Ontime
11 subscribers
172 photos
9.37K videos
1 file
23.7K links
Download Telegram
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

KESI YA SABAYA: PINGAMIZI LATUPWA, KUMBUKUMBU ZA SIMU ZAPOKELEWA
Ulitamani kufahamu ni kitu gani kilichoamuliwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha kuhusu pingamizi la kutaka nyaraka mbalimbali zikiwemo kumbukumbu za kupiga na kupokea simu, kutuma na kupokea ujumbe mfupi wa simu za aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya zisipokelewe kama kielelezo katika kesi ya uhujumu uchumi? hii video ina kila kitu unachopaswa kufahamu
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

MTANZANIA ALIYEUAWA MAREKANI, FAMILIA YASIMULIA "ALIGONGA GARI KWA NYUMA"
AyoTV na millardayo.com zimefika nyumbani kwa Familia ya Mtanzania Humphrey Magwira Kijana mwenye umri wa miaka 20 ambaye ameuwawa kwa kupigwa risasi njia panda ya Beechnut, Houston Texas Marekani.
VISA Sehem ya4 Olanda / Tinwhite /dagobert / Mwelesi — WHITE FILMS
https://youtu.be/lBDcJ9nllI0 14:44
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

"MUZIKI WAZIMWA BAA" COSOTA WAANZA KUPITA KUMBI ZA STAREHE ZINAZOCHEZA BONGOFLEVA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan aliagiza Taasisi ya haki Miliki Tanzania (COSOTA) kuhakikisha Inakusanya mirabaha kwenye maeneo yanayotumia kazi za Wasanii ili Wasanii waanze kulipwa pesa kutokana na nyimbo zao kutumika kwenye maeneo mbalimbali kuanzia December 2021.

Sasa kutoka Dodoma imefanyika operesheni maalumu ikiwahusisha COSOTA na Jeshi la Polisi ambapo wamepita kwa ajili ya kukagua maeneo mbalimbali yanayotumia kazi za ubunifu hasa muziki bila kulipia mirabaha ambapo AyoTV imeshuhudia baadhi ya Baa muziki ukizimwa kwa waliokaidi kulipa, video hii imenasa kila kitu.
MCHUJO FILAMU 600+ ZILIZOPITA KUWANIA TUZO NI 120, WASANII WALIOSUSA JE? — Millard Ayo
https://youtu.be/mEt1R8yOlw0 6:32
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

Code ya siri ya kuflash simu zote za batani
Code hii huwa inatumika kufuta vitu vyote vilivyopo kwenye simu bila kuacha kitu na kuifanya simu kuwa kama mpya au kama ulivoitoa dukani

Apambapo itakufanya uanze kufanya setting za sim upya kama kuset ringtone brightness na vitu vingine naimani itakuwa imekusaidia namna moja au nyingine

Kama umeipenda video ii pinya maneno mekundu yaliyoandikwa SUBSCRIBE
FIESTA IPO KWELI MWAKA 2021? NCHAKALI ATOA MAJIBU — Millard Ayo
https://youtu.be/U9FjPrkaY3s 4:51
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

Fatma Karume aichambua na kuikosoa vikali hukumu kesi ya Mbowe, adai Samia amechangia
Bongo Sihami, ni Channel ya habari za siasa zinazohusu Tanzania. Tunajitahidi kutoa habari zetu kwa uwazi bila kupendelea wala kwa lengo la kuchafua upande wowote kisiasa.
Tumeipa jina la Bongo Sihami kwa kuwa tunaipenda sana Tanzania, hatutahama Tanzania kwa shida ama kwa raha
Kama huja subscribe bado, tafadhali fanya hivyo na msahuri mwenzako pia
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

Mawakili wa Mbowe watoa tamko hili kuhusu hukumu ya Jaji, wataja mapungufu yake
Bongo Sihami, ni Channel ya habari za siasa zinazohusu Tanzania. Tunajitahidi kutoa habari zetu kwa uwazi bila kupendelea wala kwa lengo la kuchafua upande wowote kisiasa.
Tumeipa jina la Bongo Sihami kwa kuwa tunaipenda sana Tanzania, hatutahama Tanzania kwa shida ama kwa raha
Kama huja subscribe bado, tafadhali fanya hivyo na msahuri mwenzako pia
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

Duh.! Lema atoa unabii mwingine mzito kuhusu Samia, amshauri asigombee 2025 kwa sababu hii
Bongo Sihami, ni Channel ya habari za siasa zinazohusu Tanzania. Tunajitahidi kutoa habari zetu kwa uwazi bila kupendelea wala kwa lengo la kuchafua upande wowote kisiasa.
Tumeipa jina la Bongo Sihami kwa kuwa tunaipenda sana Tanzania, hatutahama Tanzania kwa shida ama kwa raha
Kama huja subscribe bado, tafadhali fanya hivyo na msahuri mwenzako pia