☞ @HabariTz
Uharibifu wa kila kitu: Athari za kimazingira za mizozo
Majeshi kote duniani yanakabiliwa na shinikizo kuyataka yapunguze utoaji wa gesi ya kaboni ambayo inachangia katika ongezeko la joto duniani - na migogoro ya baadae ya tabiachi.
Uharibifu wa kila kitu: Athari za kimazingira za mizozo
Majeshi kote duniani yanakabiliwa na shinikizo kuyataka yapunguze utoaji wa gesi ya kaboni ambayo inachangia katika ongezeko la joto duniani - na migogoro ya baadae ya tabiachi.
Deutsche Welle
Uharibifu wa kila kitu: Athari za kimazingira za mizozo
Majeshi kote duniani yanakabiliwa na shinikizo kuyataka yapunguze utoaji wa gesi ya kaboni ambayo inachangia katika ongezeko la joto duniani - na migogoro ya baadae ya tabiachi.
☞ @HabariTz
Maseneta Urusi waidhinisha mswada kuwabinya wakosoaji
Baraza la seneti Urusi limepitisha kwa wingi mswada wa sheria unaotarajiwa kutumiwa kuwapiga marufuku washirika wa mkosoaji wa serikali Alexei Navalny kushiriki katika uchaguzi, hatua ya karibuni ya ukandamiza upinzani
Maseneta Urusi waidhinisha mswada kuwabinya wakosoaji
Baraza la seneti Urusi limepitisha kwa wingi mswada wa sheria unaotarajiwa kutumiwa kuwapiga marufuku washirika wa mkosoaji wa serikali Alexei Navalny kushiriki katika uchaguzi, hatua ya karibuni ya ukandamiza upinzani
Deutsche Welle
Maseneta Urusi waidhinisha mswada kuwabinya wakosoaji
Baraza la seneti Urusi limepitisha kwa wingi mswada wa sheria unaotarajiwa kutumiwa kuwapiga marufuku washirika wa mkosoaji wa serikali Alexei Navalny kushiriki katika uchaguzi, hatua ya karibuni ya ukandamiza upinzani
☞ @HabariTz
Mabalozi wa Ulaya waahidi kuwasaidia wakimbizi Nyarugusu
Mabalozi sita kutoka Umoja wa Ulaya na Uingereza nchini Tanzania wako ziarani katika kambi za wakimbizi magharibi mwa Tanzania, kuhakikisha kuwa wakimbizi wanapata huduma na ulinzi kadiri ya matakwa ya Umoja wa mataifa.
Mabalozi wa Ulaya waahidi kuwasaidia wakimbizi Nyarugusu
Mabalozi sita kutoka Umoja wa Ulaya na Uingereza nchini Tanzania wako ziarani katika kambi za wakimbizi magharibi mwa Tanzania, kuhakikisha kuwa wakimbizi wanapata huduma na ulinzi kadiri ya matakwa ya Umoja wa mataifa.
Deutsche Welle
Mabalozi wa Ulaya waahidi kuwasaidia wakimbizi Nyarugusu
Mabalozi sita kutoka Umoja wa Ulaya na Uingereza nchini Tanzania wako ziarani katika kambi za wakimbizi magharibi mwa Tanzania, kuhakikisha kuwa wakimbizi wanapata huduma na ulinzi kadiri ya matakwa ya Umoja wa mataifa.
GEAH NA DAHUU PIPA NA MFUNIKO WAFUNGUKA “SISI NDUGU, MUME WAKE AKIMKOSA ANANIPIGIA MIMI”
https://www.youtube.com/watch?v=oj48R3axYNk
https://www.youtube.com/watch?v=oj48R3axYNk
YouTube
GEAH NA DAHUU PIPA NA MFUNIKO WAFUNGUKA “SISI NDUGU, MUME WAKE AKIMKOSA ANANIPIGIA MIMI”
Watangazaji wa Clouds FM kupitia kipindi cha Leo Tena, Geah na Dahuu wamefunguka jinsi wanavyoishi Maisha yao nyumbani tofauti na wanapokuwa kazini. PLAY kutazama video.
RC MONGELA AANZA NA MKURUGENZI, AMPA MAAGIZO "NI UZEMBE, KUSUKUMANA ITAKUWEPO"
https://www.youtube.com/watch?v=AMrhkI_pk-k
https://www.youtube.com/watch?v=AMrhkI_pk-k
YouTube
RC MONGELA AANZA NA MKURUGENZI, AMPA MAAGIZO "NI UZEMBE, KUSUKUMANA ITAKUWEPO"
Mkuu wa Mkoa wa Arusha John Mongela amemtaka Mkurugenzi wa Halamashauri ya Wilaya ya Karatu Waziri Molis kuhakikisha anasimamia vizuri miradi inayotekelezwa pamoja na fedha zinazotoka kwa wadhamini ili kuepuka hoja za ukaguzi
WABUNGE WA HANDENI WAJINASIBU KWA WANANCHI WAO "MNA WATU SAHIHI BUNGENI TUOMBEENI TUYAFIKIE MALENGO"
https://www.youtube.com/watch?v=ljCAyMaGjbg
https://www.youtube.com/watch?v=ljCAyMaGjbg
YouTube
WABUNGE WA HANDENI WAJINASIBU KWA WANANCHI WAO "MNA WATU SAHIHI BUNGENI TUOMBEENI TUYAFIKIE MALENGO"
Wabunge wa majimbo ya wilaya ya handeni Ruben Kwagilwa na John Sallu wa vijijijini wamewaomba wananchi wao kuwapa ushirikiano ili kufanikisha take yote waliyoyaahidi wakati wa kampeni.
Kwagilwa na Sallu wameyasema hayo wakati wakiwa wamekamilisha kukimbiza…
Kwagilwa na Sallu wameyasema hayo wakati wakiwa wamekamilisha kukimbiza…
MSIGWA, SUGU WAIBUKIA MAHAKAMANI "TUNAMSHTAKI MWANASHERIA MKUU, KAMISHNA WA MAGEREZA,TUMEKATA RUFAA"
https://www.youtube.com/watch?v=TA7-T3s_0GU
https://www.youtube.com/watch?v=TA7-T3s_0GU
YouTube
MSIGWA, SUGU WAIBUKIA MAHAKAMANI "TUNAMSHTAKI MWANASHERIA MKUU, KAMISHNA WA MAGEREZA,TUMEKATA RUFAA"
Waliokuwa wabunge wa Iringa na Mbeya Mjini, Mchungaji Peter Msigwa na Joseph Mbilingi "SUGU" wamefungua kesi za Kikatiba katika Mahakama Kuu ya Tanzania masjala Kuu ya Dar es Salaam dhidi ya Mwanasheria Mkuu na Kamishina wa Magereza Tanzania.
Wawili hao…
Wawili hao…
#TBCLIVE: ARIDHIO JUNI 02, 2021 (SAA 1:00 - 3:00 USIKU) — TBConline
https://youtu.be/5kCE_d6Ex8w 1:57:28
https://youtu.be/5kCE_d6Ex8w 1:57:28
YouTube
#TBCLIVE: ARIDHIO JUNI 02, 2021 (SAA 1:00 - 3:00 USIKU)
Fuatilia habari na matukio mbalimbali kwa saa 24 kupitia tovuti yetu, www.tbc.go.tz au App yetu ya “TBC Live” inayopatikana
Play Store (Android): https://bit.ly/3kYnnsr
App Store (iOS): https://apple.co/31Yxjta
Tufuatilie pia kwenye kurasa zetu za mitandao…
Play Store (Android): https://bit.ly/3kYnnsr
App Store (iOS): https://apple.co/31Yxjta
Tufuatilie pia kwenye kurasa zetu za mitandao…
👉 @HabariTz
Mlipuko wa Volkano DR Congo: Wanawake wajifungua watoto njiti kutokana na mlipuko wa Volka
Zaidi ya Wanawake mia moja katika mji wa Goma na viungani mwake, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamezaa watoto njiti au mimba zao kuharibika, tangu kutokea kwa mlip
Mlipuko wa Volkano DR Congo: Wanawake wajifungua watoto njiti kutokana na mlipuko wa Volka
Zaidi ya Wanawake mia moja katika mji wa Goma na viungani mwake, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamezaa watoto njiti au mimba zao kuharibika, tangu kutokea kwa mlip
BBC News Swahili
Wanawake 100 wajifungua watoto njiti kutokana na mlipuko wa Volkano DR Congo - BBC News Swahili
Zaidi ya Wanawake mia moja katika mji wa Goma na viungani mwake, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamezaa watoto njiti au mimba zao kuharibika, tangu kutokea kwa mlip
LIVE: TAARIFA YA HABARI ZBC ZANZIBAR _ ( JUMATANO - 02/06/2021) — Zbc Zanzibar
https://youtu.be/ytmf6elOe7o 52:37
https://youtu.be/ytmf6elOe7o 52:37
YouTube
LIVE: TAARIFA YA HABARI ZBC ZANZIBAR _ ( JUMATANO - 02/06/2021)
LIVE: TAARIFA YA HABARI ZBC ZANZIBAR _ ( JUMATANO - 02/06/2021)
#zbctvlive#zbczanzibar
#zbctvlive#zbczanzibar
Matangazo ya Dira ya Dunia TV — BBC News Swahili
https://youtu.be/Wwr4IOzth_4 28:23
https://youtu.be/Wwr4IOzth_4 28:23
YouTube
Matangazo ya Dira ya Dunia TV
Swahili News
Photo
Voice of America
Kenyatta ahimiza mahakama Kenya kushikamana na maadili
Rais wa Kenya ahimiza mahakama kuongozwa na maadili ya kisheria na maslahi ya wananchi wa Kenya katika maamuzi yake.
Kenyatta ahimiza mahakama Kenya kushikamana na maadili
Rais wa Kenya ahimiza mahakama kuongozwa na maadili ya kisheria na maslahi ya wananchi wa Kenya katika maamuzi yake.
millard ayo (Facebook)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdullah amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itagharamia mazishi ya Watu waliofariki kufuatia ajali ya Basi la Kampuni ya Classic iliyotokea Shinyanga alfajiri ya leo wakati Basi hilo likitokea Uganda kuja Dar es Salam.
"Rais anawapa Ndugu wa Marehemu pole sana kwa msiba huu wa kuondokewa na Wapendwa wenu na Serikali itagharamia shughuli za mazishi”———-Hemed Waliofariki kwenye ajali hiyo ni watatu wote kutokea Zanzibar (Rehema Haji Juma, Wahda Yussuf na Nassor Juma Khamis), waliotoka wakiwa wazima ni 14 , Majeruhi 10 wanaendelea na matibabu na wawili wapo ICU Bugando Hospital. #RIPNduguzetu
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdullah amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itagharamia mazishi ya Watu waliofariki kufuatia ajali ya Basi la Kampuni ya Classic iliyotokea Shinyanga alfajiri ya leo wakati Basi hilo likitokea Uganda kuja Dar es Salam.
"Rais anawapa Ndugu wa Marehemu pole sana kwa msiba huu wa kuondokewa na Wapendwa wenu na Serikali itagharamia shughuli za mazishi”———-Hemed Waliofariki kwenye ajali hiyo ni watatu wote kutokea Zanzibar (Rehema Haji Juma, Wahda Yussuf na Nassor Juma Khamis), waliotoka wakiwa wazima ni 14 , Majeruhi 10 wanaendelea na matibabu na wawili wapo ICU Bugando Hospital. #RIPNduguzetu
MITA MPYA ZA MAJI “MITA KAMA KING'AMUZI, MAJI YAKIISHA INAJILOCK, UNAMUHAMISHIA JIRANI UNITI”
https://www.youtube.com/watch?v=iyLqEwiE6f8
https://www.youtube.com/watch?v=iyLqEwiE6f8
YouTube
MITA MPYA ZA MAJI “MITA KAMA KING'AMUZI, MAJI YAKIISHA INAJILOCK, UNAMUHAMISHIA JIRANI UNITI”
Serikali kupitia wizara ya Maji kuanzia mwezi Julai inatarajia kuanza kufunga mita za maji za malipo ya kabla[PRE PAID WATER METERS] ambazo zitakuwa na mfumo wa King’amuzi wenye uwezo wa kununua huduma ya maji ukiwa sehemu yoyote duniani
Katibu mkuu Wizara…
Katibu mkuu Wizara…
TUKIO LA MTU KUPIGWA RISASI MABIBO, KAMANDA KINGAI ANG'AKA "NILIFIKA, WANAFIKI WAKIONA POLISI"
https://www.youtube.com/watch?v=QpbtkSzWeuY
https://www.youtube.com/watch?v=QpbtkSzWeuY
YouTube
TUKIO LA MTU KUPIGWA RISASI MABIBO, KAMANDA KINGAI ANG'AKA "NILIFIKA, WANAFIKI WAKIONA POLISI"
Kamanda a Polisi mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Ramadhan Kingai amewataka watu wasitumie vibaya mitandao ya kijamii kwa kujazana hofu huku akitolea Mfano tukio la mtu kupigwa risasi lililotokea Mabibo.
Akizungumza mbele ya vyombo vya Habari jijini Dar es Salaam…
Akizungumza mbele ya vyombo vya Habari jijini Dar es Salaam…
millard ayo (Facebook)
Hizi ni picha za Mkuu wa zamani wa Majeshi wa Uganda Jenerali Katumba alipofika kwa ajili ya kuaga mwili wa Mtoto wake aitwae Brenda ambaye amefariki Dunia jana baada ya Watu wasiojulikana kulishambulia kwa risasi gari walilokuwemo ambapo pia Dereva naye amefariki, Jenerali Katumba alijeruhiwa na kulazwa Hospitali kabla ya kuruhusiwa leo kumuaga Mwanae.
Jenerali Katumba Wamala ambaye amekuwa Waziri wa uchukuzi na ujenzi kwenye Serikali ya Rais Yoweri Museveni ya muhula wa tano anatambulika kama Mtu asiyependa makuu na hatembei na msafara wa Walinzi kama wenzake walio kwenye ngazi za juu za Serikali, swipe kuona matukio mengine. #MillardAyoUPDATES (📸 via Daily Monitor)
Hizi ni picha za Mkuu wa zamani wa Majeshi wa Uganda Jenerali Katumba alipofika kwa ajili ya kuaga mwili wa Mtoto wake aitwae Brenda ambaye amefariki Dunia jana baada ya Watu wasiojulikana kulishambulia kwa risasi gari walilokuwemo ambapo pia Dereva naye amefariki, Jenerali Katumba alijeruhiwa na kulazwa Hospitali kabla ya kuruhusiwa leo kumuaga Mwanae.
Jenerali Katumba Wamala ambaye amekuwa Waziri wa uchukuzi na ujenzi kwenye Serikali ya Rais Yoweri Museveni ya muhula wa tano anatambulika kama Mtu asiyependa makuu na hatembei na msafara wa Walinzi kama wenzake walio kwenye ngazi za juu za Serikali, swipe kuona matukio mengine. #MillardAyoUPDATES (📸 via Daily Monitor)