Swahili News
3.77K subscribers
109K photos
58.7K videos
28 files
267K links
🐾
Download Telegram
Swahili News
Photo
Voice of America
Sitisho la mapigano kati ya Israeli na Palestina laonyesha matumaini kudumu

Wakati sitisho la mapigano tete kati ya Israeli na wanamgambo wa Palestina llilianza Jumamosi baada ya siku 11 za mapigano, Wapatanishi kutoka Misri wamefanya mazungumzo na pande zote hasimu ili kuimarisha sitisho hilo.
Swahili News
Photo
Voice of America
Kiongozi wa jeshi asema Suu Kyi karibuni atafikishwa mahakamani

Kiongozi wa utawala wa kijeshi wa Myanmar Min Aung Hlaing amesema kiongozi aliyeondolewa madarakani Aung San Suu Kyi yuko na afya njema nyumbani kwake na atafikishwa mahakamani siku chache zijazo, alisema hayo katika mahojiano ya kwanza tangu mapinduzi ya Februari 1.
MKASA WA KUHUZUNISHA: UGOMVI WAKATISHA NDOTO ZA KIJANA β€” TBConline
https://youtu.be/d6MyIFxLgSE 8:49