FAHAMU MAAJABU YA APP HII KWENYE SIMU YAKO || SECRET APP ON SEPTEMBER 2021 FOR ANDROID — Bongotech255
https://youtu.be/0NFrnEUlOmI 2:32
https://youtu.be/0NFrnEUlOmI 2:32
YouTube
FAHAMU MAAJABU YA APP HII KWENYE SIMU YAKO || SECRET APP ON SEPTEMBER 2021 FOR ANDROID
Hivi utajisikiaje pale ambapo umechomeka chaji 😄 simu yako hikakutaja jina lako au ikasema maneno flani Hivi amazing wazungu wanasema 🔥 basi pakua hii app utaweza kuweka sauti tofauti tofauti pale Ambapo umechomeka chaji au kutoa.
usisahau kutu follow…
usisahau kutu follow…
MAMBO 10 USIYOFAHAMU KUHUSU WIZKID — Newzfid
https://youtu.be/OQJkPU471Kc 9:00
https://youtu.be/OQJkPU471Kc 9:00
YouTube
MAMBO 10 USIYOFAHAMU KUHUSU WIZKID
#wizkid #starboy #essense
Ukizungumzia tasnia ya mziki wa Nigeria ama Afrobeat kiujumla basi haitakamilika bila kumtaja messi wa mziki huo, Wizkid. Wizkid ambae kwa Afrika alianza kutamba mapema kabisa ya mwaka 2013,mziki wake ulianza kupaa anga za kimataifa…
Ukizungumzia tasnia ya mziki wa Nigeria ama Afrobeat kiujumla basi haitakamilika bila kumtaja messi wa mziki huo, Wizkid. Wizkid ambae kwa Afrika alianza kutamba mapema kabisa ya mwaka 2013,mziki wake ulianza kupaa anga za kimataifa…
Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)
Ziara ya Wanafunzi wa Kidato cha Tano kutoka Shule ya Sekondari ya St. Joseph’s Cathedral iliyopo Jijini Dar es Salaam kutembelea Makao Makuu ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania na kujifunza kuhusu TCRA na majukumu yake kwa ujumla. Katika ziara hiyo, Wanafunzi walipata wasaa wa kutembelea Chumba cha Ufuatiliaji wa Maudhui ya Utangazaji kwa njia ya Televisheni (Content Monitoring Section) pamoja na kufika kwenye Makumbusho ya Mawasiliano ya TCRA leo Tarehe 14 Septemba, 2021.
Ziara ya Wanafunzi wa Kidato cha Tano kutoka Shule ya Sekondari ya St. Joseph’s Cathedral iliyopo Jijini Dar es Salaam kutembelea Makao Makuu ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania na kujifunza kuhusu TCRA na majukumu yake kwa ujumla. Katika ziara hiyo, Wanafunzi walipata wasaa wa kutembelea Chumba cha Ufuatiliaji wa Maudhui ya Utangazaji kwa njia ya Televisheni (Content Monitoring Section) pamoja na kufika kwenye Makumbusho ya Mawasiliano ya TCRA leo Tarehe 14 Septemba, 2021.