assengaonline.com_πŸ‡ΉπŸ‡Ώ For all Updates Tanznaia
5.04K subscribers
526 photos
20 videos
226 files
6.84K links
I blog about Jobs and Education
Buy ads: https://telega.io/c/assengaonline1

Pata Taarifa mbali mbali za
● ELIMU
● Scholarships
● Internships
● Volunteering
● Job

For other more visit
www.assengaonline.com
Download Telegram
πŸ‡ΉπŸ‡ΏAJIRA ZA WALIMU 2023 _ UHABA WA WALIMU WASABABISHA KUSHUKA KWA UFAULU KIDATO CHA PILI NA DARASA LA NNE

✳️Wakati ufaulu hafifu ukioonekana katika masomo ya sayansi na hesabu kama ilivyobainika katika matokeo ya mitihani ya Taifa ya kidato cha pili na darasa la nne, huku uhaba wa walimu ukitajwa kuchangia hali hiyo, wadau wamesema walimu wa sayansi wapo mitaani ila hawana ajira.

Fatilia zaidi hapa kuhusu Tetesi za ajira mpya 2023πŸ‘‡πŸ‘‡
https://assengaonline.com/2023/01/04/ajira-mpya-za-walimu-2023/
If you are looking for a job in one of these roles, don't miss your chance and apply now through www.makeyourmove.co.tz

Watch this space for more information and to stay updated on job opportunities, vacancies and our specialised services.
πŸ‡ΉπŸ‡ΏWIZARA YA KILIMO IMETANGAZA FURSA KWA VIJANA WOTE NCHINI KUJINGA NA BBT PROGRAM

✳️Mfumo wa Kilimo cha mashamba ya pamoja yaani BLOCK FARMING
✳️Sifa za kijana zinazotakiwa
1 Weledi wa ujasiriamali.
2 Awe Mtanzania
3 Awe na umri kuanzia miaka 18 hadi 40
4 Maarifa.
✳️Vijana Wote mnaweza Kujiunga na Program Hii

Jiunge kwenye Program Hii Bonyeza HapaπŸ‘‡πŸ‘‡
https://assengaonline.com/2023/01/11/building-a-better-tomorrow-program-2023-bbt/
Serikali kupitia Wizara ya Kilimo imeandaa maeneo wezeshi ya kilimo kwa Vijana ili kuwekeza kwenye kilimo na kuwaondoa kwenye maisha ya ku-bet.

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Kilimo Anthony Mavunde Anthony Jijini Dodoma katika Mkutano na Wahariri uliolenga kutekeleza ushiriki wa Vijana katika kilimo biashara programu inayotarajia kuongeza ajira kwa Vijana 3000 na kuongeza ukuaji wa Sekta ya Kilimo hadi kufikia asilimia 10 ifikapo mwaka 2030

Bonyeza Hapa kupata Shamba la kilimoπŸ‘‡πŸ‘‡
https://assengaonline.com/2023/01/11/block-farming-agriculture-in-tanzania-bbt-youth-program/