https://t.me/Darasazandoa
*NATAKA MKE MWEUSI*
Nataka mke mweusi,
weupe leo majanga,
Wananipa wasiwasi,
rangi zao za kuchonga,
Wanazinyonyoa nyusi,
jinsi walivyo viranga,
Weupe siwatamani,
Waume tunaibiwa.
Mrembo mweusi tii,
sura ameikoboa,
Ile Rangi yake fii,
mwangaza imeshatoa,
Hakika kwa hali hii,
mweusi nitamuoa,
Weupe siwatamani,
nataka mke mweusi,
Namtaka anong'ara,
mweusi ni mujarabu,
Hii ndo yangu busara,
nimeshapiga hesabu,
Wanafanya masihara,
sura wanaziharibu,
Weupe siwatamani,
bora nioe mweusi.
Weupe wa kujipaka,
madawa kujikirimu,
Si weupe takataka,
Mimi ninawalaumu,
Mno wanatia shaka,
siwapi zangu salamu,
Namtafuta mweusi,
mweupe ana madoa.
Nimefikia hatima,
gharama sitaziweza,
Kirimu ni jahanama,
wallahi itaniliza,
Kisa hawa kina mama,
wenye sura zilooza,
Namtafuta mweusi,
weupe mazingaombwe.
✍🏿 *Nataka mke mweusi.*
*○ KUPATA FAIDA ZAIDI: Tembelea channel yetu ya Telegram kupitia kiunganishi hiki 👇🏿*
https://t.me/Darasazandoa
•┈┈┈┈••✦✿✦••┈┈┈┈•
*NATAKA MKE MWEUSI*
Nataka mke mweusi,
weupe leo majanga,
Wananipa wasiwasi,
rangi zao za kuchonga,
Wanazinyonyoa nyusi,
jinsi walivyo viranga,
Weupe siwatamani,
Waume tunaibiwa.
Mrembo mweusi tii,
sura ameikoboa,
Ile Rangi yake fii,
mwangaza imeshatoa,
Hakika kwa hali hii,
mweusi nitamuoa,
Weupe siwatamani,
nataka mke mweusi,
Namtaka anong'ara,
mweusi ni mujarabu,
Hii ndo yangu busara,
nimeshapiga hesabu,
Wanafanya masihara,
sura wanaziharibu,
Weupe siwatamani,
bora nioe mweusi.
Weupe wa kujipaka,
madawa kujikirimu,
Si weupe takataka,
Mimi ninawalaumu,
Mno wanatia shaka,
siwapi zangu salamu,
Namtafuta mweusi,
mweupe ana madoa.
Nimefikia hatima,
gharama sitaziweza,
Kirimu ni jahanama,
wallahi itaniliza,
Kisa hawa kina mama,
wenye sura zilooza,
Namtafuta mweusi,
weupe mazingaombwe.
✍🏿 *Nataka mke mweusi.*
*○ KUPATA FAIDA ZAIDI: Tembelea channel yetu ya Telegram kupitia kiunganishi hiki 👇🏿*
https://t.me/Darasazandoa
•┈┈┈┈••✦✿✦••┈┈┈┈•
Telegram
DARASA ZA NDOA
Ndoa ni neema Allah ametupa waja wake Al-hamdulillah, group zetu ni:
① https://t.me/fawaidussalafiyatz
② https://t.me/Darasazandoa
③ https://t.me/upotevuwamashia
① https://t.me/fawaidussalafiyatz
② https://t.me/Darasazandoa
③ https://t.me/upotevuwamashia
"NDEVU SUNNAH YA MITUME"
Acha leo niandike, kuhusu sunnah ya ndevu.
Sitaki mtu acheke, nitapata maumivu.
Msinipe sekeseke, kama mpira na nyavu.
Ndevu sunnah ya mitume, acheni niipupie.
Vibaya wananisema, kisa ninafuga ndevu.
Wengi hunipa lawama, eti bora nizishevu.
Wakaniita Osama, nikawaona wapumbavu.
Ndevu sunnah ya mitume, acheni niipupie.
Wameshanicheza shere, sunnah hii kuienzi.
Kunita mwanasesere, ama beberu la mbuzi.
Najizeesha si bure, ndo yao masimulizi.
Ndevu sunnah ya mitume, acheni niipupie.
Wakizifuga wazungu, eti wanafalsafa.
Ila kidevuni mwangu, mwasema napenda sifa.
Ndevu zawapa uchungu, kwa presha mwataka kufa.
Ndevu sunnah ya mitume, acheni niipupie.
Walizifuga mitume, wema walotangulia.
Kwanini sisi tuseme, mbaya na kuzichukia.
Fuga ndevu mwanaume, acheni kuzikwangua.
Ndevu sunnah ya mitume, acheni niipupie.
Tazama nabii 'Isa, wengine humwita yesu.
Nuhu Yusufu na Musa, ndevu zilivyowahusu.
Wala hawakuzigusa, kwa wembe ama kwa kisu.
Ndevu sunnah ya mitume, acheni niipupie.
Alizifuga Rasuli, acheni nizipupie.
Nazivalia msuli, sio suti kama nyie.
Sisikizi majahili, ndo aqida yangu mie.
Ndevu sunnah ya mitume, acheni niipupie.
Fugeni ndevu kwa wingi, na mkate masharubu.
Kwa hina zipake rangi, mzichane taratibu.
Ni sunnah tena kigingi, fuga mpate thawabu.
Ndevu sunnah ya mitume, acheni niipupie.
Kalamu imesha wino, kuandika nimekwama.
Sijamaliza maneno, nitarudi tena jama.
Nitakuja na mifano, kusifu ndevu daima.
Tukutane jumatano, tukijaliwa uzima.
By Pest
Abuu Najaashiy.
Acha leo niandike, kuhusu sunnah ya ndevu.
Sitaki mtu acheke, nitapata maumivu.
Msinipe sekeseke, kama mpira na nyavu.
Ndevu sunnah ya mitume, acheni niipupie.
Vibaya wananisema, kisa ninafuga ndevu.
Wengi hunipa lawama, eti bora nizishevu.
Wakaniita Osama, nikawaona wapumbavu.
Ndevu sunnah ya mitume, acheni niipupie.
Wameshanicheza shere, sunnah hii kuienzi.
Kunita mwanasesere, ama beberu la mbuzi.
Najizeesha si bure, ndo yao masimulizi.
Ndevu sunnah ya mitume, acheni niipupie.
Wakizifuga wazungu, eti wanafalsafa.
Ila kidevuni mwangu, mwasema napenda sifa.
Ndevu zawapa uchungu, kwa presha mwataka kufa.
Ndevu sunnah ya mitume, acheni niipupie.
Walizifuga mitume, wema walotangulia.
Kwanini sisi tuseme, mbaya na kuzichukia.
Fuga ndevu mwanaume, acheni kuzikwangua.
Ndevu sunnah ya mitume, acheni niipupie.
Tazama nabii 'Isa, wengine humwita yesu.
Nuhu Yusufu na Musa, ndevu zilivyowahusu.
Wala hawakuzigusa, kwa wembe ama kwa kisu.
Ndevu sunnah ya mitume, acheni niipupie.
Alizifuga Rasuli, acheni nizipupie.
Nazivalia msuli, sio suti kama nyie.
Sisikizi majahili, ndo aqida yangu mie.
Ndevu sunnah ya mitume, acheni niipupie.
Fugeni ndevu kwa wingi, na mkate masharubu.
Kwa hina zipake rangi, mzichane taratibu.
Ni sunnah tena kigingi, fuga mpate thawabu.
Ndevu sunnah ya mitume, acheni niipupie.
Kalamu imesha wino, kuandika nimekwama.
Sijamaliza maneno, nitarudi tena jama.
Nitakuja na mifano, kusifu ndevu daima.
Tukutane jumatano, tukijaliwa uzima.
By Pest
Abuu Najaashiy.
29.🌹 *Mwanamke ambaye ameangamia!!*🌹
Hii ndio miongozo ya Kiislamu kwa mwanamke kuhusiana na mume wake na
haki zake. Lau wanawake wangelishikamana nazo basi manyumba yangeliishi
kwa furaha kamilifu. Kwa masikitiko makubwa kuna wanawake wasiozijua haki
hizi. Kwa ajili hiyo talaka zimezidi kuwa nyingi, vipigo na magomvi.🌸
*Leo tunasikia jinsi baadhi ya wanawake wamevyosahau upole wao, wamesahau uanawake wao, wamegeuka kuwa waasi na wenye jeuri kwa waume zao madhaifu.*
*Wakiwapa waume zao kitu,: wanawakosoa kwa ufakiri na kutokuwa na uwezo. Wakati anapokuja nyumbani anaanza kumpigia fujo na kukunja uso.Wakati anapotoka yeye ndio mwenye kumwongoza.*
Haridhiki naye.
Ni mwenye kuonekana kwenye kila mlango na dirisha. Anaonyesha uso wake, au sehemu katika uso wake, kwa wanaume wasiokuwa Mahram zake.Wakati anapomzungumzisa
mume wake anamweleza jinsi mwanaume mwingine amevyompa mke wake hiki na kile na amemfanyia hiki na kile, ni ubaya uliyoje alonao na vipi kulikuwa wanaume wenye dini wakamchumbia, lakini ndivyo hivyo...🔵🔴
*Wakati anapokuwa nyumbani na mume wake anajiona kama mfungwa. Hajitii manukato. Hajipambi. Wakati mume wake anapomtazama anaudhika. Nywele zake zimekaa hovyo. Nguo zake zimechafuka. Amechafuka na amezungukwa na nguo hovyo hovyo, lakini pale tu anapotoka nje anajitia manukato na kujipamba.Huyu ndio mwanamke aloangamia ambaye mazuri yake anawapa wengine na mabaya anampa mume wake.*
Wakati anapoenda kwa marafiki zake ni mwenye furaha na bashasha.
Anazumgumza vizuri. Anavaa vizuri. Maneno yake na kikao chake hakichoshi.
Pale tu anapokuja nyumba anageuka kuwa simba. Anapozungumza moto ndio
unatoka kinywani mwake. Anapofanya kitu ni kashfa tupu. Mume wake hapati
kheri yoyote kwake. Huyu ni mwanamke aloangamia kikweli. Vipi anataka
kuwa mwenye kufaulu wakati ameenda kinyume na dini yake, kumkasirikisha
Mola Wake na kumhuzunisha mume wake? Ni juu yake ajirudi. Hakika maisha
ni mafupi.🔴🔵
Itaendelea in shaa ALLAH
--------------------------------------------
imeandaliwa na :
*Abuu Muhammad Abubakar bn Abdul Aziyzi*
*DAAWA SALAFIYYA BURUNDI🇧🇮*
📱0027618075087
*[Haqq-uz-Zawjayn] Haki za mume na mke*
Mwandishi:
*Shaykh Sulaymaan bin Saliymillaah ar-Ruhayliy*
[Mwalimu katika Masjid-un-Nabawiy na chuo kikuu cha Kiislamu al-Madiynah]
Mfasiri:
Firqatunnajia.com
Hii ndio miongozo ya Kiislamu kwa mwanamke kuhusiana na mume wake na
haki zake. Lau wanawake wangelishikamana nazo basi manyumba yangeliishi
kwa furaha kamilifu. Kwa masikitiko makubwa kuna wanawake wasiozijua haki
hizi. Kwa ajili hiyo talaka zimezidi kuwa nyingi, vipigo na magomvi.🌸
*Leo tunasikia jinsi baadhi ya wanawake wamevyosahau upole wao, wamesahau uanawake wao, wamegeuka kuwa waasi na wenye jeuri kwa waume zao madhaifu.*
*Wakiwapa waume zao kitu,: wanawakosoa kwa ufakiri na kutokuwa na uwezo. Wakati anapokuja nyumbani anaanza kumpigia fujo na kukunja uso.Wakati anapotoka yeye ndio mwenye kumwongoza.*
Haridhiki naye.
Ni mwenye kuonekana kwenye kila mlango na dirisha. Anaonyesha uso wake, au sehemu katika uso wake, kwa wanaume wasiokuwa Mahram zake.Wakati anapomzungumzisa
mume wake anamweleza jinsi mwanaume mwingine amevyompa mke wake hiki na kile na amemfanyia hiki na kile, ni ubaya uliyoje alonao na vipi kulikuwa wanaume wenye dini wakamchumbia, lakini ndivyo hivyo...🔵🔴
*Wakati anapokuwa nyumbani na mume wake anajiona kama mfungwa. Hajitii manukato. Hajipambi. Wakati mume wake anapomtazama anaudhika. Nywele zake zimekaa hovyo. Nguo zake zimechafuka. Amechafuka na amezungukwa na nguo hovyo hovyo, lakini pale tu anapotoka nje anajitia manukato na kujipamba.Huyu ndio mwanamke aloangamia ambaye mazuri yake anawapa wengine na mabaya anampa mume wake.*
Wakati anapoenda kwa marafiki zake ni mwenye furaha na bashasha.
Anazumgumza vizuri. Anavaa vizuri. Maneno yake na kikao chake hakichoshi.
Pale tu anapokuja nyumba anageuka kuwa simba. Anapozungumza moto ndio
unatoka kinywani mwake. Anapofanya kitu ni kashfa tupu. Mume wake hapati
kheri yoyote kwake. Huyu ni mwanamke aloangamia kikweli. Vipi anataka
kuwa mwenye kufaulu wakati ameenda kinyume na dini yake, kumkasirikisha
Mola Wake na kumhuzunisha mume wake? Ni juu yake ajirudi. Hakika maisha
ni mafupi.🔴🔵
Itaendelea in shaa ALLAH
--------------------------------------------
imeandaliwa na :
*Abuu Muhammad Abubakar bn Abdul Aziyzi*
*DAAWA SALAFIYYA BURUNDI🇧🇮*
📱0027618075087
*[Haqq-uz-Zawjayn] Haki za mume na mke*
Mwandishi:
*Shaykh Sulaymaan bin Saliymillaah ar-Ruhayliy*
[Mwalimu katika Masjid-un-Nabawiy na chuo kikuu cha Kiislamu al-Madiynah]
Mfasiri:
Firqatunnajia.com
https://t.me/fawaidussalafiyatz
*NGOZI NA MIGUU YA VICHINJWA VYA UDH'HIYAH* 🎤
Sheikh wetu- Allah akuhifadhi, naomba kuuliza:
Baada ya kuchinja mnyama kwa ajili ya udh'hiyah, zile ngozi za wanyama na miguu tunafanyaje? nakusudia zinatumika katika matumizi yapi,
Kwani tumeona nyama zinagawiwa kwa wanao sitahiki kupata, vipi hizo ngozi pamoja na miguu tunafanyaje..
Barakallahu fiyka;
*JAWABU: 📚*
Ama matumizi yake Allahu a3lam, wanaojua ni watumiaji wa vitu hivyo, kama kuunda viatu n.k, na miguu hufanywa supu, akipewa anaejua matumizi yake atafaidika, wallahul musta3aan.
Swali limejibiwa na;
*Sheikh Abul khattwaab Abuu Abdirrahman Abdallah humeid Al-hadhramiy -Allah amuifadhi*
*○ KUPATA FAIDA ZAIDI: Tembelea channel yetu ya Telegram kupitia kiunganishi hiki 👇🏾*
https://t.me/fawaidussalafiyatz
•┈┈┈┈••✦✿✦••┈┈┈┈•
*NGOZI NA MIGUU YA VICHINJWA VYA UDH'HIYAH* 🎤
Sheikh wetu- Allah akuhifadhi, naomba kuuliza:
Baada ya kuchinja mnyama kwa ajili ya udh'hiyah, zile ngozi za wanyama na miguu tunafanyaje? nakusudia zinatumika katika matumizi yapi,
Kwani tumeona nyama zinagawiwa kwa wanao sitahiki kupata, vipi hizo ngozi pamoja na miguu tunafanyaje..
Barakallahu fiyka;
*JAWABU: 📚*
Ama matumizi yake Allahu a3lam, wanaojua ni watumiaji wa vitu hivyo, kama kuunda viatu n.k, na miguu hufanywa supu, akipewa anaejua matumizi yake atafaidika, wallahul musta3aan.
Swali limejibiwa na;
*Sheikh Abul khattwaab Abuu Abdirrahman Abdallah humeid Al-hadhramiy -Allah amuifadhi*
*○ KUPATA FAIDA ZAIDI: Tembelea channel yetu ya Telegram kupitia kiunganishi hiki 👇🏾*
https://t.me/fawaidussalafiyatz
•┈┈┈┈••✦✿✦••┈┈┈┈•
Telegram
fawaidusalafiyatz
Ungana nasi upate faida mbalimbali | kitabu na suna group zetu ni:
① https://t.me/fawaidussalafiyatz
② https://t.me/Darasazandoa
③ https://t.me/upotevuwamashia
① https://t.me/fawaidussalafiyatz
② https://t.me/Darasazandoa
③ https://t.me/upotevuwamashia
30.🌹 *Ni lazima kwa mume azijue haki za mke*🌹
Mume ndio kiongozi wa safina na ndiye msimamizi wa nyumba. Kama jinsi mume ana haki zake vilevile na yeye ana uwajibu. Mume wa Kiislamu
anamuabudu Allaah kwa kutimiza haki zake. Anatekeleza haki zake kwa kuwa yeye ndiye mchungaji wake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)
amesema:🔴🔵⬇
*"Nyote ni wachungaji na kila mmoja ataulizwa kwa kile alichokichunga. Kiongozi ni mchungaji na ataulizwa kwa kile alichokichunga. Mwanaume ni mchungaji wa familia yake na yeye ataulizwa kwa kile alichokichunga. Mwanamke ni mchungaji na yeye ataulizwa juu ya nyumba ya mume wake."*
al-Bukhaariy (893) na Muslim (1829).📚
Mwanaume mwema anajua kuwa ana kazi ya kumchunga mume wake na
kwamba ataulizwa juu yake. Ndio maana anafanya juhudi ya kumtakia mema na
kumtimizia haki zake. Kwa sababu anajua kufanya hivo ni katika kumcha
Allaah. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:🔴🔵⏬
*"Mcheni Allaah juu ya wanawake."* 72 Muslim (1218).📚
Mwanaume mwema anatimiza haki za mke wake zilizo juu yake. Anajua kuwa
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameusia hivo na kwa hiyo anaogopa
kupuuza wasia ambao kipenzi chake na kiigizo chake Mtume (Swalla Allaahu
´alayhi wa sallam) ameusia. Kipenzi chetu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa
sallam) amesema:🔴🔵⬇
*"Watendeeni wanawake wema."* al-Bukhaariy (5186) na Muslim (1468).📚
Mwanaume mwema alobarikiwa anatekeleza haki za mke wake zilizo juu yake
kwa kuwa anajua kuwa yeye [mwanamke] ni amana kwake. Kwa nani? Kwa
Allaah, Mola wa mbingu na ardhi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)
amesema:🔴🔵⏬
*"Watendeeni wanawake wema! Hakika mmewachukua kwa amana [mkataba] wa Allaah..."* Abu Daawuud (1905) na Ibn Maajah (3074📚
Mume Muislamu alobarikiwa hatekelezi haki za mke wake kwa njia ya kutoa
huduma. Anafanya hivo kwa sababu ataulizwa juu ya hilo mbele ya Allaah
(Subhaanahu wa Ta´ala). Kwa ajili hiyo ni lazima kwetu sisi wanaume kujifunza haki
za wake zetu na kuwafunza nazo watoto wetu ili tuwe tumetekeleza wajibu ulio
kwenye mabega yetu.
Itaendelea in shaa ALLAH
--------------------------------------------
imeandaliwa na :
*Abuu Muhammad Abubakar bn Abdul Aziyzi*
*DAAWA SALAFIYYA BURUNDI🇧🇮*
📱0027618075087
*[Haqq-uz-Zawjayn] Haki za mume na mke*
Mwandishi:
*Shaykh Sulaymaan bin Saliymillaah ar-Ruhayliy*
[Mwalimu katika Masjid-un-Nabawiy na chuo kikuu cha Kiislamu al-Madiynah]
Mfasiri:
Firqatunnajia.com
Mume ndio kiongozi wa safina na ndiye msimamizi wa nyumba. Kama jinsi mume ana haki zake vilevile na yeye ana uwajibu. Mume wa Kiislamu
anamuabudu Allaah kwa kutimiza haki zake. Anatekeleza haki zake kwa kuwa yeye ndiye mchungaji wake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)
amesema:🔴🔵⬇
*"Nyote ni wachungaji na kila mmoja ataulizwa kwa kile alichokichunga. Kiongozi ni mchungaji na ataulizwa kwa kile alichokichunga. Mwanaume ni mchungaji wa familia yake na yeye ataulizwa kwa kile alichokichunga. Mwanamke ni mchungaji na yeye ataulizwa juu ya nyumba ya mume wake."*
al-Bukhaariy (893) na Muslim (1829).📚
Mwanaume mwema anajua kuwa ana kazi ya kumchunga mume wake na
kwamba ataulizwa juu yake. Ndio maana anafanya juhudi ya kumtakia mema na
kumtimizia haki zake. Kwa sababu anajua kufanya hivo ni katika kumcha
Allaah. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:🔴🔵⏬
*"Mcheni Allaah juu ya wanawake."* 72 Muslim (1218).📚
Mwanaume mwema anatimiza haki za mke wake zilizo juu yake. Anajua kuwa
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameusia hivo na kwa hiyo anaogopa
kupuuza wasia ambao kipenzi chake na kiigizo chake Mtume (Swalla Allaahu
´alayhi wa sallam) ameusia. Kipenzi chetu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa
sallam) amesema:🔴🔵⬇
*"Watendeeni wanawake wema."* al-Bukhaariy (5186) na Muslim (1468).📚
Mwanaume mwema alobarikiwa anatekeleza haki za mke wake zilizo juu yake
kwa kuwa anajua kuwa yeye [mwanamke] ni amana kwake. Kwa nani? Kwa
Allaah, Mola wa mbingu na ardhi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)
amesema:🔴🔵⏬
*"Watendeeni wanawake wema! Hakika mmewachukua kwa amana [mkataba] wa Allaah..."* Abu Daawuud (1905) na Ibn Maajah (3074📚
Mume Muislamu alobarikiwa hatekelezi haki za mke wake kwa njia ya kutoa
huduma. Anafanya hivo kwa sababu ataulizwa juu ya hilo mbele ya Allaah
(Subhaanahu wa Ta´ala). Kwa ajili hiyo ni lazima kwetu sisi wanaume kujifunza haki
za wake zetu na kuwafunza nazo watoto wetu ili tuwe tumetekeleza wajibu ulio
kwenye mabega yetu.
Itaendelea in shaa ALLAH
--------------------------------------------
imeandaliwa na :
*Abuu Muhammad Abubakar bn Abdul Aziyzi*
*DAAWA SALAFIYYA BURUNDI🇧🇮*
📱0027618075087
*[Haqq-uz-Zawjayn] Haki za mume na mke*
Mwandishi:
*Shaykh Sulaymaan bin Saliymillaah ar-Ruhayliy*
[Mwalimu katika Masjid-un-Nabawiy na chuo kikuu cha Kiislamu al-Madiynah]
Mfasiri:
Firqatunnajia.com
31.🌸 *Mume anatakiwa kumhudumia mke wake*🌸
*Miongoni mwa haki za mke juu ya mume wake*
*ni yeye kumhudumia kutokana na ada ilivo.*
*Wakati anapokula na yeye pia amlishe.*
*Wakati anapovaa na yeye pia amvishe.*
*Kinachotakikana kwa mwanaume ni yeye kumhudumia mke*
*na kumruzuku kutokana na ada ilivo,*
*bila ya israfu wala ubakhili.*
*Asifanye ubakhili kwa kile alonacho na kutompa.*
*Atangamane naye kutokana na ada ilivo.*
*Kama jinsi hatakiwi vilevile kumpa zaidi ya uwezo wake*
*na zaidi ya ada inavosema.*
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:🔵🔴⏬
*"Haki zao juu yenu ni nyinyi kuwapa matumizi na kuwavisha kwa wema."* Muslim (1218).📚
Itaendelea in shaa ALLAH
--------------------------------------------
imeandaliwa na :
*Abuu Muhammad Abubakar bn Abdul Aziyzi*
*DAAWA SALAFIYYA BURUNDI🇧🇮*
📱0027618075087
*[Haqq-uz-Zawjayn] Haki za mume na mke*
Mwandishi:
*Shaykh Sulaymaan bin Saliymillaah ar-Ruhayliy*
[Mwalimu katika Masjid-un-Nabawiy na chuo kikuu cha Kiislamu al-Madiynah]
Mfasiri:
Firqatunnajia.com
*Miongoni mwa haki za mke juu ya mume wake*
*ni yeye kumhudumia kutokana na ada ilivo.*
*Wakati anapokula na yeye pia amlishe.*
*Wakati anapovaa na yeye pia amvishe.*
*Kinachotakikana kwa mwanaume ni yeye kumhudumia mke*
*na kumruzuku kutokana na ada ilivo,*
*bila ya israfu wala ubakhili.*
*Asifanye ubakhili kwa kile alonacho na kutompa.*
*Atangamane naye kutokana na ada ilivo.*
*Kama jinsi hatakiwi vilevile kumpa zaidi ya uwezo wake*
*na zaidi ya ada inavosema.*
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:🔵🔴⏬
*"Haki zao juu yenu ni nyinyi kuwapa matumizi na kuwavisha kwa wema."* Muslim (1218).📚
Itaendelea in shaa ALLAH
--------------------------------------------
imeandaliwa na :
*Abuu Muhammad Abubakar bn Abdul Aziyzi*
*DAAWA SALAFIYYA BURUNDI🇧🇮*
📱0027618075087
*[Haqq-uz-Zawjayn] Haki za mume na mke*
Mwandishi:
*Shaykh Sulaymaan bin Saliymillaah ar-Ruhayliy*
[Mwalimu katika Masjid-un-Nabawiy na chuo kikuu cha Kiislamu al-Madiynah]
Mfasiri:
Firqatunnajia.com
https://t.me/fawaidussalafiyatz
*FUNGA YA 'ARAFA IMEMKUTA MWANAMMKE AKIWA KATIKA HEDHI, JE NI IBADA ZIPI AZIFANYE WALAU NA YEYE APATE UJIRA!*
Naomba kuuliza sheikh wetu: Ikiwa mwanamke yupo katika hedhi na anataka kupata fadhila na kheri zipatikanazo ndani ya A'arafa afanyaje?
Nakusudia nini afanye mwanamke huyu alie katika hedhi, ili nae awe ni mwenye kupata fadhila na kheri mfano wa anazopata aliefunga A'arafa..
Barakallahu fiyka;
*JAWABU: 📚*
Kuna ibada nyingi anaweza kufanya mwanamke hata akiwa katika ada yake ya mwezi mbali na saumu na swala, kama kusoma qu'rani na kufanya adhkaari nyinginezo, kutoa sadaqa n.k. wallahu a3lam.
Swali limejibiwa na;
*Sheikh Abul khattwaab Abuu Abdirrahman Abdallah humeid Al-hadhramiy -Allah amuifadhi*
*○ KUPATA FAIDA ZAIDI: Tembelea channel yetu ya Telegram kupitia kiunganishi hiki 👇🏾*
https://t.me/fawaidussalafiyatz
•┈┈┈┈••✦✿✦••┈┈┈┈•
*FUNGA YA 'ARAFA IMEMKUTA MWANAMMKE AKIWA KATIKA HEDHI, JE NI IBADA ZIPI AZIFANYE WALAU NA YEYE APATE UJIRA!*
Naomba kuuliza sheikh wetu: Ikiwa mwanamke yupo katika hedhi na anataka kupata fadhila na kheri zipatikanazo ndani ya A'arafa afanyaje?
Nakusudia nini afanye mwanamke huyu alie katika hedhi, ili nae awe ni mwenye kupata fadhila na kheri mfano wa anazopata aliefunga A'arafa..
Barakallahu fiyka;
*JAWABU: 📚*
Kuna ibada nyingi anaweza kufanya mwanamke hata akiwa katika ada yake ya mwezi mbali na saumu na swala, kama kusoma qu'rani na kufanya adhkaari nyinginezo, kutoa sadaqa n.k. wallahu a3lam.
Swali limejibiwa na;
*Sheikh Abul khattwaab Abuu Abdirrahman Abdallah humeid Al-hadhramiy -Allah amuifadhi*
*○ KUPATA FAIDA ZAIDI: Tembelea channel yetu ya Telegram kupitia kiunganishi hiki 👇🏾*
https://t.me/fawaidussalafiyatz
•┈┈┈┈••✦✿✦••┈┈┈┈•
Telegram
fawaidusalafiyatz
Ungana nasi upate faida mbalimbali | kitabu na suna group zetu ni:
① https://t.me/fawaidussalafiyatz
② https://t.me/Darasazandoa
③ https://t.me/upotevuwamashia
① https://t.me/fawaidussalafiyatz
② https://t.me/Darasazandoa
③ https://t.me/upotevuwamashia
35.🌸 *Mume asimtukane mke*🌸
*Miongoni mwa haki za mke juu ya mume wake*
*asimtukane, asimkejeli au kusema kuwa muonekano wake au matendo yake ni mabaya.*
Mtume (Swalla
Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema🔵🔴⏬
*wakati alipotaja haki za mwanamke kwa mume wake:*
🌹 *"... na asimkebehi."*🌹
Abu Daawuud (2142), Ibn Maajah (1850), Ibn Hibbaan (9/2764), al-Haakim (2/2764) na Ahmad (4/446-447).
Mnyororo ni Swahiyh kwa mujibu wa al-Haakim na adh-Dhahabiy ameafikiana na hilo na hali kadhalika al-Albaaniy
katika ”al-Irwaa’” (2033).
🌹 *Mume asimsuse mke wake*🌹
*Miongoni mwa haki za mke juu ya mume wake asimsuse*
*isipokuwa kukiwepo sababu inayopelekea kumsusa kwa lengo la kumtia adabu.*
*Pindi itapokuwa imeruhusiwa kwa mwanaume kumsusa mke wake,*
*basi amsuse nyumbani kwake [ndani] na si nyumba yake.*
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)
amesema🔵🔴⏬
*wakati alipotaja haki za mwanamke kwa mume wake:*
🌸 *"... na wala asimsuse isipokuwa nyumbani."*🌸
Abu Daawuud (2142), Ibn Maajah (1850), Ibn Hibbaan (9/2764), al-Haakim (2/2764) na Ahmad (4/446-447).
Mnyororo ni Swahiyh kwa mujibu wa al-Haakim na adh-Dhahabiy ameafikiana na hilo na hali kadhalika al- Albaaniy katika ”al-Irwaa’” (2033).
Itaendelea in shaa ALLAH
--------------------------------------------
imeandaliwa na :
*Abuu Muhammad Abubakar bn Abdul Aziyzi*
*DAAWA SALAFIYYA BURUNDI🇧🇮*
📱0027618075087
*[Haqq-uz-Zawjayn] Haki za mume na mke*
Mwandishi:
*Shaykh Sulaymaan bin Saliymillaah ar-Ruhayliy*
[Mwalimu katika Masjid-un-Nabawiy na chuo kikuu cha Kiislamu al-Madiynah]
Mfasiri:
Firqatunnajia.com
*Miongoni mwa haki za mke juu ya mume wake*
*asimtukane, asimkejeli au kusema kuwa muonekano wake au matendo yake ni mabaya.*
Mtume (Swalla
Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema🔵🔴⏬
*wakati alipotaja haki za mwanamke kwa mume wake:*
🌹 *"... na asimkebehi."*🌹
Abu Daawuud (2142), Ibn Maajah (1850), Ibn Hibbaan (9/2764), al-Haakim (2/2764) na Ahmad (4/446-447).
Mnyororo ni Swahiyh kwa mujibu wa al-Haakim na adh-Dhahabiy ameafikiana na hilo na hali kadhalika al-Albaaniy
katika ”al-Irwaa’” (2033).
🌹 *Mume asimsuse mke wake*🌹
*Miongoni mwa haki za mke juu ya mume wake asimsuse*
*isipokuwa kukiwepo sababu inayopelekea kumsusa kwa lengo la kumtia adabu.*
*Pindi itapokuwa imeruhusiwa kwa mwanaume kumsusa mke wake,*
*basi amsuse nyumbani kwake [ndani] na si nyumba yake.*
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)
amesema🔵🔴⏬
*wakati alipotaja haki za mwanamke kwa mume wake:*
🌸 *"... na wala asimsuse isipokuwa nyumbani."*🌸
Abu Daawuud (2142), Ibn Maajah (1850), Ibn Hibbaan (9/2764), al-Haakim (2/2764) na Ahmad (4/446-447).
Mnyororo ni Swahiyh kwa mujibu wa al-Haakim na adh-Dhahabiy ameafikiana na hilo na hali kadhalika al- Albaaniy katika ”al-Irwaa’” (2033).
Itaendelea in shaa ALLAH
--------------------------------------------
imeandaliwa na :
*Abuu Muhammad Abubakar bn Abdul Aziyzi*
*DAAWA SALAFIYYA BURUNDI🇧🇮*
📱0027618075087
*[Haqq-uz-Zawjayn] Haki za mume na mke*
Mwandishi:
*Shaykh Sulaymaan bin Saliymillaah ar-Ruhayliy*
[Mwalimu katika Masjid-un-Nabawiy na chuo kikuu cha Kiislamu al-Madiynah]
Mfasiri:
Firqatunnajia.com
16. *Ndoa ni jahazi ya maisha*
Ama kuhusiana na mashairi, yana nafasi ya haki za wanandoa nyumbani wakati
wanandoa wamekaa pamoja katika jahazi ya maisha.🔵🔴⏬
*Maisha ni bahari inayopigwa na mawimbi na dhoruba. Yana nyakati zinazofurahisha kama jinsi yana nyakati zinazosikitisha. Yana kukasirika na kuridhia.*
Ndio maana
wafanyakazi wa safina hii wanahitajia ushirikiano na kuandaa vifaa vyenye
kusalimisha uhai ili wanandoa waweza kupita juu ya bahari kwa raha, furaha na amani na kufika nchikavu Aakhirah ambapo namuomba Allaah (´Azza wa Jalla) iwe
ni Pepo.🔵🔴⬇
*Huko wanandoa watakusanyika kama jinsi walivyokusanyika duniani. Katika safari hii ya maisha haya wanandoa wanahitajia kujua haki baina yao.*
Haki za wanandoa katika Uislamu zimejengwa juu ya kumuabudu Allaah
(Subhaanahu wa Ta´ala).🌸📚
*Wakati mtu anapotekeleza haki hizi anatarajia thawabu kutoka kwa Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala).*
Itaendelea in shaa ALLAH
--------------------------------------------
imeandaliwa na :
*Abuu Muhammad Abubakar bn Abdul Aziyzi*
*DAAWA SALAFIYYA BURUNDI🇧🇮*
📱0027618075087
*[Haqq-uz-Zawjayn] Haki za mume na mke*
Mwandishi:
*Shaykh Sulaymaan bin Saliymillaah ar-Ruhayliy*
[Mwalimu katika Masjid-un-Nabawiy na chuo kikuu cha Kiislamu al-Madiynah]
Mfasiri:
Firqatunnajia.com
Ama kuhusiana na mashairi, yana nafasi ya haki za wanandoa nyumbani wakati
wanandoa wamekaa pamoja katika jahazi ya maisha.🔵🔴⏬
*Maisha ni bahari inayopigwa na mawimbi na dhoruba. Yana nyakati zinazofurahisha kama jinsi yana nyakati zinazosikitisha. Yana kukasirika na kuridhia.*
Ndio maana
wafanyakazi wa safina hii wanahitajia ushirikiano na kuandaa vifaa vyenye
kusalimisha uhai ili wanandoa waweza kupita juu ya bahari kwa raha, furaha na amani na kufika nchikavu Aakhirah ambapo namuomba Allaah (´Azza wa Jalla) iwe
ni Pepo.🔵🔴⬇
*Huko wanandoa watakusanyika kama jinsi walivyokusanyika duniani. Katika safari hii ya maisha haya wanandoa wanahitajia kujua haki baina yao.*
Haki za wanandoa katika Uislamu zimejengwa juu ya kumuabudu Allaah
(Subhaanahu wa Ta´ala).🌸📚
*Wakati mtu anapotekeleza haki hizi anatarajia thawabu kutoka kwa Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala).*
Itaendelea in shaa ALLAH
--------------------------------------------
imeandaliwa na :
*Abuu Muhammad Abubakar bn Abdul Aziyzi*
*DAAWA SALAFIYYA BURUNDI🇧🇮*
📱0027618075087
*[Haqq-uz-Zawjayn] Haki za mume na mke*
Mwandishi:
*Shaykh Sulaymaan bin Saliymillaah ar-Ruhayliy*
[Mwalimu katika Masjid-un-Nabawiy na chuo kikuu cha Kiislamu al-Madiynah]
Mfasiri:
Firqatunnajia.com
37.🌸 *Mume asifichukue siri za mke*🌸
*Miongoni mwa haki za mke juu ya mume wake asifichue siri yake*
*na asiwazungumzie wengine yale yanayotendeka nyuma ya mlango wao unapofungwa.*
*Khaswa yale yanayouhusiana na jimaa,*
*jambo ambalo tumeshaligusia katika mnasaba wa haki za mume juu ya mke wake.*
🌹 *Mume apuuzie mapungufu ya mke na mazuri yake*🌹
*ayafanye makubwa Miongoni mwa haki za mke juu ya mume wake ni asimchukize.*
*Asiangalie mapungufu yake.*
*Anachotakiwa ni kuangali mazuri yake,*
*ayafanye kuwa ni makubwa na mapungufu yake ayachukulie wepesi.*
*Afanye kila aliwezalo asione jengine kutoka kwake*
*isipokuwa tu yale ambayo ni mazuri.*
*Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:*🔵🔴👇
*"Muumini mwanaume asimchukie muumini mwanamke. Akichukia moja katika tabia yake, basi atapenda[tabia yake] nyingine."* Muslim (1469).
Itaendelea in shaa ALLAH
--------------------------------------------
imeandaliwa na :
*Abuu Muhammad Abubakar bn Abdul Aziyzi*
*DAAWA SALAFIYYA BURUNDI🇧🇮*
📱0027618075087
*[Haqq-uz-Zawjayn] Haki za mume na mke*
Mwandishi:
*Shaykh Sulaymaan bin Saliymillaah ar-Ruhayliy*
[Mwalimu katika Masjid-un-Nabawiy na chuo kikuu cha Kiislamu al-Madiynah]
Mfasiri:
Firqatunnajia.com
*Miongoni mwa haki za mke juu ya mume wake asifichue siri yake*
*na asiwazungumzie wengine yale yanayotendeka nyuma ya mlango wao unapofungwa.*
*Khaswa yale yanayouhusiana na jimaa,*
*jambo ambalo tumeshaligusia katika mnasaba wa haki za mume juu ya mke wake.*
🌹 *Mume apuuzie mapungufu ya mke na mazuri yake*🌹
*ayafanye makubwa Miongoni mwa haki za mke juu ya mume wake ni asimchukize.*
*Asiangalie mapungufu yake.*
*Anachotakiwa ni kuangali mazuri yake,*
*ayafanye kuwa ni makubwa na mapungufu yake ayachukulie wepesi.*
*Afanye kila aliwezalo asione jengine kutoka kwake*
*isipokuwa tu yale ambayo ni mazuri.*
*Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:*🔵🔴👇
*"Muumini mwanaume asimchukie muumini mwanamke. Akichukia moja katika tabia yake, basi atapenda[tabia yake] nyingine."* Muslim (1469).
Itaendelea in shaa ALLAH
--------------------------------------------
imeandaliwa na :
*Abuu Muhammad Abubakar bn Abdul Aziyzi*
*DAAWA SALAFIYYA BURUNDI🇧🇮*
📱0027618075087
*[Haqq-uz-Zawjayn] Haki za mume na mke*
Mwandishi:
*Shaykh Sulaymaan bin Saliymillaah ar-Ruhayliy*
[Mwalimu katika Masjid-un-Nabawiy na chuo kikuu cha Kiislamu al-Madiynah]
Mfasiri:
Firqatunnajia.com
https://t.me/Darasazandoa
*MUME KUMNYIMA MKE WAKE TENDO LA NDOA;* 🎤
Ikiwa mke akaitwa na mume wake kwa ajili ya tendo la ndoa, kisha aka kataa anapata madhambi na analaaniwa na malaika,
Je, ni vipi ikiwa mume nae akimkatalia tendo la ndoa mke wake, yeye anaingia katika hukumu ipi?
Barakallahu fiyka;
*JAWABU; 📚*
Kujizuia mume na kukataa kumkidhia mke wake mahitaji yake ya kindoa anapo muhitaji, hili jambo halijuzu, kwa mwanaume ambaye ana uwezo wa kukidhi haja ya mke, kwa Sababu ni kinyume na amri ya Allah ya kutangamana na mke kwa wema,
Na mke ana haki kama alizo nazo mume, ila zile ambazo sheria imehusisha mume juu ya mke, kwa hiyo ni haramu mume kumnyima mke wake haki hiyo, na anapata dhambi kwa hilo,
Ama kuwa mume nae analaaniwa kama ilivyo kwa mke? Hili lahitaji dalili, sababu dalili imehusisha mke wala sio mume, na hapa kutumia qiyas ni muhali, wallahu a3lam.
Swali limejibiwa na;
*Sheikh wetu, Abul khattwaab Abuu Abdirrahman Abdallah humeid Al hadhramiy حفظه الله ورعاه*
*💡KUPATA FAIDA ZAIDI: Tembelea channel yetu ya Tele gram kupitia kiunganishi hiki👇🏿*
https://t.me/Darasazandoa
•┈┈┈┈••✦✿✦••┈┈┈┈•
*MUME KUMNYIMA MKE WAKE TENDO LA NDOA;* 🎤
Ikiwa mke akaitwa na mume wake kwa ajili ya tendo la ndoa, kisha aka kataa anapata madhambi na analaaniwa na malaika,
Je, ni vipi ikiwa mume nae akimkatalia tendo la ndoa mke wake, yeye anaingia katika hukumu ipi?
Barakallahu fiyka;
*JAWABU; 📚*
Kujizuia mume na kukataa kumkidhia mke wake mahitaji yake ya kindoa anapo muhitaji, hili jambo halijuzu, kwa mwanaume ambaye ana uwezo wa kukidhi haja ya mke, kwa Sababu ni kinyume na amri ya Allah ya kutangamana na mke kwa wema,
Na mke ana haki kama alizo nazo mume, ila zile ambazo sheria imehusisha mume juu ya mke, kwa hiyo ni haramu mume kumnyima mke wake haki hiyo, na anapata dhambi kwa hilo,
Ama kuwa mume nae analaaniwa kama ilivyo kwa mke? Hili lahitaji dalili, sababu dalili imehusisha mke wala sio mume, na hapa kutumia qiyas ni muhali, wallahu a3lam.
Swali limejibiwa na;
*Sheikh wetu, Abul khattwaab Abuu Abdirrahman Abdallah humeid Al hadhramiy حفظه الله ورعاه*
*💡KUPATA FAIDA ZAIDI: Tembelea channel yetu ya Tele gram kupitia kiunganishi hiki👇🏿*
https://t.me/Darasazandoa
•┈┈┈┈••✦✿✦••┈┈┈┈•
Telegram
DARASA ZA NDOA
Ndoa ni neema Allah ametupa waja wake Al-hamdulillah, group zetu ni:
① https://t.me/fawaidussalafiyatz
② https://t.me/Darasazandoa
③ https://t.me/upotevuwamashia
① https://t.me/fawaidussalafiyatz
② https://t.me/Darasazandoa
③ https://t.me/upotevuwamashia
*NDOA YA WALIOZINI!!*
Swali: Kuna mtu kazini na mwanamke kisha akambebesha mimba na sasa mwanaume huyo anataka kumuoa, pamoja na kuwa katubia kwa Allaah. Je, imeshurutishwa mpaka ajifungue au haikushurutishwa?
Jibu: Muislamu haijuzu kwake kuoa/kuolewa na mzinifu. Isipokuwa kwa masharti mawili:
1- Sharti ya kwanza atubu Tawbah ya sahihi ya kuacha Zinaa; aiache, ajute kwa hilo na aazimie kutorudi kufanya hivyo.
2- Sharti ya pili ni lazima kwake yeye mwanamke kukaa eda, pengine akawa amepata mimba kwa Zinaa hiyo. Ni lazima akae eda kwa kupata hedhi mara tatu. Ikiwa yatatimia masharti haya mawili, inajuzu kuoana. Ama maadamu hajatubia, haijuzu kuolewa nae. Kutokana na Kauli Yake (Ta´ala):
الزَّانِي لَا يَنكِحُ إِلَّا زَانِيَةً أَوْ مُشْرِكَةً وَالزَّانِيَةُ لَا يَنكِحُهَا إِلَّا زَانٍ أَوْ مُشْرِكٌ ۚ وَحُرِّمَ ذَٰلِكَ عَلَى الْمُؤْمِنِينَ
“Mzinifu mwanamme hafungamani (hafungi Nikaah) isipokuwa na mzinifu mwanamke au mshirikina mwanamke; na mzinifu mwanamke hafungamani naye (haolewi na yeyote) isipokuwa na mzinifu mwanamme au mshirikina mwanamke. Na imeharamishwa hivyo kwa Waumini.” (24:03)
Huyu haijuzu kuolewa naye. Na mimba hii sio ya kwake [baba], hatokuwa mtoto wake. Na pengine ikawa ya mtu mwengine maadamu mwanamke anazini. Unajuaje kama huyu ni mtoto wako? Hili halijuzu. Mtoto wa Zinaa huu haendi kwa baba, isipokuwa anaenda kwa mama yake tu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Swali: Kuna mtu kazini na mwanamke kisha akambebesha mimba na sasa mwanaume huyo anataka kumuoa, pamoja na kuwa katubia kwa Allaah. Je, imeshurutishwa mpaka ajifungue au haikushurutishwa?
Jibu: Muislamu haijuzu kwake kuoa/kuolewa na mzinifu. Isipokuwa kwa masharti mawili:
1- Sharti ya kwanza atubu Tawbah ya sahihi ya kuacha Zinaa; aiache, ajute kwa hilo na aazimie kutorudi kufanya hivyo.
2- Sharti ya pili ni lazima kwake yeye mwanamke kukaa eda, pengine akawa amepata mimba kwa Zinaa hiyo. Ni lazima akae eda kwa kupata hedhi mara tatu. Ikiwa yatatimia masharti haya mawili, inajuzu kuoana. Ama maadamu hajatubia, haijuzu kuolewa nae. Kutokana na Kauli Yake (Ta´ala):
الزَّانِي لَا يَنكِحُ إِلَّا زَانِيَةً أَوْ مُشْرِكَةً وَالزَّانِيَةُ لَا يَنكِحُهَا إِلَّا زَانٍ أَوْ مُشْرِكٌ ۚ وَحُرِّمَ ذَٰلِكَ عَلَى الْمُؤْمِنِينَ
“Mzinifu mwanamme hafungamani (hafungi Nikaah) isipokuwa na mzinifu mwanamke au mshirikina mwanamke; na mzinifu mwanamke hafungamani naye (haolewi na yeyote) isipokuwa na mzinifu mwanamme au mshirikina mwanamke. Na imeharamishwa hivyo kwa Waumini.” (24:03)
Huyu haijuzu kuolewa naye. Na mimba hii sio ya kwake [baba], hatokuwa mtoto wake. Na pengine ikawa ya mtu mwengine maadamu mwanamke anazini. Unajuaje kama huyu ni mtoto wako? Hili halijuzu. Mtoto wa Zinaa huu haendi kwa baba, isipokuwa anaenda kwa mama yake tu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
بسم الله الرحمن الرحيم.
MAZINGATIO JUU YA NDOA ZA (SALAFU SWAALIHU) WAJA WEMA WALIO TANGU LIA رحمة الله عليهم.
Amesimulia mtoto wa Harmalah kutoka kwa mtoto wa baba Waadiah Amesema.
Nilikua nakaa na Saidi bnu Musayyib (Darasani) nikahadimika masiku kadhaa, niliporudi akaniuliza, "Ulikua wapi?" (akajibu), "Nilifiwa na mke wangu nikashughulishwa na hilo, Wakauliza, "Mbona hukusema tukahudhuria?".
Nikasimama ili niondoke akaniuliza, "Vipi umeposa mwanamke tayari?".
Nikasema Allah akurehemu, nani aniozeshe mimi hali ya kuwa similiki ila Dirham mbili au tatu!!.
Akasema mimi hapa, nikamuuliza utaniozesha?, Akasema ndiyo nitakuozesha, Na akamsifu Allah mtukufu na kumswalia Mtume صلى الله عليه وسلم ( Khutba ya ndoa hiyo) na akaniozesha kwa Dirham mbili au tatu vile.
Basi nikaondoka hali ya kuwa sijui nifanye nini kutokana na furaha niliyo nayo.
Nikaelekea nyumbani kwangu huku nikiwa mwenye kutafakari juu ya hilo, nikaswali Swalla ya maghribi na kujipumzisha ndani kwangu nikiwa peke yangu hali ya kuwa nimefunga, kikaletwa chakula cha jioni ikawa nafuturu , ilikuwa ni mkate na mafuta (Siagi).
Mara nikasikia mlango unagongwa, nikauliza "Nani huyo?" akasema ni Saidi, basi nikafikiria juu ya kila mtu aitwae Saidi sikumkumbuka ila Saidi bnu Musayyibi ambaye hakupata kuonekana kwa miaka arobaini ila kati ya nyumba yake na msikitini.
Nikatoka kuangalia, kumbe ni Saidi bnu Musayyibi, nikadhani labda amepotea, Nikamuuliza, Ewe Abuu Muhamad, nini kimekuleta huku ili nikutafutie?. Akajibu wewe unastahiki kunileta huku, Nikamuuliza, una niamrisha nini?.
Akaniambia, hakika wewe ulikua mtu mpweke, hivyo basi nimekuozesha (binti yangu) na nimeona karaha ulale peke yako, huyu hapa mke wako.
Kuangalia amesimama nyuma yake ni mrefu, akamshika mkono wake amsogeza mlangoni (kwangu), binti akaporomoka chini kwa kuona haya.
Nikapiga ukelele kuwaita majirani, wakaja na kuniuliza kuna nini?, Nikawaambia ameniozesha Said bnu Musayyib binti yake aliyekuja nae kwa ghafla, Wakauliza Said bnu Musayyib amekuozesha? Nikasema ndiyo na huyo humo ndani,
Akaja mama yangu akaniambia uso wangu na uso wako ni haramu kukutana ( tusionane) kwa muda wa siku tatu mpaka nimuandae (nimfunde).
Nikakaa siku tatu kisha nikakutana nae (mke wangu), Hakika alikua ni mwanamke mzuri sana, amehifadhi Qurani na mjuzi sana wa Sunna za Mtume صلى الله عليه وسلم na mwenye kufahamu haki za mume.
Nilikaa mwezi mmoja sijaenda kwake Saidi bnu Musayyib ( baba mkwe) na wala yeye kuja kwangu, nilipo mtembelea nikamkuta Msikitini anadarasisha, nikatoa salaam akaitikia na wala hakunisemesha lolote.
Walipo tawanyika watu na hakubakia mtu yeyote kinyume na mimi akaniuliza, Vipi hali ya yule mtu?, Nikamjibu ewe baba Muhammad ni kheri tu juu ya vile mbavyo hupendelea mtu mkweli na huchukia adui, basi akanipatia dirham 20,000.
Ni nani Saidi bnu Musayyibi?.
Saidi bnu Musayyib ni miongoni mwa Taabiina wakubwa, na huyo binti yake alitakiwa na mtoto wa bwana mkubwa mmoja aitwae Waliydi bnu Abdul Malik bnu Marwaan lakini hakumkubalia kumuozeha binti yake.
Baba yake Walid ni Abdul Maliki bnu Marwaan ambaye ni Khalifa wa tano katika Makhalifa wa banuu Umayyah na ndiye muanzilishi wa dola ya Umawiyyah.
TANBIHI.
Je, sisi mabinti zetu wakiposwa tunamthamini mposaji kwamba ni sababu ya kutuvua dhima iliyopo mikononi mwetu au tunamgeuza mjinga kaja mjanja apone kwa kumuwekea vikwazo na kumtoza mahari kubwa ili kutatua shida zetu???.
Au tunathubutu kumkataa mtoto wa kigogo ili tumuozeshe maskini mcha Mungu?.
Akili za kuambiwa changanya na za kwako.
Ukitaka urefu wa kisa hiki angalia kitabu "MIN A-ALAAMI SSALAFI", mimi nimekiandika kwa ufupi sana.
MAZINGATIO JUU YA NDOA ZA (SALAFU SWAALIHU) WAJA WEMA WALIO TANGU LIA رحمة الله عليهم.
Amesimulia mtoto wa Harmalah kutoka kwa mtoto wa baba Waadiah Amesema.
Nilikua nakaa na Saidi bnu Musayyib (Darasani) nikahadimika masiku kadhaa, niliporudi akaniuliza, "Ulikua wapi?" (akajibu), "Nilifiwa na mke wangu nikashughulishwa na hilo, Wakauliza, "Mbona hukusema tukahudhuria?".
Nikasimama ili niondoke akaniuliza, "Vipi umeposa mwanamke tayari?".
Nikasema Allah akurehemu, nani aniozeshe mimi hali ya kuwa similiki ila Dirham mbili au tatu!!.
Akasema mimi hapa, nikamuuliza utaniozesha?, Akasema ndiyo nitakuozesha, Na akamsifu Allah mtukufu na kumswalia Mtume صلى الله عليه وسلم ( Khutba ya ndoa hiyo) na akaniozesha kwa Dirham mbili au tatu vile.
Basi nikaondoka hali ya kuwa sijui nifanye nini kutokana na furaha niliyo nayo.
Nikaelekea nyumbani kwangu huku nikiwa mwenye kutafakari juu ya hilo, nikaswali Swalla ya maghribi na kujipumzisha ndani kwangu nikiwa peke yangu hali ya kuwa nimefunga, kikaletwa chakula cha jioni ikawa nafuturu , ilikuwa ni mkate na mafuta (Siagi).
Mara nikasikia mlango unagongwa, nikauliza "Nani huyo?" akasema ni Saidi, basi nikafikiria juu ya kila mtu aitwae Saidi sikumkumbuka ila Saidi bnu Musayyibi ambaye hakupata kuonekana kwa miaka arobaini ila kati ya nyumba yake na msikitini.
Nikatoka kuangalia, kumbe ni Saidi bnu Musayyibi, nikadhani labda amepotea, Nikamuuliza, Ewe Abuu Muhamad, nini kimekuleta huku ili nikutafutie?. Akajibu wewe unastahiki kunileta huku, Nikamuuliza, una niamrisha nini?.
Akaniambia, hakika wewe ulikua mtu mpweke, hivyo basi nimekuozesha (binti yangu) na nimeona karaha ulale peke yako, huyu hapa mke wako.
Kuangalia amesimama nyuma yake ni mrefu, akamshika mkono wake amsogeza mlangoni (kwangu), binti akaporomoka chini kwa kuona haya.
Nikapiga ukelele kuwaita majirani, wakaja na kuniuliza kuna nini?, Nikawaambia ameniozesha Said bnu Musayyib binti yake aliyekuja nae kwa ghafla, Wakauliza Said bnu Musayyib amekuozesha? Nikasema ndiyo na huyo humo ndani,
Akaja mama yangu akaniambia uso wangu na uso wako ni haramu kukutana ( tusionane) kwa muda wa siku tatu mpaka nimuandae (nimfunde).
Nikakaa siku tatu kisha nikakutana nae (mke wangu), Hakika alikua ni mwanamke mzuri sana, amehifadhi Qurani na mjuzi sana wa Sunna za Mtume صلى الله عليه وسلم na mwenye kufahamu haki za mume.
Nilikaa mwezi mmoja sijaenda kwake Saidi bnu Musayyib ( baba mkwe) na wala yeye kuja kwangu, nilipo mtembelea nikamkuta Msikitini anadarasisha, nikatoa salaam akaitikia na wala hakunisemesha lolote.
Walipo tawanyika watu na hakubakia mtu yeyote kinyume na mimi akaniuliza, Vipi hali ya yule mtu?, Nikamjibu ewe baba Muhammad ni kheri tu juu ya vile mbavyo hupendelea mtu mkweli na huchukia adui, basi akanipatia dirham 20,000.
Ni nani Saidi bnu Musayyibi?.
Saidi bnu Musayyib ni miongoni mwa Taabiina wakubwa, na huyo binti yake alitakiwa na mtoto wa bwana mkubwa mmoja aitwae Waliydi bnu Abdul Malik bnu Marwaan lakini hakumkubalia kumuozeha binti yake.
Baba yake Walid ni Abdul Maliki bnu Marwaan ambaye ni Khalifa wa tano katika Makhalifa wa banuu Umayyah na ndiye muanzilishi wa dola ya Umawiyyah.
TANBIHI.
Je, sisi mabinti zetu wakiposwa tunamthamini mposaji kwamba ni sababu ya kutuvua dhima iliyopo mikononi mwetu au tunamgeuza mjinga kaja mjanja apone kwa kumuwekea vikwazo na kumtoza mahari kubwa ili kutatua shida zetu???.
Au tunathubutu kumkataa mtoto wa kigogo ili tumuozeshe maskini mcha Mungu?.
Akili za kuambiwa changanya na za kwako.
Ukitaka urefu wa kisa hiki angalia kitabu "MIN A-ALAAMI SSALAFI", mimi nimekiandika kwa ufupi sana.
https://t.me/Darasazandoa
*NAMNA YA KUOGA JOSHO LA JANABA*
عن عائشة رضي الله عنها:
*Kutoka kwa mama 'Aishah ( Allah amridhie ) Amesema:*
أن النبي صلى الله عليه وسلم كان إذا اغتسل من الجنابة يبدأ فيغسل يديه، ثم يفرغ بيمينه على شماله فيغسل فرجه ثم يتوضأ وضوءه للصلاة ، ثم يأخذ الماء ويدخل أصابعه في أصول الشعر حتى إذا رأى أنه قد استبرأ حفن على رأسه ثلاث حثيات ، ثم أفاض على سائر جسده،
“kwamba Mtume (swala na salamu zimwendee) "Alipokuwa akioga Ghuslu ya Janaba alianza kwa kuosha mikono yake, kisha akijimwagia (akimimina) maji kwa mkono wake wa kulia juu ya mkono wake wa kushoto, na akiosha sehemu zake za siri, kisha akitwadha (akichukua udhu kama wa Swalah), kisha akijimwagia maji kichwani na kufikisha kwa vidole vyake katika mizizi ya nywele (mpaka aone kuwa ngozi imeshika na imeenea maji), kisha akijimwagia maji kichwani mara tatu, na kisha akimimina maji juu ya mwili mzima, kisha akiosha miguu yake ”
📚 رواه البخاري ومسلم
[ Al-Bukhari na Muslim ]
*DARASA ZA NDOA*
*kwa faida mbalimbali, za darasa za ndoa ungana nasi telegram kupitia link hii:↯*
https://t.me/Darasazandoa
──────≪✿❒❒✿≫─────
*NAMNA YA KUOGA JOSHO LA JANABA*
عن عائشة رضي الله عنها:
*Kutoka kwa mama 'Aishah ( Allah amridhie ) Amesema:*
أن النبي صلى الله عليه وسلم كان إذا اغتسل من الجنابة يبدأ فيغسل يديه، ثم يفرغ بيمينه على شماله فيغسل فرجه ثم يتوضأ وضوءه للصلاة ، ثم يأخذ الماء ويدخل أصابعه في أصول الشعر حتى إذا رأى أنه قد استبرأ حفن على رأسه ثلاث حثيات ، ثم أفاض على سائر جسده،
“kwamba Mtume (swala na salamu zimwendee) "Alipokuwa akioga Ghuslu ya Janaba alianza kwa kuosha mikono yake, kisha akijimwagia (akimimina) maji kwa mkono wake wa kulia juu ya mkono wake wa kushoto, na akiosha sehemu zake za siri, kisha akitwadha (akichukua udhu kama wa Swalah), kisha akijimwagia maji kichwani na kufikisha kwa vidole vyake katika mizizi ya nywele (mpaka aone kuwa ngozi imeshika na imeenea maji), kisha akijimwagia maji kichwani mara tatu, na kisha akimimina maji juu ya mwili mzima, kisha akiosha miguu yake ”
📚 رواه البخاري ومسلم
[ Al-Bukhari na Muslim ]
*DARASA ZA NDOA*
*kwa faida mbalimbali, za darasa za ndoa ungana nasi telegram kupitia link hii:↯*
https://t.me/Darasazandoa
──────≪✿❒❒✿≫─────
Telegram
DARASA ZA NDOA
Ndoa ni neema Allah ametupa waja wake Al-hamdulillah, group zetu ni:
① https://t.me/fawaidussalafiyatz
② https://t.me/Darasazandoa
③ https://t.me/upotevuwamashia
① https://t.me/fawaidussalafiyatz
② https://t.me/Darasazandoa
③ https://t.me/upotevuwamashia
39.🌹 *Mume amridhie mke wake*🌹
Miongoni mwa haki za mke juu ya mume wake ni yeye aridhie kutoka kwake yale awezayo kutoa kutokamana na tabia yake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema🔵🔴⏬
*"Watendeeni wanawake wema. Hakika mwanamke ameumbwa kwa ubavu ulopinda. Kiungo kilichopinda zaidi kwenye ubavu wake ni kile cha juu. Ukienda kutaka kukinyoosha utakivunja, na ukikiacha kitabaki kimepinda. Hivyo basi, watedeeni wanawake wema."* al-Bukhaariy (3331) na Muslim (1468) na muundo ni wa Muslim.
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema pia:🔵🔴⏬
*"Hakika mwanamke ameumbwa kwa ubavu ulopinda na katu hatokuwa sawa sawa vile unavotaka. Ikiwa utastarehe naye basi starehe naye ilihali huku amepinda, na ukienda kutaka kumnyoosha utamvunja; kumvunja kwake ni kule kumtaliki."*
al-Bukhaariy (3331) na Muslim (1468).
Makusudio ya haya ni mwanaume aweze kujua ni yepi maumbile ya mwanamke na aridhie kwa yale anayoyaona kutokamana na maumbile yake. Asimlazimu zaidi ya yale anayoyaweza. Awe ni mvumilivu kwa hatua yake ilopinda, kwani hakika ameumbwa kwa ubavu ulopinda.
Itaendelea in shaa ALLAH
--------------------------------------------
imeandaliwa na :
*Abuu Muhammad Abubakar bn Abdul Aziyzi*
*DAAWA SALAFIYYA BURUNDI🇧🇮*
📱0027618075087
*[Haqq-uz-Zawjayn] Haki za mume na mke*
Mwandishi:
*Shaykh Sulaymaan bin Saliymillaah ar-Ruhayliy*
[Mwalimu katika Masjid-un-Nabawiy na chuo kikuu cha Kiislamu al-Madiynah]
Mfasiri:
Firqatunnajia.com
Miongoni mwa haki za mke juu ya mume wake ni yeye aridhie kutoka kwake yale awezayo kutoa kutokamana na tabia yake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema🔵🔴⏬
*"Watendeeni wanawake wema. Hakika mwanamke ameumbwa kwa ubavu ulopinda. Kiungo kilichopinda zaidi kwenye ubavu wake ni kile cha juu. Ukienda kutaka kukinyoosha utakivunja, na ukikiacha kitabaki kimepinda. Hivyo basi, watedeeni wanawake wema."* al-Bukhaariy (3331) na Muslim (1468) na muundo ni wa Muslim.
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema pia:🔵🔴⏬
*"Hakika mwanamke ameumbwa kwa ubavu ulopinda na katu hatokuwa sawa sawa vile unavotaka. Ikiwa utastarehe naye basi starehe naye ilihali huku amepinda, na ukienda kutaka kumnyoosha utamvunja; kumvunja kwake ni kule kumtaliki."*
al-Bukhaariy (3331) na Muslim (1468).
Makusudio ya haya ni mwanaume aweze kujua ni yepi maumbile ya mwanamke na aridhie kwa yale anayoyaona kutokamana na maumbile yake. Asimlazimu zaidi ya yale anayoyaweza. Awe ni mvumilivu kwa hatua yake ilopinda, kwani hakika ameumbwa kwa ubavu ulopinda.
Itaendelea in shaa ALLAH
--------------------------------------------
imeandaliwa na :
*Abuu Muhammad Abubakar bn Abdul Aziyzi*
*DAAWA SALAFIYYA BURUNDI🇧🇮*
📱0027618075087
*[Haqq-uz-Zawjayn] Haki za mume na mke*
Mwandishi:
*Shaykh Sulaymaan bin Saliymillaah ar-Ruhayliy*
[Mwalimu katika Masjid-un-Nabawiy na chuo kikuu cha Kiislamu al-Madiynah]
Mfasiri:
Firqatunnajia.com
🍃🍃🍃💫🍃🍃🍃
نصيحة لمن كان مقبلا على الزواج
والوصية بحسن العشرة مع النساء والصبر عليهن
🎤 الشيخ : سليمان الرحيلي حفظه الله ورعاه .
🍃🍃🍃⤵⤵⤵ 🍃🍃🍃
نصيحة لمن كان مقبلا على الزواج
والوصية بحسن العشرة مع النساء والصبر عليهن
🎤 الشيخ : سليمان الرحيلي حفظه الله ورعاه .
🍃🍃🍃⤵⤵⤵ 🍃🍃🍃
13. Mke mwema hatoi siri za mume wake
Katika sifa za mke mwema ni kwamba hatoi siri za mume wake na yale mambo yanayowahusu wao tu. Hata kama kutatokea kutengana/kuachana na kutokuafikiana, basi ni lazima kwao wote wawili wamche Allaah (Jalla wa ´Alaa) juu ya suala hili. Kuhusiana na hili amepokea Imaam Ahmad katika “al-Musnad”[1] yake kupitia Amsaa´ bint Yaziyd ambaye ameeleza kwamba alikuwa kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na wanaume na wanawake walikuwa wamekaa kwake. Akasema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Pengine mwanaume akasema aliyofanya na mke wake. Pengine mwanamke akasema aliyofanya na mume wake.” Wakanyamaza kimya. Nikasema: “Ni kweli, ee Mtume wa Allaah. Wanawake wanafanya hivyo. Wanaume wanafanya hivyo.” Akasema: “Msifanye hivyo. Hili linafanana na Shetani ambaye amekutana na mwanamke wa kishetani barabarani akaanza kujamiiana naye na huku watu wanatazama.”
Amesema:
”Wanawake wanafanya hivyo. Wanaume wanafanya hivyo.”
Ameanza na wanawake kwanza kwa sababu hili hufanywa sana kati yao na huwa kwa mara chache sana kati ya wanaume. Mwanamke huongea na marafiki zake na maswahiba zake kuhusu mambo kama hayo ya binafsi. Wengi katika wao hawajali kuongea siri za mume na mambo yao binafsi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema:
“Hili linafanana na Shetani ambaye amekutana na mwanamke wa kishetani barabarani akaanza kujamiiana naye na huku watu wanatazama.”
Bi maana mwanamke na mwanaume wenye sifa kama hii na wanafichukua siri zao ni kama Shetani wa kiume ambaye amekutana na Shetani wa kike barabarani na akajamiiana naye na huku watu wanatazama.
[1] 27583. Ni Swahiyh kupitia Hadiyth zingine kwa mujibu wa Shaykh al-Albaaniy (Rahimahu Allaah) katika ”Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb” (2022). Tazana ”Irwaa’-ul-Ghaliyl” (2011).
Mhusika: Shaykh ´Abdur-Razzaaq bin ´Abdil-Muhsin al-´Abbaad
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swifaat-uz-Zawjah as-Swaalihah, uk. 42-44
Imechapishwa: 20/08/2018
Katika sifa za mke mwema ni kwamba hatoi siri za mume wake na yale mambo yanayowahusu wao tu. Hata kama kutatokea kutengana/kuachana na kutokuafikiana, basi ni lazima kwao wote wawili wamche Allaah (Jalla wa ´Alaa) juu ya suala hili. Kuhusiana na hili amepokea Imaam Ahmad katika “al-Musnad”[1] yake kupitia Amsaa´ bint Yaziyd ambaye ameeleza kwamba alikuwa kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na wanaume na wanawake walikuwa wamekaa kwake. Akasema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Pengine mwanaume akasema aliyofanya na mke wake. Pengine mwanamke akasema aliyofanya na mume wake.” Wakanyamaza kimya. Nikasema: “Ni kweli, ee Mtume wa Allaah. Wanawake wanafanya hivyo. Wanaume wanafanya hivyo.” Akasema: “Msifanye hivyo. Hili linafanana na Shetani ambaye amekutana na mwanamke wa kishetani barabarani akaanza kujamiiana naye na huku watu wanatazama.”
Amesema:
”Wanawake wanafanya hivyo. Wanaume wanafanya hivyo.”
Ameanza na wanawake kwanza kwa sababu hili hufanywa sana kati yao na huwa kwa mara chache sana kati ya wanaume. Mwanamke huongea na marafiki zake na maswahiba zake kuhusu mambo kama hayo ya binafsi. Wengi katika wao hawajali kuongea siri za mume na mambo yao binafsi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema:
“Hili linafanana na Shetani ambaye amekutana na mwanamke wa kishetani barabarani akaanza kujamiiana naye na huku watu wanatazama.”
Bi maana mwanamke na mwanaume wenye sifa kama hii na wanafichukua siri zao ni kama Shetani wa kiume ambaye amekutana na Shetani wa kike barabarani na akajamiiana naye na huku watu wanatazama.
[1] 27583. Ni Swahiyh kupitia Hadiyth zingine kwa mujibu wa Shaykh al-Albaaniy (Rahimahu Allaah) katika ”Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb” (2022). Tazana ”Irwaa’-ul-Ghaliyl” (2011).
Mhusika: Shaykh ´Abdur-Razzaaq bin ´Abdil-Muhsin al-´Abbaad
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swifaat-uz-Zawjah as-Swaalihah, uk. 42-44
Imechapishwa: 20/08/2018