“JPM kwa bahati ulikuwa Mjumbe wa Bunge la Katiba, Mama Samia alikuwa Makamu Mwenyekiti, kuna Wazee wazito, Kabudi walikuwa Wajumbe wa Tume ya Jaji Warioba, kuna Vijana wako Polepole, Naibu Spika walikuwa Wajumbe, una Watu wamekuzunguka, nakuombea utuachie Katiba mpya”-LIPUMBA https://t.co/sSLze3SCex
Twitter
millardayo
“JPM kwa bahati ulikuwa Mjumbe wa Bunge la Katiba, Mama Samia alikuwa Makamu Mwenyekiti, kuna Wazee wazito, Kabudi walikuwa Wajumbe wa Tume ya Jaji Warioba, kuna Vijana wako Polepole, Naibu Spika walikuwa Wajumbe, una Watu wamekuzunguka, nakuombea utuachie…
Timu ya WHO inayochunguza chimbuko la janga la virusi vya Corona imekitembelea kituo kimoja cha Mkoa wa Hubei cha udhibiti wa magonjwa ambacho kilikuwa cha kwanza katika kujaribu kudhibiti Corona, bado kuna udhibiti mkali wa upatikanaji wa habari kuhusu virusi hivyo Nchini China. https://t.co/GHbqGZukCR
Twitter
millardayo
Timu ya WHO inayochunguza chimbuko la janga la virusi vya Corona imekitembelea kituo kimoja cha Mkoa wa Hubei cha udhibiti wa magonjwa ambacho kilikuwa cha kwanza katika kujaribu kudhibiti Corona, bado kuna udhibiti mkali wa upatikanaji wa habari kuhusu virusi…
“Kufuatia kuwepo kwa taarifa za uwepo wa mlipuko wa pili wa Corona katika Nchi Jirani, nimekuwa nikipokea maswali mengi, Watu wakiuliza iwapo Wizara ina mpango wa kupokea chanjo ya Corona na njia zipi zitumike kujikinga na Corona”-Waziri Gwajima
#MillardAyoUPDATES https://t.co/YpWGzBWEAx
#MillardAyoUPDATES https://t.co/YpWGzBWEAx
Twitter
millardayo
“Kufuatia kuwepo kwa taarifa za uwepo wa mlipuko wa pili wa Corona katika Nchi Jirani, nimekuwa nikipokea maswali mengi, Watu wakiuliza iwapo Wizara ina mpango wa kupokea chanjo ya Corona na njia zipi zitumike kujikinga na Corona”-Waziri Gwajima #MillardAyoUPDATES
“Kwa sasa Wizara haina mpango wa kupokea chanjo ya Corona inayoripotiwa kuwepo na kutumika kwenye Mataifa mengine, Serikali kupitia Wizara inazo taratibu zake za kufuata inapotaka kupokea bidhaa za afya, baada ya kujiridhisha, kwa nia njema kabisa ni hadi tujiridhishe”-GWAJIMA https://t.co/EQBHv6zYiw
Twitter
millardayo
“Kwa sasa Wizara haina mpango wa kupokea chanjo ya Corona inayoripotiwa kuwepo na kutumika kwenye Mataifa mengine, Serikali kupitia Wizara inazo taratibu zake za kufuata inapotaka kupokea bidhaa za afya, baada ya kujiridhisha, kwa nia njema kabisa ni hadi…
“Kuhusu mbinu za kujikinga na Corona, Wananchi wajielekeze kwenye Elimu inayotolewa na Wataalamu wa Afya ikiwemo kuimarisha usafi wa mazingira na wa Mtu mmojammoja, kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni, sanitizer,Lishe,kujifukiza,mazoezi, matumizi ya Tiba asili n.k”-GWAJIMA https://t.co/O0PfXKsHEt
Twitter
millardayo
“Kuhusu mbinu za kujikinga na Corona, Wananchi wajielekeze kwenye Elimu inayotolewa na Wataalamu wa Afya ikiwemo kuimarisha usafi wa mazingira na wa Mtu mmojammoja, kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni, sanitizer,Lishe,kujifukiza,mazoezi, matumizi ya…
“Wizara ya Afya kupitia Mkemia Mkuu wa Serikali imehakiki bidhaa kadhaa za Tiba asili na kubaini zimekidhi vigezo vya usalama kwa ajili ya matumizi, bidhaa hizi tayari zinatumika na wengi zimewasaidia ikiwemo Mimi Waziri wa Afya na Familia yangu”-GWAJIMA
#MillardAyoUPDATES https://t.co/SPmcKVUDAE
#MillardAyoUPDATES https://t.co/SPmcKVUDAE
Twitter
millardayo
“Wizara ya Afya kupitia Mkemia Mkuu wa Serikali imehakiki bidhaa kadhaa za Tiba asili na kubaini zimekidhi vigezo vya usalama kwa ajili ya matumizi, bidhaa hizi tayari zinatumika na wengi zimewasaidia ikiwemo Mimi Waziri wa Afya na Familia yangu”-GWAJIMA…
“Nalielekeza Baraza la Tiba Asili, kwa ushirikiano na Watengenezaji wa bidhaa za Tiba Asili ambazo zimehakikiwa na Mkemia wa Serikali, kesho lifafanue zaidi juu ya bidhaa hizo kuwa zinafaa kwa matumizi na zinawaponya wengi au kuwapa nafuu, lengo Watu wajue zinakopatikana”-GWAJIMA https://t.co/Wv7kvZOnp9
Twitter
millardayo
“Nalielekeza Baraza la Tiba Asili, kwa ushirikiano na Watengenezaji wa bidhaa za Tiba Asili ambazo zimehakikiwa na Mkemia wa Serikali, kesho lifafanue zaidi juu ya bidhaa hizo kuwa zinafaa kwa matumizi na zinawaponya wengi au kuwapa nafuu, lengo Watu wajue…
“Naelekeza Wataalamu wote Tanzania wa Tiba Asili watoe Elimu ili kuelimisha Jamii, na Wataalamu ambao hawajajitokeza wajitokeze ili dawa zao zihakikiwe na Mkemia Mkuu wa Serikali ili kuhakikiwa na Baraza letu la Tiba Asili” - GWAJIMA
#MillardAyoUPDATES https://t.co/75TDJsKKkG
#MillardAyoUPDATES https://t.co/75TDJsKKkG
Twitter
millardayo
“Naelekeza Wataalamu wote Tanzania wa Tiba Asili watoe Elimu ili kuelimisha Jamii, na Wataalamu ambao hawajajitokeza wajitokeze ili dawa zao zihakikiwe na Mkemia Mkuu wa Serikali ili kuhakikiwa na Baraza letu la Tiba Asili” - GWAJIMA #MillardAyoUPDATES
“Baadhi ya bidhaa za Tiba Asili zilizohakikiwa na Mkemia Mkuu kuwa ni salama ni pamoja na Covidol, Bingwa,Nimcaf,Planet, Uzima,Bupiji n.k, hizi ni baadhi tu kesho Baraza la Tiba Asili litataja nyingine, hizi ni silaha zetu tumepewa na Mungu kama Nchi nyingine walivyopewa”-GWAJIMA https://t.co/i6KKwkcrGf
Twitter
millardayo
“Baadhi ya bidhaa za Tiba Asili zilizohakikiwa na Mkemia Mkuu kuwa ni salama ni pamoja na Covidol, Bingwa,Nimcaf,Planet, Uzima,Bupiji n.k, hizi ni baadhi tu kesho Baraza la Tiba Asili litataja nyingine, hizi ni silaha zetu tumepewa na Mungu kama Nchi nyingine…
Matangazo ya Dira ya Dunia TV — BBC News Swahili
https://youtu.be/KnEVGa4ITyk 28:23
https://youtu.be/KnEVGa4ITyk 28:23
YouTube
Matangazo ya Dira ya Dunia TV
On our weekly segment of Let's chat tomorrow morning we will be discussing planning your funeral. In studio we will be having Josh Karuga - Operations Manager, Montezuma Monalisa Funeral Home and Njeru Mwandiki - Head of Business Development, Clarkson Insurance Brokers. # https://t.co/J45AnORnhC
Twitter
K24 TV
On our weekly segment of Let's chat tomorrow morning we will be discussing planning your funeral. In studio we will be having Josh Karuga - Operations Manager, Montezuma Monalisa Funeral Home and Njeru Mwandiki - Head of Business Development, Clarkson Insurance…
The latest news update on K24EveningEdition https://t.co/5fPH7wVQal
Periscope
K24 TV @K24Tv
The latest news update on K24EveningEdition
The latest news update on K24EveningEdition https://t.co/zWGEgaHfFV
Periscope
K24 TV @K24Tv
The latest news update on K24EveningEdition
The latest news update on K24EveningEdition https://t.co/WBV09rgSQd
Periscope
K24 TV @K24Tv
The latest news update on K24EveningEdition
“Nazikumbusha Taasisi zote za Umma, Taasisi za Kidini, Taasisi Binafsi, Taasisi za Kijamii na Vyombo vyote vya Habari kuepuka kutoa taarifa za Afya ambazo hazifuati miongozo ya Wizara, wakishatoa taarifa hizo zinazua taharuki na hofu kwa Jamii”-WAZIRI GWAJIMA
#MillardAyoUPDATES https://t.co/kvMA2EoaUN
#MillardAyoUPDATES https://t.co/kvMA2EoaUN
Twitter
millardayo
“Nazikumbusha Taasisi zote za Umma, Taasisi za Kidini, Taasisi Binafsi, Taasisi za Kijamii na Vyombo vyote vya Habari kuepuka kutoa taarifa za Afya ambazo hazifuati miongozo ya Wizara, wakishatoa taarifa hizo zinazua taharuki na hofu kwa Jamii”-WAZIRI GWAJIMA…
Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam wamewaonya Watu wanaohamasisha mgomo wa Madereva na Wamiliki wa Mabasi yaendayo Mikoani, Mambosasa amesema Wananchi kesho waendelee na shughuli zao kama kawaida na asubuhi Askari watakuwepo Stand ili kuhakikisha suala la usafiri halivurugwi. https://t.co/NCCwqYMUhe
Twitter
millardayo
Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam wamewaonya Watu wanaohamasisha mgomo wa Madereva na Wamiliki wa Mabasi yaendayo Mikoani, Mambosasa amesema Wananchi kesho waendelee na shughuli zao kama kawaida na asubuhi Askari watakuwepo Stand ili kuhakikisha suala…
Familia ya Derick Mkandala Lufufuu kupitia kwa Mtoto wake Scovia Derick Lufufu imesema imewapiga marufuku Watu wote wanaotumia sauti au jina la Marehemu Baba yao bila idhini ya Familia, ni baada ya Mchekeshaji Kitale kuonekana akitumia style na jina la Lufufu kwenye kazi zake. https://t.co/lSQ6g7rwH0
Twitter
millardayo
Familia ya Derick Mkandala Lufufuu kupitia kwa Mtoto wake Scovia Derick Lufufu imesema imewapiga marufuku Watu wote wanaotumia sauti au jina la Marehemu Baba yao bila idhini ya Familia, ni baada ya Mchekeshaji Kitale kuonekana akitumia style na jina la Lufufu…
Kiongozi wa Upinzani Nchini Uganda Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine amefungua kesi Mahakamani kupitia kwa Mawakili wake akitaka Rais Museveni azuiwe kushiriki uchaguzi ujao, Bobi ameendelea kuyapinga matokeo ya Urais yaliyomrejesha tena madarakani Museveni.
#MillardAyoUPDATES https://t.co/cyNtUVEgBu
#MillardAyoUPDATES https://t.co/cyNtUVEgBu
Twitter
millardayo
Kiongozi wa Upinzani Nchini Uganda Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine amefungua kesi Mahakamani kupitia kwa Mawakili wake akitaka Rais Museveni azuiwe kushiriki uchaguzi ujao, Bobi ameendelea kuyapinga matokeo ya Urais yaliyomrejesha tena madarakani Museveni.…
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Moja ya timu ambazo zinazovutia katika ligi kuu ya #EPL ni Leeds United na Jumatano hii watacheza na Everton, mechi utaiona kupitia Kifurushi cha Bomba !!!! ndani ya DStv
Piga sasa *150*53# kulipia kifurushi Bomba sh 19,900 tu mechi hii isikupite.
#sokalisilopimika https://t.co/GaAQOGDike
Piga sasa *150*53# kulipia kifurushi Bomba sh 19,900 tu mechi hii isikupite.
#sokalisilopimika https://t.co/GaAQOGDike
Habari kubwa katika Magazeti ya Tanzania leo February 2, 2021 https://t.co/zmpzU9Ol0V https://t.co/YxmxnHKPgL
Millardayo
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo February 2, 2021 – Millardayo.com
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam leo February 2, 2021,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania. KLINIKI YA MALALAMIKO “WIZI, UBAKAJI NI MKUBWA, WANADAIWA MIL.800”