani Utaweka Tiki Hapo Nilipoweka Mie
Alafu Utabonyeza Ilo Neno Hapo
SHOW AD GET FREE UDP ACC
Ukishabonyeza Itatokea Ads Utaangalia Baada Ya Kuisha Utatoka VPN Itakurudisha Mwanzo Hapo Hapo
Sasa Connect Na Uinjoi
Ina Nguvu Sana Mpaka TikTok Inasukuma
Alafu Unlimited Sasa
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.zi.zivpn
👍16🤷♀5🤝2❤1🤷1
*Umeshawahi kutumia intaneti kwa mfumo wa Bluetooth kupitia simu yako ? Najua wengi tunatumia simu kwenye mambo mengi tu ila wengi hatujui tunaweza share intaneti kwa kutumia Bluetooth?*
Watu wengi tunatumia njia ya hotspot kuweza ku share intaneti kwenye vifaa vingine lakini sio lazima unaweza tumia Bluetooth kuweza kushare intaneti kwenye kifaa kingine kama vile simu , kompyuta pamoja na tablet.
Kwenye simu zetu Kuna kitu kinaitwa Bluetooth tethering, ni njia moja wapo ya kutumia mfumo wa wireless kuweza kusambaza upendo wa intaneti kwenye vifaa vingine kupitia Bluetooth.
Tusema una bando Kuna mtu anahitaji kushare na wewe kidogo sio lazima uwashe hotspot unaweza tumia tu Bluetooth kuweza kushare intaneti na wengine.
Wala uhitaji password kuweza kuunganisha kwenye ivyo vifaa unafanyaje ku share intaneti kwa kutumia Bluetooth kupitia simu yako 👇
• ingia setting kwenye simu yako
• Kisha hotspot & tethering
• utagusa kwenye Bluetooth tethering
• hakikisha data Iko Kisha kwenye simu nyingine inahitajika kupata intaneti awashe tu Bluetooth ikishakua connected anaweza tumia intaneti bila password
Pia unaweza tumia njia hii kuunganisha na kompyuta yako kuweza kushare intaneti kwenye kompyuta kama upendi watu uwatajie password ya hotspot yako.
Umeshawahi kutumia hii njia au ndo unasikia Leo tuachie maoni yako ?*
#bluetooth sony Ericsson
*Mr-power 💙 Tips*
Watu wengi tunatumia njia ya hotspot kuweza ku share intaneti kwenye vifaa vingine lakini sio lazima unaweza tumia Bluetooth kuweza kushare intaneti kwenye kifaa kingine kama vile simu , kompyuta pamoja na tablet.
Kwenye simu zetu Kuna kitu kinaitwa Bluetooth tethering, ni njia moja wapo ya kutumia mfumo wa wireless kuweza kusambaza upendo wa intaneti kwenye vifaa vingine kupitia Bluetooth.
Tusema una bando Kuna mtu anahitaji kushare na wewe kidogo sio lazima uwashe hotspot unaweza tumia tu Bluetooth kuweza kushare intaneti na wengine.
Wala uhitaji password kuweza kuunganisha kwenye ivyo vifaa unafanyaje ku share intaneti kwa kutumia Bluetooth kupitia simu yako 👇
• ingia setting kwenye simu yako
• Kisha hotspot & tethering
• utagusa kwenye Bluetooth tethering
• hakikisha data Iko Kisha kwenye simu nyingine inahitajika kupata intaneti awashe tu Bluetooth ikishakua connected anaweza tumia intaneti bila password
Pia unaweza tumia njia hii kuunganisha na kompyuta yako kuweza kushare intaneti kwenye kompyuta kama upendi watu uwatajie password ya hotspot yako.
Umeshawahi kutumia hii njia au ndo unasikia Leo tuachie maoni yako ?*
#bluetooth sony Ericsson
*Mr-power 💙 Tips*
👍11❤1