Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)
Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Mhandisi Kundo Mathew (Mb) akiwasili Makao Makuu ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwaajili ya Ziara ya ukaguzi wa mifumo ya Kielektroniki inayowezesha utendaji kazi mbalimbali za TCRA leo tarehe 15 Septemba, 2021.
Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Mhandisi Kundo Mathew (Mb) akiwasili Makao Makuu ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwaajili ya Ziara ya ukaguzi wa mifumo ya Kielektroniki inayowezesha utendaji kazi mbalimbali za TCRA leo tarehe 15 Septemba, 2021.
HAJIMURON255๐ (Instagram)
๐๐ฎ๐ป๐๐ฎ ๐ต๐ถ๐๐ถ ๐ธ๐๐น๐ถ๐ป๐ฑ๐ฎ ๐ฑ๐ฎ๐๐ฎ ๐๐ฎ๐ธ๐ผ ๐๐ฎ ๐ช๐ต๐ฎ๐๐๐ฎ๐ฝ๐ฝ
Unajua Whatsapp ni Moja ya app ambayo inatumiwa Sana na watu wengi ulimwenguni inazaidi ya watumiaji bilioni mbilii duniani kote.
Ni muhimu mtu kutunza data zako za Whatsapp huwezi jua hipo siku inawezekan ukawa umeibiwa simu , au umepoteza au sababu nyingine yoyote.
Ngoja nikupe maujanja ya kufanya ili kuweza kulinda data zako za Whatsapp muda wowote hule๐
Kwanza hakikisha Whatsapp yako hipo update kwa wale watumiaji wa Whatsapp ya kawaida au gb mods basi hakikisha hiko updated Kisha tuendelee ,
Fungua Whatsapp yako Kisha juu upande wa kulia kuna vidoti vitatu gusa hapo Kisha ingia setting
>> Alafu chats >> shuka chini mpaka kwenye chat backups ingia hapo >> utaona neno backup utaweza kubonyeza ila kabla ujabonyeza .
Backup ni...
View original post
๐๐ฎ๐ป๐๐ฎ ๐ต๐ถ๐๐ถ ๐ธ๐๐น๐ถ๐ป๐ฑ๐ฎ ๐ฑ๐ฎ๐๐ฎ ๐๐ฎ๐ธ๐ผ ๐๐ฎ ๐ช๐ต๐ฎ๐๐๐ฎ๐ฝ๐ฝ
Unajua Whatsapp ni Moja ya app ambayo inatumiwa Sana na watu wengi ulimwenguni inazaidi ya watumiaji bilioni mbilii duniani kote.
Ni muhimu mtu kutunza data zako za Whatsapp huwezi jua hipo siku inawezekan ukawa umeibiwa simu , au umepoteza au sababu nyingine yoyote.
Ngoja nikupe maujanja ya kufanya ili kuweza kulinda data zako za Whatsapp muda wowote hule๐
Kwanza hakikisha Whatsapp yako hipo update kwa wale watumiaji wa Whatsapp ya kawaida au gb mods basi hakikisha hiko updated Kisha tuendelee ,
Fungua Whatsapp yako Kisha juu upande wa kulia kuna vidoti vitatu gusa hapo Kisha ingia setting
>> Alafu chats >> shuka chini mpaka kwenye chat backups ingia hapo >> utaona neno backup utaweza kubonyeza ila kabla ujabonyeza .
Backup ni...
View original post
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
HAJIMURON255๐ (Instagram)
๐ฆ๐ถ๐บ๐ ๐๐ฎ ๐๐ก๐๐๐ก๐๐ซ ๐ญ๐๐ฅ๐ข ๐ซ
Moja ya video yake imeonekana kuvuja kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii ikiwa na uwezo wa mega pixel 108MP za kamera kwa nyuma.
Vipi unategemea maajabu Gani kutoka kwenye simu hii kwa upande wa Kamera tuachie maoni yako Sasa ?
#SeeBeyond
#ZeroXPro
๐ฆ๐ถ๐บ๐ ๐๐ฎ ๐๐ก๐๐๐ก๐๐ซ ๐ญ๐๐ฅ๐ข ๐ซ
Moja ya video yake imeonekana kuvuja kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii ikiwa na uwezo wa mega pixel 108MP za kamera kwa nyuma.
Vipi unategemea maajabu Gani kutoka kwenye simu hii kwa upande wa Kamera tuachie maoni yako Sasa ?
#SeeBeyond
#ZeroXPro
Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)
Fahamu kuhusu umuhimu na matumizi ya namba 100 kwenye huduma za Mawasiliano ya simu katika kipindi maalum cha Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) mubashara kupitia chaneli yetu ya YouTube na ukurasa wetu wa Instagram, Alhamisi hii tarehe 16/09/2021 kuanzia saa moja kamili (1:00) Usiku.
Usikose!
Fahamu kuhusu umuhimu na matumizi ya namba 100 kwenye huduma za Mawasiliano ya simu katika kipindi maalum cha Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) mubashara kupitia chaneli yetu ya YouTube na ukurasa wetu wa Instagram, Alhamisi hii tarehe 16/09/2021 kuanzia saa moja kamili (1:00) Usiku.
Usikose!