Teknolojia
140 subscribers
3.87K photos
5.62K videos
94 files
13.7K links
Hii ni channel yangu mwenyewe ila kama ikikupendeza karibu isipokupendeza kwaheli ๐Ÿ‘‹
Download Telegram
Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)

Karibu utembelee Makumbusho ya Mawasiliano iliyopo Makao Makuu ya TCRA Buree kabisa kwa Siku za Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa Tatu asubuhi hadi saa Tisa Mchana.

โ€œVya Kale ni Dhahabuโ€ #tutumiemawasilianokujileteamaendeleo
Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)

Watoa huduma za Mawasiliano ya Simu hufuata mwongozo Maalum pindi wanapotoa huduma kwa wateja waoโ€ฆ Fahamu haya na mengine mengi kupitia kipindi cha Mawasiliano kwa Maendeleo kinachorushwa kila siku ya Jumatatu saa Tatu na nusu Usiku na marudio ni siku ya Alhamisi saa Sita kamili mchana kupitia Chaneli ya TBC 1.

Usikubali kupitwa!
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Tanzania Communications Regulatory Authority ะฝะฐ Facebook Watch
Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)

Watoa huduma za Mawasiliano ya Simu hufuata mwongozo Maalum pindi wanapotoa huduma kwa wateja waoโ€ฆ
Fahamu haya na mengine mengi kupitia kipindi cha...
HAJIMURON255๐ŸŒ (Instagram)

๐—จ๐—ป๐—ฎ ๐˜๐—ฎ๐—ฏ๐—ถ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜€๐—ฎ๐—ต๐—ฎ๐˜‚ ๐—ฝ๐—ฎ๐˜€๐˜€๐˜„๐—ผ๐—ฟ๐—ฑ ๐˜‡๐—ฎ๐—ธ๐—ผ ๐Ÿ”‘

Unajua ulimwengu teknolojia Duniani una mambo mengi ya Siri ambayo ๐Ÿ’ก hatuwezi kuyajua yote , ila page yetu ni kazi yetu kukusogezea mambo muhimu ili kujua zaidi ๐Ÿ˜Š.

Najua watu wengi wamejiunga katika mitandao mbalimbali ulimwengu hivyo anajikuta Kila sehemu unapojiunga unabidi huweke password hili huweze kuhifadh kama kumbukumbu ndo itakua kama I'd yako vile ya kuingilia eneo Hilo โœŠ.

Nafahamu sio rahisi kukumbuka password zako zote za akaunti zako unazotumia naelewa hivyo upelekea wewe kazi kubonyeza reset password tu ๐Ÿ˜€ Kila ukitaka ku log in.. ila kwanini huwe na tabia hiyo ?

Binafsi hata mimi Niko na password nyingi tu sio zangu tu Kuna zingine za wateja wangu na zote natakiwa nizijue sio jambo rahisi ๐Ÿ˜ฑ.

Hivyo nimekuletea njia rahisi ya kuweza kutunza pa...

View original post
Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)

Washtue Wadau, waambie Mawasiliano baina ya Mtoa Huduma za Mawasiliano ya simu na mteja wake ni kupitia namba 100 Tuuโ€ฆ
#kamasionamba100potezeaa
HAJIMURON255๐ŸŒ (Instagram)

๐™…๐™ž๐™ฃ๐™จ๐™ž ๐™ฎ๐™– ๐™ ๐™ช๐™ก๐™ž๐™ฃ๐™™๐™– ๐™€๐™ข๐™–๐™ž๐™ก ๐™–๐™ ๐™–๐™ช๐™ฃ๐™ฉ๐™ž ๐™ฎ๐™–๐™ ๐™ค ๐™ ๐™ช๐™™๐™ช๐™ ๐™ž๐™ก๐™ž๐™ฌ๐™–

Unajua email ni moja ya jambo muhimu Sana kwenye masuala ya kibiashara au mpaka kwenye mitandao ya kijamii , baadhi ya watu huweza kutumia email kuweza kuwasiliana na watu kufanya biashara na hata mambo mengine.

Lakini je Email yako una uwakika kuwa ni salama haiwezi kudukiliwa ? ๐Ÿ˜ฑ

Hilo ni swali muhimu unapaswa kujiuliza Sana haswa kama wewe unapenda kutumia email yako kwenye kutuma ujumbe kujiunga na social media au tovuti tofauti tofauti kwenye simu au kompyuta yako.

Kesi za watu kuibiwa akaunti zao za mitandao ya kijamii zimekua nyingi Sana Tanzania watu wanalalamika kuibiwa au hata kupoteza akaunti zao baada ya mtu kumuambia afanye jambo Fulani.

Fanya njia hizi muhimu kuweza kulinda akaunti yako hisiweze kudukiliwa na mtu yeyote yul...

View original post
Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)

Mawasiliano baina ya Mtoa Huduma za Mawasiliano ya Simu na Mteja wake ni kupitia namba 100 Tuu! Epuka Matapeli wanaotumia namba binafsi kupiga simu na kujitambulisha kama watoa huduma kutoka mtandao wa simu unaotumia.

#kamasionamba100potezeaa
Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Dkt. Jabiri Bakari amekutana na wawakilishi wa Chama cha Watoa Maudhui ya Televisheni kwa njia ya Kebo (TACOA) kwa lengo la kujadili masuala mbalimbali yanayohusu huduma za Maudhui zinazotolewa na chama hicho. Mkutano huo umefanyika Leo Tarehe 8 Septemba, 2021 katika Makao Makuu ya TCRA Jijini Dar es Salaam.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Tanzania Communications Regulatory Authority - Bambo la Mtaa!! | Facebook
Tanzania Communications Regulatory Authority (Facebook)

Usikose kufuatilia kipindi cha Bambo la Mtaa kinachorushwa kila siku ya Alhamisi kuanzia Saa Mbili na nusu (2:30) Usiku kupitia Chaneli ya Clouds TV....