Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot
DAWA YA BAWASIRI mp4
Fahamu tiba ya Bawasiri bure kabisa na babu Haji,,,,huna haja ya kuhangaika,,,mjulishe na mwenzio inshallah...
DAWA YA BAWASIRI mp4
Fahamu tiba ya Bawasiri bure kabisa na babu Haji,,,,huna haja ya kuhangaika,,,mjulishe na mwenzio inshallah...
Watu wa tiba asili wana โvipimo vya kisasaโ vinavyopima maradhi yote.
Make hapo ngoja ncheke kwanza.
Make hapo ngoja ncheke kwanza.
Bonge La Afya ๐น๐ฟ
Watu wa tiba asili wana โvipimo vya kisasaโ vinavyopima maradhi yote.
Make hapo ngoja ncheke kwanza.
tweet
Watu wa tiba asili wana โvipimo vya kisasaโ vinavyopima maradhi yote.
Make hapo ngoja ncheke kwanza.
tweet
Bonge La Afya ๐น๐ฟ
RT @FrankensteinJM: Kwahiyo daktari anamuona mgonjwa na kufanya vipimo hadi kugundua ugonjwa na kumuandikia dawa
Lakini nyie mnakubali diagnosis ya daktari na kuamini vipimo vya maabara..lakini kwenye dawa mnataka mtoe kwa ugonjwa mtu mwingine amediagnose??
Nauliza ili nielewe tu https://t.co/7mQdDSjL3N
tweet
RT @FrankensteinJM: Kwahiyo daktari anamuona mgonjwa na kufanya vipimo hadi kugundua ugonjwa na kumuandikia dawa
Lakini nyie mnakubali diagnosis ya daktari na kuamini vipimo vya maabara..lakini kwenye dawa mnataka mtoe kwa ugonjwa mtu mwingine amediagnose??
Nauliza ili nielewe tu https://t.co/7mQdDSjL3N
@Dr_Mjemmas @FrankensteinJM Mfumo wa tiba una watu watatu muhimu
Daktari
Mtu wa maabara
Mtu wa madawa
Baada ya kubainika ugonjwa tunakupa Dawa
- Herbalisttweet
AFYA YAKO LEO
Photo
Zayd โช
Mioyo mizuri zaidi ni ile inayotoa licha ya uhitaji wao, Mioyo hiyo inapendwa na Allah.๐ https://t.co/iK7IrawkKC
tweet
Mioyo mizuri zaidi ni ile inayotoa licha ya uhitaji wao, Mioyo hiyo inapendwa na Allah.๐ https://t.co/iK7IrawkKC
tweet
Bonge La Afya ๐น๐ฟ
RT @Pastore_Tz: 1. Mahusiano vurugu
2. Pesa hatuna
3. Gharama za maisha juu
4. Ajira mtihani
5. Presha kutoka ndani na nie https://t.co/M9IQAe95Qv
tweet
RT @Pastore_Tz: 1. Mahusiano vurugu
2. Pesa hatuna
3. Gharama za maisha juu
4. Ajira mtihani
5. Presha kutoka ndani na nie https://t.co/M9IQAe95Qv
Watu wako na msongo wa mawazo sana. Tuwavumilie, tuwasaidie.
- Bonge La Afya ๐น๐ฟtweet
Bonge La Afya ๐น๐ฟ
That awkward moment mpo kwenye foleni ya watu wengi halafu una yule jamaa anakupigisha stori nyingi kwanguvu ๐
tweet
That awkward moment mpo kwenye foleni ya watu wengi halafu una yule jamaa anakupigisha stori nyingi kwanguvu ๐
tweet
AFYA YAKO LEO
Photo
Zayd โช
Ogopa sana kuiumiza roho ambayo haina uwezo wa kulipa kisasi, ila italeta malalamiko ambayo hakuna anayeweza kuyasikia isipokuwa Allah pekee. https://t.co/Q0n8yyGxP4
tweet
Ogopa sana kuiumiza roho ambayo haina uwezo wa kulipa kisasi, ila italeta malalamiko ambayo hakuna anayeweza kuyasikia isipokuwa Allah pekee. https://t.co/Q0n8yyGxP4
tweet
Dawa ya kupunguza mwili ndani ya siku 7 .
https://www.youtube.com/watch?v=qtHVR9zS01I
https://www.youtube.com/watch?v=qtHVR9zS01I
YouTube
Dawa ya kupunguza mwili ndani ya siku 7 .
AFYA YAKO LEO
Photo
Tiba Fasta
Je, wajua? Wanawake wenye matatizo ya kukosa hamu ya kujamiana wana dawa za kuongeza hamu hiyo vinavyojulikana kama flibanserin vikifananishwa na viagra ya wanaume. https://t.co/6dqXY9XHSM
tweet
Je, wajua? Wanawake wenye matatizo ya kukosa hamu ya kujamiana wana dawa za kuongeza hamu hiyo vinavyojulikana kama flibanserin vikifananishwa na viagra ya wanaume. https://t.co/6dqXY9XHSM
tweet
AFYA YAKO LEO
Photo
Tiba Fasta
Ungana na Dr. Mabula hapo kesho asubuhi kufahamu mengi kuhusu afya ya uzazi kwa wanaume.
cc @drmabula https://t.co/1OaHxGPsJm
tweet
Ungana na Dr. Mabula hapo kesho asubuhi kufahamu mengi kuhusu afya ya uzazi kwa wanaume.
cc @drmabula https://t.co/1OaHxGPsJm
tweet
AFYA YAKO LEO
Video
Bonge La Afya ๐น๐ฟ
Mnawezaje kukaa bila kusikiliza nyimbo za Kisukuma? Why? ๐ https://t.co/rwz9bsxFXq
tweet
Mnawezaje kukaa bila kusikiliza nyimbo za Kisukuma? Why? ๐ https://t.co/rwz9bsxFXq
tweet