Korea Kaskazini yarusha silaha ya masafa marefu
https://www.voaswahili.com/a/korea-kaskazini-yarusha-silaha-ya-masafa-marefu/6840257.html
https://www.voaswahili.com/a/korea-kaskazini-yarusha-silaha-ya-masafa-marefu/6840257.html
VOA
Korea Kaskazini yarusha silaha ya masafa marefu
Ikiwa ni majibu ya ongezeko la shughuli za kijeshi kutoka Marekani na washirika wake, Korea Kaskazini Ijumaa imerusha kombora la masafa marefu na kupelekea kambi ya jeshi la anga la Japan na Marekani kutoa ilani ya tahadhari.
Azam TV
Wakati Simba SC, ikinyakua alama zote tatu kutoka kwa Namungo FC, kwenye mechi ya NBC Premier League, Jumatano ya Novemba 16, kulikuwa na ‘show’ kati ya beki Mohamed Hussein ‘T’shabalala na Shiza Ramadhan Kichuya ambaye pia aliwahi kuwatumikia vijana hao wa Msimbazi.
Wakati Simba SC, ikinyakua alama zote tatu kutoka kwa Namungo FC, kwenye mechi ya NBC Premier League, Jumatano ya Novemba 16, kulikuwa na ‘show’ kati ya beki Mohamed Hussein ‘T’shabalala na Shiza Ramadhan Kichuya ambaye pia aliwahi kuwatumikia vijana hao wa Msimbazi.
Azam TV
10’ |#PBZPL
Kundemba FC 0-0 Uhamiaji
LIVE #ZBC2
#LigiKuuZanzibar #ZanzibarPremierLeague #LigiKuuYaPBZ #ZPL #PBZPL
10’ |#PBZPL
Kundemba FC 0-0 Uhamiaji
LIVE #ZBC2
#LigiKuuZanzibar #ZanzibarPremierLeague #LigiKuuYaPBZ #ZPL #PBZPL
Azam TV
Mkali wa RnB, @africanboyJUX ameachia tracklist pamoja na picha nembo rasmi ya albamu yake mpya ya #KingOfHearts anayotarajia kuiachia Ijumaa ijayo Novemba 25 ikiwa na jumla ya ngoma 16.
Mkali wa RnB, @africanboyJUX ameachia tracklist pamoja na picha nembo rasmi ya albamu yake mpya ya #KingOfHearts anayotarajia kuiachia Ijumaa ijayo Novemba 25 ikiwa na jumla ya ngoma 16.
Kombe la Dunia 2022: Je, dini itazingatiwa katika Kombe la Dunia mwaka huu — BBC News Swahili
https://youtu.be/NzqfWzNqE7A 25:11
https://youtu.be/NzqfWzNqE7A 25:11
YouTube
Kombe la Dunia 2022: Je, dini itazingatiwa katika Kombe la Dunia mwaka huu
Tunadadisi nafasi ya Imani ya kidini katika michezo tukizungumza na aliyekuwa nahodha wa zamani wa Timu ya Cameroon, Eyong Enoh ambaye alifahamike na wachezaji wenzake kama Kasisi...
#bbcswahili #kombeladunia #qatar
#bbcswahili #kombeladunia #qatar
BBC MITIKASI LEO 18.11.2022 — BBC News Swahili
https://youtu.be/LxmFauI3ZZc 13:13
https://youtu.be/LxmFauI3ZZc 13:13
YouTube
BBC MITIKASI LEO 18.11.2022
YALIYOMO: Kipute Cha Kombe la Dunia mwaka 2022 kung'oa nanga chini ya masaa 48! Tunakuletea kionjo tu cha utakachopokea ndani ya mwezi mmoja wa mashindano hayo. Mwanamziki kutoka Tanzania, Mbosso anatupa taswira ya safari yake ya mziki huku akipambana na…
Wanaharakati wa mazingira waandamana kwenye mkutano wa COP27
https://www.voaswahili.com/a/wanaharakati-wa-mazingira-waandamana-kwenye-mkutano-wa-cop27/6840272.html
https://www.voaswahili.com/a/wanaharakati-wa-mazingira-waandamana-kwenye-mkutano-wa-cop27/6840272.html
VOA
Wanaharakati wa mazingira waandamana kwenye mkutano wa COP27
Wanaharakati wa mazingira Ijumaa wamekusanyika karibu na ikumbi wa mkutano wa kimataifa wa kimazingira nchini Misri, kulalamikia masuala kadhaa yanayohusu bara la Afrika.
Macro aomba mataifa ya Asia Pacific yashinikize Russia kuacha mapigano
https://www.voaswahili.com/a/macro-aomba-mataifa-ya-asia-pacific-yashinikize-russia-kuacha-mapigano/6840290.html
https://www.voaswahili.com/a/macro-aomba-mataifa-ya-asia-pacific-yashinikize-russia-kuacha-mapigano/6840290.html
VOA
Macro aomba mataifa ya Asia Pacific yashinikize Russia kuacha mapigano
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron Ijumaa ametoa wito kwa viongozi kuiomba Russia ikomeshe vita vyake nchini Ukraine.
Msitutenge, na sisi tumo.... — DW Kiswahili
https://youtu.be/72JVumKa0Go 4:32
https://youtu.be/72JVumKa0Go 4:32
YouTube
Msitutenge, na sisi tumo....
Michezo ni kwa wote ali mradi anao uwezo wa kushiriki kwa namna moja ama nyingine. Lakini inasikitisha kwa sababu baadhi ya mamlaka huwaweka kando hata kama wanaonyesha uwezo kwenye michezo husika. Tizama video hii, kisha tupe mtizamo wako. #Kurunzi
Mtizame msichana huyu na ubunifu wake — DW Kiswahili
https://youtu.be/2qKYNY6bwWs 5:12
https://youtu.be/2qKYNY6bwWs 5:12
YouTube
Mtizame msichana huyu na ubunifu wake
Sammy Julius si tu ni msichana aliyeitumia changamoto na kuwa fursa. Bali pia amefanikiwa pakubwa na sasa anakuwa miongoni mwa waajiri nchini Tanzania. Anafanya nini hasa? Tizama video hii ya msichana Jasiri. #Msichanajasiri
#LIVE : #LIVE :- DAU LA HABARI JUMAMOSI (18/11/2022) — Zbc Zanzibar
https://youtu.be/vuZizd98DCk 21:01
https://youtu.be/vuZizd98DCk 21:01
YouTube
#LIVE : #LIVE :- DAU LA HABARI JUMAMOSI (18/11/2022)
#TAARIFA_YA_HABARI
Azam TV
MAPUMZIKO |#PBZPL
Kundemba FC 0-1 Uhamiaji
LIVE #ZBC2
#LigiKuuZanzibar #ZanzibarPremierLeague #LigiKuuYaPBZ #ZPL #PBZPL #KundembaVsUhamiaji #KundembaUhamiaji #Kundemba #Uhamiaji
MAPUMZIKO |#PBZPL
Kundemba FC 0-1 Uhamiaji
LIVE #ZBC2
#LigiKuuZanzibar #ZanzibarPremierLeague #LigiKuuYaPBZ #ZPL #PBZPL #KundembaVsUhamiaji #KundembaUhamiaji #Kundemba #Uhamiaji
Azam TV
AZAM FC SAFARINI: Kikosi cha Azam FC kimeianza safari ya kuelekea mkoani Lindi kwaajili ya kuivaa Namungo FC Jumapili kwenye mechi ya NBC Premier league.
Mchezo huo utapigwa katika dimba la Majaliwa na utakuwa LIVE #AzamSports1HD saa 1:00 usiku
#AzamSports1HD #NBCPremierLeague
AZAM FC SAFARINI: Kikosi cha Azam FC kimeianza safari ya kuelekea mkoani Lindi kwaajili ya kuivaa Namungo FC Jumapili kwenye mechi ya NBC Premier league.
Mchezo huo utapigwa katika dimba la Majaliwa na utakuwa LIVE #AzamSports1HD saa 1:00 usiku
#AzamSports1HD #NBCPremierLeague
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Azam TV
75’ | #PBZPL: Goli la kutangulia la Uhamiaji likiwekwa nyavuni na Abel Simwinga Mathias
Kundemba FC 0-1 Uhamiaji
LIVE #ZBC2
#LigiKuuZanzibar #ZanzibarPremierLeague #LigiKuuYaPBZ #ZPL #PBZPL #KundembaVsUhamiaji #KundembaUhamiaji #Kundemba #Uhamiaji
75’ | #PBZPL: Goli la kutangulia la Uhamiaji likiwekwa nyavuni na Abel Simwinga Mathias
Kundemba FC 0-1 Uhamiaji
LIVE #ZBC2
#LigiKuuZanzibar #ZanzibarPremierLeague #LigiKuuYaPBZ #ZPL #PBZPL #KundembaVsUhamiaji #KundembaUhamiaji #Kundemba #Uhamiaji
Azam TV
Watanzania Ibrahim na Fadi Ramadhani maarufu kama Ramadhani Brothers, ambao ni washindi wa 'Golden Buzzer' kwenye mashindano ya vipaji ya Australia's Got Talent 2022 (AGT), wamefanikiwa kutinga katika fainali (Grand Finale) za michuano hiyo mikubwa ulimwenguni.
Watanzania Ibrahim na Fadi Ramadhani maarufu kama Ramadhani Brothers, ambao ni washindi wa 'Golden Buzzer' kwenye mashindano ya vipaji ya Australia's Got Talent 2022 (AGT), wamefanikiwa kutinga katika fainali (Grand Finale) za michuano hiyo mikubwa ulimwenguni.