Ali Punjani: Nyumba ya bilionea wa Mombasa yapekuliwa na polisi 📱@habariTz https://ift.tt/2yUGqgr
BBC News Swahili
Ali Punjani: Nyumba ya bilionea wa Mombasa yapekuliwa na polisi
Polisi wanasaka nyumba ya bilionea Ali Punjani mjini Mombasa. Bwana Punjani anasakwa kuhusiana na uchunguzi wa dawa za kulevya.
Leo ni siku ya watu wanaotumia mkono wa kushoto duniani. Je ni mambo gani umewahi kusikia kuhusu watu wanaotumia mkono wa kushoto? Na je familia huwapokea vipi watoto wanaotumia mkono wa kushoto? Ushawahi lazimishwa kutumia mkono wa kulia? 📸getty #oprahwinfrey #barackobama #uhurukenyatta #bbcswahili
@HabariTz https://www.instagram.com/p/B1HGjP3gvIE/
@HabariTz https://www.instagram.com/p/B1HGjP3gvIE/
Instagram
BBC News Swahili
Leo ni siku ya watu wanaotumia mkono wa kushoto duniani. Je ni mambo gani umewahi kusikia kuhusu watu wanaotumia mkono wa kushoto? Na je familia huwapokea vipi watoto wanaotumia mkono wa kushoto? Ushawahi lazimishwa kutumia mkono wa kulia? 📸getty #oprahwinfrey…
@mkaliwenuoriginal Hivi ni Kweli Wanawake Wote Wanapenda Hela? . Hii Nyimbo ya @prophet_daniel_daniel_shillah Ukiisikiliza Kwa Makini Inakutia Nguvu Saaana ata Kama Ulijikuta Umekata Tamaa Lazima Usimame Na Upambane Tena🙏 . Hongera Mtumishi @prophet_daniel_daniel_shillah Nyimbo Ya #Nionee Huruma Inahamasisha Saana Kuzidi Kumuamini Mungu Katika Pirika Zetu Za Kutafuta Riziki💪 . Follow @prophet_daniel_daniel_shillah Alafu Bonyeza Link Kwa Bio Yake Utazame Video Yote ya #NioneeHuruma . @prophet_daniel_daniel_shillah . @prophet_daniel_daniel_shillah . #Nioneehuruma
@Huduma https://ift.tt/2KKccm0
@Huduma https://ift.tt/2KKccm0
Instagram
Mkaliwenu
@mkaliwenuoriginal Hivi ni Kweli Wanawake Wote Wanapenda Hela? . Hii Nyimbo ya @prophet_daniel_daniel_shillah Ukiisikiliza Kwa Makini Inakutia Nguvu Saaana ata Kama Ulijikuta Umekata Tamaa Lazima Usimame Na Upambane Tena🙏 . Hongera Mtumishi @prophet_dani…
@HabariTz
Wikiendi hii ni Bomba ndani ya DStv kwa sh.19,000 tu, utaicheck game ya Barcelona Live siku ya Ijumaa, Real Madrid wakiwa nyumbani siku ya Jumamosi , Southampton vs Liverpool live siku ya Jumamosi, Atletico Madrid vs Getafe live siku ya Jumapili. Ni Soka Mwaa Mwii ndani ya wikiendi Bomba na @dstvtanzania call 0659070707 #SokaMwaaMwii https://ift.tt/2Kvtoga
Wikiendi hii ni Bomba ndani ya DStv kwa sh.19,000 tu, utaicheck game ya Barcelona Live siku ya Ijumaa, Real Madrid wakiwa nyumbani siku ya Jumamosi , Southampton vs Liverpool live siku ya Jumamosi, Atletico Madrid vs Getafe live siku ya Jumapili. Ni Soka Mwaa Mwii ndani ya wikiendi Bomba na @dstvtanzania call 0659070707 #SokaMwaaMwii https://ift.tt/2Kvtoga
Instagram
ChaliiYaRtoThe🌎
Wikiendi hii ni Bomba ndani ya DStv kwa sh.19,000 tu, utaicheck game ya Barcelona Live siku ya Ijumaa, Real Madrid wakiwa nyumbani siku ya Jumamosi , Southampton vs Liverpool live siku ya Jumamosi, Atletico Madrid vs Getafe live siku ya Jumapili. Ni Soka…
#LaLiga Huwezi kukubali kupitwa na hii. Msimu mpya wa @laliga unaanza wikiendi hii. Kila mechi, kila dakika, kila sekunde, kila uwanja na kila kitu cha #LaLiga kitakuwa MBASHARA kupitia kisimbuzi cha #AzamTV ndani ya #AzamSportsHD #LaLigaIsBack #LaLigaSantander #AzamSportsHD
⚽ @MichezoTz https://ift.tt/2YIjO2d
⚽ @MichezoTz https://ift.tt/2YIjO2d
Instagram
Azam TV
#LaLiga Huwezi kukubali kupitwa na hii. Msimu mpya wa @laliga unaanza wikiendi hii. Kila mechi, kila dakika, kila sekunde, kila uwanja na kila kitu cha #LaLiga kitakuwa MBASHARA kupitia kisimbuzi cha #AzamTV ndani ya #AzamSportsHD #LaLigaIsBack #LaLigaSantander…
VIDEO: Jonathan Macha ambaye anadaiwa kumpiga Anna vassa kwenye Msiba wa Mkwe wake wakati akidai Mtoto wake, amefunguka nakusema hajampiga binti huyo na kwamba suala la Mtoto wake anayemdai ni kweli yupo Moshi na anaishi kwa Babu na Bibi pamoja na housegirl na kwamba suala hilo lipo Ustawi wa Jamii. full video ipo YouTube ya 'millardayo'
@habariTz https://ift.tt/2OVsaip
@habariTz https://ift.tt/2OVsaip
Instagram
millard ayo
VIDEO: Jonathan Macha ambaye anadaiwa kumpiga Anna vassa kwenye Msiba wa Mkwe wake wakati akidai Mtoto wake, amefunguka nakusema hajampiga binti huyo na kwamba suala la Mtoto wake anayemdai ni kweli yupo Moshi na anaishi kwa Babu na Bibi pamoja na housegirl…
VIDEO: Muhimbili imetangaza idadi ya Majeruhi wanaondelea kupatiwa matibabu ambapo mpaka sasa kati ya Majeruhi 46 waliowapokea 8 wamefariki na wamebaki na Majeruhi 38 "Tulitangaza watu kuwatambua ndugu zao ila changamoto ni kwamba wanakuja ndugu wawili kudai mgonjwa mmoja ni wao wakitumia kigezo cha alinyoa kiduku" (📹 via @ayotv_)
@habariTz https://ift.tt/2z8gnTn
@habariTz https://ift.tt/2z8gnTn
Instagram
millard ayo
VIDEO: Muhimbili imetangaza idadi ya Majeruhi wanaondelea kupatiwa matibabu ambapo mpaka sasa kati ya Majeruhi 46 waliowapokea 8 wamefariki na wamebaki na Majeruhi 38 "Tulitangaza watu kuwatambua ndugu zao ila changamoto ni kwamba wanakuja ndugu wawili kudai…
Discover the world of fashion different, with Iconic now available in our stores. @gsmmall
@habariTz https://ift.tt/2OVe8NV
@habariTz https://ift.tt/2OVe8NV
Instagram
millard ayo
Discover the world of fashion different, with Iconic now available in our stores. @gsmmall
"Hili eneo tumewapa ndugu zetu wachonga vinyago, wachora picha na wauza shanga, wageni wanapokuja wakitaka kutembea jioni waelekezeni huu mtaa, kuna wale ambao tunapenda kuwapelekea zawadi Wapenzi wetu pitieni basi hapa wawachore" - RC MAKONDA (📹 via @ayotv_)
@habariTz https://ift.tt/2YJbyPi
@habariTz https://ift.tt/2YJbyPi
Instagram
millard ayo
"Hili eneo tumewapa ndugu zetu wachonga vinyago, wachora picha na wauza shanga, wageni wanapokuja wakitaka kutembea jioni waelekezeni huu mtaa, kuna wale ambao tunapenda kuwapelekea zawadi Wapenzi wetu pitieni basi hapa wawachore" - RC MAKONDA (📹 via @ayotv_)