Ontime
11 subscribers
172 photos
9.37K videos
1 file
23.7K links
Download Telegram
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

Africa Eye: Watoto wanaotekwa Nigeria
Katika kipindi cha miezi saba iliyopita wimbi la utekaji nyara unaolenga watoto wa shule na wanafunzi wa vyuo vikuu limekumba eneo la kasakazini na kati mwa Nigeria

.

Kumeshuhudiwa jumla ya matukio tisa makubwa ya utekaji katika ajimbo matano ya nchi hiyo.
Wengi wanaamini visa vya utekaji vimeongezeka kutokana na ulipaji kikombozi.

#AfricaEye #watoto #Nigeria #Watekaji
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

Duh.! Gambo ataka Samia afute maamuzi haya ya Magufuli, yamekosesha maelfu ya watu ajira
Bongo Sihami, ni Channel ya habari za siasa zinazohusu Tanzania. Tunajitahidi kutoa habari zetu kwa uwazi bila kupendelea wala kwa lengo la kuchafua upande wowote kisiasa.
Tumeipa jina la Bongo Sihami kwa kuwa tunaipenda sana Tanzania, hatutahama Tanzania kwa shida ama kwa raha
Kama huja subscribe bado, tafadhali fanya hivyo na msahuri mwenzako pia
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

Samia: Alikuwa mkorofi sana nikamuondoa, hakuwa na nidhamu, mtu ana hatia lazima achukuliwe hatua
Bongo Sihami, ni Channel ya habari za siasa zinazohusu Tanzania. Tunajitahidi kutoa habari zetu kwa uwazi bila kupendelea wala kwa lengo la kuchafua upande wowote kisiasa.
Tumeipa jina la Bongo Sihami kwa kuwa tunaipenda sana Tanzania, hatutahama Tanzania kwa shida ama kwa raha
Kama huja subscribe bado, tafadhali fanya hivyo na msahuri mwenzako pia
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

Mlemavu wa kuzungumza anayejaza magari ya usafiri wa umma daladala Tanzania
Ukiwa katika kituo cha magari ya usafiri wa umma dala dala au matatu huko Kenya mara nyingi huwa unasikia sauti zikikwambia kuwa usafiri huu unaelekea wapi.

Katika moja ya vituo vya dala dala kumetokea kijana ambaye amewashangaza wengi, kwani yeye haongei lakini anapiga debe.

Je anafanyaje kazi yake ?

Abiria wanamuelewaje ?

Na wazazi wake wanalizunguziaje hili ?

Wewe unayekaa kitako ukilalamika kuwa huna kazi, unasubiri nini ikuchochee uinuke ?

📸: @frankmavura

.
.
.
#ulemavu #kazinikazi #vijana #bidii #bbcswahili
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

DINI ILIVYOTUMIKA KUFANYA MAUAJI YA MAMILIONI YA WATU/MPAKA SASA BADO INATUMIKA
PLEASE SUPPORT US THROUGH AIRTEL MONEY +255 787 694 242
M-PESA +255 764 247 363 Thank you.
Mwenyezi Mungu awabariki sana kwa kuendelea kufuatilia makala zetu kwenye channel hii. Pia unaweza kuwasiliana nasi kwa whatsapp number +255 787 694 242.
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

Makalla. Magufuli kuruhusu machinga kufanya biashara popote kumeleta madhara haya makubwa
Bongo Sihami, ni Channel ya habari za siasa zinazohusu Tanzania. Tunajitahidi kutoa habari zetu kwa uwazi bila kupendelea wala kwa lengo la kuchafua upande wowote kisiasa.
Tumeipa jina la Bongo Sihami kwa kuwa tunaipenda sana Tanzania, hatutahama Tanzania kwa shida ama kwa raha
Kama huja subscribe bado, tafadhali fanya hivyo na msahuri mwenzako pia
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Saved by @InstantMediaBot

BBC MITIKASI LEO 18/10/2021
Yaliyomo.........Aliyekuwa waziri mkuu wa Uingereza Tony Blair Kuisaidia Tanzania kuboresha hali yake ya kukabiliana na janga la uviko -19.
Matangazo ya Dira ya Dunia TV — BBC News Swahili
https://youtu.be/rxku8bmyk4g 28:16