Azam TV
KAPOMBE vs DJUMA: Kwenye mbavu za kulia unaweza kukutana hawa ‘wamba’; Ni mwendo wa kupanda, kushuka na kumwaga majaro….!!!
Nani atakata pumzi mapema?
#NiSualaLaMudaTu
Mechi ni saa 11:00 jioni LIVE #AzamSports1HD
#KariakooDerby #WataniWaJadi #SimbaYanga https://t.co/WDTU9Sr4jQ
KAPOMBE vs DJUMA: Kwenye mbavu za kulia unaweza kukutana hawa ‘wamba’; Ni mwendo wa kupanda, kushuka na kumwaga majaro….!!!
Nani atakata pumzi mapema?
#NiSualaLaMudaTu
Mechi ni saa 11:00 jioni LIVE #AzamSports1HD
#KariakooDerby #WataniWaJadi #SimbaYanga https://t.co/WDTU9Sr4jQ
Twitter
KAPOMBE vs DJUMA: Kwenye mbavu za kulia unaweza kukutana hawa ‘wamba’; Ni mwendo wa kupanda, kushuka na kumwaga majaro….!!!
Nani atakata pumzi mapema?
#NiSualaLaMudaTu
Mechi ni saa 11:00 jioni LIVE #AzamSports1HD
#KariakooDerby #WataniWaJadi #SimbaYanga
Nani atakata pumzi mapema?
#NiSualaLaMudaTu
Mechi ni saa 11:00 jioni LIVE #AzamSports1HD
#KariakooDerby #WataniWaJadi #SimbaYanga
Maulid Kitenge
MWONEKANO MPYA NGORONGORO
•Uoto wa asili, ikolojia vyaanza kurudi kwa kasi katika maeneo yaliyohamwa na wakazi
•Matumaini yazidi kuwa makubwa,
•Wadau watoa Ushauri
Baada ya baadhi ya wakazi wa maeneo ya Ngorongoro kuhamia Msomera Mkoani Tanga, Ikolojia na uoto wa asili… https://t.co/gxOGHlijuR
MWONEKANO MPYA NGORONGORO
•Uoto wa asili, ikolojia vyaanza kurudi kwa kasi katika maeneo yaliyohamwa na wakazi
•Matumaini yazidi kuwa makubwa,
•Wadau watoa Ushauri
Baada ya baadhi ya wakazi wa maeneo ya Ngorongoro kuhamia Msomera Mkoani Tanga, Ikolojia na uoto wa asili… https://t.co/gxOGHlijuR
Twitter
MWONEKANO MPYA NGORONGORO
•Uoto wa asili, ikolojia vyaanza kurudi kwa kasi katika maeneo yaliyohamwa na wakazi
•Matumaini yazidi kuwa makubwa,
•Wadau watoa Ushauri
Baada ya baadhi ya wakazi wa maeneo ya Ngorongoro kuhamia Msomera Mkoani Tanga, Ikolojia…
•Uoto wa asili, ikolojia vyaanza kurudi kwa kasi katika maeneo yaliyohamwa na wakazi
•Matumaini yazidi kuwa makubwa,
•Wadau watoa Ushauri
Baada ya baadhi ya wakazi wa maeneo ya Ngorongoro kuhamia Msomera Mkoani Tanga, Ikolojia…
Maulid Kitenge
TAMBO ZA WABUNGE KUELEKEA DERBY LEO.
Kuelekea kwenye mchezo mkali wa Derby ya Kariakoo Simba na Yanga, Mbunge wa Hai Saasisha Mafue ambaye ni Shabiki wa Simba akitamba kuwafunga Yanga.
#KitengeSports https://t.co/TvX3tD0i6W
TAMBO ZA WABUNGE KUELEKEA DERBY LEO.
Kuelekea kwenye mchezo mkali wa Derby ya Kariakoo Simba na Yanga, Mbunge wa Hai Saasisha Mafue ambaye ni Shabiki wa Simba akitamba kuwafunga Yanga.
#KitengeSports https://t.co/TvX3tD0i6W
Twitter
TAMBO ZA WABUNGE KUELEKEA DERBY LEO.
Kuelekea kwenye mchezo mkali wa Derby ya Kariakoo Simba na Yanga, Mbunge wa Hai Saasisha Mafue ambaye ni Shabiki wa Simba akitamba kuwafunga Yanga.
#KitengeSports
Kuelekea kwenye mchezo mkali wa Derby ya Kariakoo Simba na Yanga, Mbunge wa Hai Saasisha Mafue ambaye ni Shabiki wa Simba akitamba kuwafunga Yanga.
#KitengeSports
Maulid Kitenge
Waziri wa Fedha na mipango wa Uganda Amos Lugoloobi, amekamatwa kuhusiana na kashfa ya kuibiwa kwa mabati yaliyotakiwa kutolewa kama msaada kwa wananchi katika mkoa wa Karamoja.
Lugoloobi anakuwa Waziri wa pili kukamatwa kuhusiana na kashfa hiyo baada ya Waziri wa Masuala ya… https://t.co/tUCIXgzzfI
Waziri wa Fedha na mipango wa Uganda Amos Lugoloobi, amekamatwa kuhusiana na kashfa ya kuibiwa kwa mabati yaliyotakiwa kutolewa kama msaada kwa wananchi katika mkoa wa Karamoja.
Lugoloobi anakuwa Waziri wa pili kukamatwa kuhusiana na kashfa hiyo baada ya Waziri wa Masuala ya… https://t.co/tUCIXgzzfI
Twitter
Waziri wa Fedha na mipango wa Uganda Amos Lugoloobi, amekamatwa kuhusiana na kashfa ya kuibiwa kwa mabati yaliyotakiwa kutolewa kama msaada kwa wananchi katika mkoa wa Karamoja.
Lugoloobi anakuwa Waziri wa pili kukamatwa kuhusiana na kashfa hiyo baada ya…
Lugoloobi anakuwa Waziri wa pili kukamatwa kuhusiana na kashfa hiyo baada ya…
Maulid Kitenge
RATIBA: #NBCPL || DERBY YA KARIAKOO
SIMBA SC 🆚 YOUNG AFRICANS SC
🏟 Benjamin Mkapa
⌚ 11:00 JIONI
Ligi kuu ya soka ya NBC Tanzania bara inaendelea tena leo Aprili16, 2023 kwa mtanange wa kukata na shoka wa WATANI WA JADI, Simba SC dhidi ya Yanga SC. Ni Vita ya Wababe wawili wa… https://t.co/OCJ18foXQ3
RATIBA: #NBCPL || DERBY YA KARIAKOO
SIMBA SC 🆚 YOUNG AFRICANS SC
🏟 Benjamin Mkapa
⌚ 11:00 JIONI
Ligi kuu ya soka ya NBC Tanzania bara inaendelea tena leo Aprili16, 2023 kwa mtanange wa kukata na shoka wa WATANI WA JADI, Simba SC dhidi ya Yanga SC. Ni Vita ya Wababe wawili wa… https://t.co/OCJ18foXQ3
Twitter
RATIBA: #NBCPL || DERBY YA KARIAKOO
SIMBA SC 🆚 YOUNG AFRICANS SC
🏟 Benjamin Mkapa
⌚ 11:00 JIONI
Ligi kuu ya soka ya NBC Tanzania bara inaendelea tena leo Aprili16, 2023 kwa mtanange wa kukata na shoka wa WATANI WA JADI, Simba SC dhidi ya Yanga SC. Ni Vita…
SIMBA SC 🆚 YOUNG AFRICANS SC
🏟 Benjamin Mkapa
⌚ 11:00 JIONI
Ligi kuu ya soka ya NBC Tanzania bara inaendelea tena leo Aprili16, 2023 kwa mtanange wa kukata na shoka wa WATANI WA JADI, Simba SC dhidi ya Yanga SC. Ni Vita…
Maulid Kitenge
Wakati hawa wanakuona shetani, wale wanakuona Malaika. Maisha ndivyo yalivyo. Hauwezi kuwazuia watu wasikuone vile watakavyo, maana mawazo ya mtu ni mali yake binafsi.
Wakati hawa wanakuona shetani, wale wanakuona Malaika. Maisha ndivyo yalivyo. Hauwezi kuwazuia watu wasikuone vile watakavyo, maana mawazo ya mtu ni mali yake binafsi.
Maulid Kitenge
TAARIFA: Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj @DrHmwinyi ameagiza malipo ya mishahara ya mwezi wa Aprili kufanyika mapema kuanzia tarehe 14 Aprili 2023 kwa wafanyakazi wa Serikali kwa ajili ya matayarisho ya Sikukuu ya Eid El Fitr.
Kwa mujibu wa tamko la… https://t.co/nWiM8gLdrX
TAARIFA: Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj @DrHmwinyi ameagiza malipo ya mishahara ya mwezi wa Aprili kufanyika mapema kuanzia tarehe 14 Aprili 2023 kwa wafanyakazi wa Serikali kwa ajili ya matayarisho ya Sikukuu ya Eid El Fitr.
Kwa mujibu wa tamko la… https://t.co/nWiM8gLdrX
Jamii Forums
Ripoti ya #CAG imeeleza Jengo la Golden Jubilee lilitumia kiasi cha Tsh. Milioni 226.97 kama gharama za uendeshaji huku makusanyo ya ada ya Huduma yakiwa Tsh. Milioni 196.73
Jengo la Twin Tower la Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma lilitumia Tsh. Milioni 245.65 kama… https://t.co/KyE3PoF1LL
Ripoti ya #CAG imeeleza Jengo la Golden Jubilee lilitumia kiasi cha Tsh. Milioni 226.97 kama gharama za uendeshaji huku makusanyo ya ada ya Huduma yakiwa Tsh. Milioni 196.73
Jengo la Twin Tower la Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma lilitumia Tsh. Milioni 245.65 kama… https://t.co/KyE3PoF1LL
Jamii Forums
PWANI: BAADA YA MVUA KUHARIBU BARABARA YA CHALINZE – SEGERA, UJENZI WAFANYIKA HADI USIKU
Sehemu iliyoharibika ni Kimange Mkoani #Pwani, hivyo kusababisha ifungwe kwa muda, baadaye ilifunguliwa na kutumika njia moja
Mtendaji Mkuu wa #TANROADS, Mhandisi Rogatus Mativila amesema… https://t.co/9mKOB9lHFL
PWANI: BAADA YA MVUA KUHARIBU BARABARA YA CHALINZE – SEGERA, UJENZI WAFANYIKA HADI USIKU
Sehemu iliyoharibika ni Kimange Mkoani #Pwani, hivyo kusababisha ifungwe kwa muda, baadaye ilifunguliwa na kutumika njia moja
Mtendaji Mkuu wa #TANROADS, Mhandisi Rogatus Mativila amesema… https://t.co/9mKOB9lHFL
Jamii Forums
Mapitio ya Mfumo wa Usimamizi wa Majengo ya Serikali (GRMS) katika Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) yalibaini Mikataba 1,302 ya kukodisha Nyumba iliyopakiwa kwenye Mfumo huo ilikuwa na hitilafu katika Malipo yaliyofanywa
Malipo ya Mikataba 789 yalikuwa na viwango pungufu kuliko… https://t.co/Peo1eKobaZ
Mapitio ya Mfumo wa Usimamizi wa Majengo ya Serikali (GRMS) katika Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) yalibaini Mikataba 1,302 ya kukodisha Nyumba iliyopakiwa kwenye Mfumo huo ilikuwa na hitilafu katika Malipo yaliyofanywa
Malipo ya Mikataba 789 yalikuwa na viwango pungufu kuliko… https://t.co/Peo1eKobaZ
Jamii Forums
Ukaguzi wa hali ya Vifaa katika Hospitali ya Mloganzila ulibaini matengenezo ya Vifaa Tiba hufanywa baada ya tatizo kutokea badala ya muda uliopangwa ili kutosimama kwa Huduma
CAG, alibaini Vifaa 60 vya Matibabu katika Taasisi ya Mifupa ya MOI vilivyopangwa kufanyiwa… https://t.co/grQY8e69NW
Ukaguzi wa hali ya Vifaa katika Hospitali ya Mloganzila ulibaini matengenezo ya Vifaa Tiba hufanywa baada ya tatizo kutokea badala ya muda uliopangwa ili kutosimama kwa Huduma
CAG, alibaini Vifaa 60 vya Matibabu katika Taasisi ya Mifupa ya MOI vilivyopangwa kufanyiwa… https://t.co/grQY8e69NW
Jamii Forums
Utachukua hatua gani ikiwa Mtoto wako atakataa Shule?
#Malezi #Maisha #ChildRights #JFHakiElimu https://t.co/IpzBEeDXAA
Utachukua hatua gani ikiwa Mtoto wako atakataa Shule?
#Malezi #Maisha #ChildRights #JFHakiElimu https://t.co/IpzBEeDXAA