Wabunge wakisoma kitabu cha hotuba ya Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango kuhusu hali ya uchumi wa taifa kwa mwaka wa fedha 2018 na mpango wa maendeleo wa taifa wa mwaka wa fedha 2019/2020, jijini Dodoma leo. Picha na Edwin Mjwahuzi #mwanachiupdates http://bit.ly/2Kf2Hxf
Instagram
Mwananchi Comunications Ltd
Wabunge wakisoma kitabu cha hotuba ya Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango kuhusu hali ya uchumi wa taifa kwa mwaka wa fedha 2018 na mpango wa maendeleo wa taifa wa mwaka wa fedha 2019/2020, jijini Dodoma leo. Picha na Edwin Mjwahuzi #mwanachiupdates
Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (Nemc), limeongeza wigo wa makali ya katazo la matumizi ya mifuko ya plastiki kwa kupiga marufuku vifungashio vya kienyeji vinavyotumika kufungashia karanga, ice-cream, miwa na ubuyu na kwamba atakayekutwa navyo atalipa faini kati ya Sh30,000 na Sh200,000. #mwanachiupdates http://bit.ly/2MLNgyy
Instagram
Mwananchi Comunications Ltd
Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (Nemc), limeongeza wigo wa makali ya katazo la matumizi ya mifuko ya plastiki kwa kupiga marufuku vifungashio vya kienyeji vinavyotumika kufungashia karanga, ice-cream, miwa na ubuyu na kwamba atakayekutwa navyo atalipa…
Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango ametaja malengo ya ukuaji wa uchumi mwaka 2019/2020 ikiwa ni pamoja na pato halisi la Taifa kufikia asilimia 7.1 mwaka 2019 kutoka asilimia 7.0 mwaka 2018. #bungelabajeti2019 #haliyauchumi #mwananchiupdates http://bit.ly/2Kf2Lgt
Instagram
Mwananchi Comunications Ltd
Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango ametaja malengo ya ukuaji wa uchumi mwaka 2019/2020 ikiwa ni pamoja na pato halisi la Taifa kufikia asilimia 7.1 mwaka 2019 kutoka asilimia 7.0 mwaka 2018. #bungelabajeti2019 #haliyauchumi #mwananchiupdates
Serikali imependekeza kupandisha tozo ya leseni ya udereva kutoka Sh40,000 hadi Sh70,000. #kutokabungeni #bungebajeti2019/20 #mwanachiupdates http://bit.ly/2MKquHv
Instagram
Mwananchi Comunications Ltd
Serikali imependekeza kupandisha tozo ya leseni ya udereva kutoka Sh40,000 hadi Sh70,000. #kutokabungeni #bungebajeti2019/20 #mwanachiupdates
ZIARA YA RAIS FELIX TSHISEKEDI WA JAMHURI YA KIDEMOKRASIA YA CONGO NCHINI TANZANIA https://youtu.be/pjwPysKpPpM
YouTube
ZIARA YA RAIS FELIX TSHISEKEDI WA JAMHURI YA KIDEMOKRASIA YA CONGO NCHINI TANZANIA
Hii ndiyo orodha ya sheria zilizopendekezwa kufanyiwa marekebisho https://youtu.be/GKD1lnQOZbU
YouTube
Hii ndiyo orodha ya sheria zilizopendekezwa kufanyiwa marekebisho
Serikali imetoa mapendekezo ya kufanya marekebisho katika sheria mbalimbali katika bajeti ya mwaka 2019/2020. Msikilize Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Phil...
WATU KUMI WAMENUNUA MAJENEZA WAKIWA HAI ILI WAKIFA WAZIKIWE https://youtu.be/t-oI4llCMjM
YouTube
WATU KUMI WAMENUNUA MAJENEZA WAKIWA HAI ILI WAKIFA WAZIKIWE
LIVE: WAZIRI MPANGO AKIWASILISHA BAJETI YA SERIKALI 2019/2020 BUNGENI - DODOMA https://youtu.be/7XhadsSRuCM
YouTube
LIVE: WAZIRI MPANGO AKIWASILISHA BAJETI YA SERIKALI 2019/2020 BUNGENI - DODOMA
Ahadi ya serikali kwa wafanyabiashara, wawekezaji 2019/2020 https://youtu.be/cmDot18CC8k
YouTube
Ahadi ya serikali kwa wafanyabiashara, wawekezaji 2019/2020
“Ninapenda niwahakikishie wafanyabiashara, wawekezaji na wananchi kwa ujumla kwamba kuanzia mwaka ujao wa fedha, serikali itaanza mchakato wa kurekebisha maz...
MediaBaada ya penzi kati ya mwimbaji Cassie na P Diddy kuvunjika rasmi October 17, 2018 sasa mwanadada huyo amekuja na good news kwa mashabiki zake na kutangaza kuwa ni mjamzito na anategemea kupata mtoto hivi karibuni na mpenzi wake mpya Alex Fine ambaye ni mjasiriamali. Cassie alitoa taarifa hizo za ujauzito kupitia ukurasa wake wa instagram na […]
via Millardayo.com - millard ayo http://bit.ly/2Zkox5W
via Millardayo.com - millard ayo http://bit.ly/2Zkox5W
Sababu za kutofikiwa malengo ya mapato ya kodi hizi hapa https://youtu.be/YJ-70kDv_IM
YouTube
Sababu za kutofikiwa malengo ya mapato ya kodi hizi hapa
Waziri Dkt. Philip Mpango aweka wazi sababu zilizopelekea kutofikia malengo ya mapato ya kodi. #BajetiKuu2019/20 #BungeniDodoma #AzamTvUpdates #AzamTVApp#UTV...
MediaKwenye uwanja wa nyimbo za Gospel Mwimbaji Jeniffer Mgendi ameileta nyingine ya kutazama na kusikiliza akisema ‘Sema Kweli’, bonyeza PLAY hapa chini kutazama alafu kisha andika comment yako kuhusu wimbo huo. VIDEO: BEN POL KAFUNGUKA SAFARI ZAKE ZA NJE, MJENGO, MAGARI YA KIFAHARI YA KWENYE VIDEO NI YA MPENZI WAKE.?
via Millardayo.com - millard ayo http://bit.ly/2WD8bIG
via Millardayo.com - millard ayo http://bit.ly/2WD8bIG