π @HabariTz
Ukraine: Marekani yaagiza familia za wafanyakazi wa ubalozi kuondoka Ukraine, huku hali ya wasi wasi ikiendelea kuongezeka
Marekani imewaagiza ndugu wa wafanyakazi wa ubalozi wake nchini Ukraine kuondoka nchini humo huku hali ya wasi wasi ikiendelea kungezeka katika kanda hiyo.
Ukraine: Marekani yaagiza familia za wafanyakazi wa ubalozi kuondoka Ukraine, huku hali ya wasi wasi ikiendelea kuongezeka
Marekani imewaagiza ndugu wa wafanyakazi wa ubalozi wake nchini Ukraine kuondoka nchini humo huku hali ya wasi wasi ikiendelea kungezeka katika kanda hiyo.
BBC News Swahili
Ukraine: Marekani yaagiza familia za wafanyakazi wa ubalozi kuondoka Ukraine, huku hali ya wasi wasi ikiendelea kuongezeka
Marekani imewaagiza ndugu wa wafanyakazi wa ubalozi wake nchini Ukraine kuondoka nchini humo huku hali ya wasi wasi ikiendelea kungezeka katika kanda hiyo.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
TBConline - JAMBO TANZANIA JANUARI 24, 2022 | SAA 12:00 - 3:00 ASUBUHI | Facebook
TBConline (Facebook)
JAMBO TANZANIA JANUARI 24, 2022 | SAA 12:00 - 3:00 ASUBUHI
TBConline (Facebook)
JAMBO TANZANIA JANUARI 24, 2022 | SAA 12:00 - 3:00 ASUBUHI
Masoud Kipanya (Facebook)
Ila wanajiuliza mbona mbege inatengenezwa tokea kizazi na kizazi lakin maisha yao n mazuri tu hawajawah kulia njaa...
Ila wanajiuliza mbona mbege inatengenezwa tokea kizazi na kizazi lakin maisha yao n mazuri tu hawajawah kulia njaa...
Alfajiri
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
https://av.voanews.com/clips/VSW/2022/01/24/20220124-030000-VSW070-program_32k.mp3
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
https://av.voanews.com/clips/VSW/2022/01/24/20220124-030000-VSW070-program_32k.mp3
β @HabariTz
Marekani, EU wajadili jibu la pamoja kwa Urusi kuhusu mzozo wa Ukraine
Marekani imeziamuru familia za wanadiplomasia wake kuondoka Ukraine, huku hofu ya uvamizi wa Urusi ikiwalaazimu mawaziri wa Umoja wa Ulaya kukutana kuratibu majibu yao na kuandaa orodha ya vikwazo dhidi ya Moscow.
Marekani, EU wajadili jibu la pamoja kwa Urusi kuhusu mzozo wa Ukraine
Marekani imeziamuru familia za wanadiplomasia wake kuondoka Ukraine, huku hofu ya uvamizi wa Urusi ikiwalaazimu mawaziri wa Umoja wa Ulaya kukutana kuratibu majibu yao na kuandaa orodha ya vikwazo dhidi ya Moscow.
Deutsche Welle
Marekani, EU wajadili jibu la pamoja kwa Urusi kuhusu mzozo wa Ukraine
Marekani imeziamuru familia za wanadiplomasia wake kuondoka Ukraine, huku hofu ya uvamizi wa Urusi ikiwalaazimu mawaziri wa Umoja wa Ulaya kukutana kuratibu majibu yao na kuandaa orodha ya vikwazo dhidi ya Moscow.
Super4 News (Facebook)
#NUKUU Unatakiwa kupambana kupitia siku mbaya ili kuwa na siku bora katika maisha yako.
#NUKUU Unatakiwa kupambana kupitia siku mbaya ili kuwa na siku bora katika maisha yako.
Super4 News (Facebook)
"Watu waliofanikiwa sana ni wale waliovizuri kwenye Mpango mbadala (Plan B).
Ni kweli?...
"Watu waliofanikiwa sana ni wale waliovizuri kwenye Mpango mbadala (Plan B).
Ni kweli?...
TBConline (Facebook)
Men Crush Monday: Tumeianza wiki, embu waachie ujumbe rafiki zako wa kiume juu ya utafutaji fedha.
Maoni yako yatasomwa katika kipindi cha Jambo Tanzania kinachoendelea hivi sasa.
#JAMBOTANZANIA
Men Crush Monday: Tumeianza wiki, embu waachie ujumbe rafiki zako wa kiume juu ya utafutaji fedha.
Maoni yako yatasomwa katika kipindi cha Jambo Tanzania kinachoendelea hivi sasa.
#JAMBOTANZANIA
DW Kiswahili (Facebook)
Natumai Wikendi yako ilikuwa ya kupendeza. Ninakukaribisha kwenye kipindi cha Jukwaa la Manufaa. Kama kawaida unatupa maoni yako kuhusu yale ambayo ungependa kuyaona yakifanyika katika jamii. Ukitaka pia kushiriki kwa njia ya simu, pia tuachie nambari yako ya simu. Nahodha wa kipindi kwa leo ni Zainab Aziz.
Natumai Wikendi yako ilikuwa ya kupendeza. Ninakukaribisha kwenye kipindi cha Jukwaa la Manufaa. Kama kawaida unatupa maoni yako kuhusu yale ambayo ungependa kuyaona yakifanyika katika jamii. Ukitaka pia kushiriki kwa njia ya simu, pia tuachie nambari yako ya simu. Nahodha wa kipindi kwa leo ni Zainab Aziz.
TCRA_TANZANIA (Twitter)
TEHAMA imeangaza nuru kwenye mifumo ya utoaji na upatikanaji wa Elimu; tuitumie kwa manufaa ya kizazi cha sasa na baadaye.
#2022yakidijitali
TEHAMA imeangaza nuru kwenye mifumo ya utoaji na upatikanaji wa Elimu; tuitumie kwa manufaa ya kizazi cha sasa na baadaye.
#2022yakidijitali
DW Kiswahili (Facebook)
Marekani imeziamuru familia za wanadiplomasia wake kuondoka Ukraine, huku hofu ya uvamizi wa Urusi ikiwalaazimu mawaziri wa Umoja wa Ulaya kukutana kuratibu majibu yao na kuandaa orodha ya vikwazo dhidi ya Moscow.
Marekani imeziamuru familia za wanadiplomasia wake kuondoka Ukraine, huku hofu ya uvamizi wa Urusi ikiwalaazimu mawaziri wa Umoja wa Ulaya kukutana kuratibu majibu yao na kuandaa orodha ya vikwazo dhidi ya Moscow.
β @HabariTz
Maandamano ya Ubelgiji yageuka kuwa vurugu
Takriban watu 50,000 walijitokeza mitaani kuandamana huko Brussels jana kupinga hatua za kiafya zinazochukuliwa na mamlaka ya Ubelgiji.
Maandamano ya Ubelgiji yageuka kuwa vurugu
Takriban watu 50,000 walijitokeza mitaani kuandamana huko Brussels jana kupinga hatua za kiafya zinazochukuliwa na mamlaka ya Ubelgiji.
Deutsche Welle
Maandamano ya Ubelgiji yageuka kuwa vurugu
Takriban watu 50,000 walijitokeza mitaani kuandamana huko Brussels jana kupinga hatua za kiafya zinazochukuliwa na mamlaka ya Ubelgiji.
"Alimkata kichwa na panga na mtoto akafariki papo hapo"
https://www.youtube.com/watch?v=o9OZQ3TNN5Y
https://www.youtube.com/watch?v=o9OZQ3TNN5Y
YouTube
"Alimkata kichwa na panga na mtoto akafariki papo hapo"
Wakati janga la Covid-19 lilipotokea, ripoti za unyanyasaji majumbani zilienea ulimwenguni kote.
Nchini Kenya, kumekuwa na ongezeko kubwa la visa vya unyanyasaji na wanaharakati wanasema visa vingi haviripotiwi.
Ungana na Tom Odula kutoka Nairobikwaβ¦
Nchini Kenya, kumekuwa na ongezeko kubwa la visa vya unyanyasaji na wanaharakati wanasema visa vingi haviripotiwi.
Ungana na Tom Odula kutoka Nairobikwaβ¦
π @HabariTz
Uislamu ni sababu ya kufutwa kwangu kazi, anasema waziri wa zamani
Mbunge Muislamu anasema imani yake ilikuwa sababu iliyochangia afutwe kama waziri mnamo 2020.
Uislamu ni sababu ya kufutwa kwangu kazi, anasema waziri wa zamani
Mbunge Muislamu anasema imani yake ilikuwa sababu iliyochangia afutwe kama waziri mnamo 2020.
BBC News Swahili
Uislamu ni sababu ya kufutwa kwangu kazi, anasema waziri wa zamani
Mbunge Muislamu anasema imani yake ilikuwa sababu iliyochangia afutwe kama waziri mnamo 2020.
π @HabariTz
Afya ya akili: Hizi ndizo athari za kutazama picha za ngono
Wanandoa wa Krishna-Mala (jina limebadilishwa) walikwenda kwa mtaalamu wa ngono kwa ushauri kuhusu kutoridhika ndani ya ndoa na matatizo ya kushika mimba. Uchunguzi ulionesha kwamba wote wawili hawakuwa na matatizo ya kimwili.
Afya ya akili: Hizi ndizo athari za kutazama picha za ngono
Wanandoa wa Krishna-Mala (jina limebadilishwa) walikwenda kwa mtaalamu wa ngono kwa ushauri kuhusu kutoridhika ndani ya ndoa na matatizo ya kushika mimba. Uchunguzi ulionesha kwamba wote wawili hawakuwa na matatizo ya kimwili.
BBC News Swahili
Afya ya akili: Hizi ndizo athari za kutazama picha za ngono
Wanandoa wa Krishna-Mala (jina limebadilishwa) walikwenda kwa mtaalamu wa ngono kwa ushauri kuhusu kutoridhika ndani ya ndoa na matatizo ya kushika mimba. Uchunguzi ulionesha kwamba wote wawili hawakuwa na matatizo ya kimwili.
π @HabariTz
Nathuram Godse: Usiri unaomzingira muuaji wa Mahatma Gandhi
Katika jioni tarehe 30 Januari 1948, Nathuram Vinayak Godse alimpiga risasi na kumuua Mohandas Karamchand Gandhi alipokuwa karibu naye, wakati kiongozi huyo wa India anayeheshimika alipojitokeza katika mkutano wa maombi katika mji mkuu, Delhi.
Nathuram Godse: Usiri unaomzingira muuaji wa Mahatma Gandhi
Katika jioni tarehe 30 Januari 1948, Nathuram Vinayak Godse alimpiga risasi na kumuua Mohandas Karamchand Gandhi alipokuwa karibu naye, wakati kiongozi huyo wa India anayeheshimika alipojitokeza katika mkutano wa maombi katika mji mkuu, Delhi.
BBC News Swahili
Nathuram Godse: Usiri unaomzingira muuaji wa Mahatma Gandhi
Katika jioni tarehe 30 Januari 1948, Nathuram Vinayak Godse alimpiga risasi na kumuua Mohandas Karamchand Gandhi alipokuwa karibu naye, wakati kiongozi huyo wa India anayeheshimika alipojitokeza katika mkutano wa maombi katika mji mkuu, Delhi.
β @HabariTz
DRC: Raia wataka ghasia kusitishwa Kivu Kaskazini na Ituri
Ili kupinga hali ya dharura mkoani Kivu Kaskazini na Ituri muungano wa makundi ya mavuguvugu ya vijana ukiwemo Lucha, umewasihi wakaazi wa Beni kubaki nyumbani kwani hamna mabadiliko tangu kutangazwa kwa hali ya dharura
DRC: Raia wataka ghasia kusitishwa Kivu Kaskazini na Ituri
Ili kupinga hali ya dharura mkoani Kivu Kaskazini na Ituri muungano wa makundi ya mavuguvugu ya vijana ukiwemo Lucha, umewasihi wakaazi wa Beni kubaki nyumbani kwani hamna mabadiliko tangu kutangazwa kwa hali ya dharura
Deutsche Welle
DRC: Raia wataka ghasia kusitishwa Kivu Kaskazini na Ituri
Ili kupinga hali ya dharura mkoani Kivu Kaskazini na Ituri muungano wa makundi ya mavuguvugu ya vijana ukiwemo Lucha, umewasihi wakaazi wa Beni kubaki nyumbani kwani hamna mabadiliko tangu kutangazwa kwa hali ya dharura
β @HabariTz
Taliban na magharibi waijadili hali nchini Afghanistan
Wanadiplomasia kutoka Taliban na mataifa ya magharibi wanakutana Oslo hii leo kwa mazungumzo kuhusu mzozo wa kibinaadamu na haki za binaadamu nchini Afghanistan na hususan haki za wanawake.
Taliban na magharibi waijadili hali nchini Afghanistan
Wanadiplomasia kutoka Taliban na mataifa ya magharibi wanakutana Oslo hii leo kwa mazungumzo kuhusu mzozo wa kibinaadamu na haki za binaadamu nchini Afghanistan na hususan haki za wanawake.
Deutsche Welle
Taliban na magharibi waijadili hali nchini Afghanistan
Wanadiplomasia kutoka Taliban na mataifa ya magharibi wanakutana Oslo hii leo kwa mazungumzo kuhusu mzozo wa kibinaadamu na haki za binaadamu nchini Afghanistan na hususan haki za wanawake.
β @HabariTz
Hatma ya Assange kuamuliwa Uingereza
Mahakama kuu ya Uingereza inajiandaa kutoa uamuzi kuhusu ikiwa mwanzilishi wa mtandao wa kufichua siri WikiLeaks Julian Assange anaweza kuyapeleka mapambano yake katika mahakama ya juu zaidi ya Uingereza
Hatma ya Assange kuamuliwa Uingereza
Mahakama kuu ya Uingereza inajiandaa kutoa uamuzi kuhusu ikiwa mwanzilishi wa mtandao wa kufichua siri WikiLeaks Julian Assange anaweza kuyapeleka mapambano yake katika mahakama ya juu zaidi ya Uingereza
Deutsche Welle
Hatma ya Assange kuamuliwa Uingereza
Mahakama kuu ya Uingereza inajiandaa kutoa uamuzi kuhusu ikiwa mwanzilishi wa mtandao wa kufichua siri WikiLeaks Julian Assange anaweza kuyapeleka mapambano yake katika mahakama ya juu zaidi ya Uingereza