Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot
FUJO ZA MACHINGA, KILICHOTOKEA JANA K'KOO NI UHUNI - LUSINDE
Shirikisho la Wamachinga Tanzania (SHIUMA) kupitia kwa Makamu Mwenyekiti wake Steven Lusinde limezungumzia fujo zilizotokea jana kwenye eneo la Kariakoo wakati wa kuhamisha Wamachinga.
FUJO ZA MACHINGA, KILICHOTOKEA JANA K'KOO NI UHUNI - LUSINDE
Shirikisho la Wamachinga Tanzania (SHIUMA) kupitia kwa Makamu Mwenyekiti wake Steven Lusinde limezungumzia fujo zilizotokea jana kwenye eneo la Kariakoo wakati wa kuhamisha Wamachinga.
SHAKIRA,mwanamuziki ANAEICHUKIA NDOA,aliambiwa ANAIMBA KAMA MBUZI leo ana UTAJIRI wa KUTISHA — BONGO FASTA
https://youtu.be/gbNK62p43pI 8:33
https://youtu.be/gbNK62p43pI 8:33
YouTube
SHAKIRA,mwanamuziki ANAEICHUKIA NDOA,aliambiwa ANAIMBA KAMA MBUZI leo ana UTAJIRI wa KUTISHA
BINADAMU ALIYEFANANISHWA NA SOKWE RWANDA APELEKWA SHULE, MIAKA 22 HAJUI KUZUNGUMZA — Millard Ayo
https://youtu.be/Z0beAOk3Sjg 3:35
https://youtu.be/Z0beAOk3Sjg 3:35
YouTube
BINADAMU ALIYEFANANISHWA NA SOKWE RWANDA APELEKWA SHULE, MIAKA 22 HAJUI KUZUNGUMZA
Wengi wetu tumezisoma sana habari kuhusu Zanzimana Ellie (22) wa Rweanda ambaye amekuwa gumzo kutokana na kufananishwa na Nyani ama Sokwe ambapo Mama yake alisema Kijana huyu toka alipozaliwa amekua akipenda kukaa msituni na kujitenga na shughuli nyingine…
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot
BINADAMU ALIYEFANANISHWA NA SOKWE RWANDA APELEKWA SHULE, MIAKA 22 HAJUI KUZUNGUMZA
Wengi wetu tumezisoma sana habari kuhusu Zanzimana Ellie (22) wa Rweanda ambaye amekuwa gumzo kutokana na kufananishwa na Nyani ama Sokwe ambapo Mama yake alisema Kijana huyu toka alipozaliwa amekua akipenda kukaa msituni na kujitenga na shughuli nyingine za kawaida za Binadamu, taarifa mpya ya leo inasema wamejitokeza Wasamaria wema na kumpeleka Shule.
BINADAMU ALIYEFANANISHWA NA SOKWE RWANDA APELEKWA SHULE, MIAKA 22 HAJUI KUZUNGUMZA
Wengi wetu tumezisoma sana habari kuhusu Zanzimana Ellie (22) wa Rweanda ambaye amekuwa gumzo kutokana na kufananishwa na Nyani ama Sokwe ambapo Mama yake alisema Kijana huyu toka alipozaliwa amekua akipenda kukaa msituni na kujitenga na shughuli nyingine za kawaida za Binadamu, taarifa mpya ya leo inasema wamejitokeza Wasamaria wema na kumpeleka Shule.
Amina Abdallah atuzwa kwa kuwakimu wagonjwa wa akili — DW Kiswahili
https://youtu.be/EwJSNL9ETaY 3:46
https://youtu.be/EwJSNL9ETaY 3:46
YouTube
Amina Abdallah atuzwa kwa kuwakimu wagonjwa wa akili
Wahenga walisema, ''tenda wema wende zako'', na hivyo ndivyo Amina Abdallah na kituo chake cha kuwasaidia watu wenye magonjwa ya akili mjini Mombasa, Kenya walivyofikiria katika kuwafanyia hisani binadamu hao wanyonge. Lakini, kwa wema huo, Amina Abdallah…
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot
Amina Abdallah atuzwa kwa kuwakimu wagonjwa wa akili
Wahenga walisema, ''tenda wema wende zako'', na hivyo ndivyo Amina Abdallah na kituo chake cha kuwasaidia watu wenye magonjwa ya akili mjini Mombasa, Kenya walivyofikiria katika kuwafanyia hisani binadamu hao wanyonge. Lakini, kwa wema huo, Amina Abdallah ametambuliwa katika Sikukuu ya Mashujaa inayoadhimishwa leo Jumatano nchini Kenya. Vidio hii ya #Kurunzi inamulika huduma zinazotolewa katika kituo hicho kijulikanacho kama Mombasa Women Empowerment Network.
Amina Abdallah atuzwa kwa kuwakimu wagonjwa wa akili
Wahenga walisema, ''tenda wema wende zako'', na hivyo ndivyo Amina Abdallah na kituo chake cha kuwasaidia watu wenye magonjwa ya akili mjini Mombasa, Kenya walivyofikiria katika kuwafanyia hisani binadamu hao wanyonge. Lakini, kwa wema huo, Amina Abdallah ametambuliwa katika Sikukuu ya Mashujaa inayoadhimishwa leo Jumatano nchini Kenya. Vidio hii ya #Kurunzi inamulika huduma zinazotolewa katika kituo hicho kijulikanacho kama Mombasa Women Empowerment Network.
Ufugaji wa mabuu kama chakula cha mifugo Uganda — DW Kiswahili
https://youtu.be/y5DyKA20QyI 3:39
https://youtu.be/y5DyKA20QyI 3:39
YouTube
Ufugaji wa mabuu kama chakula cha mifugo Uganda
Katika dunia inayobadilika haraka, sekta ya ajira nayo inakabiliwa na changamoto nyingi. Kwa vijana wengi, ili kuweza kujiingizia kipato, lazima kwanza kuchemsha ubongo na kuja na mapya. Protein Kapital ni mradi uliozaliwa kwa njia hiyo nchini Uganda, ukijikita…
Vijana Zanzibar wajitolea kuwatunza paka wa mtaani — DW Kiswahili
https://youtu.be/aaC9Dd9tPFw 2:58
https://youtu.be/aaC9Dd9tPFw 2:58
YouTube
Vijana Zanzibar wajitolea kuwatunza paka wa mtaani
Mafundisho ya dini yanabainisha kuwa njia moja ya kuipata pepo ni kuwa na huruma kwa wanyama. Basi kijana Kassim Yussuf na wenzake wanaufuata mfano huo kwa kuwahurumia paka wengi waishio katika mitaa ya Stone Town Zanzibar, kwa kuwapa chakula na matibabu.…
NI AIBU NA FEDHEHA KWA MTU SHETANI KAMA TONY BLAIR KUISHAURI AFRIKA. — MWALIMU ISAYA BENSON
https://youtu.be/LZ489axdKsA 14:12
https://youtu.be/LZ489axdKsA 14:12
YouTube
NI AIBU NA FEDHEHA KWA MTU SHETANI KAMA TONY BLAIR KUISHAURI AFRIKA.
PLEASE SUPPORT US THROUGH AIRTEL MONEY +255 787 694 242
M-PESA +255 764 247 363 Thank you.
Mwenyezi Mungu awabariki sana kwa kuendelea kufuatilia makala zetu kwenye channel hii. Pia unaweza kuwasiliana nasi kwa whatsapp number +255 787 694 242.
M-PESA +255 764 247 363 Thank you.
Mwenyezi Mungu awabariki sana kwa kuendelea kufuatilia makala zetu kwenye channel hii. Pia unaweza kuwasiliana nasi kwa whatsapp number +255 787 694 242.
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot
Ufugaji wa mabuu kama chakula cha mifugo Uganda
Katika dunia inayobadilika haraka, sekta ya ajira nayo inakabiliwa na changamoto nyingi. Kwa vijana wengi, ili kuweza kujiingizia kipato, lazima kwanza kuchemsha ubongo na kuja na mapya. Protein Kapital ni mradi uliozaliwa kwa njia hiyo nchini Uganda, ukijikita katika ufugaji wa mabuu ambayo ni chakula murua kabisa kwa wanyama. Elewa zaidi unavyofanya kazi kupitia vidio hii ya #Kurunzi.
Ufugaji wa mabuu kama chakula cha mifugo Uganda
Katika dunia inayobadilika haraka, sekta ya ajira nayo inakabiliwa na changamoto nyingi. Kwa vijana wengi, ili kuweza kujiingizia kipato, lazima kwanza kuchemsha ubongo na kuja na mapya. Protein Kapital ni mradi uliozaliwa kwa njia hiyo nchini Uganda, ukijikita katika ufugaji wa mabuu ambayo ni chakula murua kabisa kwa wanyama. Elewa zaidi unavyofanya kazi kupitia vidio hii ya #Kurunzi.
Wakili Peter Madeleka aichambua hukumu ya Mbowe iliyotolewa na Jaji Syani — Bongo Sihami
https://youtu.be/9M43szgC-Po 16:21
https://youtu.be/9M43szgC-Po 16:21
YouTube
Wakili Peter Madeleka aichambua hukumu ya Mbowe iliyotolewa na Jaji Syani
Bongo Sihami, ni Channel ya habari za siasa zinazohusu Tanzania. Tunajitahidi kutoa habari zetu kwa uwazi bila kupendelea wala kwa lengo la kuchafua upande wowote kisiasa.
Tumeipa jina la Bongo Sihami kwa kuwa tunaipenda sana Tanzania, hatutahama Tanzania…
Tumeipa jina la Bongo Sihami kwa kuwa tunaipenda sana Tanzania, hatutahama Tanzania…
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot
Wakili Peter Madeleka aichambua hukumu ya Mbowe iliyotolewa na Jaji Syani
Bongo Sihami, ni Channel ya habari za siasa zinazohusu Tanzania. Tunajitahidi kutoa habari zetu kwa uwazi bila kupendelea wala kwa lengo la kuchafua upande wowote kisiasa.
Tumeipa jina la Bongo Sihami kwa kuwa tunaipenda sana Tanzania, hatutahama Tanzania kwa shida ama kwa raha
Kama huja subscribe bado, tafadhali fanya hivyo na msahuri mwenzako pia
Wakili Peter Madeleka aichambua hukumu ya Mbowe iliyotolewa na Jaji Syani
Bongo Sihami, ni Channel ya habari za siasa zinazohusu Tanzania. Tunajitahidi kutoa habari zetu kwa uwazi bila kupendelea wala kwa lengo la kuchafua upande wowote kisiasa.
Tumeipa jina la Bongo Sihami kwa kuwa tunaipenda sana Tanzania, hatutahama Tanzania kwa shida ama kwa raha
Kama huja subscribe bado, tafadhali fanya hivyo na msahuri mwenzako pia
MWANZO MWISHO MAPINDUZI YA GUINEA RAIA WALIFURAHIA UTAWALA WA KIJESHI — MWALIMU ISAYA BENSON
https://youtu.be/rNl_9sVsM1A 14:36
https://youtu.be/rNl_9sVsM1A 14:36
YouTube
MWANZO MWISHO MAPINDUZI YA GUINEA RAIA WALIFURAHIA UTAWALA WA KIJESHI
PLEASE SUPPORT US THROUGH AIRTEL MONEY +255 787 694 242
M-PESA +255 764 247 363 Thank you.
Mwenyezi Mungu awabariki sana kwa kuendelea kufuatilia makala zetu kwenye channel hii. Pia unaweza kuwasiliana nasi kwa whatsapp number +255 787 694 242.
SEHEMU…
M-PESA +255 764 247 363 Thank you.
Mwenyezi Mungu awabariki sana kwa kuendelea kufuatilia makala zetu kwenye channel hii. Pia unaweza kuwasiliana nasi kwa whatsapp number +255 787 694 242.
SEHEMU…
MWANZO MWISHO MAPINDUZI YA GUINEA RAIA WALIFURAHIA UTAWALA WA KIJESHI
Saved by @InstantMediaBot
MWANZO MWISHO MAPINDUZI YA GUINEA RAIA WALIFURAHIA UTAWALA WA KIJESHI
PLEASE SUPPORT US THROUGH AIRTEL MONEY +255 787 694 242
M-PESA +255 764 247 363 Thank you.
Mwenyezi Mungu awabariki sana kwa kuendelea kufuatilia makala zetu kwenye channel hii. Pia unaweza kuwasiliana nasi kwa whatsapp number +255 787 694 242.
SEHEMU YA KWANZA LINK HII HAPA: https://youtu.be/muS5g-lyUPw
SEHEMU YA PILI LINK HII HAPA: https://youtu.be/egaPZopsFcU
MWANZO MWISHO MAPINDUZI YA GUINEA RAIA WALIFURAHIA UTAWALA WA KIJESHI
PLEASE SUPPORT US THROUGH AIRTEL MONEY +255 787 694 242
M-PESA +255 764 247 363 Thank you.
Mwenyezi Mungu awabariki sana kwa kuendelea kufuatilia makala zetu kwenye channel hii. Pia unaweza kuwasiliana nasi kwa whatsapp number +255 787 694 242.
SEHEMU YA KWANZA LINK HII HAPA: https://youtu.be/muS5g-lyUPw
SEHEMU YA PILI LINK HII HAPA: https://youtu.be/egaPZopsFcU
Waridi wa BBC: 'Sikuweza kula wala kunywa chochote katika siku tatu nilizobakwa' — BBC News Swahili
https://youtu.be/d2yHVD23XTo 48:57
https://youtu.be/d2yHVD23XTo 48:57
YouTube
Waridi wa BBC: 'Sikuweza kula wala kunywa chochote katika siku tatu nilizobakwa'
Mchungaji Cecilia Muthoni Ssewagaba, alibakwa akiwa na miaka 17 na tukio hilo hatawahi kulisahau maishani mwake. Lakini tukio hili ambalo alilipitia utotoni limeacha kovu moyoni mwake, lakini bila shaka halikumkatisha tamaa ya kusonga mbele na maisha na kuwasaidia…
Waridi wa BBC: 'Sikuweza kula wala kunywa chochote katika siku tatu…
Saved by @InstantMediaBot
Waridi wa BBC: 'Sikuweza kula wala kunywa chochote katika siku tatu nilizobakwa'
Mchungaji Cecilia Muthoni Ssewagaba, alibakwa akiwa na miaka 17 na tukio hilo hatawahi kulisahau maishani mwake. Lakini tukio hili ambalo alilipitia utotoni limeacha kovu moyoni mwake, lakini bila shaka halikumkatisha tamaa ya kusonga mbele na maisha na kuwasaidia wengine waliopitia masaibu kama yake.
#bbcswahili #waridiwabbc #wanawake
Waridi wa BBC: 'Sikuweza kula wala kunywa chochote katika siku tatu nilizobakwa'
Mchungaji Cecilia Muthoni Ssewagaba, alibakwa akiwa na miaka 17 na tukio hilo hatawahi kulisahau maishani mwake. Lakini tukio hili ambalo alilipitia utotoni limeacha kovu moyoni mwake, lakini bila shaka halikumkatisha tamaa ya kusonga mbele na maisha na kuwasaidia wengine waliopitia masaibu kama yake.
#bbcswahili #waridiwabbc #wanawake
MANARA: GOLI LA FEISAL VS KMC NDIO GOLI BORA DUNIANI LA MWEZI — Millard Ayo
https://youtu.be/wVl4nDw9FWQ 3:14
https://youtu.be/wVl4nDw9FWQ 3:14
YouTube
MANARA: GOLI LA FEISAL VS KMC NDIO GOLI BORA DUNIANI LA MWEZI
Kikosi cha Yanga SC kimerejea leo jijini Dar es Salaam kikitokea Songea ambapo kilikuwa kwa ajili ya mchezo wa ligi kuu vs KMC ambapo baada ya kurejea Msemaji wao Haji Manara ameongea yafuatayo.
ASKOFU ALIVYOONGOZA IBADA KESI YA MBOWE KABLA YA JAJI KUJITOA — Millard Ayo
https://youtu.be/GCdHEHhFqDg 3:23
https://youtu.be/GCdHEHhFqDg 3:23
YouTube
ASKOFU ALIVYOONGOZA IBADA KESI YA MBOWE KABLA YA JAJI KUJITOA
Jaji Kiongozi, Mustapha Siyani amejitoa kusikiliza kesi ya Ugaidi na Uhujumu Uchumi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake ambapo sasa atakuwa Jaji wa pili kujitoa katika kesi hiyo namba 16/2021 ambayo kabla yake ilikua ikisikilizwa…
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot
MANARA: GOLI LA FEISAL VS KMC NDIO GOLI BORA DUNIANI LA MWEZI
Kikosi cha Yanga SC kimerejea leo jijini Dar es Salaam kikitokea Songea ambapo kilikuwa kwa ajili ya mchezo wa ligi kuu vs KMC ambapo baada ya kurejea Msemaji wao Haji Manara ameongea yafuatayo.
MANARA: GOLI LA FEISAL VS KMC NDIO GOLI BORA DUNIANI LA MWEZI
Kikosi cha Yanga SC kimerejea leo jijini Dar es Salaam kikitokea Songea ambapo kilikuwa kwa ajili ya mchezo wa ligi kuu vs KMC ambapo baada ya kurejea Msemaji wao Haji Manara ameongea yafuatayo.
MWALIMU MKUU AMPIGA NGUMI MWALIMU WAKIKE, AMNG'OA JINO, — Millard Ayo
https://youtu.be/nue7S8FbQOw 2:03
https://youtu.be/nue7S8FbQOw 2:03
YouTube
MWALIMU MKUU AMPIGA NGUMI MWALIMU WAKIKE, AMNG'OA JINO,
Jeshi la Polisi mkoa wa Morogoro linamshikilia Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Mkuyuni Morogoro Vijiji, Mussa Hasira kwa tuhuma za kumpiga hadi kumng'oa jino la juu Mwalimu mwezake, Witnes Makoti huku chanzo kikiwa bado hakijulikani.